Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

AM I WRONG?
"Kuna nini...?" Nilimuuliza Rely ambaye alikuwa na hasira sio poa. Akanitazama usoni, macho yetu yalipokutana nilihisi utfauti katika macho yake. Kulikuwa na majimaji ambayo yalianza kudondoka. Ni machozi, nahisi Rely alikuwa na maumivu ambayo yalikuwa yakimuandama ndani ya mwili wake. Kulikuwa na kitu kinachomuumiza. Tukajikuta tunatizamana kwa zaidi ya dakika mbili, akaniuliza.
"Unachokifanya unadhani ni kizuri?”
“Sijaona ubaya” nilimjibu kwa dharau, kilio cha kwikwi kikazaliwa. Rely alianza kulia akisema
“Inamaana unamhangaikia Rola si ndio? Hukumbuki kama alikufukuza kwake? Hakutaka tena mazoea na wewe? Hukumbuki?"
“Yote tisa, hakuna kitu kitatafuta upendo wangu kwake. Ulikuja kwangu kama mbadala wake baada ya ushawishi mkubwa na mkali kutoka kwako na kwa ndugu zako. Hukumbuki?”
“Lilishaisha na tukayaanza maisha yetu. Tukawa hapa pamoja”
"Lakini..... Bado nampenda na huo ndio ukweli. Nani ambaye hajui hilo?"
"Rahim..... Unaongea nini?"
"Umesikia nilichokio...." Sikumaliza kuzungumza, nilipigwa kofi. Jambo ambalo lilinifanya nichukie sana.

Kwanini anipige kofi? Amenichukuliaje hadi ananyanyua mkono wake na kunipiga ikiwa hata yeye ameleta ujauzito wa mwanaume mwingine mle ndani huku wakipanga kabisa mikakati? Nilichukia sana. Nilitaka kumwambia mbona hata hiyo mimba sio yangu lakini nilijiambia ‘Mimi ni mwanaume na uvumilivu huleta mbivu as long as najua ukweli basi sipaswi kurumbana na mtu’ niliondoka nyumbani bila hata kumuaga. Nyuma nilimuacha Rely aliyekuwa akimwaga machozi ya maumivu juu ya kile ambacho kimetokea. Mimi sikujali hilo, niliondoka.

Nilienda pembezoni kabisa mwa bahari na kuzunguka kandokando yake. Niliimani hii ndio ingekuwa njia sahihi ya mimi kuwa sawa kiakili kwani nilikuwa na msongo wa mawazo wenye maswali yasiyoisha. Ni kweli nilikuwa nampenda Rola lakini alipokuwa mzima hakuwa na muda na mimi. Je, niendelee kumpenda na kumnyanyasa Rely kama ambavyo nilikuwa nimepanga? Kama kweli Rely alikuwa ananipenda, kwanini ashawishike na kupata ujauzito wa mwanaume mwingine? Hili ndilo lilikuwa swali lililonipa msongo wa mawazo mno.

Nikiwa huku simu yangu iliita sana, Rely ndio alikuwa anapiga kila wakati lakini sikupokea. Alipoona nimepuuza simu zake, akaanza kutuma meseji akinitaka nirudi nyumbani na nimsamehe. Meseji zilikuwa ni nyingi sana kiasi kwamba hadi nikaona ni kero, niliamua kuzima simu.

Nakumbuka nilikaa sana katika eneo hili hadi pale nilipochoka ndipo niliporudi nyumbani. Ulikuwa ni usiku haswa, ndege wamelala na hata magari yalipungua barabarani. Nikataraji kwamba Rely atakuwa amelala lakini haikuwa hivyo, nilimkuta akiwa bado hajalala. Alikuwa akinitazama kwa jicho la huruma lilojaa huzuni, halikuacha kudondosha machozi. Akaniuliza.
“Unadhani unachokifanya ni kizuri kwangu?”
“Kama ni maamuzi ya maisha yangu je?”
“Ndio uache maumivu kwangu?”
“I’m sorry” nilimjibu na kutaka kujilaza kitandani kwa sababu nilikuwa nimechoka lakini alinizuia huku akinifuata na kuniuliza.
“Kitu kimoja nataka kujua kutoka kwako. Je, upo tayari nikijue?”
“Kikiwa ndani ya uwezo wangu nitakujuza”
“Ok” Rely aliitikia na kukaa kimya, hakuzungumza neno lolote lile kwa zaidi ya dakika tano. Tukatazamana kama kuku waliopigana muda mrefu.

Nikastuka. Kwanini atake kujua kitu na baada ya kumpa sikio hazungumzi tena? Nilimuuliza.
“Kimya?”
“Unajua nini Raheem?”
“Hapana”
“Njia pekee ya kuwa huru ni kusema ukweli”
“Hilo najua”
“Ukweli utakuweka sehemu salama na sahihi ambayo mtu mwingine hawezi kukaa. Niambie ukweli”
“Upi?”
“Unanipenda au unanionea huruma ndio maana bado niko kwako. Huenda huu ujauzito ndio unakufanya u’fake na unioneshe upendo hewa?” Rely aliniuliza huku akionekana kuwa na shauku ya kutaka kujua ukweli. Shauku ya kupewa jibu lenye hatima ya mwisho..... ITAENDELEA
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

AM I WRONG?
"Kuna nini...?" Nilimuuliza Rely ambaye alikuwa na hasira sio poa. Akanitazama usoni, macho yetu yalipokutana nilihisi utfauti katika macho yake. Kulikuwa na majimaji ambayo yalianza kudondoka. Ni machozi, nahisi Rely alikuwa na maumivu ambayo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-s2-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me-s2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

567
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

322
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

106
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

99
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

44

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest