Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
13 Nov 2025
322 views
VYOTE NDANI GONGA94
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 14 "Mke wangu nimepoteza migodi yangu yote, mke wangu tumefirisika sisi aaaaaaah aaaaaah"
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mume wangu aliongea kwa uchungu sana huku akilia nami niliingia kwenye kilio tulijikuta tunalia pamoja. Watu wa serikali wa mazingira walifungia migodi yetu na kuitaifisha kabisa kwa madai ya kukiuka sheria za mazingira, usiku huo ulikua mchungu sana kesho asubuhi walifika wanasheria wa mume wangu kwaajili ya kujadili jambo hilo ikiwezekana liende mahakamani, wanasheria walipiga tasmini ya hiyo kesi na kumshauri mume wangu aachane na hiyo kesi kwani imekaa vibaya na ikitokea akashindwa atapoteza vitu vingi sana mbali na hiyo migodi.
Mume wangu alijituliza na kukubali matokeo tu kwamba hatukua na kitu cha kutusaidia tena tulitakiwa kuanza kutokea chini, tulipolomoka kiukweli nilimtuliza mume wangu kwamba kama vyote alivipata kwa nguvu zake bhasi hata hivyo vipya vitapatikana tu kwakua Mungu yupo na anatuona katika jitihada zake, kweli tuliendelea kubaki nyumbani pale huku nikiendelea kunfariji zaidi mume wangu asije akafanya jambo baya ndani ya wiki moja siku moja tulipokea ugeni kutoka kwa watu wa benki, tuliwakaribisha vizuri, tulipotaka kuwapa vinywaji waligoma kabisa kwamba walikua na jambo la msingi sana lililowaleta hapo nyumbani kwetu.
Aliekua kiongozi wao alikua mzungumzaji mkuu ni kaka flani hivi mwenye sura na mwonekano wa kikurya hata lafudhi yake ilionesha hilo pia hakua akiongea kirafiki kabisa kuna namna alionesha amekuja kishari shari tu.
"Meckson bila kuzungukazunguka hapa tumefuata pesa yetu, unadaiwa millioni mia nne na benki yetu, tunakupa masaa ishirini na manne uweze kuleta pesa ya benki ukishindwa kufanya hivyo tutauza nyumba na mali zako zote mpaka pesa yetu ifidiwe" jamaa aliongea na uso wake mchungu kama limao.
"Babu wee usinitishe wewe ni kinyenyere tu kwenye hizi ligi kwanza hukuwepo wakati nachukua huo mkopo, niliongea na meneja wenu ndo kanipa huo mkopo sasa sijui unaruka ruka na jambo gani hebu toka nyumbani kwangu kabla sijakufanya kitu kibaya wee kenge" Mume wangu nae alipaniki hakutaka unyonge mbele ya huyo jamaa, jamaa nae aliwaka wakapandishiana wakafikia hatua ya kushikiana mashati.
Mume wangu aliwaita walinzi wababe waliwabeba msobe msobe hao watu wa benki na kuwatoa nje kabisa ya uzio wa geti.
Nilimtuliza mume wangu kwakua alikua amefura kwa hasira sana, nikamkumbatia ili kumtuliza nilitaka kumvutia chumbani kitandani ili nimtulize kwa miguno, alikataa na kudai hayupo sawa nimwache kwanza apoe, aliomba atoke atakaporudi atakua sawa, nilimwomba huko nje asifanye jambo lolote lile baya, alikubali na aliondoka mida ya jioni hivi, nilisikia gari la matangazo likipita nje sikufuatilia sana, walinzi walinipa taarifa kwamba hao ni watu wa benki walikua wanatangaza jui ta swala la mnada la kuuzwa kwa nyumba, mnada huo utafanyika siku inayofuata, moyo wangu ulishtuka sana, nilimpigia mume wangu simu ili ajue kipi kinaendelea huku nyuma alinituliza na kunambia kwamba nitulie nyumba haitauzwa, aliomba aongee na mlinzi mkuu, nilimpa simu mlinzi mkuu, simu ilikua roud speaker nilimsikia mume wangu akimwambia mlinzi mkuu kwamba wawapige risasi watu wa benki wote wafe, nyie mume wangu alichafukwa alitaka kuona watu wa benki wanakufa mmoja baada ya mwingine, iliniogopesha na kunitisha sana.
Itaendelea......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 14 "Mke wangu nimepoteza migodi yangu yote, mke wangu tumefirisika sisi aaaaaaah aaaaaah"
mume wangu aliongea kwa uchungu sana huku akilia nami niliingia kwenye kilio tulijikuta tunalia pamoja. Watu wa serikali wa mazingira walifungia migodi yetu na kuitaifisha kabisa kwa madai ya kukiuka sheria za mazingira, usiku huo ulikua mchungu sana kesho asubuhi walifika wanasheria wa mume wangu kwaajili ya kujadili jambo hilo ikiwezekana liende mahakamani, wanasheria walipiga tasmini ya hiyo kesi na kumshauri mume wangu aachane na hiyo kesi kwani imekaa vibaya na ikitokea akashindwa atapoteza vitu vingi sana mbali na hiyo migodi.
Mume wangu alijituliza na kukubali matokeo tu kwamba hatukua na kitu cha kutusaidia tena tulitakiwa kuanza kutokea chini, tulipolomoka kiukweli...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tatizo-kubwa-inaniogopesha-sehemu-ya-14-mke-wangu-nimepoteza-migodi-yangu-yote-mke-wangu-tumefirisik
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tatizo-kubwa-inaniogopesha-sehemu-ya
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 6 Akanishika kiuno vizuri akanibeba mpaka kitandani akaniweka
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 7 "Niko zanzibar Cuzo, nakula maisha kidogo" "Mmmh weee Diana
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 13 Alinivuta na kunikalisha chini walinifunga kamba konani na kuniziba mdomo w
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 9 "Binti amegundulika ni mjamzito kwa mila na desturi za ukoo wetu itakua vigumu
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 8 "Vipi kuna nini mbona umepoteza furaha gafla, uso wako umelikimbiza tabasamu
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 17 - 18 Asubuhi na mapema tulipeana cha asubuhi cha kuagana
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 15 "Hapana hapana usifanye hivyo mlinzi nakuomba usimwage
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 16 Maisha ya kutoka kwenye kiyoyozi mpaka kwenye feni ya kawaida
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 10 Mchungaji alimnyamazisha mwanamke huyo asiendelee kulia kwani kulia isingeweza
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 11 "Sikatai huyu alikua dada wa kazi nyumbani kwetu tena kwa miaka
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 12 "Poleni sana ujauzito uliokua tumboni mwa Brigita umeharibika, naomba mjipe nguvu