Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
14 Nov 2025
350 views
VYOTE NDANI GONGA94
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 11 Tukiwa tumelala kuna simu ikawa inaitaa alikuwa anapiga
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, aliongeaa nae mimi sikuwa naelewa ila nilisikia tu sauti anamwambia nakuja alimaliza kuongea akanigeukiaa "mke wangu kuna sehemu ni kuna jambo muhimu sana lazima niondoke nakuomba nisamehe lakini mke wangu ni haya mambo ya kesi nikija ntakwambia kila kitu kuhusu mimi najua kwamba hujui chochote kunihusu nakuomba niondoke sasa " mimi nilishukuru jinsi anavyonikeraa kuwa karibu yangu nilitamani aondokee ikiwezekana apae tu apotee maan mimi ananiboaa Bala hajui tu " sawa haina shida nenda" alinikiss kwenye paji la uso " mhh nikirudi ntakupeleka na kwako sasa ukapaonee ambapo utakuwa unakaa sawa mke wangu ?" Nilimtizama tu nikatikisa kichwa kumaanisha nimemulewa , " angalia kwenye simu kuna kiasi nimekuingizia mke wangu , nakuomba utumie hizi siku mbili ambazo ntakuw sipo maan nahisi naenda safari ys siku nne " nilikubali , ila moyoni nilitamani akae hata mwaka kwakweli kwa jinsi ananikera mimi moyoni simpendi π€¨ ila ndio hivyoo tu ashakuwa mume wangu , aliondoka na mimi nikashika simu niperuzi zangu mtandaoni kwakweli mhh mimi sijazoea kulala mapema aiii
Basi siku zilipita na haikuwa siku nne tena alikaa kama wiki na ilikuwa ni jukumu lake kunitafuta kujaribu kunichangamsha maan nilikuwa bado nipo paparot hotel, na yeye alikuw kazini kama alivyosema na nilijikuta namzoeaa kwenye maongezi ya simu ni wiki tu ila nikajikuta nammsi basi na mimi kwenye kuongeaa nilikuwa nampa ushirikiano maaan alikuwa ananichangamsha maan hta Fatma alikuw anipigii pigii sana labda alikuw ana wasi wasi landa ntakuwa na mume wangu saa nyingine au kazi zimembana mimi sijui π€·ββοΈ pengine kazi zimembana bwana ,nilikuwa naongea mara nyingi na mume wangu nilijikuta namzoeaa sana kwenye maongezi , nilikuwa namwambia arudi nipo mpweke kam vile ntafanya kweli ila mimi
Siku hii nilikuwa zangu nimekaa nimetulia simu yangu ikawa inaitaa nikapokeaa alikuwa ni mama nikapokea "Assalam aleykum mwanangu unaendeleaje ?" Aliniuliza mama " nipo salama usihofu Kuhusu hilo kwasababu mlivyoniambiaa niolewe mlikuwa mnajua kama ntakuwa salama msijali kuhusu mimi tafadhali nahisi mmenielewa hapo" nilisema kwa jazba kweli simu akaichukua baba maan ikikuwa imewekwa Loud speaker "weee mjinga kwahyo unamjibuje mama yako hivi hyo ndoa imeanza kukupa ujeuri si ndio?" Niliwasikiliza nikaona wananizinguaa ila sikukata simu maan wangesema nimekuwa na β¦β¦
"Tena wewe watu wanakukumbuka , unawajibu hovyoo si ndioo kwani kuolewa ni kosa afu wew mimi sikuogopi naweza kukupiga hata mbele ya mume wako siogopi kitu" alisema kaka waliongeea mengi mimi simu niliiweka pembeni mpaka Walipochoka wakakata hyo simu nikachukuaa nikaendeleaa zangu kuchezeaa simu yangu wanikome kwanza mood yangu ishakata tayari washanikera mimi
Mara naona mlango unafunguliwa alikuwa ni mume wangu karudi safari hii alirudi na begi la nguoo sasa , mhhh nilifurahi moyoni maana at least jambaazi wangu amerudi sasa atakuwa ananisemesha kupoteza kumbukumbu mbaya za maneno ya wazazi wangu na kaka yangu alinifuata mpaka kitandani baada ya kuuufunga ule mlango na begi kuliweka pembeni nilitabasam kinafki tu ila sikuwa na furaha ya kumaanisha alianzaa kunipa juiceee sasa bila kuongeaa chochote , "bhana mimi nipo period bhana sogea huko" yaani kiukweli nilikuwa sipo tayari kwenye hiloo kabisaa mimi nikikumbuka hayo maumivu ila hakusikia akaendeleaa na juice , nilikuw anachukiaa ila baadae nikaanza kutoaa ushirikiano sasa ilikuwa π₯
Itaendelea............π₯
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 11 Tukiwa tumelala kuna simu ikawa inaitaa alikuwa anapiga
, aliongeaa nae mimi sikuwa naelewa ila nilisikia tu sauti anamwambia nakuja alimaliza kuongea akanigeukiaa "mke wangu kuna sehemu ni kuna jambo muhimu sana lazima niondoke nakuomba nisamehe lakini mke wangu ni haya mambo ya kesi nikija ntakwambia kila kitu kuhusu mimi najua kwamba hujui chochote kunihusu nakuomba niondoke sasa " mimi nilishukuru jinsi anavyonikeraa kuwa karibu yangu nilitamani aondokee ikiwezekana apae tu apotee maan mimi ananiboaa Bala hajui tu " sawa haina shida nenda" alinikiss kwenye paji la uso " mhh nikirudi ntakupeleka na kwako sasa ukapaonee ambapo utakuwa unakaa sawa mke wangu ?" Nilimtizama tu nikatikisa kichwa...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya-11-tukiwa-tumelala-kuna-simu-ikawa-inaitaa-alikuwa-anapiga
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 16 Siku iliisha na mume wangu hakurudi na kesho yake mama wakwe
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 17 - 18 Mama alifurahi sana maana na yeye alikuwa amekuja kwa kaka
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 19 - 20 Tuliendelea na shughuli yetu hakupata shida
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 14 Asubuhi ilifika pia sikumuuliza chochote hii ilimpa mawazo
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 12 Aliendeleaa kunipa juicee ila kuna muda aliacha afu mwenzenu nishanogewa
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 7 Aliendeleaa kunishikilia kwa nguvu huku akinipa juice na mimi nilikuwa sitoi
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 10 Nilikuwa nimejikalia zangu chumbani sina tena maumivu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 6 Nilitoa macho mimi hadi machozi yalinitiririka jamani mimi nilijikuta nalia ila kwa sauti ya chini chini
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 13 "Kabil wewe ni wakuniolea mwanamke kisiri siri? , mpaka naambiwa na ndugu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 8 "Mke wangu usinichukiee sasa nisamehe ika , mimi ndio mmeo wa kufa na kuzikana sawa mke wangu"
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 9 "Wee jamni hata kam ndio umefukuzwa kazi ndio hupatikani shoga