Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI Chapter 5
Gonga94 · Stories

KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI Chapter 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Jimmy akimsindikiza kwa macho mpaka alipopotea kisha akasema yani kuku yuko bandani kwangu alafu

nashindwa vipi kumchinja? Siku nikitaka nitafanya nitafanya tu hata hivyo hakuna mwanamke mgumu kwangu ipo siku mwenyewe atanivulia nguo. Alisema Jimmy kisha akarudi chumbani kwake aliwakuta wale wanawake

bado wamelala chini ya zuria, aliwaangalia huku

akiwa kashika kiuno chake Badae alianza kuwaamsha huku akiwapigia piga mabegani

Mnalalaje kama mpo kwenu 7 Amkeni muondoke kazi yenu imeshaisha Wale wanawake walinyanyuka huku wakiwa na uchovu wa pombe walijinyoisha kivivu kisha wakaondoka. Jimmy akienda bafuni kuoga alipotoka akijiandaa na kuelekea kazini.

Prisca alikuwa amekaa kwenye mgahawa wa

chuo na mawazo yake yalikuwa mbali sana alikuwa anafikiria vitimbi anavyofanyiwa na Jimmy

Kweli di limenigeukia yangu nimeingia ukubwani kwa lazima Leo hii mimi Prisca najulikana kama mke wa mtu na huyo mume

sasa anafanya mambo ya aibu, hivi watu

wanasoma tabia zake za kubadili wanawake si watakuwa wananiona mimi ndio mwanamke wa ajabu nisieweza kumdhibiti mwanaume wangu? Wakati akiendelea kuwaza na kuwazuia alifika

Linda na kukaa pembeni yake.

Wenzako walioolewa wananenepa na kufurahia ndoa zao sijui wewe una watoa nini mpaka Inalinda kiasi hicho? Prisca alimuangalia kisha akaguna na kusema. Hii ndoa ya dili imegeuka kuwa mwiba kwangu

Kwanini?

Hivi unaniuliza kwanini kwani hujul Linda?

"Ningejua nisingekuuliza kipenzi *Hivi ni ndoa gani haina mapenzi hata kidogo?

Jimmy ananikomoa na kutaka kuniumiza kihisia, jane usiku kaka na wanawake wawili kaenda kulala nao chumbani kwake mpaka asubuhi

alafu asubuhi ananifuata na kunitaka na mimi. Duuu hayo kweli makusudi lakini Prisca wewe kweli umeshindwa kumkomoa huyo mwanaume.

Naweza ila sitaki kushindana na mtu

mpumbavu. Ila kuna jambo nitafanya mpaka natoka pale kwake atakuwa Kapata funzo kuwa wanawake wa kitanzania huwa hazitaishia ujinga.

Mida ya mchana jimmy na Patrick walikuwa

wapo kwenye mgahawa wakipata lunch. Lakini

Jimmy alikuwa mbali sana kimawazo.

Vipi mbona unawaza sana 7 Acha niwaze yani nilijua natafuta tatizo kumbe ndio kwanza naanzisha tatizo lingine. Kivipi?

Jana nilienda na wanawake wawili nyumbani ili

kumuaminisha Prisca kuwa mimi ni mwanaume. sina ninachoshindwa na hakuna wa kunizuia Sasa hiyo njia yako umefanya kazi? Najihisi kama mjinga tu na kujivunjia heshima

yangu

Na Prisca atazidi kukudharau

Sijali ninachosngalia heshima yangu tu. Kwa matendo yako ya kutokumfikia heshima yako lazima itashuka.

Mvumilie Prisca mpaka atakapomaliza chuo ataondoka kwenda kutafuta maisha yake na wewe utabaki na maisha yakon Wakiendelea kula huku kimnya kilitawala kwa

muda

la prisca ni binti mrembo sana sijui kwanini hutaki kumpa nafasi kwenye moyo wako.

Mimi na yeye hatupendani na isitoshe sina

muda wa kupoteza kwenye mapenzi

Siku zilienda prisca akawabize na mambo yake

aliwahi kutoka nyumbani na kuchelewa kurudi ili kuepukana na kero za Jimmy pamoja na maudhi

madogo madogo

Siku moja prisca aliondoka na hakurudi nyumbani kabisa.

Siku hiyo Jimmy alikosa amani akishindwa kupata usingizi kila mara alienda dirishani kwake

kuchungulia nje

Mwisho alimpigia simu Patrick

Patrick alipokea simu usiku wa saa nane huku akiwa na wasiwasi huenda kuna tatizo limetokea.

Hallow

Patrick nina tatizo,

Tatizo gani, umepatwa na nini? Prisca hajarudi nyumbani mpaka muda huu. Aliongea Jimmy kwa wasiwasi. "Umemfanya nini mtoto wa watu, ameenda wapi.

usiku huu?

Sijafanya chochote na sijui alipo. Umeharibu kumtafuta kwenye simu? Sina namba zake za simu.

jimmy, Jimmy yani unakaa na mtu alafu huna namba yake ya simu. Hayo ni maisha gani

anayoishi?

Huu sio muda wa kulaumiana kama unayo

namba yake naomba tafadhali Nitakuwa je namba yake sasa? Sikiliza wewe lala tutajua kesho Nawezaje kulala Patrick?

Patrick hakuwa na jibu wala msaada kwa muda

ule alikata simu akalala. Jimmy aliendelea kuzunguka pale chumbani kwake huku akiwa kashika simu yake mkononi.

Kulipokucha Patrick alienda nyumbani kwa Jimmy alimtafuta Mike kwenye simu kwaajili ya kumuomba namba za simu za Prisca lakini Mike hakuwa anapatikana.

Mike hapatikani.

Qooh Mungu wangu! Nitasema mimi kwa yule kaka yake kichaa mshika mapanga? Patrick huyu msichana anataka kupasua hiki kichwa

changu

Subiri yapite masaa 24 alipopatikana tutaenda polisi.

Masaa 24 tumekaa tu kumbuka yule ni mtu. Patrick

Najua sasa tutumie nila gani kumpata? Walikaa huku wakiwa wanasubin huenda

atarudi

Baada ya kama lisaa limoja kupita Prisca alirudi. Patrick na Jimmy walinyanyuka macho yao kumuangalia, Jimmy alimuangalia kwa jicho kali. Habari mr Patrick

Salama Prisca

Baada ya kutia salamu prisca alitaka kuelekea chumbani. Hey wewe msichana ulikuwa wapi usiku kucha? Prisca alisimama na kumuangalia

Hil ya kuulizana imeanza lini? Umesahau sheria zako ilizoweka? Crazy girl unataka kushindana na mimi

mwanaume?

Wewe ni mwanaume tu kama wanaume wengine ila sio mwanaume wangu hivyo angalia yanayokihusu

Patrick allona hapo kuna kazi ni bora awaache wenyewe wamalizane Jimmy acha niende mambo yenu mmalizane

wenyewe.

Patrick alivyoondoka Prisca nae akawa anaenda chumbani kwake jimmy alimfuata nyuma waliofika mlangoni Prisca alisimama na kugeuka kumuangalia

Unaenda wapi?

Prisca huwezi kuinyima usingizi alafu unakuja na kuingia kwenye nyumba yangu kama vile

danguro

"Baba una jerouse au nini kinakusumbua? Siwezi kuwa na wivu na mtu kama wewe Basi tulia nafsi mimi nilikuwa kwa mwanaume.

wangu, hata siku nyingine niliporudi wewe

endelea na mambo yako usiniwaze kabisa. Prisca alingia chumbani kwake na kubamiza

mlango Taratibu na nyumba yangu Jimmy aliondoka pale mlangoni akaenda kukaa

sebleni Siku hiyo hakuwa sawa kabisa ni wazi

swala la Prisca kulala nje ya nyumbani kilimuumiza kwa kiasi flan mpaka mwenyewe akawa hajielewi maana haijawahi kutokea huu

baada ya muda mrefu.

Haiwezekani mtoto wa kike aniletee zarau kiasi kikubwa hivi, yani nimlishe, nimsomeshe na kila

kitu ni juu yangu bado anaenda kulala na

wanaume wengine huko, haiwezekani natakiwa kuweka heshima anaiheshimu kama mwanaume.

Jimmy alinyanyuka pale na kuelekea chumbani kwa Prisca, aligonga mlango kwa fujo Prisca fungua mlango.

Unataka nini wewe mwanaume? Umesahau kuwa tulisema hakuna mtu kwenda chumbani kwa mwenzie?

Hii ni nyumba yangu huwezi kuniwekea.

mipaka

Prisca alienda kufungua mlango lakini hakufungua mlango wote wakati huo alikuwa ametoka kuoga alikuwa akifunga taulo. Jimmy alimsukuma mlango akazamia ndani na kufunga

mlango

"Unataka nini wewe?

Nataka kukuonyesha tofauti ya mwanaume na

mwanamke, nataka heshima yangu. Aliongea Jimmy huku alianza kuvua shati na kutupia pembeni, Prisca alianza kuwa na hofu alirudi nyuma na kuchukua nguo na kutaka

kuvaa lakini hakuwahi Jimmy alimfuata na kumsukuma kitandani kisha akampatia kwa juu.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI Chapter 5



Jimmy akimsindikiza kwa macho mpaka alipopotea kisha akasema yani kuku yuko bandani kwangu alafu

nashindwa vipi kumchinja? Siku nikitaka nitafanya nitafanya tu hata hivyo hakuna mwanamke mgumu kwangu ipo siku mwenyewe atanivulia nguo. Alisema Jimmy kisha akarudi chumbani kwake aliwakuta wale wanawake

bado wamelala chini ya zuria, aliwaangalia huku

akiwa kashika kiuno chake Badae alianza kuwaamsha huku akiwapigia piga mabegani

Mnalalaje kama mpo kwenu 7 Amkeni muondoke kazi yenu imeshaisha Wale wanawake walinyanyuka huku wakiwa na uchovu wa pombe walijinyoisha kivivu kisha wakaondoka. Jimmy akienda bafuni kuoga alipotoka akijiandaa na kuelekea kazini.

Prisca alikuwa amekaa kwenye mgahawa wa

chuo na mawazo yake yalikuwa mbali sana alikuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kiutani-tu-nimeingizwa-ukubwani-chapter-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kiutani-tu-nimeingizwa-ukubwani-chapter
 KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI🥰 Chapter 4
KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI🥰 Chapter 4
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

1.16K
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

610
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

570
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

558
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

206
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

116
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

89
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

79
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

57
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest