Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO          EP         04          Abisai alimrudisha mpaka nyumbani kwao
Gonga94 Β· Stories

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO EP 04 Abisai alimrudisha mpaka nyumbani kwao

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

*Hakikisha umeingia ndani maana ukitoa tu mguu wako nitajua mtandao wangu ni mkubwa

kuliko unavyofikiria. Leyna alishuka kwenye gari kwa hasira na

kubamiza mlango. "Uwe na usiku mwema kipenzi changu. Alisema

Abisai huku akimuangalia. Leyna alienda kwenye dirisha la chumba chako na kugonga.

"Leyla nifungulie mlango.

"Wewe nae ni msumbufu siungelala hukohuko. Wewe usiendelee kuichanganya akili yangu

hapa nilipo nimesha changanyikiwa vya kutosha.

Leyla alinyanyuka na kwenda kufungua mlango. Leyna alimpiga kikumbo na kuingia ndani.

*Wewe vipi mbona unanipamia, Leyna hakujibu aliendelea kutembea kwenda.

chumbani kwake. Alijikaza kitandani huku akiwa

anafyonza fyonza.

"Wewe una shida gani?

Leyna alinyanyuka akakaa.

*Yani nimepata mwanaume kichefuchefu yanΔ± mpaka najuta kumfahamu.

Leyla akitabasamu

Kwahiyo unataka kuniambia umepata kiboko yako?

Aaaah wapi hawezi kujiendesha hivi yani nitahakikisha namnyoosha, Hanijui vizuri.. Kwani huyo mwanaume ni nani na umemtoa

wapi? "Si tuliokotaba huko club tukaanza kupendana,

mapenzi motomoto dada ananipa kila kitu na ukimuona ni bonge la bwana, ana sifa zote za kuitwa mwanaume lakini ana wivu hatari kila

ninapoenda nae yupo yani utafikiri shetani kila

muda Anisa nipo wapi? Lakini ulikuwa unataka mwanaume.

mwenye pesa na sasa imempata ndugu sasa. vumilia hayo mambo madogo.
Unaongea nini wewe, siwezi kuvumilia ujinga amenikuta na mambo yangu ataniacga na mambo yangu.

Baada ya wiki moja majira ya saa mbili usiku mama Leyna na Leyla wakiwa kijiweni wakiuza samaki na Leyna alikuwa mtaani na mashoga

zake huku wakiwa wamekaa na wanaume.

Ilikuwa ni kitendo cha ghafla sana Abisai alishuka na kumkuta Leyna akiwa na kikosi cha

sigara mdomoni.

Alimsogelea na kumpiga kibao cha shavu mpaka ile sigara ikaanguka chini.

Wale wenzake walitaka kuingilia,

"Wewe vipi inawania na kuanza kupiga watu. Tafadhali kaeni mbali na hili atakaesogea kibao kitamgeukia. yoyote

Jamani huyu ni mpenzi wake mambo ya

wapendanao hatuingilii. Walisomea nyuma na kumuacha Leyna. akipambana na mwanaume wake.

"Ukanipigia kama nani? "Shhhh unapoongea na mimi jaribu kushusha sauti yako.

Wewe ni nani mpaka niongee na wewe kwa heshima, mama yangu mwenyewe simnyenyekel iweje uwe wewe?

Maneno ya Leyna yalimaanisha hasira Abisai Alimshika mkono na kuondoka nae. Alienda kumkabidhi kwa vijana wawili waliokuwa

wameshiba kwa mazoezi. "Hashim, Yusuph huyu ni shemeji yenu, mpenzi

wangu mimi mke wangu mtarajiwa. Sasa bro mbona shem amekasirika hivyo na

hana viatu? Tulia Yusuph bado sijamaliza utambulisho..

Abisai alimgeukia Leyna Mpenzi, lazizi wangu, mama wa wanangu.

Leyna aliweka midomo yake pembeni, Abisai akaendelea kutambulisha.

"Hawa ni wadogo zangu. Ni wanajeshi wamemaliza mafunzo yao jeshini na sasa ni

waajiriwa Sasa mimi unanisaidia nini? Alijibu Leyna kwa

dharau.

Yusuph, Hashim naombeni mumfunze adabu shemeji yenu ili ajue jinsi ya kuniheshimu..

*Aaaah bro...

Mmegoma nifanye mwenyewe?

Hapana tutafanya.

"Haya kazi kwenu

Usiku ule ule Leyna akaamuliwa akimbie kuzunguka eneo la uwanja wa nyumba.

Siwezi kukimbia na sifanyi adhabu yoyo.....

Kabla hajamaliza kuongea kibao kizito kilishuka

shavuni kwake mpaka akahisi wenge. "Nyanyuka haraka na uanze kukimbia.

Leyna hakuwa na chagua alianza kukimbia akarushwa kichura, kupiga pushapu na

kurukaruka. Leyna alikuwa amechoka sana.

Jamani nisameheni sirudii tena.

Mbona ndio kwanza tunaanza bado kidogo shemeji maliza kupiga pushapu 20.

Siwezi

"Wewe usitutanie.

Leyna alipiga push up huku akiwa analia jasho na machozi vilichanganyikana. Alipomaliza

alilala hapohapo chini.

Shemeji kipenzi bado kidogo nyanyuka. umalizie kukaa hewani. "Sasa nakaaje hewani.

"Hashim muenyeshe shemeji yetu kipenzi. Hashim alimuonyeshea mfano alipanda hewani kama vile amekaa kwenye kiti.

Leyna alifanya mara moja na kuanguka wakimuamuru arudie tena lakini baada ya muda miguu ilitetemeka na kuanguka chini.

"Nyanyuka haraka...

*Basi inatosha kwa leo.

Alisema Abisai huku akinyanyuka kwenye kiti na kwenda kumnyanyua. Alimbeba juu na kuingia naye ndani.

Wakati huo taarifa zilifikia mama Leyna na Leyla. Yani kapigwa kibao na kusombwa kama

mtuhumiwa.

Jamani sasa huyo mwanaume ni nani na kumpeleka wapi? Mama Leyna alionekana kuwa na hofu.

Mama huyo ni mwanaume wake acha kujipandisha presha.

"Huyo mwanaume unamjua?

*Hapana

Daaaah huyu mtoto atakuja kunisabanishia kifo cha ghafla. "Mama tulia atarudi.

Japokuwa Leyna alikuwa akimsimbua mama.

yake lakini alikuwa na wasiwasi juu ya usalama wake sababu mzazi ni mzazi tu

Abisai alipompelekea ndani akamjalisha. kitandani

"Pole kwa mazoezi mke wangu. Aliyoambiwa hivyo Leyna alikuwa kwa hasira.

"Basi mpenzi wangu.

Toka hapa nakuchukia Abisal.

Mimi nakupenda mpenzi wangu sasa ngoja

nikupeleke bafuni ukaoge ilinipate nguvu. Alimchukua tena na kumpeleka bafuni, Leyna

alioga alipomaliza akatoka na kukuta Abisai akiwa anamuangalia abaya zuri tena la bei ghari. Utavaa hii mpenzi alafu utakuja tupate chakula.

pamoja.

Leyna hakuwa mbishi alivaa nguo akiyoandaliwa. na kujitanua vizuri kisha taratibu akitembea huku miguu yake ikiwa inakosa nguvu.

Alifika sebleni akamkuta Abisai akiwa na ndugu

zake wanakula. Shemeji njoo tuungane pamoja, njoo tule. shemeji

Hashim na Yusuph walimchangamkia na. kumuonyesha kumjali wakati huo yeye aliwaona kama mashetani wawili wenye mapembe.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO EP 04 Abisai alimrudisha mpaka nyumbani kwao

.

*Hakikisha umeingia ndani maana ukitoa tu mguu wako nitajua mtandao wangu ni mkubwa

kuliko unavyofikiria. Leyna alishuka kwenye gari kwa hasira na

kubamiza mlango. "Uwe na usiku mwema kipenzi changu. Alisema

Abisai huku akimuangalia. Leyna alienda kwenye dirisha la chumba chako na kugonga.

"Leyla nifungulie mlango.

"Wewe nae ni msumbufu siungelala hukohuko. Wewe usiendelee kuichanganya akili yangu

hapa nilipo nimesha changanyikiwa vya kutosha.

Leyla alinyanyuka na kwenda kufungua mlango. Leyna alimpiga kikumbo na kuingia ndani.

*Wewe vipi mbona unanipamia, Leyna hakujibu aliendelea kutembea kwenda.

chumbani kwake. Alijikaza kitandani huku akiwa

anafyonza fyonza.

"Wewe una shida gani?

Leyna alinyanyuka akakaa.

*Yani nimepata mwanaume kichefuchefu yanΔ± mpaka najuta kumfahamu.

Leyla akitabasamu

Kwahiyo unataka kuniambia umepata kiboko yako?

Aaaah...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-nipe-chance-kidogo-ep-04-abisai-alimrudisha-mpaka-nyumbani-kwao

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-nipe-chance-kidogo-ep
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❀️ sehemu ya 111 na 112

1.16K
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜

610
MY WANGU❀️ sehemu ya 113

MY WANGU❀️ sehemu ya 113

571
MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*

560
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

206
*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ* *SEHEMU YA 01 & 4

116
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7

89
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6

79
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8

57
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

54

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.7K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.32K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫢 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫢
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa β€œ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair β€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair β€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic β€œrich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❀️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… β€œWewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza β€œHuyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. β€œSikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. β€œWorking with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest