Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  68  Akaniuliza
Gonga94 Β· Stories

𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 68 Akaniuliza

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kwa kushangaza β€œmara mbili na umeanza kazi leo?, mdogo wangu sitaki kuongea chochote sasa ila namuomba mganga wako, nipeleke kwa mganga wako. Naomba mdogo wangu, nakuomba sana.”

Unajua hata nikajikuta nacheka nikisema β€œπŸ˜‚πŸ˜‚hivi dada Martha unachanganyikiwa?, mganga yupi, kivipi mbona hata sikuelewi?”
Dada Martha akaniuliza β€œmnawasiliana vizuri, na anakupa pesa?”

Nikasoma tu ule ujumbe na kuona asinichanganye. Yeye ndiye ameniunganisha na nduguye na sasa ananitaka kunichimba. Kama yeye ndiye kuwadi wake anataka amtafutie mwanamke mwingine afanye asinichanganye mimi. Nikawa ninajisemesha.

My Boss akanitumia ujumbe, nikasoma, ujumbe ulikuwa unasomeka hivi β€œThank you my sweet person, I feel your love.. I feel you. I thank you for loving me. Even now at this moment I am confessing to love you totoo.. Nakupenda sana.”

Nikavuta pumzi na kutuma ujumbe β€œUna maanisha haya?”
Pale pale ujumbe uliingia akisema β€œsijawahi kuwa hivi kabla, popote, kwa yeyote hata mimi nashangaa kwanini kwako. Totoo, kweli kabisa nimezama kwenye kina kirefu sana cha bahari ya huba lako nakupenda.”

Nikamjibu kwa kifupi β€œAsante.”
Aliniambia kwa upole β€œNajua sio rahisi pengine wewe kunipenda, najua pengine unatamani unifahamu vizuri. Na najua utasikia mengi kunihusu. Ila Totoo, unaweza kuamini haya mapenzi hata kama sio kuniamini mimi. Please nakuomba usiyaache haya mapenzi. Mimi usinipende sawa, ila vipi kuhusu hisia zetu. Mimi Nakupenda kweli kweli.”

Nikasoma na kusema ndani ya moyo wangu β€œNakupenda ila naogopa sana. Nakuogopa.”
Na ndiyo nikaandika β€œNakuogopa.”

Alinipigia simu baada ya kupokea huo ujumbe, nilipokea nikiwa nipo kama nalia vile. Akaniuliza β€œtotoo!, kuna nini kwani, niambie nimekukosea pengine bila kujua nikuombe msamaha.”

Nikasema kwa upole β€œHapana hujanikosea kabisa.”
Akavuta pumzi na kusema β€œumesikia chochote kunihusu?”

Nikashindwa kujibu akasema β€œI knew this, Ndeana ni mapema sana. Safari yetu ndiyo inaanza. Please nakuomba usiyape nafasi ndani ya moyo wako maneno unayosikia kuhusu mimi.
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 69

Nimekuambia nakupenda wewe amini haya maneno. Ndeana niamini, mimi kwako nimefika nakupenda sana, kila kitu kitakuwa sawa muhimu uniamini. Siwezi kukuumiza mimi. Sijawahi kupenda Ndeana.

Unaweza usinielewe, ila wewe ni mwanamke wa kwanza kunifanya nijue maana ya kupenda. Na unavyojua moyo unapenda sehemu moja, mara moja na hiyo sehemu ni wewe na kwako.

Naomba upumzike, kesho tutaongea vizuri ofisini. Nakuomba asubuhi nikuone. Siwezi kulala vizuri leo kama wewe unakua hivi mapema yote hii.”

Simu ilikata, kisha baada ya muda mimi nikapanda kitandani, dada yangu aliingia chumbani na kusema β€œwewe, mbona hata hujabadilisha nguo. si ukaoge kwanza?”
Nikamtazama tu, dada akasema β€œKuna tatizo kwani?”

Nikamtazama tena na kusema β€œnimesikia kitu kuhusu Boss, nashindwa kujizuia dada. Kwasababu ninampenda sana.”

Dada yangu alikuja karibu yangu na kusema β€œKitu gani mdogo wangu?”
Nikamwambia, sijui nipoje ila mimi kumficha kitu dada hata cha ovyo siwezi kasoro hivi vya aibu najiongeza tu. Basi dada yangu akasema β€œlabda ni kweli, na sisi hatuwezi kujua kwasababu hatujalala naye si ndiyo. Na ndiyo maana nilikuambia usiwe na haraka.”

Nikasema β€œwanasema pia ana dharau na wanawake hana muda nao ila mbona mimi muda wote anataka kuwa na mimi na hata huku ananifuata.”

Dada alitabasamu, alisema β€œMdogo wangu kwenye mapenzi kuna watu wengi. Pengine umekutana na mwanaume mbaya sana ila kwako huwezi ona ubaya wake kwasababu labda anakupenda sana kweli. Binadamu upendo wake wa kweli ni mara moja tu.

Kwingine unaweza kupenda ila kawaida hisia zisiwe sawa na zile za mwanzo kwa mtu fulani. Usikurupuke, usiwe na hasira. Kama anakupenda atakuelezea mwenyewe. Mwanamke silaha yake ni utulivu, usikivu, na maombi. Sio kelele, kumfokea na kumtukana au kumuona hafai.

Pengine kwa wengine alikuwa hivyo kwako kakupenda au itakuwa mbaya zaidi. Ndiyo maana nilikuambia kuwa makini na sasa mdogo wangu kama unampenda ingia vitani kwa maombi. Sali sana, kama ni wako atabakia, kama sio wako ataaondoka au utaona ishara mbaya za kukufanya umuache.
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 70

Na ukiona hizo ishara mbaya au akiondoka usianze kulia tena kwa maana binadamu Mungu hutufanyia wema bali sisi hung’ang’ania. Usilazimshe awe kama alivyokuwa kwingine. Cheza nafasi yako kama mwanamke mwenye maadili.

Omba Mungu, jitofautishe na wengine na hata ikiwa mbaya basi utayaacha hayo mahusiano bila kujali maumivu yako. Niahidi mdogo wangu, maneno ya watu utayasikiliza na kuyachumbua, niahidi utaomba Mungu na ndiye atakuwa silaha yako katika mahusiano yako.

Vita yako haitwakuwa juu ya yeyote bali utakabidhi kila kitu mikononi mwa Mungu na hutong’ang’ania kitu hata ikikubidi uache kazi uwe tayari.”

Nilimtazama dada na kutabasamu, mara ujumbe ukaingia dada alisema β€œni yeye huyo.”
Nikamtazama na kusema β€œni kweli, ni yeye umejuaje.”

Dada alisema β€œzamani wakati wewe mdogo bibi alipokuwa hai. Aliwahi niambia ukimuwaza mtu unayempenda na yeye anakupenda au ukimfikiria na yeye anakuwa anawaza au kukufikiria. Kwahiyo mnawazana kwasababu mnapendana. Anakupenda pia sawa mdogo wangu.”

Nikamtazama na kutabasamu kisha nikataka nisome ujumbe wa Boss ambaye yeye ni kizungu anakipenda mpaka na mimi namzoea tu na sio kama najua sana kizungu, ila kwa huyu naona kabisa google itahusika. Maana bila hivyo atanishinda kwa utamu wake wa maneno.

Nikasoma nikitabasamu β€œHave a restful night Ndeana wangu, dream of us honey pot, sending hugs, cuddles, love and kisses to warm up your night.. I love you more each day than the previous day, I love you too much, please relax na uvute pumzi. Najua utaumia na unaumia ila usisikilize watu, nisikilize mimi. Nakupenda sana sana wewe ndiyo huba langu la kwanza kabisa.”

Dada akasema β€œanasemaje?”
Nikampa simu, dada akasoma kisha akasema β€œmbona kizungu?”
Nikacheka nikisema β€œndiyo maana nimekupa najua tu huelewi.”
Dada akacheka akisema β€œndiyo kasemaje sasa.”

Nikamwambia anasema β€œuwe na usiku mwema Ndeana wangu. Natuma kumbato, upendo na mabusu kuufanya usiku wako uwe mzuri sana. Nakupenda sana na huko mbele si umeelewa.”

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 71
Akanitazama na kusema β€œSio kila kitu unachosikia lazima upeleke kwa mwanaume wako moja kwa moja. Wakisema malaya na wewe unaenda kusema nimeambiwa wewe malaya. Hapana mdogo wangu, mwanamke ulivyo tu wewe ni silaha.

Fanya uchunguzi wako kwa hekima, tulia mengine yameze. Wanaume hawapendi malalamiko, lawama, kuonekana hawafai. Kibinadamu kuwasha hasira ni kawaida. Ila kwa mwanaume unayempenda jitahidi. Utasema mbona wao wanatuambia hivyo.

Ndiyo ni kweli, ila sio kosa lao. Uumbaji ndiyo umewafanya kuwa hivyo. Kwakuwa wao wanatakiwa kuheshimiwa hila kujali umri wake. Basi hata akikosa anataka aambiwe kwa lugha nzuri, vinginevyo hamtoelewana.

Kuna muda unawaza kama tumeonewa, ila ndiyo hali halisi. Na wengi hupoteza watu wanaowapenda kisa kelele, gubu, malalamiko na lawama. Na wao huwa hawapendi kushushiwa ujasiri na imani ndiyo maana wanashindwana.

Katika vitu vinahitaji sana hekima na moambi ni mahusiano na ndoa. Mdogo wangu, sasa upo vitani. Kama unampenda jiweke karibu na Mungu yeye atajua akutunzie au akuondolee. Na akiwa akikuondolea uking’ang’ania hasara kwako.”

Nikasema kwa upole β€œdada nakuahidi kufuata ushauri wako. Bora hata upo dada una akili. Tayari niliwaka ila maneno yako yamenifanya nitulie.

Mimi sio wapekee sana, sina umaalumu huo ila pengine ndiyo fungu langu nimpe nafasi. Na kama sio nakuahidi sitang’ang’ana. Nimefurahi sana dada na nitaanza leo leo kusali. Haya vipi na wewe na shemeji?”

Akanitazama na kusema β€œShemeji yako anataka nimzalie. Nami sipo tayari kuzaa na hajanioa. Nimemwambia walau aje nyumbani afuate taratibu anaona kama simpendi ninampangia.

Sitalazimisha mdogo wangu pengine ndiyo majibu yangu kwa maombi ninayoomba. Sasa akinitafuta namjibu bila kelele na asiponitafuta na mimi nakua mtulivu. Ndiyo mapenzi. Ila huo ndiyo msimamo wangu.”

Nikamtazama na kumkumbatia, nikisema β€œutakuwa sawa dada. Na yeye atakuelewa tu.”
Dada alisema β€œNinaamini hivyo mdogo wangu,
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 72

Siku hii iliisha hivi kwa mtindo huu, dada yangu alinitoa wasiwasi. Ingawaje kitanda nilikuwa nakiona kikubwa kila nikikumbuka raha za ndani ya gari, muhogo wake ulioshiba na raha zake. Nyie mimi nampenda ila kumuonesha tu ndiyo kipengele. Ila ninampenda huyu kijana anahitaji maombi yangu tu. Pengine atanipenda zaidi au ataniacha. Ila mimi tayari nimefika. Akinigusa kama asiache, akinipigia ile sauti kama aongee tu mpaka asubuhi. I love my Boss. Ila siwezi kumuonesha, namuogopa, naona aibu, na sina hakika na huba hili.

Nikiwa kitandani nilipata muda wa kuongea na Mungu. Nilimwambia Mungu β€œUnanijua vizuri, sio mkamilifu ila nataka kuishi ndani ya kusudi lako. Sitaki kukosa sana Mungu wako. Ni bora nikose yote ila sio kukosa upendo, huruma, na hekima zako Mungu.

Naomba nisaidie kujua huyu mwanaume kama yupo hapa kwaajili yangu. Na kama sio kwaajili yangu basi Mungu muondoe mbali na maisha yangu. Na kama ndiye Mungu rekebisha tabia zake, nyoosha njia zake.

Awe mwanaume atakayefanya niishi ndani ya kusudi lako wewe mpaka mwisho wa maisha yangu. Nakuamini, nakupenda na nakutegemea Mungu wangu. Amina.” Kisha nikalala nikiamini Mungu atafanya heri zake.

Kesho yake asubuhi niliwahi kazini kama kawaida. Niliendelea na kazi baada ya kukutana na meneja. Kazi kubwa ilikuwa ni kuandaa ukumbi wa mkutano huo na kuutengeneza muonekano mzuri sana.

Sikuwa nimeona ujumbe wa boss siku hiyo kama ilivyo kawaida na ukifika kazini tena simu haziruhusiwi. Basi nikawa nafanya kazi ninatazama huku na kule labda nitamuona. Sikumuona. Nakumbuka Joan aliniuliza β€œunamsubiri mtu?”
Nikacheka na kusema β€œatoke wapi tena, hapana nipp tu nawaza namna hii kazi itakavyofanania.”

Basi tukaendelea na kazi. Ilifika mida ya saa nne hivi ndiyo tunatakiwa kunywa chai. Kuna dada alikuja na aliniambia β€œsamahani, unaitwa na meneja.”

Nikamwambia kwa upole β€œsawa kipenzi.”
Kisha nikamwambia Joan, β€œKipenzi nahisi kuna maelekezo, kwa meneja ameniita.”
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 73

Akaniambia β€œsawa kipenzi, utanikuta ile sehemu tumekula jana. Na hapa kwa sisi tumemaliza. Watu wa mapambo watamalizia kisha mwenzetu ndiyo atasimamia sisi tutawahi kutoka leo ili tukajiandae na kukusanya nguvu ya kazi.”

Nikasema β€œwaao kumbe ndiyo hivyo?”
Akaniambia β€œNdiyo kipenzi, Meneja alikuja hapa muda fulani ulifuata vitu huko juu ndiyo akatoa maelekezo. Kasisitiza sana usafi pengine ndiyo maagizo hayo anaenda kukupa.”
Nikasema β€œbasi sawa nisubiri tutaondoka wote.”

Akaniambia kwa upole β€œsawa kipenzi.”
Basi mimi huyo mpaka kwa meneja. Nilipofika tu, alinitazama akatabasamu na kusema β€œkuna simu yako.”
Nikamuuliza β€œinatoka wapi meneja.”
Akasema β€œBoss anakupigia.”
Nikashtuka β€œBoss!!”
Akaniambia β€œpokea, ipo hewani.”

Nikapokea. Niliposema tu β€œHello Boss.”
Kwa sauti ya uchovu sana, alisema β€œTotoo, njoo ofisini tafadhali ni muhimu.”
Nikaitikia kwa nidhamu β€œsawa boss nakuja.”
Nikarudisha simu. Wakati natoka Meneja aliniambia β€œNdeana, anakupenda.”
Nikamtazama na kisha nikatoka bila kusema kitu, kwa maana sikuwa nataka kuongea zaidi.

Taratibu nilitembea, nilipofika nje ya mlango wake. Nilivuta pumzi ndefu na kukumbuka maneno ya dada yangu ya kuwa nisimlaumu, niwe mpole tu. Yeye mwanaume atajua namna ya kuongea na mimi na kuniweka sawa.

Nikabisha hodi. Nilisikia sauti ikisema kwa upole β€œIngia.”
Basi nikaingia. Alikuwa amelaza kichwa juu ya meza. Nikaita β€œBoss!!”
Haraka akainuka na kusema β€œNdeana!!, Ndeana umekuja!!”

Nikatabasamu. Akainuka na kuja kunipokea kisha akalock mlango wake. Alinishika mkono na safari hii alinikalisha kwenye kochi ambalo lipo ndani ya ofisi yake. Kisha aliniuliza β€œumenikasirikia Ndeana?”
Nikatabasamu na kumuuliza β€œkwanini sasa?”
Akanitazama kisha akaja mbele yangu, akapiga magoti na nikamwambia β€œunafanya nini sasa?”

Akanitazama kwa huruma akisema β€œusiondoke Ndeana, usiniache nakuomba sana. Ndeana nakupenda kutoka ndani ya moyo wangu. Siwezi kumpenda mwanamke mwingine ninavyokupenda wewe na wala sijawahi kupenda namna hii.
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 74

Sikia sitaki kujua nani amekuambia kuhusu mimi kwa maana nilikuwa najua ipo siku utajua. Nimefurahi umejua mapema kwa maana haitakusumbua mbele. Ila nisikie, ni kweli, ni kweli mimi nimekuwa na wanawake wengi naona aibu hata kusema.

Ila wao ndiyo wananitaka mimi Ndeana. Hakuna mwanamke nimewahi kumpenda na hata nikiwaambia ukweli hawaelewi. Pamoja na kuwa nao, sijui kama unaelewa. Your my First love, wewe ndiyo upendo wangu wangu wa kwanza.

Ninavyojisikia na kujihisi kwako ni hisia ngeni, nashangaa sana, sijui umenifanya nini, kaa kama kuna kitu umekifanya fanya tena na tena maana ni raha sana kukupenda wewe. Nasikia amani kukupenda, nasikia raha, nasikia furaha.

Wewe ni mzuri kuliko wote, nakuona wa pekee sana na unatembea na hisia zangu. Nipe adhabu yoyote ila sio kuondoka. Ninakupenda sana Ndeana.

My sweet person, totoo Ninakupenda Wallah. Your the most amazing person I've ever met...You have been the most precious and wonderful gift of my life and I cannot thank God enough for blessing me with you... I know I don't say it but everything you do for me makes me fall for you again and again, when I am around you every moment feels so beautiful because you make me feel loved and wanted.

All your hugs, kisses and touches fills new life into my soul.. Thank you for being an amazing, kind, loving and caring person to me, Barikiwa tu siku zote mpenzi wangu, nasubiri hata siku nisikie neno Nakupenda from you, Nakupenda mno Ndeana, mno yaani, Nakupenda Ndeana wangu I love you so very much my sweet person

(Wewe ni mtu pekee nimewahi kukutana naye, umekua mtu wa thamani sana na zawadi ya kushangaza katika maisha yangu. Nashindwa hata kumshukuru Mungu kwa kunibariki mimi kuwa na wewe. Najua, sisemi hili ila kila kitu unachofanya kwangu kinanifanya nikupende tena na tena.

Nikiwa na wewe mara zote najisikia vizuri kwasababu unanifanya nijisikie kupendwa na kuhitajika. Kumbato lako, mabusu, mguso yanajaza maisha mapya ndani ya roho yangu. Asante kwa kuwa mtu mzuri sana kwangu, kuwa mwema, kunipenda na kunijali.)

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 75

Nilikuwa namtazama vile anajisikia huzuni, na kunishika kwa hisia. Unajua hata alisema akitaka kulia β€œNdeana utasikia mengi kunihusu, ila wakati unayapa sikio unaweza ukayapa sikio la moyo wako na akili zako mapenzi yangu. Usiniache Ndeana, usiondoke kwasababu siwezi kuishi bila wewe. Love is a beutiful thing, i currently admit.”

Mwanaume huyu alianza kutoka na machozi akilia nisiondoke, nisimuache, ananipenda na amekiri ukweli mbele yangu ili nisiumie na watu watakayosema. Na nikajikuta namuonea huruma, nikajikuta namkumbatia huku wote tukilia. Mapenzi nyie hata ukilia husikii maumivu, haswa ukilia kwa furaha. Akanitoa mwilini na kusema β€œhutonifokea?, hutonisema?, hutoniuliza swali?”

Nikatikisa tu kichwa kukataa kuwa sitafanya lolote kwa maana tayari kasema yote. Ooh, ninatamani kama ningekuwa nimeyachukua mkanda wa video matukio yote muone nilivyokuwa nadeka hapa nakubembelezwa.

Tulikumbatiana tena na ubaya sisi wote tunapenda mabusu, ila zaidi mwenzangu ugonjwa wake kwangu ni mapenzi, ukimbusu tu anashindwa kujizuia kabisa, unajua kilichofuata pale tunapigana busu huku tunalia na kubembelezana.

Mimi na My handsome boss, Mwanaume wangu mzuri, hata yale maneno ya dada yangu yalinipotea kichwani, nikajikuta tena kwa mara ya tatu, kwenye kochi, baada ya hapo nikabebwa juu ya meza na hata yeye mwenyewe akiwa amesimama alinibeba na kunipa kitu roho inapenda nikiwa nimebebwa nami mikono yangu ikiwa imemkumbatia kwa shingo. Tulipokuwa hoi, tukajiweka sawa.

Tukatazamana na kucheka. Mimi nimeanza kuwa mlevi wa penzi la Boss wangu. Popote pale sisi sawa tu. Alitabasamu na kusema β€œTotoo, eti kukupenda ni haramu.”
Nikamtazama na kutabasamu nikisema β€œni haramu sana dini hairuhusu.”

Akacheka na kusema β€œHata penzi lako pia haramu eenh!!”
Nikacheka tena na kusema β€œni haramu dini hairuhusu.”
Akanivuta na kunikumbatia akisema β€œafadhali waniue, ila haramu vitamu.”
Tukacheka. Akanibusu nami nikasema β€œumeanza tena!!”

Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 68 Akaniuliza

kwa kushangaza β€œmara mbili na umeanza kazi leo?, mdogo wangu sitaki kuongea chochote sasa ila namuomba mganga wako, nipeleke kwa mganga wako. Naomba mdogo wangu, nakuomba sana.”

Unajua hata nikajikuta nacheka nikisema β€œπŸ˜‚πŸ˜‚hivi dada Martha unachanganyikiwa?, mganga yupi, kivipi mbona hata sikuelewi?”
Dada Martha akaniuliza β€œmnawasiliana vizuri, na anakupa pesa?”

Nikasoma tu ule ujumbe na kuona asinichanganye. Yeye ndiye ameniunganisha na nduguye na sasa ananitaka kunichimba. Kama yeye ndiye kuwadi wake anataka amtafutie mwanamke mwingine afanye asinichanganye mimi. Nikawa ninajisemesha.

My Boss akanitumia ujumbe, nikasoma, ujumbe ulikuwa unasomeka hivi β€œThank you my sweet person, I feel your love.. I feel you. I thank...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/season-two-jamani-boss-mi-naona-aibu-68-akaniuliza

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi season-two-jamani-boss-mi-naona-aibu
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  60
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 60
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

649
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

246
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

91
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest