Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 KIUTANI NIMEINGIZWA UKUBWANI Chapter 3
Gonga94 · Stories

KIUTANI NIMEINGIZWA UKUBWANI Chapter 3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Walipofika mlango wa kuingilia ukumbi, mlango mkubwa wa kioo ulifunguliwa kwa heshima.

Ndani kulikuwa kumepambwa kwa mapambo meupe na ya dhahabu, maua, taa za kung'aa, na meza zilizopangwa kwa umaridadi wa hali ya Juu.

Prisca alihisi miguu ikitetemeka. Aliinama.

kidogo kuangalia pete iliyokuwa kidoleni mwake.

"Ni kweli haya yananitokea mimi? Alijisemea.

Jimmy alimsogeza karibu na kumnong'oneza,

"Leo ni siku ya furaha Wewe ndiye malkia wa usiku huu naomba usiniangushe.

Wakaingia ukumbini Watu walishangilia, wengine wakapiga makofi, na wengine waliwaangalia kwa mshangao. Kamera ziliwaka kila kona.

Prisca kijasho kilimtoka alikuwa akitetemeka kwa hofu lile jambo lilikuwa kubwa kuliko alivyokuwa amejichukulia. Alimwangalia Jimmy na kuuliza kwa sauti ya chini

"Mbona kila mtu anatuangalia?

"Leo ni usiku wa wetu nataka ulimwengu ujue kuwa wewe ni sehemu ya mafanikio yangu. sitaki mtu afutilie mashaka.

Jimmy alitabasamu kisha akajibu,

Prisca alibaki mdomo wazi.

"Jimmy sijui hata kama naweza kuvumilia.

watu "Shhh... Umeshafika hapa ona wanavyokuangalia, Wewe ndiye staa leo.

Walienda kukaa kwenye viti walivyoandaliwa na mtangazaji wa shughuli hiyo alitangaza kupitia kipaza sauti.

"Kwa mara ya kwanza tunawatambulisha rasmi JIMMY & PRISCA AU MR AND MRS JIMMY.

wanando wapya. Ukumbi mzima ukalipuka kwa shangwe..

Prisca alihisi mapigo yake ya moyo yakienda mbio, Alichanganyikiwa. Jimmy alitambua kuwa

hayupo sawa alimsogelea na kumnongoneza. "Ondoa hofu Kuwa kawaida tafadhali.

Prisca alijikaza akaanza kutabasamu.

Sherehe iliendelea kufana jimmy alisimama

kwenye nafasi yake kama bwana harusi kweli

alikuwa alimshika Prisca kwa kuiachia na hasa

kumpiga mabusu bila kuogopa.

Ukifika muda wa walitakiwa kwenda kucheza.

Walinyanyuka na kusogea mbele, jimmy alisogea na kumshika kiuno wakaanza kucheza taratibu

huku waliangaliana usoni. Prisca alikuwa anaona aibu.

"Usione aibu haya ni maigizo tu.

Prisca alijikaza mpaka sherehe ilipokuwa kuisha Ilikuwa Mida ya saa sita usiku. Walitoka ukumbini na kwenda kupanda kwenye gari ya

Jimmy.

"Inaelekea wapi?

"Kwa sasa siwezi kwenda nyumbani nimpeleke hoteli.

"Sawa.

Walienda mpaka kwenye hotel ya knigh hotel..

Hoteli yenye hadhi.

Jimmy alichukua chumba kisha akamsindikiza mpaka chumbani.

Jimmy alitoa bahasha na kumpatia.

"Malipo yako ni haya.

Prisca alipokea ile bahasha na kushukuru. "Tutaonana kama imepangwa tuonane tena. Alisema jimmy kisha akaondoka

Usiku ule Prisca alilala pake hotelini Kesho yake asubuhi aliamka na kujiandaa kisha akarudi nyumbani kwao.

Alipoingia tu ndani akakutana na sura ngumu ya kaka yake Deo pamoja na mama yake. Prisca alijua hakuna usalama alisimama mlangoni huku akiwa kamshikilia mlango.

"Kilichikugandisha hapo ni kipi? Mama yake aliuliza kwa sauti ya ukali?

Prisca aliachia mlango na kupiga hatua ndogo ndogo alisogea alipo mama yake.

"Hivi umelala wapi? Deo aliuliza

"Nilimuacha mama nilienda kusoma

"Una uhakika na hicho unachokisema?

"Ndio, siwezi mama si. Nilikuaga? "Hukunian Ila kuwa unaenda kuolewa. Prisca alivyosikia hivyo alishituka.

"Unashika nini?

"Hamna mimi sijaolewa. Prisca alikataa lakini kwa bahati mbaya pete ya ndoa aliyovalshwa na

Jimmy bado ilikuwa kwenye kidole chake.

"Hilo bati laki ni kuthibitishia cha kwanza pia kuna picha nyingine hapa.

Deo alitoa simu na kumuonyesha picha zote za ukumbini. Prisca hakuweza kubisha lakini alijiuliza kaka yake ametzipataje pataje zile picha.

"Wewe mimi siwezi kuishi na mke wa mtu hapa. ndani nenda kachukue kila kitu chako uende kwa mume wako.

"Jamani mama...

We hakuna cha mama hapa unatakiwa. kuondoka.

"Lakini yule sio mwanaume wangu ilikuwa ni dili tu.

"Sisi hatujui hilo twende kwa huyo mwanaume. wako.

"Mimi sijui anaishi wapi.

"Leo itajulikana.

Jamani kaka Deo.....

"Prisca usitake nikuvute na mapanga naomba usimame tuondoke...

Prisca hakubisha alikuwa anamjua vizuri sana kaka yake.

"Usisahau begi lako.

"Mama hilo achana nalo litamfuata nyuma.

Prisca aliondoka vile vile wakaenda kupanda kwenye pikipiki na hakujua wanaelekea wapi maana yeye mwenyewe alikuwa hajui wapi kwa kumpata Jimmy..
JE NINI KITAENDELEAAA!! "
OFAAAA KUPATA YOTE NI 1000 TU UNAPATA MPK MWISHO KABISA

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KIUTANI NIMEINGIZWA UKUBWANI Chapter 3



Walipofika mlango wa kuingilia ukumbi, mlango mkubwa wa kioo ulifunguliwa kwa heshima.

Ndani kulikuwa kumepambwa kwa mapambo meupe na ya dhahabu, maua, taa za kung'aa, na meza zilizopangwa kwa umaridadi wa hali ya Juu.

Prisca alihisi miguu ikitetemeka. Aliinama.

kidogo kuangalia pete iliyokuwa kidoleni mwake.

"Ni kweli haya yananitokea mimi? Alijisemea.

Jimmy alimsogeza karibu na kumnong'oneza,

"Leo ni siku ya furaha Wewe ndiye malkia wa usiku huu naomba usiniangushe.

Wakaingia ukumbini Watu walishangilia, wengine wakapiga makofi, na wengine waliwaangalia kwa mshangao. Kamera ziliwaka kila kona.

Prisca kijasho kilimtoka alikuwa akitetemeka kwa hofu lile jambo lilikuwa kubwa kuliko alivyokuwa amejichukulia. Alimwangalia Jimmy na kuuliza kwa sauti ya chini

"Mbona kila...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kiutani-nimeingizwa-ukubwani-chapter-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kiutani-nimeingizwa-ukubwani-chapter
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

1.16K
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

610
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

573
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

563
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

206
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

116
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

89
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

79
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

57
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest