Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI Chapter 5

14th Sep, 2025 Views 58



Jimmy akimsindikiza kwa macho mpaka alipopotea kisha akasema yani kuku yuko bandani kwangu alafu

nashindwa vipi kumchinja? Siku nikitaka nitafanya nitafanya tu hata hivyo hakuna mwanamke mgumu kwangu ipo siku mwenyewe atanivulia nguo. Alisema Jimmy kisha akarudi chumbani kwake aliwakuta wale wanawake

bado wamelala chini ya zuria, aliwaangalia huku

akiwa kashika kiuno chake Badae alianza kuwaamsha huku akiwapigia piga mabegani

Mnalalaje kama mpo kwenu 7 Amkeni muondoke kazi yenu imeshaisha Wale wanawake walinyanyuka huku wakiwa na uchovu wa pombe walijinyoisha kivivu kisha wakaondoka. Jimmy akienda bafuni kuoga alipotoka akijiandaa na kuelekea kazini.

Prisca alikuwa amekaa kwenye mgahawa wa

chuo na mawazo yake yalikuwa mbali sana alikuwa anafikiria vitimbi anavyofanyiwa na Jimmy

Kweli di limenigeukia yangu nimeingia ukubwani kwa lazima Leo hii mimi Prisca najulikana kama mke wa mtu na huyo mume

sasa anafanya mambo ya aibu, hivi watu

wanasoma tabia zake za kubadili wanawake si watakuwa wananiona mimi ndio mwanamke wa ajabu nisieweza kumdhibiti mwanaume wangu? Wakati akiendelea kuwaza na kuwazuia alifika

Linda na kukaa pembeni yake.

Wenzako walioolewa wananenepa na kufurahia ndoa zao sijui wewe una watoa nini mpaka Inalinda kiasi hicho? Prisca alimuangalia kisha akaguna na kusema. Hii ndoa ya dili imegeuka kuwa mwiba kwangu

Kwanini?

Hivi unaniuliza kwanini kwani hujul Linda?

"Ningejua nisingekuuliza kipenzi *Hivi ni ndoa gani haina mapenzi hata kidogo?

Jimmy ananikomoa na kutaka kuniumiza kihisia, jane usiku kaka na wanawake wawili kaenda kulala nao chumbani kwake mpaka asubuhi

alafu asubuhi ananifuata na kunitaka na mimi. Duuu hayo kweli makusudi lakini Prisca wewe kweli umeshindwa kumkomoa huyo mwanaume.

Naweza ila sitaki kushindana na mtu

mpumbavu. Ila kuna jambo nitafanya mpaka natoka pale kwake atakuwa Kapata funzo kuwa wanawake wa kitanzania huwa hazitaishia ujinga.

Mida ya mchana jimmy na Patrick walikuwa

wapo kwenye mgahawa wakipata lunch. Lakini

Jimmy alikuwa mbali sana kimawazo.

Vipi mbona unawaza sana 7 Acha niwaze yani nilijua natafuta tatizo kumbe ndio kwanza naanzisha tatizo lingine. Kivipi?

Jana nilienda na wanawake wawili nyumbani ili

kumuaminisha Prisca kuwa mimi ni mwanaume. sina ninachoshindwa na hakuna wa kunizuia Sasa hiyo njia yako umefanya kazi? Najihisi kama mjinga tu na kujivunjia heshima

yangu

Na Prisca atazidi kukudharau

Sijali ninachosngalia heshima yangu tu. Kwa matendo yako ya kutokumfikia heshima yako lazima itashuka.

Mvumilie Prisca mpaka atakapomaliza chuo ataondoka kwenda kutafuta maisha yake na wewe utabaki na maisha yakon Wakiendelea kula huku kimnya kilitawala kwa

muda

la prisca ni binti mrembo sana sijui kwanini hutaki kumpa nafasi kwenye moyo wako.

Mimi na yeye hatupendani na isitoshe sina

muda wa kupoteza kwenye mapenzi

Siku zilienda prisca akawabize na mambo yake

aliwahi kutoka nyumbani na kuchelewa kurudi ili kuepukana na kero za Jimmy pamoja na maudhi

madogo madogo

Siku moja prisca aliondoka na hakurudi nyumbani kabisa.

Siku hiyo Jimmy alikosa amani akishindwa kupata usingizi kila mara alienda dirishani kwake

kuchungulia nje

Mwisho alimpigia simu Patrick

Patrick alipokea simu usiku wa saa nane huku akiwa na wasiwasi huenda kuna tatizo limetokea.

Hallow

Patrick nina tatizo,

Tatizo gani, umepatwa na nini? Prisca hajarudi nyumbani mpaka muda huu. Aliongea Jimmy kwa wasiwasi. "Umemfanya nini mtoto wa watu, ameenda wapi.

usiku huu?

Sijafanya chochote na sijui alipo. Umeharibu kumtafuta kwenye simu? Sina namba zake za simu.

jimmy, Jimmy yani unakaa na mtu alafu huna namba yake ya simu. Hayo ni maisha gani

anayoishi?

Huu sio muda wa kulaumiana kama unayo

namba yake naomba tafadhali Nitakuwa je namba yake sasa? Sikiliza wewe lala tutajua kesho Nawezaje kulala Patrick?

Patrick hakuwa na jibu wala msaada kwa muda

ule alikata simu akalala. Jimmy aliendelea kuzunguka pale chumbani kwake huku akiwa kashika simu yake mkononi.

Kulipokucha Patrick alienda nyumbani kwa Jimmy alimtafuta Mike kwenye simu kwaajili ya kumuomba namba za simu za Prisca lakini Mike hakuwa anapatikana.

Mike hapatikani.

Qooh Mungu wangu! Nitasema mimi kwa yule kaka yake kichaa mshika mapanga? Patrick huyu msichana anataka kupasua hiki kichwa

changu

Subiri yapite masaa 24 alipopatikana tutaenda polisi.

Masaa 24 tumekaa tu kumbuka yule ni mtu. Patrick

Najua sasa tutumie nila gani kumpata? Walikaa huku wakiwa wanasubin huenda

atarudi

Baada ya kama lisaa limoja kupita Prisca alirudi. Patrick na Jimmy walinyanyuka macho yao kumuangalia, Jimmy alimuangalia kwa jicho kali. Habari mr Patrick

Salama Prisca

Baada ya kutia salamu prisca alitaka kuelekea chumbani. Hey wewe msichana ulikuwa wapi usiku kucha? Prisca alisimama na kumuangalia

Hil ya kuulizana imeanza lini? Umesahau sheria zako ilizoweka? Crazy girl unataka kushindana na mimi

mwanaume?

Wewe ni mwanaume tu kama wanaume wengine ila sio mwanaume wangu hivyo angalia yanayokihusu

Patrick allona hapo kuna kazi ni bora awaache wenyewe wamalizane Jimmy acha niende mambo yenu mmalizane

wenyewe.

Patrick alivyoondoka Prisca nae akawa anaenda chumbani kwake jimmy alimfuata nyuma waliofika mlangoni Prisca alisimama na kugeuka kumuangalia

Unaenda wapi?

Prisca huwezi kuinyima usingizi alafu unakuja na kuingia kwenye nyumba yangu kama vile

danguro

"Baba una jerouse au nini kinakusumbua? Siwezi kuwa na wivu na mtu kama wewe Basi tulia nafsi mimi nilikuwa kwa mwanaume.

wangu, hata siku nyingine niliporudi wewe

endelea na mambo yako usiniwaze kabisa. Prisca alingia chumbani kwake na kubamiza

mlango Taratibu na nyumba yangu Jimmy aliondoka pale mlangoni akaenda kukaa

sebleni Siku hiyo hakuwa sawa kabisa ni wazi

swala la Prisca kulala nje ya nyumbani kilimuumiza kwa kiasi flan mpaka mwenyewe akawa hajielewi maana haijawahi kutokea huu

baada ya muda mrefu.

Haiwezekani mtoto wa kike aniletee zarau kiasi kikubwa hivi, yani nimlishe, nimsomeshe na kila

kitu ni juu yangu bado anaenda kulala na

wanaume wengine huko, haiwezekani natakiwa kuweka heshima anaiheshimu kama mwanaume.

Jimmy alinyanyuka pale na kuelekea chumbani kwa Prisca, aligonga mlango kwa fujo Prisca fungua mlango.

Unataka nini wewe mwanaume? Umesahau kuwa tulisema hakuna mtu kwenda chumbani kwa mwenzie?

Hii ni nyumba yangu huwezi kuniwekea.

mipaka

Prisca alienda kufungua mlango lakini hakufungua mlango wote wakati huo alikuwa ametoka kuoga alikuwa akifunga taulo. Jimmy alimsukuma mlango akazamia ndani na kufunga

mlango

"Unataka nini wewe?

Nataka kukuonyesha tofauti ya mwanaume na

mwanamke, nataka heshima yangu. Aliongea Jimmy huku alianza kuvua shati na kutupia pembeni, Prisca alianza kuwa na hofu alirudi nyuma na kuchukua nguo na kutaka

kuvaa lakini hakuwahi Jimmy alimfuata na kumsukuma kitandani kisha akampatia kwa juu.

Full 1000
Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI Chapter 5  >>> https://gonga94.com/semajambo/kiutani-tu-nimeingizwa-ukubwani-chapter-5

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest