πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 16 Siku iliisha na mume wangu hakurudi na kesho yake mama wakwe
"jamni mkwe wangu mhh inaonekana upo vizuri san kwenye haya maswala ya mapishi , maaan sio kwa utamu huu binti yangu, kwanza ukute mwanangu kadata kwa mapishi yako binti yangu mhh ujue wewe nawee jamni" alisema mama mkwe baba mkwe aliendele kula tu alidakiaa mdada mmoja ni wifi ila nilikuwa simjui jina hata " wifi yangu jamani mimi naitwa Hawa ujuee napenda kula mhhh jamni , wewe ni mzuri sana ujuee mhhh mimi ntabaki na wewe hapa kwanza hata sisomi nishamaliza chuo na kazi yenyewe sinaa , ila unajua kupika kwa hapa tu nimekulewa" nilimtizama tu kwa furaha machoni mwangu nikatabasamu huku naendeleaa kula saa ngapi asidakiee wifi yangu mwingine " mhh jamani wifi ukicheka unakuwa mzuri ujue jamni mhh mbona wifi hapa tumepata , sijui kaka alijichanganya nini kwa lile limshangazi lake mimi silipendi, by the way mimi naitwa Najma " nilimtimzama nikatabasam man alikua ananifurahisha kwa vile anaongeaa jamni " wewe muda wa kula hawaongeagi sawa wanangu ngoja tumalize kula tuongee kuhusu kila kitu sawa binti yangu?" Nilikubali sawaa
Baada ya chakula nilikaa chini na wakwe zangu vipenzi tukawa tunaongeaa ila na wao walinambiaa story sawa na aliyoniambia Hafsa nilishangaa maana hata mama mkwe aliniambia kanipenda ila anahisi nikaondoka na kuomba taraka mimi mwenyewe , nilimtoa hofuu nikamwambia mimi sitooondoka nabanana hapa hapa mimi sio mzembe kabisa kwenye hili mimi nipo π₯, najijuaa ninachopenda na nisichopenda ila kama ni ugomvi nauweza , alinambiaa kuw autafikia muda nitakuwa nakaa mwenyew nikiwa nampigiaa hapokei, nilikaa kimyaa sasa ila nikasema nitavulimiaa ,mama mkwe alifurahishwa na uamuzi wangu na alisema in case kikitokeaa chochote nimjulishe nisiwe na wasi wasi nilifurahi , tuliongeaa mengi mwishoo waliondoka na nikabaki mwenyew na Hafsa wangu , hata Hawa aliosem anabaki hakubakiπ
Zilipita siku , wiki , miezi na ilikuw ni kam miezi miwili kabisa tangu mume wangu aondokee nyumbani , na hajurudi tangu usiku ulee aendee uvumulivu uliliwa umeshanishinda sasa lakini nilikuwa najikaza na sijamwambia mtu yoyote wa nyumbani hali ilikuwa mbaya sana na kuna muda hadi matumizi yalikkuwa yanasumbuaa ila , mama mkwe alihakikisha hilo haliniteteleshi ila nilikonda sana kwa mawazo maana nilikuwa nawaza sana , na swala nilizidish nikawa naamka hata visimamo vya usiku kuswali ila nilikuwa naona kam na vyenyewee ndio vinaniongezeaa mawazo hii siku nilichoka sana nikaamuaa kuliaa , yaani muda wote unaweza amini sikuwahi hata kukaa pekee yangu kuliaa ila nilichoka nikaanza kuliaa niliona kabisa mimi sijaolewa nililetwa jela ma yote wametaka familia yangu maan kama wasingelazimisha hili pengine nisingepitiaa haya matesoi nililia sana ,
"Dada usiliee sasa najua inauma sana dada yangu najua hiloo hivyoo nakuomba kuwa na nguvu dada yangu ukiona vipi ondokaa" alisema hafsa nilimtizama " hafsa nimechoka sasa nataka niongee na rafiki yangu Fatma anitafutiee hata kikazi kitakachoniingiziaa pesa mimi nikawe na maisha maana kukaa nyumbani siwezi " nililia mnoo , ila nilijisikiaa kama kichefu chefu nikainuka mbioo nikaendaa kutapikaa nikarudi " mhhh dada unajuaa mimi nimekuwa sikuelewi elewi mhhh maan nakuona hadi kwenye vyakula umekuwa unabaguaa sana mhhh isiwe tayar, ndio maan nilinunua kipimo mapema ujee" nilimtizama kwa makini nikachukuaa kipimoo naenda kupima hivi mistaking miwili imekoleaa nilichoka " sasa bado una mawazo ya kuondoka ?" Aliniuliza nilimtizama " hapa afe kipa , afe beki mtoto hatoki kwa baba yake nimemaliza na hapa keshi tutaendaa hospitali kwa ajili ya kuanza clinic " Hafsa alitabasamu
Na kesho yake tulienda kuanza clinic na mimba ilikuwa ni ya miezi tisa niliwambia wazazi wa pande zote kam nina mimba na hata huku kwa wifi yangu tayari alikuwa amejifunguaa na nilienda kumuona ndio nikawapa na taarifa nilisema nitalala huko huko kwa wiki zima nilienda na Hafsa yaani toka nimeolewa ndio naenda
Itaendele...π₯
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi