Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BIASHARA YA KARANGA ILINIPA MUME DAKTARI*    SEHEMU YA 18 NA 19*
Gonga94 Β· Stories

BIASHARA YA KARANGA ILINIPA MUME DAKTARI* SEHEMU YA 18 NA 19*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"Hakukuwa na haja ya kumkaushia...." Chris aliongea

"Mguu wake unahitaji kukaushiwa ili apone haraka, mara nyingi huwa una utararibu wa kuwaonesha tabasamu wagonjwa unao wafanyia upasuaji lakini kwangu inakuwa tofauti huwa nawaonesha sura ngumu ili mifupa yao ipone kwa haraka" Dorin aliongea

Chris hakuwa na namna zaidi ya kuachia tabasamu.

Baada ya Jamila kufika nyumbani, hakuona sababu ya kuendelea kukaa hapa, kwani kila sehemu aliyogeuka alimuona Ali.

Alitafuta Mteja wa kununua nyumba yao, isingekuwa rahisi kwake kuuza kwa bei ghali kwa sababu Wateja wake walikuwa na maisha ya chini.

"Kwanini unaondoka, usiniambie ni kwa sababu ya yule Daktari" Rafiki yake alimuuliza akiwa ana msindikiza kwenda kupanda meli

"Nahitaji kujitegemea pia, ni kweli moyo wangu umevunjika lakini haimaanishi nitaendelea kuumia. Ni lazima nitafute maisha...." Jamila aliongea

"Endapo maisha yatakuwa magumu kwako naomba usiogope kurudi, sitaki kujua nitakuwa katika hali gani lakini nitakupokea" Rafiki yake aliongea

Jamila alipanda meli, alihitaji kwenda Zanzibar, kwani kabla ya kuishi Jijini Mbeya yeye na wazazi wake waliwahi kuishi Zanzibar.

Akiwa amekaa ndani ya meli alijiahidi kusahau kila kitu kuhusu Chris.

Siku iliyofuatia ikiwa ni asubuhi na mapema Chris alifika nyumbani kwa Jamila.
Alishtuka sana baada ya kukuta nyumba ya Jamila imebomolewa.

"Kitu gani kinaendelea hapa....." Chris aliuliza

"Hili eneo limeuzwa, nahitaji kuweka hapa shule ya chekechea" Mwanaume Mmoja mwenye kitambi kikubwa aliongea

"Mhusika wa kike anayekaa hapa kaenda wapi..." Chris alijikuta akiuliza

"Sifahamu, hii nyumba nimeuziwa na mwenyekiti wa huu mtaa itapendeza kama utaenda kumuuliza"

Ilikuwa hivi, baada ya Jamila kumuuzia nyumba mwenyekiti yeye naye alimuuzia tajiri mwenye ndoto ya kujenga shule mahali hapa

Chris aliondoka akiwa mwenye maumivu moyoni mwake, anaamua kwenda gengeni kwa Jamila.

"Ni kweli Jamila kauza nyumba yake, sijui ni wapi kaenda kwa sababu hajaniaga lakini nina uhakika atakuwa sehemu nzuri hivyo hauna haja ya kuwa na mashaka" Rafiki wa Jamila aliongea

"Nikupe kiasi gani cha pesa uniambie mahali alikoenda Jamila...."

"Wewe ni Mume wa mtu ni ajabu sana kumtafuta Mwanamke ambaye si mke wake huoni kama utamletea shida"

"Kuna kitu nahitaji kuzungumza naye, ni kitu muhimu sana huna haja ya kunificha"

Rafiki wa Jamila hakuwa na namna zaidi ya kutaja sehemu aliyoenda rafiki yake.

Chris aliondoka akiwa mwenye amani moyoni mwake, japo Zanzibar ni kubwa lakini alijiahidi kumtafuta Jamila.

Upande wa Dorin akiwa ana mkata kucha Babu yake alishangazwa na namna jasho linavyo mtiririka.

"Kuna baridi lakini uso wako una tiririka jasho, kuna usalama kweli!" Dorin aliuliza

Kabla ya Babu kuzungumza chochote alidondoka kama mzigo, harakati za kumpeleka hospitali zilifanyika.

Chris anapatiwa taarifa kuhusu kuanguka kwa Babu.
Anafika hospitali kujua ni kitu gani kinaendelea.... kitendo cha kumuangalia tu aligundua ana uvimbe katika kichwa chake

"Ana uvimbe katika kichwa chake, upo sehemu mbaya sana.... Mimi kama Daktari napendekeza tumuache" Chris aliongea

"Tumuache?...kwahiyo unataka kusema anatakiwa kufa!" Dorin aliongea

"Ndiyo, nadhani hata Madaktari wengine watakubaliana na Mimi kuwa Boss anatakiwa aachwe" Chris aliongea

"Nina uhakika hili swala limo ndani ya uwezo wako... niambie ni kitu gani hicho unataka" Dorin aliongea

"Endapo nitakosea tu kidogo Chairman atakuwa kichaa, kuliko awe kichaa acha apumzike kwa amani"

"Chris, hili swala limo ndani ya uwezo wako naomba umsaidie Babu yangu kisha Mimi nitakupa kitu chochote kile unachotaka" Dorin aliongea

"Ni kweli hili swala limo ndani ya uwezo wangu kama nitawekeza akili yangu, ni mapema sana kusema ni kitu gani nitataka lakini pindi nitakapo fanikiwa nitakueleza ni kitu gani nataka" Chris aliongea

Dorin hakuwa na shaka, uhai wa Babu yake ulikuwa na umuhimu mkubwa kuliko kitu chochote.

Chris alijiandaa kwa ajili ya kuingia chumba cha upasuaji, siku ya leo aliitafuna karanga ya Jamila aliyoitunza kwa muda mrefu.
Aliwekeza akili yake mahali hapa, Dorin akiwa nje ya chumba alizidi kumhesabia masaa. Alijikuta akipata wasiwasi baada ya masaa sita kukatika.
Siku zote operation za Chris huwa hazimalizi masaa mawili hata kama zinakuwa ngumu vipi...

Chris anafungua mlango, anaachia tabasamu kumaanisha kila kitu kimeenda sawa.

Dorin aliachia tabasamu pia, japo hakujua ni kitu gani Mwanaume huyu ataomba lakini usalama wa Babu yake ulikuwa na umuhimu mkubwa sana

"Ni mapema kuomba kitu nilichokuwa nataka....nitajipa uvumilivu wa siku tatu. Nahitaji kuona Chairman akitabasamu" Chris aliongea akataka kuondoka lakini Dorin alimsubirisha

"Nenda ukamtafute Jamila, naelewa hicho ndicho kitu ulichokuwa unataka kuhusu Babu yangu nina uhakika yuko fit sasa" Dorin aliongea kisha akaondoka

Chris alibakia kuduwaa, alishindwa kuelewa imekuaje Dorin akayatambua mawazo yake kwa wepesi.

Chris hakutaka kuchelewa, aliamini Dorin atamuombea ruhusa kwa Babu pindi atakaporejea.

Akiwa na haraka sana alipanda ndege inayoenda Zanzibar.
Hakujua anaanzia wapi kumtafuta Jamila lakini aliamini atampata.

Baada ya kufika katika Mji huu wa Watalii alichukua chumba.
Isingekuwa rahisi kwake kupumzika kwa sababu alikuwa na njaa sana.
Alishika simu akapiga moja kwa moja kwenye namba zilizokuwa zimeandikwa kwenye kipeperushi kilichokuwa mlangoni.

Dakika 20 zilikuwa nyingi, kengele iliyokuwa mlangoni kwako ilitoa sauti kumaanisha Mhudumu yupo mlangoni.
Moyo wa Chris ulishtuka sana baada ya kukutana uso kwa uso na Jamila aliyekuwa katika muonekano mwingine kabisa
JE NINI KITAENDELEAAA!
FULL 1000
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK MWISHO KABISA

BEI YA OFAAAAA WAHI INBOX NA 500 YAKO TU UMALIZE MPK MWISHO
NAMBA YA MALIPO 0755090082 JINA LA USAJILI ZAINABU SUNGITA MPESA

UKISHALIPIA WAHI...
WAHI WHATSAPP 0755090082

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BIASHARA YA KARANGA ILINIPA MUME DAKTARI* SEHEMU YA 18 NA 19*



"Hakukuwa na haja ya kumkaushia...." Chris aliongea

"Mguu wake unahitaji kukaushiwa ili apone haraka, mara nyingi huwa una utararibu wa kuwaonesha tabasamu wagonjwa unao wafanyia upasuaji lakini kwangu inakuwa tofauti huwa nawaonesha sura ngumu ili mifupa yao ipone kwa haraka" Dorin aliongea

Chris hakuwa na namna zaidi ya kuachia tabasamu.

Baada ya Jamila kufika nyumbani, hakuona sababu ya kuendelea kukaa hapa, kwani kila sehemu aliyogeuka alimuona Ali.

Alitafuta Mteja wa kununua nyumba yao, isingekuwa rahisi kwake kuuza kwa bei ghali kwa sababu Wateja wake walikuwa na maisha ya chini.

"Kwanini unaondoka, usiniambie ni kwa sababu ya yule Daktari" Rafiki yake alimuuliza akiwa ana msindikiza kwenda...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/biashara-ya-karanga-ilinipa-mume-daktari-sehemu-ya-18-na-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi biashara-ya-karanga-ilinipa-mume-daktari-sehemu-ya
BIASHARA YA KARANGA ILINIPA MUME DAKTARI*    *SEHEMU  YA 11 MPK 13
BIASHARA YA KARANGA ILINIPA MUME DAKTARI* *SEHEMU YA 11 MPK 13
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

509
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

352
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

236
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

217
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

216
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

178
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

170
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

130
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

108
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10

100

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba πŸ₯°πŸ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
@majario LIVE

7 MPAKA 8 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie iyo jioni ndo nilikuwa wa kwanza kulejea home. Mana nilikuta baraka wala hajaludi. Nikaenda kubadili fomu za shule. Kisha nikatoka kumsaidia...

SASA. NAKUPENDA One to sex Post Mpya
SASA. NAKUPENDA One to sex
@majario LIVE

MPYA MPYA ( 1 MPK 6 ) 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi lissa wa huru media Sehemu ya 1 na 2 Mwandishi; lissa wa huru media Hellow...

SHAMIRA 1 mpk 7. Post Mpya
SHAMIRA 1 mpk 7.
@majario LIVE

MPYA MPYA πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media sehemu ya 01 "Nakwambiaje unajikuta mtoto wa mjini , mm ww sikuogopi wanakuogopa hao hao ,yani bwana angu unichukulie...

Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat Post Mpya
Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat
@majario LIVE

. After their father passed away in 1981 and later their mother in 1991, Shahnaz was deeply affected. Their father’s sudden death hit her especially hard and she went through severe...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO.......... Baada ya mimi kupoteza fahamu, haraka Jose alikimbia na kwenda kumuita doctor na matibabu yalianza mara moja, upande wa Lizy alikuwa hatulii kabisa yani kila muda anachungulia ndani ya...

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*
@majario LIVE

SONGA NAYO... Moyo wangu ulishtuka sana baada ya kumuona. Enzo akilia kwa uchungu wa hali ya juu, Walahi niliogopa mno na nikibaki nikimtuliza Ingawa nilikuwa Nina butwaa ya hali ya juu. "Usiku Mwema...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest