Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
51 views
VYOTE NDANI GONGA94
Daah tumeumaliza mwendo salama ligi kuu Tanzania Bara, mara yetu ya kwanza kushiriki ligi kuu ila tumejifunza vyema.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Daah tumeumaliza mwendo salama ligi kuu Tanzania Bara, mara yetu ya kwanza kushiriki ligi kuu ila tumejifunza vyema.
@officiallhabibu KenGold Sc
Ndugu zangu wana mbeya tunashukuru kwa Sapot yenu kubwa kwa team changa kutoka chunya mekuwa nasi nyakati ngumu kwenye ligi kuu bila kuchoka.
Shukrani za dhati ziende kwa fans wote kutoka Chunya kwani walikuwa bega kwa bega na temu yao ya Chunya.
Yes tunarudi rasmi Championship, tumeenda ligi kuu kujifunza tutareje kwa wakati mwingine.
Naamini tunajifunza kwa walio tutangulia waliowai kupanda na kushuka kama Ihefu na temu zingine hata kwa mtibwa ambao tunamini wanarejea ligi kuu kwa mara nyingine.
Tunakili wazi hatukujipanga mwanzoni mwa msimu kwani kuna vitu vingi vilikwamisha mafanikio yetu.
Binafsi yangu naamini Coach wa kwanza baada ya kupanda daraja Fikiri Bakari nae atakua miongoni mwa waliofelisha temu yetu.
Aliomba kuachiwa kufanya sahiji za wachezaji anaowataka mwisho wa siku nusu ya msimu mzima tukashinda mechi moja pekee.
Yote kwa yote msimu ujao tunaamini tunairejesha team hii kutoka chunya ligi kuu na tutatumia Uwanja wa Nyumbani CHUNYA kwenye mechi zetu za Championship ????????
Thank You NBC ????
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivy...
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
filamu iliyotengenezwa kwa bajeti ya chini sanaa kiasi mwanzo mwisho wa filamu jamaa alikuwa na kipensi tuu vibanda umiz...
Mwandishi aliuliza je neno mshangazi maana yake nini, Kajala akajibu mshangazi ni mwanamke mwenye umbo kuuubwa, Wolper akisema mshangazi ni mwanamke mwenye umri
mkubwa kama sisi hapa yani kama mimi, Kajala, Auntyezekiel na Irene Uwoya Irene Uwoya akasema hapana sisi sio mishangaz...
Daah tumeumaliza mwendo salama ligi kuu Tanzania Bara, mara yetu ya kwanza kushiriki ligi kuu ila tumejifunza vyema.
Daah tumeumaliza mwendo salama ligi kuu Tanzania Bara, mara yetu ya kwanza kushiriki ligi kuu ila tumejifunza vyema.
@officiallhabibu KenGold Sc
Ndugu zangu wana mbeya tunashukuru kwa Sapot yenu kubwa kwa team changa kutoka chunya mekuwa nasi nyakati ngumu kwenye ligi kuu bila kuchoka.
Shukrani za dhati ziende kwa fans wote kutoka Chunya kwani walikuwa bega kwa bega na temu yao ya Chunya.
Yes tunarudi rasmi Championship, tumeenda ligi kuu kujifunza tutareje kwa wakati mwingine.
Naamini tunajifunza kwa walio tutangulia waliowai kupanda na kushuka kama Ihefu na temu zingine hata kwa mtibwa ambao tunamini wanarejea ligi kuu kwa mara nyingine.
Tunakili wazi hatukujipanga mwanzoni mwa msimu...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/daah-tumeumaliza-mwendo-salama-ligi-kuu-tanzania-bara-mara-yetu-ya-kwanza-kushiriki-ligi-kuu-ila-tum
Maoni