Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
05 Nov 2025
923 views
VYOTE NDANI GONGA94
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * .Chapter 18 Nulirudi Tanzania kwetu Salama salimini nilimpigia dada nilipokuwa air port, alikuja kunipokea na gari mhh
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nilishangaa ila sikumuuliza alinipeleka kwenye nyumba moja hivi nzuri akashuka akaenda kufungua geti akaingiza gari, tukaingia ndani, nilijitahidi nikae sawa mbeleni mwa macho ya watu ilaa nilikuwa sipo sawa hata kidogo, sikuuliza kuhusu mabadiliko yoyote yaliyotokea upande wa nyumbani niliomba tu nipelekwe chumbani nina mchoko wa safari Catherine alinipeleka sehemu ambayo natakiwa nifikie niliweka mizigoo maana nakumbuka sikuja hata na zawadi mimi, niliomba niachwe peke yangu na Catherine alinielewa nilibaki peke yangu, naliaa sana, nililia visivyo kawaida mpaka nilihisi sasa nimeridhika, japo nilielewa ila nilikuwa nina wasi kwamba anaweza asirudi, nilipitiwa na usingizi kabisa ila nilikuja kuamka baada ya Catherine kuja kuniamsha
"Careen mbona unalia sasa, mimi naelewa kila kitu Boss alinielezeaaa kila kitu kuhusu hili jambo ambalo linakusumbua, sema sikutaka kukwambia kwasababu ya ugonjwa ulionao mama yangu tafadhal muelewe kwa hilo naomba uelewe kwenye hili sawa mrembo wangu ? alinifinya mashavu kidogo nilimkumbatia nikaanza tena kulia kwa sauti kubwa sasa Catherine mimi siogopi hilo la kufichwa nishajua kama mlikuwa mnahofia afya yangu sana, ila nina wasi wasi kam anaweza asirudi tena naogopa sana dada" aliniweka sawa akanipa moyo kwamba atarudi ndio akanambia hata hapa tunapokaa sasa hivi ni yeye binafsi na kule dukani wameongez bidhaa na ile fremu ni kwamba ni ya kwetu aliinunua kabisa na kuhusu ndoa ni baada ya hili atakuja kunioaa alinambiaa etty ananipenda, nilifurahi kwa kiasi chake na dada aliniacha nipumzike sasa yeye mwenyew akajiandae na kazini maan hakufukuzwa kile kipindi, tuliagana kabisa,
Zilipita siku na miezi mingi sasa tunawasilianaa lakini na Marquis na pia alikuwa ananipa moyo hili kidogo lilikuwa linanipa moyo sana upande wangu nikiamni atarudi tu siku japo alikuwa ananiambia kesi imshakuwa ngumu sana kwani yule mdada ameanza kuleta visa visivyo na sababu tulienda tukawa tunawasiliana, vizuri tu, ila baadae mambo yalibadilika sana mawasiliano yakawa ya shida sana yaani mhh sijui nisemaje kuna mida naongea nae na kuna muda nikikuwa nakaa hata wiki 2 bila mawasiliano yoyote na yeye ila hili lilikuwa. linanipa wasi wasi sana maan nilikuwa hata nikiongea nae ananiambia mambo bado magumu sana, nilikuwa nimemmsi ila haina jinsi ilichukua miezi takriban saba hatujaonanan kabisa maan huku mwishoni nakumbuka mawasiliano yalikata kabisa kati yetu, nilikonda sana kwa mawazo na pia nilizidisha ukimya ijapokuwa na mimi ni mkimya na mama mdogo na Catherine walikuwa wananipa moyoo ila haikusaidia kabisa
Hii siku nilikuwa nimekaa zangu nimetuliaa. nakuja kugongewa mlango na mama mdogo ananiambia etty kuna wageni wangu, nilivaa dera langu la mtandio nikashuka chini kuwasikiliza nakuta ni watu wazima wawili na mabinti wawili mimi hata siwajui yaani
Walijitambulisha kama ni wazazi wa Marquis na wamekuja kwenye swala la mahari na mambo mengine ya harusi jamani nilifurahi mimi mhhh jamani nilijikuta nauliza mume wangu yupo wapi?" Yaani nilihisi ile aibu yangu imepotea kabisa yaani alinijibu wifi aliejitambulisha anaitwa Groly "mhhh wifi mbona una haraka hivyoo jamani khaa, wewe kaka utamuona siku ya harusi yako hapa" nilitabasama huyu alikuwa mchangamfu kuliko hata Grace alikuwa anaonekana mishauo kama Catherine yaani walipanga siku ya harusi na waliipanga karibu maan walisema kutokana na mkataba inabidi asichelewe kupata mke maana katoka kuachana na yule mwanamke wake nilifurahi mimi jamani nilikuwa natamani hata iwe kesho ila ilipangwa wiki inayofuata
Ile siku ilifika tulifunga ndoaa kabisa ila hatukuwa na sherehe wala nini, wakwe zangu walinipa zawadi nyingi nyingi mhh mpaka niliishiwa pawa mini" haya sherehe hakuna, tutafanya sherehe ukiniletea mjukuu" nilicheka maan alitania ilaa utani ulikuwa wa kweli baada ya ndoa sisi tulienda hotelini na Familia ya mume wangu walienda hukoo nyumbani kwetu maan ile nyumba aliyotutafutia Marquis ilikuwa kubwa sana
Itaendelea.....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Waarusha ni kabila la watu linalopatikana kaskazini mwa Tanzania katika eneo la mlima Meru, Mkoa wa Arusha
. Lugha yao ni Kiarusha inayohesabiwa kama lahaja ya Kimaasai[1]. Wakati wa kuja kwa wakoloni hao walikuwa wakazi wa ene...
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * .Chapter 18 Nulirudi Tanzania kwetu Salama salimini nilimpigia dada nilipokuwa air port, alikuja kunipokea na gari mhh
nilishangaa ila sikumuuliza alinipeleka kwenye nyumba moja hivi nzuri akashuka akaenda kufungua geti akaingiza gari, tukaingia ndani, nilijitahidi nikae sawa mbeleni mwa macho ya watu ilaa nilikuwa sipo sawa hata kidogo, sikuuliza kuhusu mabadiliko yoyote yaliyotokea upande wa nyumbani niliomba tu nipelekwe chumbani nina mchoko wa safari Catherine alinipeleka sehemu ambayo natakiwa nifikie niliweka mizigoo maana nakumbuka sikuja hata na zawadi mimi, niliomba niachwe peke yangu na Catherine alinielewa nilibaki peke yangu, naliaa sana, nililia visivyo kawaida mpaka nilihisi sasa nimeridhika, japo nilielewa ila nilikuwa nina wasi kwamba anaweza asirudi, nilipitiwa na usingizi kabisa ila nilikuja kuamka baada ya...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/boss-chomoa-mimi-sio-jamani-chapter-18-nulirudi-tanzania-kwetu-salama-salimini-nilimpigia-dada-nilip
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* Chapter 13 Search "Hee shga angu ndio umeamua kutoka na boss mhh we kiboko mwenzangu kwanza
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 7 "Hamna mama yangu sifanyi tena Catherine ila naomba nikuogeshe"
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 8 "Unafanana sauti na dad yako, sema yey anaongea sana, inaonekana kwenu ndio mlivyo maan hata Catherine ulikuwa mkorofi siku ya kwanza