Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"Una uhakika uko tayari kufanya hivi, upo tayari kujiunga na BBC"Oscar alimuuliza Bryan na akaitikia tena kwa kichwa

"Usiitikie kwa kichwa tu, lazima uongee" akasema Oscar kwa ukali...

"Ndiyo bwana" alisema Bryan kwa haraka
"Kwa hiyo unaweza kunipa nini" Oscar aliuliza
"Bwana haujaniambia kama mimi ni sehemu ya kundi au la" aliongea na Oscar akamtazama kwa mshangao.
Huyu jamaa ni mwerevu sana, nilijua ni mtu mwerevu tangu nilipokutana naye mara ya kwanza,akawaza Oscar
"Sawa Bryan, simama, wewe ni mmoja wetu sasa," Oscar alisema na yeye akasimama
“Nifuate” alimwambia kisha akamfuata brayan ofisini.
Ni ofisi ndogo tu aliyojiwekea.
"Basi niambie" akasema Oscar
"Linda msichana unayemtafuta, namfahamu, ni msaiduzu binafsi wa Alex si ndio " alisema Oscar mara baada ya brayan kusema shida yake
"Alex? Mrithi wa FLC" aliuliza Oscar
"Ndio na yeye pia ni mpenzi wake" akasema Brian
"Wow huyo panya ameenda mbali sana" Kwahiyo una mpango gani cos nataka pia nilipize kisasi "akasema Brian
"Kuna ulichopanga? Akaulzia Brian na Oscar akajibu kuwa hawana ila atampigia amwambie walichopanga baadae"
"Ok. Bye bwana" alisema Brian na kuondoka.
Linda kuwa unanitarajia hivi karibuni.
Ah ah ah aha aha!!!!! Akawa anajisemea Brian
***************


"Baby twende kwenye date yetu ya pili" Alex alisema na linda akatabasamu
"Sawa" alisema na haraka akaingia bafuni.
Walimaliza kujiandaa na
Kuondoka nyumbani.

*********

“Unaenda wapi” Cynthia, rafiki yake debby aliuliza
"Naenda kwa Alex bila shaka, hutarajii nitakaa na wewe siku nzima," alisema Debby na kuchukua begi lake.
"Ninaonekanaje" aliuliza Debby huku akigeuka geuka....

"Sio mbaya lakini usifikiri unamdanganya Daniel" Cynthia alisema na Debby akamzomea.
"Daniel mguu wangu, simpendi Daniel. Naelewa niliwahi kumpenda Daniel lakini sio tena kwa kuwa nina Alex " akasema Debby

"Utamtongoza tena" akauliza Cynthia

"Ona unanikera sasa"
" Samahani " akajibu Cynthia
"Sitamtongoza, nataka kumwambia kuhusu hisia zangu kwake" akasema Debby
"Sina uhakika na hili"
"Kwanini" Debby akauliza

"Itakuwaje asipo.....infact ngoja ninyamaze tu" akasema Cynthia
"Ndio nyamaza tu" Debby alisema na kumkazia macho kabla ya kumzomea.


****************

Linda Alimkazia macho Alex akiwa anatafuna nyama zake pale mgahawani, Alex alimshika akimtazama na akatabasamu ambalo lilimfanya Linda azidi kupagawa.
"I just love this guy, tabasamu lake, midomo, dimples, cute, gosh na kwamba kitu yake kwa nini ni kubwa sana, akawaza linda

Mara akasimsikia Alex akisafisha koo na kumtoa Linda kwenye mawazo yake.
"Unapenda nini kwangu" aliniuliza na Linda akatabasamu
"Macho yako, midomo, dimples, urembo, kila kitu haswa ilegeza midomo yako " alisema linda na akailegeza midomo yake kisha Linda akacheka.
"Kwa hiyo unapenda nini kwangu," Linda nae akauliza
"Kwanza ujinga wako" alisema na Linda akamdhihaki
"Seriously" Linda alisema na kunywa kinywaji chake
"Basi sura ya mwili wako na ujasiri wako" akasema Alex
"Mmmmh ni nzuri" Linda alisema kisha akanywa kinywaji chake chote.

Linda mara akahisi kuna kitu kwenye midomo yake, akadhani ni dawa lakini alishtuka baada ya kutema...
"Pete, pete ya almasi.
Alipiga kelele na.watu wakaanza kumshangaa.
Alifunika macho yake kwa kiganja chake na mara akamuona Alex akiwa amepiga magoti.
Alimtazama bila kusema kitu, oh Mungu wangu machozi tayari yanadondoka.
"Linda kuna wakati huwa nawaza juu yako na hata kufanya mambo bila wewe,mapenzi yangu kwako yana nguvu sana hata ndege iendayo kasi haiwezi hata kukutana na mapenzi yangu kwako, mapenzi yangu kwako ni kama mwili usio na roho coz siwezi kuishi bila wewe. Kwa hivyo sasa nakuuliza, Linda Smith upo tayar kuwa mke wangu, na mwananke wangu wa pekee" alisema Alex na Linda akakosa Cha kusema .

"hayo maneno aliyoyasema ni ya kimahaba kweli kweli, infact natamani tukae hivi milele, akawaza linda

"Linda Smith, jibu lako ndilo tunalolisubiri sote. Angalia huku na kule utaona kuwa sote tunasubiri jibu lako" akasema Alex huku kijasho baridi kikimtoka kwenye paji la uso wake.
Linda akitazama huku na huko na ndipo nilipogundua kuwa watu wanangojea jibu lake, akamtazama Alex na kutabasamu.
"Ndio Alex, ndio nitakuwa Mrs Shaw wako" Linda alisema na Alex akatabasamu kisha akamvalisha Pete kwenye kidole chake haraka.
Walikumbatiana huku watu wakipiga makofi, wakishangilia na Kuwapongeza.


**************

Debby alienda ofisin kwa Alex na kumkuta secretary wake..

"Samahani mama lakini Mr Alex hayupo kwenye ofisi yake" sekretari alisema mara moja
"Inamaana Alex hayupo" Debby aliuliza na secretary akaitikia kwa kichwa
"Sawa asante" alisema na kuondoka.

"Labda niende nyumbani kwake, nina uhakika atakuwa huko,akawaza Debby

nilichukua taks na kwenda nyumbani kwake lakini mlinzi alisema alitoka pia.

Alienda wapi? kwa nini "leo nataka kumwambia kuhusu hisia zangu kwamba hayupo? Labda nitamwambia kesho, akawaza Debby bila kujua Alex kuna mtu anamchumbia huko...

"Asante bwana" alimjibu mlinzi na akaitikia kwa kichwa kisha akapanda teksi kurudi nyumbani kwake.

Alipofika kwake akamkuta rafik yake Cynthia. Na kuanza kulalamika.

"Baby siamini nimevaa vizur leo nimepoteza pesa na muda" Debby alimwambia Cynthia.
"Nilikuambia" Cynthia Alisema kisha akatoka kuelekea chumbani kwake huku akibonyeza simu yake.

Debby alibadilisha chaneli aipendayo akakaa vizuri, tumbo lake likatoa sauti ya kunung'unika ndipo alipokumbuka hajala.
"Cynthia kuna chakula nyumbani" alipiga kelele lakini hakupata jibu.
Alienda jikoni na kujihudumia.

*****Siku iliyofuata** 9am

"Ndio mpango huo" Bryan aliuliza huku akiichezea bunduki aliyopewa.
Oscar tayari aliniambia kuhusu mpango aliokuja nao ambao ulikuwa mzuri kwa kweli.
"Ndio, sawa na safi na tafadhali usiache athari yoyote," alisema oscar na Bryan akaitikia kwa kutikisa kichwa.

"Ndio Oscar" alisema Brian na kuondoka mara moja.
"samahani Linda lakini lazima nifanye hivi ikiwa hautakuwa mpenzi wangu, akawaza Brian

*************

"Habari za asubuhi bwana, habari za asubuhi Linda" Alex alisalimia na Linda akatabasamu..

Linda alinyanyua simu yake kutoka mkononi mwake mwa Alex kukimbilia ofisini kwake.

"Linda naomba unipe simu yangu" Alisema akigonga mlango.
Linda alitaka aitizame simu yake kuangalia anachofanya lakini tayari ilikuwa imefungwa.
Nenosiri?nenosiri?nenosiri????
Nilijaribu jina lake, kampuni, jina langu, Mabel, mama yake, baba yake lakini simu yake haikutoka password.

"Ameenda sasa na nimechoka, simu gani ambayo haiwez kutika password akawaza linda ...

Akiwa anapumzisha kichwa chake kwenye dawati lake na ujumbe unatokea kwenye kompyuta yake ndogo. Aliitazama na ilikuwa ni meseji kutoka kwa Alex....
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24



"Una uhakika uko tayari kufanya hivi, upo tayari kujiunga na BBC"Oscar alimuuliza Bryan na akaitikia tena kwa kichwa

"Usiitikie kwa kichwa tu, lazima uongee" akasema Oscar kwa ukali...

"Ndiyo bwana" alisema Bryan kwa haraka
"Kwa hiyo unaweza kunipa nini" Oscar aliuliza
"Bwana haujaniambia kama mimi ni sehemu ya kundi au la" aliongea na Oscar akamtazama kwa mshangao.
Huyu jamaa ni mwerevu sana, nilijua ni mtu mwerevu tangu nilipokutana naye mara ya kwanza,akawaza Oscar
"Sawa Bryan, simama, wewe ni mmoja wetu sasa," Oscar alisema na yeye akasimama
“Nifuate” alimwambia kisha akamfuata brayan ofisini.
Ni ofisi ndogo tu aliyojiwekea.
"Basi niambie" akasema Oscar
"Linda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-sehemu-23-24

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss-sehemu
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS Sehemu      25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 25~26
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

597
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

376
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

323
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

55
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

42
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest