Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA, Kipande cha ,,,, 12
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA, Kipande cha ,,,, 12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA,
Kipande cha ,,,, 12

Wakati mama Celena anaendelea kumshangaa Celina na mama yake kichaa ,

Gafra yule mama kichaa yaani Celina akamuona mama Celena ,kwa sped ya ya farasi na nguvu zote yule mama kichaa akajitoa mikononi mwa mama stefano na kumrukia mama Celena na kumdosha chini ,
Akaanza kumparula na makucha yake malefu ,huku akiunguruma kama simba,

Ngruuuuh ,,ngruuu,,,""
Watu waliokaribu yake akiwemo baba stefano na mama Stefano wakajitahid kumtoa na kumwacha Nisha ,lakini wapi,
Celina alipiga kelele huku anasema ,

"Muacheni aniuwe kabisaa ,,""
Ndio oo animalizieee,,""
Watu walishangaa ,kwani maneno alioyatoa Celena ni kama akili zilirudi , sasa hakuna aliemuamini wote walimuona kichaa tu ,
Madocta wakaja haraka na upesi wakijua kichaa cha Celina kimepamba moto ,sasa ikawa ni namna ya kumshika ili achomwe sindano ya usingizi ilikuwa ni vigumu maana alikuwa na nguvu za hatari,
"We unataka mimi nife si ndio ,"**"?
Mama Celina kichaa alimwambia kwa hasira mama Celena huku akiwa kamkandamizia kwenye ukuta ,
" Jamani tusaidiane kumshika atamuua mama wa watu ,"
Nesi mmoja aliongea na wote kwa pamoja wakamvamia nakumkamata kwa nguvu huku doctor akimchoma sindano ya usingizi ,
Celina alikuwa analia tu huku akiita mamaa ,
Mama Celena aliamka pale huku bado anamshangaa yule mtoto aliefanana na mwanae , yaan hakuna utofauti wowote mpaka kulia kwake ni kama Celena tu ,
"Tunaomba utusamehe jamani ,huyu ni kichaa ,,"
Mama Stefano aliomba msamaha bila kujua kuwa huyo wanaemuomba msamaha ndio chanzo cha mambo yote,

"Inamaana huyu akili zimeanza kurudi ,,"?
Sasa itakuwaje, na hawa aliokuwa nao ni akina nani,,"?
Mama Celena aliwaza huku akijifuta futa ,
Hakuamini kama angekutana na kipigo cha Celina,

Niacheniiii,,""!! hivyo nishetani ,tena mjaalaana huyo oo,,""uuuwiii,
"Nakwambieni huyu haiingii peponi hata mlango wa Pepo akae shetani ,,"""!!!
Celina alilalamika tena aliongea kwa pointi ,tatizo lake tu alikuwa hapangilii maneno ,watu wakamuona ni chizi tu anaropoka,
Mwisho mama Celina alilegea na kulala baada ya kuchomwa sindano ya usingizi ,

Familia nzima ya baba $tefano hwakujua kwanini Celina kichaa alimvamia yule mama ,wao walijua ni ukichaa wa Celina ndio umepelekea kumvamia yule mama ,

"Dah ntamwambia nn mume wangu jinsi nilivyoumizwa hivi ,"
Aliwaza mama Celina huku akiondoka eneo hilo na macho yake bado yakimuangalia Celina ,
"Au nilizaa MAPACHA na mtoto mmoja akaibiwa ,"? Sasa hapa ndo naamini alichoniambia mwanangu Celena , "
Bado mama Celena alikuwa anawaza ,
Mama Celena aliingia kwenye gar huku mawazo kibao ,
Alijiuliza kwanini Celina alimtambua yaani pamoja na ukichaa wake lakini amemjua,au akili zake zimeshaanza kurudi ,?
Aliegemea kiti huku akihema ,maana siku yake ilianza vibaya ,
Alikumbuka kipindi cha nyuma jinsi alivyokuwa anamtesa ,
Siku moja Celina alichoka kukaa uwani akajisogeza kwa kusota mpaka sebuleni ,sasa alipokuwa anasota alijaa vumbi na akaenda kukaa kwenye sofa ,
Maria alipomuona alikasirika ,na hakuuliza alimpiga makofi ya nguvu ,Celina wawatu akadondoka chini ,hakuishia hapo alimpiga mateke na kum buruzia nnje ,masikini Celina hakuwa na nguvu ya kufanya chochote ,na ukichanganya na uzezeta wake ,alilia tu ,
Celina hakujua akaseme kwa nani maana mumewe ndo kwanza alizidisha mapenzi kwa Maria ,na ilifika wakati mumewe hakutaka kumuona ,japo waliishi nyumba moja ,

""Hichi kizezeta si kife tu mi nijinafasi,""?au nikiwekee sumu ,,""?
Maria aliwaza siku moja alipomuona Celina anasota kufuata chakula alichomuwekea ,

Maria kutokana na chuki tu akamfuata Celina na kumpokonya kile chakula na kukimwaga chini,

"We mpuuzi unatakiwa ufe ,,sio unakula chakula unajaza tumbo tu kufa hufi,,""
Maria aliongea huku akimsindikiza na bonge lakofi,
Celina alilia tu maana nikweli alikuwa na njaa tokea juzi yake hakupewa chakula ,hakuwa na nguvu viungo vyake vilikuwa kama vimepalalaizi,

"Wee dada unaitwa ,,ukalipie fail ,,""
Mama Celina alistuliwa na nesi ,

"Aah nilikuwa mbali kweli kimawazo ,,""nisameheni,,"!
Mama Celena alisema huku akishuka kwenye gari .

Mama Celena alilipa kila kitu yaani alimlipia yule kijana aliemgonga matibabu yote, na kuondoka eneo hilo la hospital, huku akiwaza lazima amfuatilie Celina ajue anamahusiano gani na yule mtoto aliefanana na mwanawe ,

Wakati huo , Celena yeye alikuwa shule na akawa amekumbuka michezo walizokuwa wanacheza na Stefano kule nyumbani kwa kina Stefano,
" Leo lazima niende kwa kina Stefano , Celena japo kwao ni matajiri Sana lakini alijihisi amani na Raha kuwa nyumbani kwa kina Stefano maana alicheza anavyotaka bila kujua kuwa hapo ndio nyumbani kwao kabisa yaan kwa baba na mama yake mzazi ,

KUMBUKA story hizi zote utazipata kwa elfu moja tu ,0655772653 ,njoo whtsap,

Je wakikutana itakuwaje ,kumbuka Kuna Celena na Celina, usichanganye , Celina ni mpole ila Celena ni mtundu Kama Stefano ,
Usikose ,13 nibalaa ,

Itaendelea,

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA, Kipande cha ,,,, 12

WATOTO MAPACHA,
Kipande cha ,,,, 12

Wakati mama Celena anaendelea kumshangaa Celina na mama yake kichaa ,

Gafra yule mama kichaa yaani Celina akamuona mama Celena ,kwa sped ya ya farasi na nguvu zote yule mama kichaa akajitoa mikononi mwa mama stefano na kumrukia mama Celena na kumdosha chini ,
Akaanza kumparula na makucha yake malefu ,huku akiunguruma kama simba,

Ngruuuuh ,,ngruuu,,,""
Watu waliokaribu yake akiwemo baba stefano na mama Stefano wakajitahid kumtoa na kumwacha Nisha ,lakini wapi,
Celina alipiga kelele huku anasema ,

"Muacheni aniuwe kabisaa ,,""
...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-kipande-cha-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-kipande-cha
Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,,    ,,  19
Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,, ,, 19
WATOTO MAPACHA,      kipande Cha 13
WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

863
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

728
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

503
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

175
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

102
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

68
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest