Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story   Sehemu Ya 2 ______________ ILIPOISHIA. _______________ "Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah
Gonga94 Β· Stories

*KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 2 ______________ ILIPOISHIA. _______________ "Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

alijibu kwa upole,

"We panga unavyojua wewe, maana
mimi nije peke yangu au na wenzangu hayo hayakuhusu na gharama zangu au wenzangu pia
hazitokuhusu" Kayoza aliongea
macho yakiwa makavu,

"Basi baba, hatugombani hapa"
Stellah aliongea huku akitabasamu,

"Haya nenda nje mimi nivae" Kayoza
alimwambia stellah,

"Kwani ukivaa mbele yangu kuna
ubaya gani?" Stellah aliuliza kwa
utani,

"Wewe mpumbavu nini?" Kayoza aliongea huku akimsukumia Stellah
nje na kubaki ndani peke yake huku akisonya kwa hasira huku akiufikiria mualiko aliopewa na Stellah..

Ila angejua ambacho kitamtokea,
basi asingekubali ule mwaliko.......

_____________
ENDELEA.
_____________

"Mpuuzi kweli huyu manzi" Kayoza aliendelea kuongea peke yake huku akivaa kaptula kabla hajashtuliwa na mtu aliyekuwa anasukuma mlango ili aingie ila alishindwa kutokana na ule mlango kufungwa kwa ndani,

"Bado hujaondoka tu?" Kayoza aliuliza kwa hasira,

"Fungua bwana" Sauti nene ya kiume iliongea kutoka nje na ndipo Kayoza akauendea mlango na kuufungua na wakaingia rafiki zake wawili, mmoja aliitwa Omary na mwingine alitambulika kwa jina la Denis,

"Vipi wewe unajifungia fungia mchana, au ulikuwa na Stellah?" Denis alimuuliza Kayoza,

"Umejuaje?, alikuwepo hapa muda si mrefu" Kayoza alijibu huku akij i tupa kitandani,

"Kwa hiyo mlikuwa mnafanya mambo flani nini?" Omari aliuliza huku akicheka,

"Muda wote unawaza ujinga tu, hivi ni lini utakuwa wewe?" Kayoza alimuuliza Omary kwa hasira,

"Huyu sio bure, zile tetesi hata mimi naanza kuziamini" Omary aliongea huku akimgeukia Denis,

"Tetesi gani?" Kayoza aliuliza kwa hamaki huku nae akimgeukia Denis,

"Maneno tu ya watu" Denis alijibu huku akionekana hataki kulizungumzia hilo,

"Maneno gani sasa, si uniambie" Kayoza aliongea huku akiwa bado anamuangalia Denis,

"Mchane, usiogope, huyu ni rafiki yetu na ni lazima chochote kinachosemwa juu yake tumwambie" Omary alimsisitizia Denis,

"Niambie hata wewe kama Denis hataki kuniambia" Kayoza aliongea huku akimgeukia Omary,

"Bwana mimi sipendi kuficha, uko nje habari zimeenea kuwa wewe ni shoga, eti haiwezekani tokea uanze kusoma hapa mwaka wa tatu huu haujawahi kuonekana na mwanamke sehemu yoyote ile" Omary aliongea huku akitazama chini na kumfanya Kayoza nae ainame chini huku akiwa na huzuni sana,

"Mimi siamini kama wewe unaweza kuwa shoga, ila nahisi labda una tatizo jingine, tueleze rafiki yetu, usiogope" Denis aliongea kwa lengo la kumfariji Kayoza ambaye bado alikuwa kichwa chini huku akiwaza,

"Tunasaidiana mambo mengi. Sisi ni ndugu sasa na sio marafiki tena, tatizo lako ndio tatizo letu, kwa hiyo Sema kama una tatizo tuone kama tutaweza kukusaidia" Omary nae alimsihi Kayoza awaeleze,

"Sina hamu ya kuwa na mwanamke wala kufanya mapenzi na sijui ni kwa nini?" Kayoza aliongea kwa huzuni huku akiwa bado kichwa chini,

"Ila ulishawahi kufanya mapenzi kipindi cha nyuma?" Omary alimuuliza,

"Tokea napata akili sijawahi na wala sina hamu kabisa" Kayoza alijibu,

"Umeshawahi kwenda hospitali?" Denis alimuuliza,

"Nimeenda mara nyingi sana na naonekana sina tatizo" Kayoza alijibu,

"Na kwa waganga wa kienyeji umeshawahi kujaribu?" Omary aliuliza,

"Kila nikipanga Mipango ya kwenda kwa waganga, uwa siku ikifika najikuta napuuza au kinaweza kutokea kitu kingine kitachoharibu huo mpango" Kayoza aliwaeleza wenzake,

"Basi ilo jambo tutalifuatilia vizuri, sio bure" Denis aliongea huku akisikitika,

"Stellah alikuwa anasemaje?" Omary aliamua kubadilisha maada,

"Alafu nilishasahau, amesema jioni tuonane mjini" Kayoza alijibu,

"Kwa hiyo leo unatuacha, utalala huko huko au utarudi?" Omary aliuliza,

"Amesema tuende wote watatu" Kayoza alijibu,

"Aisee mimi leo sina hela, kwa hiyo sitoenda, si unajua leo wikiendi so ukienda mjini inabidi ujipange" Denis aliongea huku akitabasamu,

"Amesema gharama zote zake, sisi tuende kama tulivyo" Kayoza aliongea na kufanya wenzie wafurahi,

"Basi poa, ngoja nilale kidogo ili chakula kishuke" Denis aliongea huku akijilaza kitandani,

"Ila usiku tutarudi, hatutalala mjini" kayoza alisema,

"Mimi sitorudi, nitaunganisha clab moja kwa moja, leo wikiendi bwana. Au wewe Denis nawe utarudi?" Omary aliuliza huku nae akipanda katika kitanda chake cha juu,

"Tutajua uko uko" Denis alijibu kivivu huku akiwa amesinzia.

********************

Mida ya saa moja kasoro jioni, Kayoza,
Omary na Denis walikua maeneo ya
mjini katika foleni ya ATM. Ilipofka
zamu yao kayoza akaingia ndani,
akatoa pesa, kama elfu hamsini
akatoka na kuungana na wenzake,

"oya wakubwa, mi naona twendeni
kwanza tukale kwa sababu huyu
demu mimi simuamin amini,
anaweza kuwa katenga bajeti ya
kunywa tu, akijua sisi tumekula", Kayoza alikua anawaambia wenzake,

"acha uboya we mtoto wa mama, alipokwambia uje saa moja alitaka tuje tupige nae msosi wa jioni, huyo du si
anajua ratiba zetu za msosi wa
usiku, kuwa tunakula saa tatu, kwa hiyo alijua saa moja tutakuwa bado hatujala" Omary aliongea huku akiwa anatafuna karanga.

Mara simu ya kayoza ikaanza kuita mfukoni,
akaitoa mfukoni kisha akaiangalia
kwenye kioo cha simu, jina lililoonekana wakati huo lilisomeka KICHECHE.

'huyo Stellah anapiga" Kayoza aliwaambia
wenzake ambao walikuwa
wanamuangalia,

"usilembe bishoo wewe, pokea simu uongee na mtoto mzuri", Omary
alimsisitiza Kayoza baada ya kuona anajishauri kupokea simu.

Kayoza akaipokea ile simu, kisha
akaweka sura ya umakini,

"Mambo..",Kayoza alimsalimia Stellah,

"poa, mko wapi?",Stellah alimuuliza Kayoza kupitia simu,

"tupo hapa benk, tunakuja",Kayoza
alijibu,

"mbona simu ilikuwa inaita muda mrefu hivyo?",Stellah alianza
kulalamika namna hyo,
"nimeiweka sauti ndogo mno, alafu
hapa ATM kuna utulivu sana na watu wako wengi sana, kwa hiyo ilinibid nisogee mbali kidogo ili niipokee simu yako" Kayoza
akamdanganya Stellah,

"ok.. poa, sisi tumeshafika
tunawasubir nyinyi" Stellah
akamtaharifu Kayoza,

"sisi tutachelewa kidogo kwa sababu tunaenda kula kwanza", Kayoza
akatoa udhulu,

"mambo gani sasa, nyie njooni tu, hivyo vyote nimevitayarisha",Stellah akawaka,

"poa, ndani ya dakika kumi tutakuwepo hapo" Kayoza akaongea kisha akakata simu.

"Haya waungwana twendeni
tukawachune hao vicheche, mida ya
saa nne tuwateme tukajiachie clab
mpaka kuche" Kayoza akawaambia wenzake,

"Vicheche? Kwani yuko nani?" Omary aliuliza,

"Yuko na Tausi" kayoza alijibu,

"Basi twendeni tukakae nao alafu baadae tunaenda zetu clab" Omary aliongea,

'nyie nendeni tu uko club mimi lazma nikalale
na mmoja wao" Denis aliongea na wenzake wakacheka.

"Jamaa mroho kweli" Omary alimtania Denis huku akiendelea kucheka,

"Wamekwambia wapo wapi?" Denis alimuuliza kayoza,

"Wapo Nyerere squarre" kayoza alijibu huku wakivuka barabara inayoelekea wanapokwenda.

Walipofika nyerere square,
wakamuona kwa mbali stellah na rafiki yake aitwae Tausi,

"Leo kazi ipo" sauti nzito ilipita kwenye masikio ya Kayoza na kushindwa kuelewa inatokea wapi, na cha ajabu Denis na Omary hawakuweza kuisikia sauti hiyo....

******ITAENDELEA******

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 2 ______________ ILIPOISHIA. _______________ "Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah


alijibu kwa upole,

"We panga unavyojua wewe, maana
mimi nije peke yangu au na wenzangu hayo hayakuhusu na gharama zangu au wenzangu pia
hazitokuhusu" Kayoza aliongea
macho yakiwa makavu,

"Basi baba, hatugombani hapa"
Stellah aliongea huku akitabasamu,

"Haya nenda nje mimi nivae" Kayoza
alimwambia stellah,

"Kwani ukivaa mbele yangu kuna
ubaya gani?" Stellah aliuliza kwa
utani,

"Wewe mpumbavu nini?" Kayoza aliongea huku akimsukumia Stellah
nje na kubaki ndani peke yake huku akisonya kwa hasira huku akiufikiria mualiko aliopewa na Stellah..

Ila angejua ambacho kitamtokea,
basi asingekubali ule mwaliko.......

_____________
ENDELEA.
_____________

"Mpuuzi kweli huyu manzi" Kayoza aliendelea kuongea peke yake huku akivaa kaptula kabla hajashtuliwa na mtu aliyekuwa anasukuma mlango ili aingie ila alishindwa kutokana na ule mlango kufungwa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kijijini-kwa-bibi-na-mwaisa-story-sehemu-ya-2-______________-ilipoishia-_______________-inatakiwa-ni

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kijijini-kwa-bibi-na-mwaisa-story-sehemu-ya
Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story   Sehemu Ya 3  ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah
Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 3 ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

666
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

607
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

208
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

172
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

162
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

152
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

139
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

117
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

102
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

99

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.55K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.64K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.57K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Β SEHEMU YA 1 Β Β  Β Β  πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Em kwanza nicheke mieeeΒ  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijuiΒ  wapi wapiiΒ  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Mr. Marvel akaendelea β€œNiliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yakeπŸ’”. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest