Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
30 Nov -0001
107 views
VYOTE NDANI GONGA94
ELIE MPANZU KIBISAWALA alisaini Simba mkataba wa miaka 2
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ELIE MPANZU KIBISAWALA alisaini Simba mkataba wa miaka 2 wenye kipengele Cha kuongeza mwaka mmoja mwingine Hadi sasa kwenye mkataba huo Mpanzu ameshautumikia miezi 4 tu maana ameanza kucheza kwenye dirisha dogo la usajili la January.
NIMEPIGWA simu nyingi sana na mashabiki wa Simba kutosha sehemu mbalimbali wengine wakinitumia sms lukuki wakiniuliza juu ya swala la MPANZU kwenda Yanga kama ni taarifa za ukweli? Maana Kuna mchambuzi Wa YANGA aliwalisha matango pori kuwa Mpanzu anakwenda Yanga jibu la SWALI hili ni BIG NO MPANZU HAENDI YANGA NG'OO.
Kuna offer tatu ambazo zimekuja kwenye uongozi wa mchezaji na offer moja imekwenda moja kwa moja kwenye uongozi wa Klabu ya Simba za kutaka kumnunua Mpanzu na mkataba wake moja kwa moja akitokea Simba Sc
1.AL AHYL ya nchini Misri wametuma offer moja kwa moja kwa Simba ya kutaka kumnunua ELIE MPANZU yenye thamani ya Bilioni 3 na milioni 200 yaani 3,200,000,000/= na mshahara wa milioni 75 kwa mwezi maana yake ni kununua Pamoja na mkataba wake ili msimu ujao akawatumikie katika Klabu Yao.
2.Yanga Wanaongea na menejiment ya mchezaji kuona uwezekano wa Dirisha kubwa la Kiangazi Kama wanaweza kumsaini mchezaji kwa kupitia timu nyingine yaani aende kwanza kwenye timu nyingine Kisha wao wamsajili kutokea timu hiyo maana Simba hawawezi kamwe kuwauzia Yanga ELIE MPANZU.
3.Wydad Casablanca pia wamewasiliana na uongozi wa mchezaji kuona uwezakano wa kumsajili msimu ujao.
Hadi Sasa wenye maamuzi ya mwisho ya ELIE MPANZU KIBISAWALA abakie Simba au aondoke kwa kuuzwa ni uongozi wa club ya Simba.
Mashabiki wenzangu wa Simba tuishi humu HAYA sasa kuanzia sasa nimeufunga huu mjadala sitaki tena kuulizwa hili SWALI.
Sasa tujikite na maandalizi ya Fainali ya Kombe la shirikisho Barani Africa dhidi ya RS Berkane
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi...
Dr. Nusrat Praveen, the AYUSH doctor whose hijab was publicly pulled down by Bihar Chief Minister Nitish Kumar during an appointment ceremony on December 15, 2025, has refused to join the government job she was offered. According to multiple reports:
โข She was scheduled to report to a primary health center in Sabalpur by December 20, but did not appear The Hindu. โข He...
ELIE MPANZU KIBISAWALA alisaini Simba mkataba wa miaka 2
ELIE MPANZU KIBISAWALA alisaini Simba mkataba wa miaka 2 wenye kipengele Cha kuongeza mwaka mmoja mwingine Hadi sasa kwenye mkataba huo Mpanzu ameshautumikia miezi 4 tu maana ameanza kucheza kwenye dirisha dogo la usajili la January.
NIMEPIGWA simu nyingi sana na mashabiki wa Simba kutosha sehemu mbalimbali wengine wakinitumia sms lukuki wakiniuliza juu ya swala la MPANZU kwenda Yanga kama ni taarifa za ukweli? Maana Kuna mchambuzi Wa YANGA aliwalisha matango pori kuwa Mpanzu anakwenda Yanga jibu la SWALI hili ni BIG NO MPANZU HAENDI YANGA NG'OO.
Kuna offer tatu ambazo zimekuja kwenye uongozi wa mchezaji na offer moja imekwenda moja kwa...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/elie-mpanzu-kibisawala-alisaini-simba-mkataba-wa-miaka-2
Maoni