Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Pyar Ho Jane Dushman

KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA ‎EPISODE 7

30th Nov, -0001 Views 155


‎muda huo nataka nimtoe askari wake mara ghafla sauti ya king' ora ilisikika ikionyesha kuna mfungwa katoroka hivyo ilibidi askari wote watoke nje na kwenda kumtafuta . Hivyo hata mimi kwa kuwa licha ya kuwa nesi pia ni mwanajeshi niliambiwa niongozane nao naweza nikabaki wakaniba.... Lakini wasijuwe kuwa kwa sasa ni michezo yangu hiyo na hata haichaguwi viwanja .....

‎Tulitoka pale nje na tochi zetu nilisimama na kutazama ukuta ambao mfungwa karoka mmmh niliogopa sana na kusema kam katoroka hapa huyu ni jambazi maana ukuta ni mrefu sana na kuna walinzi lakini hawakumuona ....

‎Nilitoka na kamanda denis muda huo bado nakamzuka ka ule mchezo lakini kutokana na hali yenyewe ilibidi nijikaze nikamilishe kwanza kazi ya watu. Basi safari ilianza ilibidi tuingie msituni kumtafuta huyo aliyekimbia na jina lake anaitwa DICKSON au kwa pale jela walimwita " MCHUMIA JUANI".

‎Mmmmh matukio yake tu yanavyoonyesha ni kwamba huyu jamaa kajaribu kutoroka sana na aliapa akitoroka sahizi hatutaweza kumdhishika kabisa . Na sasa katoroka kweli .daaah nilikuwa naogopa ...

‎Nilikuwa natembea nawaza ukuta yule jamaa katukaje maana ni mrefu sana hakuna anayeweza kufanya vile ikiwa kuna walinzi lakini kila nikiwaambia askari wafikilie mara mbili mtu anawezaje kuruka pale hawataki kuelewa.......

‎Tulizidi kutafuta bila mafanikio kufika mbele Denis bila kutazama nyuma aliniamuru mimi na askari mmoja tupite upande mwingine na yeye na askari mwingine wapite upande mwingine .Nilikubali japo kwa woga tukapita upande mwingine...

‎Nilikuwa namsemesha kuhusu tukio hlo kwamba mtu hawezi kuruka pale lakini hakuwa ananijibu hata neno moja.zaidi ya kupiga hatua kwenda mbele .Lakini nilianza kushangaa mbona huyu kamanda haongei kabisa na kazi ni kusaidiana?

‎Nilipiga hatua mbele kidogo baada ya kuhisi mchakacho wa majani yeye alikuwa yupo nyuma nilifunua majani lakini sikuona kitu yule askari akawa anakuja nyuma yangu .
‎" una akili sana kuliko hawa askari wote, ungekuwa kamanda mkuu ungenikamata kwa kuwa wewe ni kibaraka huwezi kusikilizwa".
‎" kumbe alikuwa ni mchumia juani???

‎Niliogopa maana tayari bunduki ipo mgongoni mwangu na haja inaweza kutoka maaana ..,.....

‎Itaendelea .......
‎.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA ‎EPISODE 7  >>> https://www.gonga94.com/semajambo/kazi-ya-jela-ilinifanya-niwe-malaya-episode-7



#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #war

#love #photooftheday #fashion #beautiful #happy #tbt #followme #picoftheday #art #nature #travel #fitness #motivation #life #fun #instagram #friends #smile #food


 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in


Pyar Ho Jane Dushman
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kazi-ya-jela-ilinifanya-niwe-malaya-episode
KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA  EPISODE 2 BASED ON TRUE STORY
KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA EPISODE 2 BASED ON TRUE STORY
KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA  EPISODE 5 📌 Based on True Story
KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA EPISODE 5 📌 Based on True Story
‎KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA  ‎Episode 25
‎KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA ‎Episode 25
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
You're not logged in



Warning: Cannot modify header information - headers already sent by (output started at /home/u428456227/domains/gonga94.com/app/pages/includes/header.php:83) in /home/u428456227/domains/gonga94.com/app/core/function.php on line 258