Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
09 Nov 2025
387 views
VYOTE NDANI GONGA94
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 9 "Binti amegundulika ni mjamzito kwa mila na desturi za ukoo wetu itakua vigumu
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kufunga ndoa katika hali hii, msitushangae ndivyo ilivyo kanuni ya ukoo wetu, tukilazimisha kuna mabaya yanaweza kutokea naongea haya kama kiongozi wa ukoo nilie hai mpaka sasa" baba mkubwa wa Meckson aliongea kwenye kikao kifupi ambacho alikiitisha, walikuwepo wazazi wa upande wangu ambao walionisimamia ni shangazi na mumewe pia mimi na Meckson tulikuwepo, tulikubaliana jambo hilo ila tulivyokua wawili mimi na Meckson kuna namna hakuonesha kumpendeza kabisa.
"Yaani mimi ni muoaji halafu mtu ananipangia pangia tu, baba mkubwa miaka na miaka hawezi kuacha ukoloni wake aaaagh aaaah aaah" Meckson aliongea kwa hasira huku akipiga piga ukuta nilimwonea huruma ikabidi nimvute kwenye kochi na kumtuliza.
Kwa wakati huo tulikua nyumbani kwake, migodi aliyokua anashughulika na uchimbaji iko mbeya ila aliamua kununua nyumba mpya dar ili iwe rahisi kwa familia atakayoianzisha pamoja na mimi tuweze kukaa ndani yake bila kukumbwa na swala la kuhama hama.
"Tumsikilize tu mpenzi wangu mbona miezi tisa sio mingi hatuwezi jua ameona nini ambacho mimi na wewe hatujakiona"
"Hakunaa yule ni mkoloni tu kila kitu lazima aniamulie wakati huu nimechoka kuna wazo nimelipata hapa" Meckson alishikilia msimamo wake.
"Wazo gani umelipata tena?"
"Tutafunga ndoa mimi na wewe, tutafunga ndoa ya mahakamani ili tuwe na uhuru wa kuishi pamoja ili hata mtoto wetu azaliwe tukiwa kwenye ndoa, hii itatimiza ndoto yangu ambayo nilikua nayo yakwamba lazima watoto wangu wote wazaliwe nikiwa ndani ya ndoa" Meckson alifafanua jambo hilo, nami nilimkubalia kwa asilimia nyingi lilikua na maana kubwa, wapendanao wawili tukagoma kwenda kinyume na matakwa ya baba mkubwa aliekua kiongozi wa ukoo wa kina Meckson.
Ila tulikubaliana ndoa hiyo iwe siri ya watu wawili tu mimi na yeye, kweli tulifanikiwa kufunga ndoa bomani, mioyoni mwetu tulijawa na furaha sana, niliona nimempata mwanaume niliekua namwomba Mungu anipatie miaka na miaka pia nae alimshukuru Mungu kwaajili yangu.
Meckson alimwomba shangazi ili akaishi na mimi nyumbani kwake kwakua alishanilipia mahali tayari hakukua na kipingamizi chochote hivyo nilikubaliwa na kwenda kuanza kuishi maisha ya ndoa pamoja na mume wangu Meckson.
Kwa upande wa Diana na John wao walifunga ndoa mwezi uliofuata, ndoa yao ilikua pambe kweli, tukiwa kanisani kwenye kufunga hiyo ndoa pale mchungaji alipouliza yeyote mwenye zuio la haki la kuzuia ndoa hiyo isifungwe asimame na aseme, kuna mwanamke mmoja aliekua kabeba mtoto mkononi, uso wake umetawaliwa na machozi mengi alisimama na kusema analo zuio la haki la kuzuia ndoa ya John na isifungwe, kila mmoja ndani ya kanisa alishangazwa na jambo hilo ambalo halikuonesha masikhara hata kidogo nikweli mwanamke huyo alidhamiria kusitisha ndoa hiyo kufungwa. Mdogo wake na John alijaribu kumwondoa mwanamke huyo ukumbini, mchungaji alizuia jambo hilo kutokea ili mwanamke atoe sababu za kwanini ndoa hiyo haikupaswa kufungwa.
Diana alishaanza kulia kwa upande wa John alishikwa na tumbo joto kwa kile kitakachoongelewa mahali hapo kama ushahidi kutoka kwa huyo mwanamke mwenye mtoto.
Itaendelea....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 9 "Binti amegundulika ni mjamzito kwa mila na desturi za ukoo wetu itakua vigumu
kufunga ndoa katika hali hii, msitushangae ndivyo ilivyo kanuni ya ukoo wetu, tukilazimisha kuna mabaya yanaweza kutokea naongea haya kama kiongozi wa ukoo nilie hai mpaka sasa" baba mkubwa wa Meckson aliongea kwenye kikao kifupi ambacho alikiitisha, walikuwepo wazazi wa upande wangu ambao walionisimamia ni shangazi na mumewe pia mimi na Meckson tulikuwepo, tulikubaliana jambo hilo ila tulivyokua wawili mimi na Meckson kuna namna hakuonesha kumpendeza kabisa.
"Yaani mimi ni muoaji halafu mtu ananipangia pangia tu, baba mkubwa miaka na miaka hawezi kuacha ukoloni wake aaaagh aaaah aaah" Meckson aliongea kwa hasira huku akipiga piga ukuta nilimwonea huruma ikabidi nimvute...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tatizo-kubwa-inaniogopesha-sehemu-ya-9-binti-amegundulika-ni-mjamzito-kwa-mila-na-desturi-za-ukoo-we
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tatizo-kubwa-inaniogopesha-sehemu-ya
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 6 Akanishika kiuno vizuri akanibeba mpaka kitandani akaniweka
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 7 "Niko zanzibar Cuzo, nakula maisha kidogo" "Mmmh weee Diana
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 13 Alinivuta na kunikalisha chini walinifunga kamba konani na kuniziba mdomo w
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 8 "Vipi kuna nini mbona umepoteza furaha gafla, uso wako umelikimbiza tabasamu
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 17 - 18 Asubuhi na mapema tulipeana cha asubuhi cha kuagana
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 15 "Hapana hapana usifanye hivyo mlinzi nakuomba usimwage
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 16 Maisha ya kutoka kwenye kiyoyozi mpaka kwenye feni ya kawaida
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 14 "Mke wangu nimepoteza migodi yangu yote, mke wangu tumefirisika sisi aaaaaaah aaaaaah"
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 10 Mchungaji alimnyamazisha mwanamke huyo asiendelee kulia kwani kulia isingeweza
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 11 "Sikatai huyu alikua dada wa kazi nyumbani kwetu tena kwa miaka
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 12 "Poleni sana ujauzito uliokua tumboni mwa Brigita umeharibika, naomba mjipe nguvu