Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"Una uhakika uko tayari kufanya hivi, upo tayari kujiunga na BBC"Oscar alimuuliza Bryan na akaitikia tena kwa kichwa

"Usiitikie kwa kichwa tu, lazima uongee" akasema Oscar kwa ukali...

"Ndiyo bwana" alisema Bryan kwa haraka
"Kwa hiyo unaweza kunipa nini" Oscar aliuliza
"Bwana haujaniambia kama mimi ni sehemu ya kundi au la" aliongea na Oscar akamtazama kwa mshangao.
Huyu jamaa ni mwerevu sana, nilijua ni mtu mwerevu tangu nilipokutana naye mara ya kwanza,akawaza Oscar
"Sawa Bryan, simama, wewe ni mmoja wetu sasa," Oscar alisema na yeye akasimama
“Nifuate” alimwambia kisha akamfuata brayan ofisini.
Ni ofisi ndogo tu aliyojiwekea.
"Basi niambie" akasema Oscar
"Linda msichana unayemtafuta, namfahamu, ni msaiduzu binafsi wa Alex si ndio " alisema Oscar mara baada ya brayan kusema shida yake
"Alex? Mrithi wa FLC" aliuliza Oscar
"Ndio na yeye pia ni mpenzi wake" akasema Brian
"Wow huyo panya ameenda mbali sana" Kwahiyo una mpango gani cos nataka pia nilipize kisasi "akasema Brian
"Kuna ulichopanga? Akaulzia Brian na Oscar akajibu kuwa hawana ila atampigia amwambie walichopanga baadae"
"Ok. Bye bwana" alisema Brian na kuondoka.
Linda kuwa unanitarajia hivi karibuni.
Ah ah ah aha aha!!!!! Akawa anajisemea Brian
***************


"Baby twende kwenye date yetu ya pili" Alex alisema na linda akatabasamu
"Sawa" alisema na haraka akaingia bafuni.
Walimaliza kujiandaa na
Kuondoka nyumbani.

*********

“Unaenda wapi” Cynthia, rafiki yake debby aliuliza
"Naenda kwa Alex bila shaka, hutarajii nitakaa na wewe siku nzima," alisema Debby na kuchukua begi lake.
"Ninaonekanaje" aliuliza Debby huku akigeuka geuka....

"Sio mbaya lakini usifikiri unamdanganya Daniel" Cynthia alisema na Debby akamzomea.
"Daniel mguu wangu, simpendi Daniel. Naelewa niliwahi kumpenda Daniel lakini sio tena kwa kuwa nina Alex " akasema Debby

"Utamtongoza tena" akauliza Cynthia

"Ona unanikera sasa"
" Samahani " akajibu Cynthia
"Sitamtongoza, nataka kumwambia kuhusu hisia zangu kwake" akasema Debby
"Sina uhakika na hili"
"Kwanini" Debby akauliza

"Itakuwaje asipo.....infact ngoja ninyamaze tu" akasema Cynthia
"Ndio nyamaza tu" Debby alisema na kumkazia macho kabla ya kumzomea.


****************

Linda Alimkazia macho Alex akiwa anatafuna nyama zake pale mgahawani, Alex alimshika akimtazama na akatabasamu ambalo lilimfanya Linda azidi kupagawa.
"I just love this guy, tabasamu lake, midomo, dimples, cute, gosh na kwamba kitu yake kwa nini ni kubwa sana, akawaza linda

Mara akasimsikia Alex akisafisha koo na kumtoa Linda kwenye mawazo yake.
"Unapenda nini kwangu" aliniuliza na Linda akatabasamu
"Macho yako, midomo, dimples, urembo, kila kitu haswa ilegeza midomo yako " alisema linda na akailegeza midomo yake kisha Linda akacheka.
"Kwa hiyo unapenda nini kwangu," Linda nae akauliza
"Kwanza ujinga wako" alisema na Linda akamdhihaki
"Seriously" Linda alisema na kunywa kinywaji chake
"Basi sura ya mwili wako na ujasiri wako" akasema Alex
"Mmmmh ni nzuri" Linda alisema kisha akanywa kinywaji chake chote.

Linda mara akahisi kuna kitu kwenye midomo yake, akadhani ni dawa lakini alishtuka baada ya kutema...
"Pete, pete ya almasi.
Alipiga kelele na.watu wakaanza kumshangaa.
Alifunika macho yake kwa kiganja chake na mara akamuona Alex akiwa amepiga magoti.
Alimtazama bila kusema kitu, oh Mungu wangu machozi tayari yanadondoka.
"Linda kuna wakati huwa nawaza juu yako na hata kufanya mambo bila wewe,mapenzi yangu kwako yana nguvu sana hata ndege iendayo kasi haiwezi hata kukutana na mapenzi yangu kwako, mapenzi yangu kwako ni kama mwili usio na roho coz siwezi kuishi bila wewe. Kwa hivyo sasa nakuuliza, Linda Smith upo tayar kuwa mke wangu, na mwananke wangu wa pekee" alisema Alex na Linda akakosa Cha kusema .

"hayo maneno aliyoyasema ni ya kimahaba kweli kweli, infact natamani tukae hivi milele, akawaza linda

"Linda Smith, jibu lako ndilo tunalolisubiri sote. Angalia huku na kule utaona kuwa sote tunasubiri jibu lako" akasema Alex huku kijasho baridi kikimtoka kwenye paji la uso wake.
Linda akitazama huku na huko na ndipo nilipogundua kuwa watu wanangojea jibu lake, akamtazama Alex na kutabasamu.
"Ndio Alex, ndio nitakuwa Mrs Shaw wako" Linda alisema na Alex akatabasamu kisha akamvalisha Pete kwenye kidole chake haraka.
Walikumbatiana huku watu wakipiga makofi, wakishangilia na Kuwapongeza.


**************

Debby alienda ofisin kwa Alex na kumkuta secretary wake..

"Samahani mama lakini Mr Alex hayupo kwenye ofisi yake" sekretari alisema mara moja
"Inamaana Alex hayupo" Debby aliuliza na secretary akaitikia kwa kichwa
"Sawa asante" alisema na kuondoka.

"Labda niende nyumbani kwake, nina uhakika atakuwa huko,akawaza Debby

nilichukua taks na kwenda nyumbani kwake lakini mlinzi alisema alitoka pia.

Alienda wapi? kwa nini "leo nataka kumwambia kuhusu hisia zangu kwamba hayupo? Labda nitamwambia kesho, akawaza Debby bila kujua Alex kuna mtu anamchumbia huko...

"Asante bwana" alimjibu mlinzi na akaitikia kwa kichwa kisha akapanda teksi kurudi nyumbani kwake.

Alipofika kwake akamkuta rafik yake Cynthia. Na kuanza kulalamika.

"Baby siamini nimevaa vizur leo nimepoteza pesa na muda" Debby alimwambia Cynthia.
"Nilikuambia" Cynthia Alisema kisha akatoka kuelekea chumbani kwake huku akibonyeza simu yake.

Debby alibadilisha chaneli aipendayo akakaa vizuri, tumbo lake likatoa sauti ya kunung'unika ndipo alipokumbuka hajala.
"Cynthia kuna chakula nyumbani" alipiga kelele lakini hakupata jibu.
Alienda jikoni na kujihudumia.

*****Siku iliyofuata** 9am

"Ndio mpango huo" Bryan aliuliza huku akiichezea bunduki aliyopewa.
Oscar tayari aliniambia kuhusu mpango aliokuja nao ambao ulikuwa mzuri kwa kweli.
"Ndio, sawa na safi na tafadhali usiache athari yoyote," alisema oscar na Bryan akaitikia kwa kutikisa kichwa.

"Ndio Oscar" alisema Brian na kuondoka mara moja.
"samahani Linda lakini lazima nifanye hivi ikiwa hautakuwa mpenzi wangu, akawaza Brian

*************

"Habari za asubuhi bwana, habari za asubuhi Linda" Alex alisalimia na Linda akatabasamu..

Linda alinyanyua simu yake kutoka mkononi mwake mwa Alex kukimbilia ofisini kwake.

"Linda naomba unipe simu yangu" Alisema akigonga mlango.
Linda alitaka aitizame simu yake kuangalia anachofanya lakini tayari ilikuwa imefungwa.
Nenosiri?nenosiri?nenosiri????
Nilijaribu jina lake, kampuni, jina langu, Mabel, mama yake, baba yake lakini simu yake haikutoka password.

"Ameenda sasa na nimechoka, simu gani ambayo haiwez kutika password akawaza linda ...

Akiwa anapumzisha kichwa chake kwenye dawati lake na ujumbe unatokea kwenye kompyuta yake ndogo. Aliitazama na ilikuwa ni meseji kutoka kwa Alex....

Maoni

You're not logged in


profile
majario 28 Aug 2025 20:58
MY LUNA 🎭💕 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 SEHEMU YA : 22 >>> https://gonga94.com/semajambo/my-luna-sehemu-ya-22

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war
profile
majario 28 Aug 2025 16:34
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24



"Una uhakika uko tayari kufanya hivi, upo tayari kujiunga na BBC"Oscar alimuuliza Bryan na akaitikia tena kwa kichwa

"Usiitikie kwa kichwa tu, lazima uongee" akasema Oscar kwa ukali...

"Ndiyo bwana" alisema Bryan kwa haraka
"Kwa hiyo unaweza kunipa nini" Oscar aliuliza
"Bwana haujaniambia kama mimi ni sehemu ya kundi au la" aliongea na Oscar akamtazama kwa mshangao.
Huyu jamaa ni mwerevu sana, nilijua ni mtu mwerevu tangu nilipokutana naye mara ya kwanza,akawaza Oscar
"Sawa Bryan, simama, wewe ni mmoja wetu sasa," Oscar alisema na yeye akasimama
“Nifuate” alimwambia kisha akamfuata brayan ofisini.
Ni ofisi ndogo tu aliyojiwekea.
"Basi niambie" akasema Oscar
"Linda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-sehemu-23-24

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss-sehemu
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS Sehemu      25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

855
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

609
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

534
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

433
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

315
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

189
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

95
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest