*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 17 "Careen kuna kitu cha muhumu sana nataka nikwambie" nilimtizama
"Inatakiwa urudi Tz, kuna tatizo inabidi nilisolve kwanza umesikia" nilimtizama kwa jicho la kwamba endelea nakusikiliza "ujue mimi hapa nilioa lakini kimkataba wa kazi, maaana kuna issue ilitokea kwenye kazi kuachana na ile kampuni kuna mradi wa kuzalisha vitu mbali mbali nilitaka kuuufungua lakini nilikuwa sina vigezo lazima niwe na cheti cha ndoa na niliamua kutafuta yule mwanamke nikamlipa ili mambo yaendeleee lakini...." kabla hajamalizia alichokuwa anataka kuongea nikamadakia juu kwa juu yaani nilikuwa kama simuelewi flani hivii yaani kam sasa alitaka kucheza na akili yangu kwahyo ulioaa na hukutaka kunambia toka mwanzo? Kama ulioaa kimkataba si ndio na kama ulioaa sasa kwanini ulikutana na mimi mhhh?" Nilikuwa naongea kwa panic yaaani hapo nikifikiria nilikuwa nataka naniliu yangu lakini kaninyima basi unaambiwa hasira zilizidi mara 10 yake yaani nilikuwa natamani kummeza kwa jinsi nimekasirika hapo
"Hapana Careen mpenzi wangu, usiseme hivyoo mimi zile zilikuwa ni hisia ujue mimi sikiwahi kuwa na hisia kama ambazo ninazo kwako kwa muda sasa ujue mamy," nilimtizama mhh yaani natamani nimtukane hapo huo mtusi ila nikaona hauto muuma kama mimi ninavyoumia hapa nilitamani niliee, yaani soo kwamba nilikuwa nataka nilie etty yeye kuuoa kwa mkataba hapana yaani nilikuwa nataka nilie kwanini hakuniambia sasa mapema kama yeye amewahi kuoa japo kwa ajili ya kazi enhe kwanini hukunambia muda wote Marquis?" Alinitizama tu maan hili lilikuwa gumu kidogo kwake kujibu alimeza mate kwanza ndio akanijibu. alinisogelea akanishika bega nikausukuma huo mkono wake maana nilikuwa naona sasa mazoea yamezidi
"Ujue ile siku nilijikuta tu nimefanya vile mke wangu kwanza nilikiwa nina muda sana sijakutana na mtu kwenye hilo swala afu tayari nilikuwa nina hisia na wewe ila mimi sikutaka kufanya vile ni wewe tatizo mamy ulinikumbatia jamani, na wewe ulivyohot nikashindwa nifanye nini,nisamehe etty" mhh yaani nilitukana kichwani ila mdomoni sikusema kitu hata nilimkata jicho kali kinoma "nimekuuliza swali umeanza kuleta hadithi nijibu swali langu kwanza, wee mwanaume" alinitizama kwa macho ya huruma kweli kana kwamba ananionea huruma
"Ujue baada ya ile siku mimi nilitaka nikwambiee , ila tukaenda hospitali umesahau mke wangu?, na daktari alisema usiambiwe kitu ambacho kitakupa mstuko kipenzi changu sawa madam wangu, niliogopa na nilitaka ukipona ndio nikwambiee, ila kuna emergency kwasababu niliwambia wazazi wangu kuhusu wewe na walikubali ila walisema kwanza nifuatilie jambo la taraka mahakamani mpenzi wangu, ndio hapa mama kanitafuta amesema kashapata wakili tayari wakusimamia hili swala na hakitochukua muda hivyoo nilitaka urudi kwanza Tanzania mimi ninaondoka naenda South Africa kwanza halafu nikimalizana na hili nakauhidi mpenzi kila jambo litakaa sawa nakuombaa na hata mtalaka wangu hana shida asee hili lilinipa mawazo sana sijui kwanini ila nilikuwa na wasiwasi sana kwamba huu ndio utakuwa mwisho wa mahusiano yetu haki ya Mungu, ila ilibidi tu nikubali, mood yangu yote ya lile jambo ilikata kabisa nikalala tu na nilikatiwa ticket ya kesho asubuhi nilipanda na kurudi zangu Tz kwetu ila nilirudi peke yangu
Itaendelea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni