Shemu Kautaka SEHEMU YA 09
?
?"Shee...meji…" Rahma aliongea kwa sauti ya hofu, moyo ukimdunda kwa nguvu kama ngoma ya mdumange.
?"Shhh... niache nishughulikie... lakini mlango ni wa nani tena?" Ramadhani alijibu kwa sauti ya kukatika-katika, akiwa bado amemshikilia shemeji yake kwa uzito wa tamaa isiyo na breki.
?
?Hatua nzito zilisikika nje ya mlango wa jikoni, zikisogea kwa mwendo wa kawaida lakini mzito kwao. Ilikuwa ni sauti ya viatu vya Richard mume wa Rahma.
?
?Ramadhani na Rahma walitazamana kama watoto waliokamatwa wakila sukari kwa siri. Kwa haraka ya ajabu, Ramadhani aliruka kuokota shati lake lililokuwa sakafuni na kukimbia kimyakimya kuelekea chumbani kwake.
?
? Alipita kona ya korido kama mwizi
?, akakimbilia kujifungia chumbani kwake, akavuta pumzi ndefu ya mshtuko. Jasho lilikuwa likimtoka si kwa joto la jiko, bali kwa joto la hatari aliyokwepa kwa unywele.
?
?Rahma naye alijikakamua kuokota sahani zilizodondoka wakati wa mzozo wa mapenzi, akajifanya anaandaa meza. Uso wake ulijaa mchanganyiko wa hofu na aibu, lakini alijitahidi kujituliza.
?
?Richard aliingia jikoni huku akiimba kwa furaha:
?"Leo kazi kazi… wife wangu uko wapi jamani?"
?
?Aliingia kwa tabasamu pana, akiwa na mkoba wake wa ofisini begani. Ukimya kidogo ulitawala, halafu Rahma akasema kwa sauti ya juu, huku akijitahidi kuiondoa hofu kwenye sauti yake:
?
?"Honey! Umerudi kwa kuchelewa sana!"
?
?Richard alisimama mlangoni, akamtazama mkewe kisha akatabasamu kwa mapenzi.
?
?"Nimemiss harufu ya chakula chako... mbona kuna joto hapa jikoni?" aliuliza kwa mshangao wa kawaida.
?
?Rahma alicheka kimasikitiko, akijaribu kuifanya hali ionekane ya kawaida kabisa.
?
?"Jiko limewaka sana leo… labda oven!" alijibu kwa haraka.
?
?"Mmmh… chakula chako kina harufu nzuri sana. Nimechoka balaa leo ofisini, lakini nikikumbuka nyumbani kuna wewe, moyo unachangamka."
?
?" huyu jamaa yangu yuko wapi?
?" shem yuko chumbani kwake"
?Mh! Huyu jamaaa na chumbani kama amechanjiwa hivi"
?" yaani we acha tu yeye ni kula na kulala tu "
?"inabidi hata azunguke atafute marafiki "
?" nimemwambia sana labda ukimshauri wewe ndugu yake"
?" huyu jamaa ni mtata sana ujuwe"
?" mh! Hadi kwa ndugu yake yake jamani "eeeh ! Akili zake anazijuwa yeye, anyway tuyaache umeshindaje"
?" salama babaanguh"
?" nimelimis tunda wife "
?" mmmh! Baba unalitaka na umechoka'
?" nimechoka akili"
?" Na sio? "
?" Na sio kiungo?'
?" haha! Ila babe wewe"
?" unanifanya niwe na amani kwa hilo asante sana mpenzi wangu"
?" ni jukumu langu"
?
?Rahma alitabasamu kwa kuzuga , lakini ndani ya moyo wake kulikuwa na vita kubwa dhamira ikimpiga mweleka. Alimkaribisha mumewe akae, akamwandalia maji ya kunywa huku macho yake yakimkwepa.
?
?Chumbani kwa Ramadhani, bado alikuwa hajajua ni vipi aliweza kukwepa mtego huo. Alijilaza kitandani, akijiuliza kwa sauti ya ndani:
?"Hii mchezo inaelekea wapi? Nilikuwa sekunde moja kutoka kupoteza kila kitu… lakini tunda hilo linanivutia zaidi ya maelezo."
?
?Lakini alikuwa hajui, Rahma naye alikuwa chumbani kwake usiku ule, hawezi kulala. Maneno ya Ramadhani, mikono yake, midomo yake vyote vilikuwa bado vikiwaka mwilini mwake. Alijua alikosea. Lakini kwa namna isiyoeleweka, hakujuta... bado alitamani arudiwe tena.
?
?Muda huo usiku kama kawaida Richard anaigusa mali tatizo la Richard anakula tunda kwa pupa .ndo maana licha ya Rahma tunda kuliwa akili zake zipo kwa Ramadhani ...
?
?Siku iliyofuata asubuhi na mapema . Richard alioga na kujiandaa kwenda kazini
?" mume wangu tai umevaa vibaya"
?" ndo niweke vizuri mpenzi "
?"mmh! Usikae hovyo wakati mkeo npo"
?" asante kwa kunijali ,mke wangu "
?Kisha akambusu kwenye paji la uso na kutoka kuelekea kazini .....
?
?Rmadhani baada ya kuona Richard katoka alitabasamu na kutoka nje haraka cha ajabu alimkuta Rahma mlangoni kwake naye alikuwa anamsubir amtoo.... Je na leo watafeli???
Mjiunge na hii channel kama unawatsap jiunge haraka sasa cha kumi naweka huko tu ......
?????????????
https://whatsapp.com/channel/0029Vaw5SzK7YSd3RKAO8G46
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni