Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA  SEHEMU YA 20*  Niliposikia zawadi nikakituliza🫠🫠...jamaa alifungua mfuko wa kwanza akatoa vinguo vya ndani vizuri kweli😊😊
Gonga94 · Stories

MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 20* Niliposikia zawadi nikakituliza🫠🫠...jamaa alifungua mfuko wa kwanza akatoa vinguo vya ndani vizuri kweli😊😊

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Mfuko mwingine ulikuwa na manukato mazuri hayooo🤩🤩 alinichukulia vitu muhimu vya kidada nguo manukato ped saa simple shoes nilifurahi sana..

Aliniambia I'm sorry jana nilikuchania nguo zako najua ulichukia naomba unisamehe zarina nilizidiwa na nilikuwa na muda mrefu sana sijakutana na mwanamke kimwili ndo maana nilishindwa kujizuia I'm sorry mamaa..

Aliniambia akiwa amenishikilia mkono nilitamani aseme kitu yani aniambie ananipenda na anataka kuwa na mimi wala hakulitamka hilo😓😓its okay Kingston nimekuelewa na nimeshakusamehe..

Asante kwa zawadi pia😔😔nilimjibu hivyo huku machozi yakitaka kunidondoka nilibebelea zawadi zangu nikakimbilia chumbani kwangu😔

Jamaa alizidi kushangaa kama nimemsamehe why niko kwenye hali ile😔😔mimi naye kichwani nawaza tu kwanini haniambii kama ananipenda😭😭

Nililia yale mazawadi nikayatupa hapo chini uuuwww kumbe muda wote Kingston yuko mlangoni ananishangaa🙈🙈nilipotupa zile zawadi na kujitupia kitandani nikashangaa ananiuliza zarina kuna shida gani mamaa talk to me🥺..
Umeniharibia usichana wangu nani atanioa😭😭😭mama yangu haezi kunielewa Kingston kwanini ulinifanyia hivo najuta kuja kufanya kazi kwenu😭😭😭

Yani nikaanza kumtupia lawama mkaka wa watu nikasahau huo usichana wenyewe ulisha koswa koswa na vinuka mkojo kibao wa kule kijijini kwetu😂😂😂

Kingston aliponiona nalia huku namtupia lawama maskini akakaa kimya badae akaanza tu kunisisitiza nimsamehe..

Yani kwanini asiniambie nisijali ye atanioa🥺🥺dah jamaa hakuniambia hivyo na siku zilizidi usonga

ule ukaribu wa kirafiki kati yangu na Kingston ukazidi kupungua my wenu nikawa nateseka na mapenzi juu ya Kingston🥹🥹🥹..

Siku moja usiku wakati tuko mezani tunakula nilipatwa na kichefu chefu cha ghafla😳😳😳

Nikawa najaribu kujizuia pale mezani nisitapike nikashindwa....ilibidi tu niinuke mbio kwenda kutapika😔😔

Watu wote walibaki wanashangaaa😳😳😳zarina una shida gani kwanini unatapika😳

Sikuwa na majibu niliwaambia tu tumbo linanivuruga sana nahisi siko sawa naomba nikalale sijisikii kula tena..

Wazazi wa Kingston walinielewa its okay lakini hilo tumbo ni mara ya pili sasa.... inabidi kesho twende ukapime tujue shida ni nini....

Wazazi waliniambia hivyo huku wakiwa wanaonekana kuhisi kitu😰😰😰...niliondoka kuelekea chumbani kwangu huku macho yangu nikiwa nimeyaelekeza kwa Kingston 🥹🥹

Nilihisi kabisa nitakuwa na mimba🥹🥹🥹sijawahi kujihisi hivi kabla na sijui itakuwa nikipatikana na mimba Kingston atasemaje?..

Niliingia chumbani kwangu kichwa kikiwa kinawaka moto nawaza mpaka nahisi kuchanganyikiwa🙌

Wakati nawaza mara nikashangaa Kingston anaingia pale chumbani😳😳😳alikuja kwa kunyata na alionekana mwenye wasiwasi mwingi sana..

Aliniangalia sana bila kuongea chilchote nami ilikuwa vivyo hivo🥹🥹nilikuwa namtizama huku machozi mengi yakinibubujika machoni..

Wakati tunatizamana kwa masikitiko ghafla ilisikika ukelele ni kama kuna mtu alikuwa anakuja kule chumbani kwangu...

Nilimuomba Kingston ajifiche asikutwe kule chumbani kwangu italeta shida..

Kweli Kingston alijibanza kwenye pazia na baada ya sekunde chache aliingia mama Kingston akiwa na dawa za tumbo pamoja na maji kwenye Glass..

Aliniuliza kama tumbo bado linaniuma nikamwambia hapana kwa sasa haliumi mama..

Mama alinigusa kwenye mapigo ya moyo yalikuwa yananienda mbio kuliko kawaida😰😰

Aliniuliza zarina una uhakika hakuna kitu chochote unachonificha?....

Nilitetemeka vibaya mno😰😰😰nilipiga jicho kule kwenye pazia alikojificha Kingston nikamuona akiwa ananionesha ishara kwamba nisiseme chochote🙏🙏

Je nini kitafuata??...

USIKOSE SEASON TWO🔥

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 20* Niliposikia zawadi nikakituliza🫠🫠...jamaa alifungua mfuko wa kwanza akatoa vinguo vya ndani vizuri kweli😊😊



Mfuko mwingine ulikuwa na manukato mazuri hayooo🤩🤩 alinichukulia vitu muhimu vya kidada nguo manukato ped saa simple shoes nilifurahi sana..

Aliniambia I'm sorry jana nilikuchania nguo zako najua ulichukia naomba unisamehe zarina nilizidiwa na nilikuwa na muda mrefu sana sijakutana na mwanamke kimwili ndo maana nilishindwa kujizuia I'm sorry mamaa..

Aliniambia akiwa amenishikilia mkono nilitamani aseme kitu yani aniambie ananipenda na anataka kuwa na mimi wala hakulitamka hilo😓😓its okay Kingston nimekuelewa na nimeshakusamehe..

Asante kwa zawadi pia😔😔nilimjibu hivyo huku machozi yakitaka kunidondoka nilibebelea zawadi zangu nikakimbilia chumbani kwangu😔

Jamaa alizidi kushangaa kama nimemsamehe why niko kwenye hali ile😔😔mimi naye kichwani nawaza tu kwanini haniambii...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmh-dady-nikikupa-utanioa-sehemu-ya-20-niliposikia-zawadi-nikakituliza-jamaa-alifungua-mfuko-wa-kwa

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmh-dady-nikikupa-utanioa-sehemu-ya
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA  *SEHEMU YA 17,18  Binti aliyekuwa chaguo la wazazi ni Mary..yule Dada wa kichaga😣😣😣..
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA *SEHEMU YA 17,18 Binti aliyekuwa chaguo la wazazi ni Mary..yule Dada wa kichaga😣😣😣..
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 13/14  Kingston alibakia kunitizama tu🙈🙈mi ikabidi nifunge macho yani kuna vile viaibu vya kike
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 13/14 Kingston alibakia kunitizama tu🙈🙈mi ikabidi nifunge macho yani kuna vile viaibu vya kike
MMMH  DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 15 ,16  Kingston alisimama baada ya kuisikia ile kauli ya kuogeshwa😂😂😂akageuka akaniangaliaaaaaa...
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 15 ,16 Kingston alisimama baada ya kuisikia ile kauli ya kuogeshwa😂😂😂akageuka akaniangaliaaaaaa...
MMMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA  SEHEMU YA 12*  Boy akanivuta karibu yake zero distance nyieeee nilishindwa mpaka kuhema🙈🙈hata kumtizama sikuweza😂😂
MMMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 12* Boy akanivuta karibu yake zero distance nyieeee nilishindwa mpaka kuhema🙈🙈hata kumtizama sikuweza😂😂
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA  SEHEMU YA 09*  Baada ya Kingston kusinzia wazazi walirudi jikoni kuendelea na kazi zao mimi nikaambiwa nimwangalie mgonjwa akishtuka usingizini asije jidhuru
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 09* Baada ya Kingston kusinzia wazazi walirudi jikoni kuendelea na kazi zao mimi nikaambiwa nimwangalie mgonjwa akishtuka usingizini asije jidhuru
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

1.08K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

906
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

687
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57

538
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘

535
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58

497
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

484
MY CRAZY BOSS 06

MY CRAZY BOSS 06

126
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

119
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

101

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.2K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.93K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 07 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 07
@majario LIVE

SONGA NAYO Asubuhi wa kwanza kuamka nilikuwa mimi,nilijikuta na uchovu wa ajabu sana,nikaona niamke nielekeee chooni kukojoa Ile natoka tu kwenye shuka 😳😳nikagundua nipo uchi wa mnyama🥲hapo ndo akili ikanirudi nikagundua yaliyojiri...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii...

MY WANGU❤️ sehemu ya 108 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
@majario LIVE

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘
@majario LIVE

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili...

What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English Post Mpya
What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English
@majario LIVE

If I had to choose one German food I could eat every day and never get tired of, it would be Brötchen—those small, crusty bread rolls that are everywhere in...

MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu! Post Mpya
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
@majario LIVE

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa...

When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap Post Mpya
When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap
@majario LIVE

, totally different career phases, and zero interest in pleasing society—it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a...

Sad news from the film fraternity 💔  Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60 Post Mpya
Sad news from the film fraternity 💔 Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60
@majario LIVE

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May...

Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1 Post Mpya
Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1
@majario LIVE

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What...

MY CRAZY BOSS 06 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 06
@majario LIVE

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘
@majario LIVE

Mmmhhhh namba ni ya nani hii😪😪 yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu gani🌚🌚 yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest