Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
13 Nov 2025
288 views
VYOTE NDANI GONGA94
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 9 "Wee jamni hata kam ndio umefukuzwa kazi ndio hupatikani shoga
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
yangu, kuna kazi imepatikana huku shga huku ya kwenye duka kubwa kweli la simu kwa mwezi tu ni laki 6 shga yangu hhhh kwahyo nikaona nikuunganishie shga yangu maan hali yako naijuaa shoga na huyu mama Rahel mhhh ana gubu kama nini , mimi mwenye naacha kazi kam wee haupo shgaa" nilijisikiaa huzuni yaani nimepata nafasi nzuri kweli ya kazi halafu nipp hapa nahudumia ndoa na Fatma alikuwa hajui kwasababu hata picha za harusi sikuwa nazo maan kwenye hyoo ndoo ilikuwa kam ya fumanizi nilichora ndio ila sasa , hamna watu zaidi ya familia yangu na majirani wachache mhhh kam ndoa ya mkeka hamna hata kelele yaani "hamna mimi sifanyi tena kazi ila asante kwa kunikumbuka" niliongea sauti ya unyonge kweli sijawahi kuongeaa kam hivi kwakweli yaani "mhh shga kwanini , mhh afu mbona unaonekana haupo sawa nani kakuvuruga wakati wewe kuvurugwa sio vitu vyako ?" Aliuliza Fatma maan ananijua vizuri kam napenda ugomvi kuliko chochote kwenye maisha na hakuna mtu aneweza kunivuruga nikamuacha salama nilicheka kabla ya kuongea
"Fatma yaliyopo huku yanahuzunisha kwakweli sio mambo ya kawaida , shgaa yangu , mhhh ila ntakwambiaa" nilimwambia Fatma alizidi kunishangaa kwakweli maan anajua fika hii sio tabia yangu "bila shaka unaumwa wewe mimi nakuja kwako kukuona nikuletee nini shga yangu , mhhh au una njaa maana wewe nae ukiwa na njaa mhh inakuwa shida sana" alisema Fatma nilitabasam " hamna Fatma, ninayo makubwa zaidi ya hilo la kuumwa" nilimwambia Fatma "yapi hayo shga yangu nani kakutibuaa huyoo jamni mbona unanichanganya sana wewe bibiye" nilituliaa tu nikashusha pumzi "nimeolewa shoga yangu"
"Hee wewe mbona ghafla wiki moja tu , hebu acha masihala wewe mjinga ujue matani yamezidi mambo mengine unajitia mikosi shga yangu kam hujui yaani mikosi ya hadharani unajitiaa mamy vile tenaa yaani shoga yangu sijui uelekezwaje yaani ili uelewe mhhh ujuee acha masihala yaani wee ndiovyopenda shughuli unambiee etty umeolewa kimya kimya" nilijikuta nalia vikali mnoo nalia kwa nguvu ni kama ananikumbusha kumbukumbu yangu mbaya ya ndoa yangu ya mkeka " hee wewe mbona vilio tena , umefumwa na kak yako bandidu amekuozesha ndoa ya mkeka?" Alizidi kunichimba kutafuta umbeaa na mimi nilivyo sina kaba nikambwagia yote huku naliaa, alinipa pole utasem ani msiba ambao hauna matangaa tulimalizana alikata simu , nikasema kwanini nisitembee tembee kufanya mazoezi mambo ya kujiendekeza mimi siwezi kabisa hapa nitakaa chini mpaka lini nilivaa baibui langu na mtandio juu nikashuka kwenye lift japo nilikuwa naongeaa taratibu taratibu, ila niliweza kufanikiwa kufika hadi maeneo ya chini kule garden nikawa nazunguka zunguka , mama alipiga sikupokeaa nnilikuwa bado nina hasira na watu wote wa pale nyumbani wote kam wangenisikiliza mimi nisingeolewa nikaendeleaa kula upepo nikiwa zangu nimetuliaa , muda ulienda sana nikaamua zangu kwenda ndani sasa maan ilikuwa ni juoni tayari nikapanda lift , nikaelekeaa kwenye chumba nilichofikiwa na pale hotelini nilikuwa nanyenyekewa mhh yaani nahisi tu mwansheriaa alitoaa pesa za kutosha ndio maan nahudumiwa kam malikiaa
Itaendelea..... π₯
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 9 "Wee jamni hata kam ndio umefukuzwa kazi ndio hupatikani shoga
yangu, kuna kazi imepatikana huku shga huku ya kwenye duka kubwa kweli la simu kwa mwezi tu ni laki 6 shga yangu hhhh kwahyo nikaona nikuunganishie shga yangu maan hali yako naijuaa shoga na huyu mama Rahel mhhh ana gubu kama nini , mimi mwenye naacha kazi kam wee haupo shgaa" nilijisikiaa huzuni yaani nimepata nafasi nzuri kweli ya kazi halafu nipp hapa nahudumia ndoa na Fatma alikuwa hajui kwasababu hata picha za harusi sikuwa nazo maan kwenye hyoo ndoo ilikuwa kam ya fumanizi nilichora ndio ila sasa , hamna watu zaidi ya familia yangu na majirani wachache mhhh...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya-9-wee-jamni-hata-kam-ndio-umefukuzwa-kazi-ndio-hupatikani-shoga
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 16 Siku iliisha na mume wangu hakurudi na kesho yake mama wakwe
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 17 - 18 Mama alifurahi sana maana na yeye alikuwa amekuja kwa kaka
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 19 - 20 Tuliendelea na shughuli yetu hakupata shida
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 14 Asubuhi ilifika pia sikumuuliza chochote hii ilimpa mawazo
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 12 Aliendeleaa kunipa juicee ila kuna muda aliacha afu mwenzenu nishanogewa
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 7 Aliendeleaa kunishikilia kwa nguvu huku akinipa juice na mimi nilikuwa sitoi
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 10 Nilikuwa nimejikalia zangu chumbani sina tena maumivu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 11 Tukiwa tumelala kuna simu ikawa inaitaa alikuwa anapiga
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 6 Nilitoa macho mimi hadi machozi yalinitiririka jamani mimi nilijikuta nalia ila kwa sauti ya chini chini
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 13 "Kabil wewe ni wakuniolea mwanamke kisiri siri? , mpaka naambiwa na ndugu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 8 "Mke wangu usinichukiee sasa nisamehe ika , mimi ndio mmeo wa kufa na kuzikana sawa mke wangu"