Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
28 Oct 2025
761 views
VYOTE NDANI GONGA94
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* Chapter 13 Search "Hee shga angu ndio umeamua kutoka na boss mhh we kiboko mwenzangu kwanza
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
umeanzaje shga?" Nilimtizama tu nikacheka zangu maaana nilikuwa naona aibu balaaa mimi mtoto wa wat "Mhh kwahyo huyu ndie alikutoa bikra, maan mimi najua mwenzangu hujawahi" nilimtizama tu nikafunga macho "wee nae si uniambie bhana ilivyokuwa kipenzi changu maan wewe nae, aibu zako hukoo hapo enyewe wee sasa hivi ni mtu mzima hapa usivunge ntakubutuwa ujue mhhh we haya" nilimtizama tu nikajivuta nikakaa
"Yaani we dada bhan sasa hapo usichoolewa nini hapa? Catherine kila kitu kipo wazi bhna me niache nilale me naona aibu kuhadithia bhana" nilimwambia Catherine yaani huyu ni mmbea khaa basi akanilazimisha sikumwambia hata kilichotokeaa maan alikuwa anataka kuhadithiwa ilivyoanza mpak tulivyomaliza kukamiana jamani anatabia mbaya huyu kha mpaka alinuna yaani huyu jamni ikabidi nianze kumtekenya tu aakaanza kucheka kucheka nikajua nishampatia kabisa huyuu mdada
"Haya shga angu nikipona ntakupa umbea trust me madam" hapo nilimpata akazidi kutabasam huyu chaumbea wangu jamni "hapo sawa shga kwahyo unampenda huyo boss kivurugee hili lilikuwa swali gumu sana kwangu nilimtizama tu sikumjibu maana mimi hata sikuambiwa kama napendwa nillinaniliu hata sijui kam nampenda au laa jamani niliamua tu kuflash mada "mhh shga angu imekuaje bado amesema anakufukuza kazi ?" Alinitizama akaanza kucheka kwa nguvu "Hhhhh anaweza kunifukuza mimi shemeji yake mama gubu wee tulia mtoto wa juzi ushapata kimshepa boss wangu, na ushukuru bila mimi kukwambia ukakae kazini ungekutana nae huyoo, yaani nusu tu angekuwa wangu, ilaa mimi mhhh simuwezi shga angu mimi nina gubu kabisa afu mambo mengi mwanaume mmoja sina na siwezi kuwa nae na ndio maana siwezi kuolewa mimi" nilimtizama tu nikacheka tu "yaani dada rizki ilipangwa kwangu sasa nani angeichukua hata isingekuwa kwa njia hii ingepatikana tu shga angu" alinitizama akatabasam
Hatukukaa muda sana akaja boss Marquis alikuja na watu kama watau wakaja na zile meza za kupanga ikapangwa pale wakaweka chakula mezani awe Catherine hajakaribishwa akainuka mbio mbio hee jamani vitu adimu hivii mhh aibu naona mimi hhhh jamani sio powa yaani haya sijui mambo ya KFC nilikuwa naona raha tu kulishwa na marafiki zangu wakishuaa haya wee mgonjwa hebu sogea hapa ukute hata hujawahi kula haya mambo nilimtizama tu bila nikatabasamu na Marquis alicheka, aliomba anilishe alinilisha chakula dada sasa ni kunitania tuu jamani mpaka nikawa naona aibu mimi sasa maana ilikuwa too much maan alikuwa ananilisha nikijichafua ananifuta kwa mikono hatimaee tulimaliza na wale wahudumu waliondoka na vyombo navyoo Catherine nae aliomba atangulie kwa Mama mdogo wangu kule wakaandae mazingira ya ugeni, mimi nae nilibaki kusubiri muda wa kuruhusiwa, ulifika muda wa mimi kuruhusiwa niliruhusiwa na akasema tunaenda kwa Mama mdogo kwanza kuomba ruhusa na mengine yaendelee na mimi ndio nilikuwa namuelekeza njia, hatimaee Mama mdogo alitupokeaa tulikuwa na furaha sana
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MIMI SIKUACHIπ₯° 21 MPAKA 23
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fat...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. ...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona j...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* Chapter 13 Search "Hee shga angu ndio umeamua kutoka na boss mhh we kiboko mwenzangu kwanza
umeanzaje shga?" Nilimtizama tu nikacheka zangu maaana nilikuwa naona aibu balaaa mimi mtoto wa wat "Mhh kwahyo huyu ndie alikutoa bikra, maan mimi najua mwenzangu hujawahi" nilimtizama tu nikafunga macho "wee nae si uniambie bhana ilivyokuwa kipenzi changu maan wewe nae, aibu zako hukoo hapo enyewe wee sasa hivi ni mtu mzima hapa usivunge ntakubutuwa ujue mhhh we haya" nilimtizama tu nikajivuta nikakaa
"Yaani we dada bhan sasa hapo usichoolewa nini hapa? Catherine kila kitu kipo wazi bhna me niache nilale me naona aibu kuhadithia bhana" nilimwambia Catherine yaani huyu ni mmbea khaa basi akanilazimisha sikumwambia hata kilichotokeaa maan alikuwa...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/boss-chomoa-mimi-sio-jamani-chapter-13-search-hee-shga-angu-ndio-umeamua-kutoka-na-boss-mhh-we-kibok
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 7 "Hamna mama yangu sifanyi tena Catherine ila naomba nikuogeshe"
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 8 "Unafanana sauti na dad yako, sema yey anaongea sana, inaonekana kwenu ndio mlivyo maan hata Catherine ulikuwa mkorofi siku ya kwanza