Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
15 Nov 2025
298 views
VYOTE NDANI GONGA94
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 13 "Kabil wewe ni wakuniolea mwanamke kisiri siri? , mpaka naambiwa na ndugu
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
zako mume wangu kweli ?" Alisema yule mwanamke ila kwa sura nilikuwa kama namjuaa Fulani hivii alionekana kabisa namjuaa huyu mwanamke ila nikapotezeaa nikasema wacha niwasikilize kwanza maongezi yao "Enhe wewe ulivyokuwa huna muda na mimi ulifikiriaje kwamba sitooa na sikukwambiaa Mariam kwasababu ya ubize wako, wewe mwanamke humjali hata mumeo nilikuoa kwasababu na kupenda japo ulikuwa na sifa mbaya sana mke wangu ila nilikuwa sina jinsi kwani wewe mdada upoje etty wee mwanamke ? " alisema Kabil , yule mwanamke akacheka tu "mhhh kwahyo ndio hapo mmeinjoy au kwa sababu mimi sizai au kwasababu mimi siwezi kupata mtoto si ndio" alisema yule mwanamke mimi binafsi niliona wananichanganya tu kichwani na siwezi kuendelea kusikiliza upuuzi wao mimi mwenyew nina mambo yangu kibao mengi tu kichwani yamenizonga sina muda wa kuwaza pia makelele yao nikaamua niingiliee sasa hili...
"Mhh kwahyo unaingiaa chumbani kwangu nipo na mume wangu unaingiliaa mambo yasiyokuhusu si ndio?" Nilisema huku nikimtizama kwa dharau " mume wako wewe , mimi na huyu mwenye mume ni nani wewe ni umeolewa kwasababu tu" alisema Mariam , nilimuangalia ila moyoni nikasema huyu hanijuii vizuri kam ninapenda ugomvi kuliko chochote na nipo serious sana na mambo yangu mengine na ninaongea sana kuliko chochote kile "Wewe awe mumeo asiwe mumeo kwangu hainishiki mimi ninachojua kwa hapa ni mume wangu kwasabbu kanioa kwa ndoa na hauna haki ya kuingiliaa hili tafadhali niache nimechoka , nimafanya kitu kikubwa kilichonichosha sana isivyoo kawaida hivyoo unaweza kutoka nipumzike? Tafadhari " nilimwambiaa kwa dharau kweli " uzuri mimi huwa siongei san kila siku huwa naongea kwa hatua na kwa maringoo hivyoo basi ninakuomba uniache kidogo niongee na mume wangu" nilimtizama kwa shauku kweli nilitamani niinuke nimtie bao ila nikasema huyuu hanijui vizuri nahisi " Mhhh okay naomba unielewe kitu kimoja hii ni room yangu na nipo na mume wangu hivyoo mlango ulio ingilia ndio utokee huko huko" alinitizama anajifanya ana pesa balaa maan kavaa hiloo abaya linaonekana tu la beii " mhh kwahyoo huyoo mwanamke mswahili ulimtoaa wapi?, labda nikuulize, okay by the way nakutaka nyumbani , na wewe karibu kwenye uke wenza nadhani umenielewa" nilimtizama tu huku namshusha nampandisha " wewe ntamalizana na wewe dawa yako iko jikoni inachemka binti usijali " nilimuangalia "Sawa nimekuelewa bi mkubwa unaweza kwenda coz mimi sina huoo muda wakubishana na wewe nishajua wewe ni mke mkubwa hilo linanitosha sana kwaheri " niliongeaa nikinyoosha mkono kumuelekezeaaa mlango ulipo , hakuwa na jinsi aliondokaa
Sikutaka kumuuliza chochote mume wangu nikapanda kitandani ila nilikuwa nina maumivu makali mnoo , yaani makali isivyo kawaida yaani " mke wangu" alinishika bega nikanyanyua mkono nikatoaa mkono wake "kam unaona nakukarahisha hapa tafadhali nakuomba ntaenda kulala kwenye kochi sitaki kuguswa wala kusumbuliwa na wewe inatosha hii sasa inanitosha kwaherii" nilisema nikinyanyuka na kwenda kulala kwenye kiti alikuja hapo akanibeba akaniweka kitandani nikamtizama nikarudi zangu kulala , yeye akaenda kulala kwenye kiti
Itaendelea..... π₯
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 13 "Kabil wewe ni wakuniolea mwanamke kisiri siri? , mpaka naambiwa na ndugu
zako mume wangu kweli ?" Alisema yule mwanamke ila kwa sura nilikuwa kama namjuaa Fulani hivii alionekana kabisa namjuaa huyu mwanamke ila nikapotezeaa nikasema wacha niwasikilize kwanza maongezi yao "Enhe wewe ulivyokuwa huna muda na mimi ulifikiriaje kwamba sitooa na sikukwambiaa Mariam kwasababu ya ubize wako, wewe mwanamke humjali hata mumeo nilikuoa kwasababu na kupenda japo ulikuwa na sifa mbaya sana mke wangu ila nilikuwa sina jinsi kwani wewe mdada upoje etty wee mwanamke ? " alisema Kabil , yule mwanamke akacheka tu "mhhh kwahyo ndio hapo mmeinjoy au kwa sababu mimi sizai au kwasababu mimi siwezi kupata mtoto...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya-13-kabil-wewe-ni-wakuniolea-mwanamke-kisiri-siri-mpaka-naambiwa-na-n
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 16 Siku iliisha na mume wangu hakurudi na kesho yake mama wakwe
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 17 - 18 Mama alifurahi sana maana na yeye alikuwa amekuja kwa kaka
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 19 - 20 Tuliendelea na shughuli yetu hakupata shida
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 14 Asubuhi ilifika pia sikumuuliza chochote hii ilimpa mawazo
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 12 Aliendeleaa kunipa juicee ila kuna muda aliacha afu mwenzenu nishanogewa
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 7 Aliendeleaa kunishikilia kwa nguvu huku akinipa juice na mimi nilikuwa sitoi
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 10 Nilikuwa nimejikalia zangu chumbani sina tena maumivu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 11 Tukiwa tumelala kuna simu ikawa inaitaa alikuwa anapiga
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 6 Nilitoa macho mimi hadi machozi yalinitiririka jamani mimi nilijikuta nalia ila kwa sauti ya chini chini
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 8 "Mke wangu usinichukiee sasa nisamehe ika , mimi ndio mmeo wa kufa na kuzikana sawa mke wangu"
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 9 "Wee jamni hata kam ndio umefukuzwa kazi ndio hupatikani shoga