Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
14 Nov 2025
327 views
VYOTE NDANI GONGA94
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 16 Maisha ya kutoka kwenye kiyoyozi mpaka kwenye feni ya kawaida
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
hayakua mabaya sana kwetu kwani tulikua tumetokea maisha ya shida na dhiki nyingi, upendo wetu ulizidi kustawi tu, nilimzidishia upendo mume wangu, sikulalamika wala kunung'unika hata kidogo, kwakua moyo wangu ulimpenda yeye na sio fedha zake.
Ni tofauti na watu wengine ambao wanaweza kumpenda mtu kwa sababu fulani labda pesa au uzuri sana upo wakati ile sababu ikiondoka upendo wao hufa kabisa, kwahiyo ni vyema kumpenda mtu pasipo kuwa na sababu ili hata mambo yaweje bado upendo wenu uendelee kuwa ngazi, miezi miwili ya mwanzo, mume wangu alikua anajituma sana, si mchana wala usiku alikua akitumia muda mwingi sana kuwa barabarani, pia alikua ananisikiliza tuliamua asilimia ishirini ya kile tulichokua tunakipata tulikua tunaweka akiba ndani ya hiyo miezi miwili tulikua na laki tano ndani ya akiba, pia Mungu alitujalia tulishika mimba nikawa mjamzito.
Mume wangu alifurahi sana, maisha yetu yalikua ni sisi wenyewe tu hatukua na marafiki wa zamani wala marafiki wapya, siku moja nilipokea taarifa kwamba mume wangu yupo hospitalini, nilihofia nikaenda hospitalini kweli nilimkuta mume wangu hakua ameumia sana ni mshtuko na michubuko midogo tu, nilipomuuliza nini tatizo alinijibu akiwa analia kwamba amepoteza pikipiki aliyokua anaitegemea kama sehemu ya kumwingizia kipato kwani majambazi walimpokonya pikipiki yake wakati akiwa amepeleka abiria sehemu fulani, mume wangu alikua analia sana nami nilimtia moyo sana ili aendelee kuwa imara, nilitoka kwenda kumpikia chakula, nikiwa njiani nilikua naongea na Mungu wangu kwanini yote yanatokea kwenye maisha yetu, niliumia na kulia sana, nilimwomba Mungu iwe mara ya mwisho sitaki kuumia tena, sitaki matatizo yaendelee kwenye maisha yetu tena.
Nilifanya maombi hayo kwa imani kubwa niliamini Mungu ananisikia, nilipika ndizi nyama na kumpelekea hospitalini nilichukua laki tatu kwenye ile akiba yetu na kulipia matibabu ya mume wangu, tuliruhusiwa kurudi zetu nyumbani, baada ya siku mbili alikua yupo kamili, alinipa mawazo ambayo aliamini yatatusaidia kutoka kwenye hali ngumu ya kiuchumi ili tuweze kulipa kodi na kuendesha maisha yetu, aliniuliza kazi gani naweza kuifanya kati ya kutembeza mboga mboga za majani au kuchoma vitafunwa vya chai.
Nilimjibu kazi ya kutembea ingekua ngumu sana kwangu kuifanya ila kazi ya kuuza vitafunwa kama mihogo sijui vitumbua hiyo ningeiweza kuifanya kwani kwenye mambo ya mapishi nipo vizuri sana, Mume wangu alifurahi na kunipongeza sana, alinambia nichukue laki moja nifanye manunuzi ya vitu vya kufanyia mapishi mimi nilikubali kabisa kufanya hivyo.
Tulitoka pamoja na kwenda sokoni, tulinunua kalai la kupikia vitumbua pia tulinunua vitu vya kwenda kusaga ili tupate kutengenezea vitumbua bila kusahau mafuta ya kula, tulikubaliana siku mpya itakapoingia bhasi nitaanza kazi yangu ya kuuza vitumbua kwenye eneo fulani ambalo lilikua limechangamka kidogo, mume wangu nae alisema yuko kamili ataingia sokoni kubeba mizigo kama kuli, ila maisha kwetu yalionesha ugumu na sisi tulikua tayari kupambana nayo bila kinyongo bila woga tuliamini kwenye mtoa ridhiki kwamba upo wakati atatufanikisha tena haijalishi itachukua muda gani ila lazima tutafanikiwa tu.
Itaendelea.....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MIMI SIKUACHIπ₯° 19 MPAKA 20
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fat...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. ...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona j...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 16 Maisha ya kutoka kwenye kiyoyozi mpaka kwenye feni ya kawaida
hayakua mabaya sana kwetu kwani tulikua tumetokea maisha ya shida na dhiki nyingi, upendo wetu ulizidi kustawi tu, nilimzidishia upendo mume wangu, sikulalamika wala kunung'unika hata kidogo, kwakua moyo wangu ulimpenda yeye na sio fedha zake.
Ni tofauti na watu wengine ambao wanaweza kumpenda mtu kwa sababu fulani labda pesa au uzuri sana upo wakati ile sababu ikiondoka upendo wao hufa kabisa, kwahiyo ni vyema kumpenda mtu pasipo kuwa na sababu ili hata mambo yaweje bado upendo wenu uendelee kuwa ngazi, miezi miwili ya mwanzo, mume wangu alikua anajituma sana, si mchana wala usiku alikua akitumia muda mwingi sana kuwa...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tatizo-kubwa-inaniogopesha-sehemu-ya-16-maisha-ya-kutoka-kwenye-kiyoyozi-mpaka-kwenye-feni-ya-kawaid
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tatizo-kubwa-inaniogopesha-sehemu-ya
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 6 Akanishika kiuno vizuri akanibeba mpaka kitandani akaniweka
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 7 "Niko zanzibar Cuzo, nakula maisha kidogo" "Mmmh weee Diana
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 13 Alinivuta na kunikalisha chini walinifunga kamba konani na kuniziba mdomo w
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 9 "Binti amegundulika ni mjamzito kwa mila na desturi za ukoo wetu itakua vigumu
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 8 "Vipi kuna nini mbona umepoteza furaha gafla, uso wako umelikimbiza tabasamu
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 17 - 18 Asubuhi na mapema tulipeana cha asubuhi cha kuagana
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 15 "Hapana hapana usifanye hivyo mlinzi nakuomba usimwage
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 14 "Mke wangu nimepoteza migodi yangu yote, mke wangu tumefirisika sisi aaaaaaah aaaaaah"
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 10 Mchungaji alimnyamazisha mwanamke huyo asiendelee kulia kwani kulia isingeweza
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 11 "Sikatai huyu alikua dada wa kazi nyumbani kwetu tena kwa miaka
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 12 "Poleni sana ujauzito uliokua tumboni mwa Brigita umeharibika, naomba mjipe nguvu