Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA  *SEHEMU YA 17,18  Binti aliyekuwa chaguo la wazazi ni Mary..yule Dada wa kichaga😣😣😣..
Gonga94 · Stories

MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA *SEHEMU YA 17,18 Binti aliyekuwa chaguo la wazazi ni Mary..yule Dada wa kichaga😣😣😣..

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


na yule aliyesababisha kampuni kuyumba ambaye ndo chaguo la Kingston wazazi hawakumridhia..

Kingston anadai yeye hakumpenda Mary na baada ya kuona wazazi wameshaanza kuandaa ndoa yake na Mary... hapo ndipo alipoanza kuigiza huo ugonjwa wake ilimradi tu asiweze kufunga ndoa na Mary 😳😳😳

Maigizo yake yalizaa matunda kwa kiasi kikubwa sana...

Wazazi wa Kingston waliamini kweli kijana wao ni mgonjwa hivyo wakaanza kuhangaika sehemu mbalimbali kumtafutia tiba lakini hawakufanikiwa🥹🥹..

Kingston ilibidi aanze kuwa anabakia nyumbani kama mtoto mwenye utindio wa ubongo na mara nyingi alikuwa chini ya uangalizi wa wazazi wake..

Wazazi baada ya kuona makampuni yao yanazidi kulala walianza kutafuta kijakazi wa kuwa anamuangalia Kingston ili wao waweze kuendelea na kazi za kuendesha kampuni zao...

Kijakazi nilipatikana mimi Zarina... na wakati nakuja kuanza kazi Kingston anadai alikuwa ameshachoka kukaa ndani kama mfungwa....
siku moja aliwaandikia wazazi wake barua ya kuwataarifu kuwa kwa sasa amepata nafuu kidogo hivyo anapanga kurudi chuoni kujiendeleza kielimu....

Aliwaambia kuwa njia hiyo inaweza ikamsaidia kupunguza nguvu ya huo ugonjwa wake na anaweza kujifunza kuongea kupitia kwa wanafunzi wenzake wa chuoni...

Wazazi walimkubalia na Kingston akarudishwa chuoni kuendelea na masomo yake chini ya uangalizi maalumu...

Kingston anadai watu wote waliamini yeye ni mgonjwa kwa sababu kiwango chake cha kuigiza kilikuwa cha juu sana...

Alikuwa anaongea kwa vitendo na muda wote alikuwa anatililisha udenda mdomoni mwake na mikono yake kuiweka kama wale watu wenye utindio wa ubongo...

Aliniambia mpaka sasa watu wote wanaamini yeye ni mgonjwa wa akili isipokuwa mimi hapa zarina...

Kingston aliniambia ya kwamba kinachomuumiza kwa sasa ni kitu kimoja tu...

Anadai baada ya yeye kuanza kuigiza kama mgonjwa wazazi wake walizunguka sehemu nyingi sana kumtibu na walipoona haponi...

wakaamua kumzushia yule bidada anayependwa na Kingston et ye ndo amemroga Kingston baada ya kusikia anamuoa mwanamke mwingine🙂

Kingston anadai hilo swala lilimuumiza sana yule dada kwani bado alikuwa hata hajamkubalia Kuwa mpenzi wake ndo kwanza Kingston alikuwa katika harakati za kumshawishi ili aweze kumkubali..

Bora hata asimkubali😂😂nilijisemea hivo kimoyomoyo huku nikiendelea kumsikiliza Kingston🤗🤗..

Kingston alipokwisha kunielezea hayo yote alikaa kimya kwa muda kisha akaniambia zarina😭😭😭naona kama naelekea kuwa mgonjwa wa kweli maana lulu hataki kunielewa😭

Kama asiponielewa mimi nitachizi ukweli ukweli😭

Inasemekana kuwa huyo mwanadada mlimbwende ambaye ni lulu baada ya kutukanwa na wazazi wa Kingston hasira zote alihamishia kwa Kingston...

Anadai Kingston kamchafua mno na kusababisha ye aitwe mchawi na ilihali wala hajawahi kuwa naye kimahusiano🥱

Kingston alilia mno😰😰aliniambia kila jitihada anazofanya kumwelewesha lulu juu ya kilichotokea hazifanikiwi😣😣..

Lakini wanawake wapo wengi sana Kingston huenda lulu siyo fungu lako🥺🥺🥺nilimwambia hivyo huku nikiwa nawaza namna ya kumpangua lulu kichwani kwa Kingston ili niweze kukaa mimi👌..

Je atafanikiwa zarina?.. tukutane katika sehemu inayofuata...nini kitafuata?..

*SEHEMU YA 18*

Kingston aliniambia I know😭😭ninajua wanawake wapo wengi lakini siwataki namtaka lulu🥹🥹 please zarina naomba unisaidie nimpate lulu nakuahidi ukinisaidia kwenye hili basi nitakulipa kitu chochote utakachokihitaji..

🙄🙄🙄🙄lait angejua namimi namtaka wala asingethutu kuniomba nimsaidie huo upuuzi..

Hivi hanioni🥹🥹 ina maana mimi simvutii???.

Niliwaza sana lakini nikasema sitakiwi kufosi ukitaka kumpata mtu kirahisi we jiunge naye tu...

Niliona njia rahisi ya kumpata Kingston ni kumkubalia kile anachokitaka..

Nilimwambia yes mi nitakusaidia kwa kila kitu mpaka umpate lulu🥰🥰 alifurahi mno alinikumbatia kumbato fulani hivi💋

Kilichokuwepo akilini mwake sicho kilichokuwepo kwenye akili yangu😩😩😩

Yeye anawaza atampataje lulu mimi nawaza nitampataje yeye😂😂 aloooh mambo ni mengi muda ni mchache🤣

Kuanzia siku hiyo bwana Kingston akaanza kuwa rafiki yangu🥰🥰🥰aliniomba kila kitu alichonieleza kibaki siri kati yetu...

Kazi yangu kubwa ilikuwa kumsifia sifia Kingston na kumtaja taja lulu kila muda...

Nilikuwa kama chawa lakini sikukaa kizembe😂😂🤞nilikuwa natafuta namimi njia itakayoweza kunipa nafasi katika moyo wa Kingston The Boy mapesa..

Kingston alizidi kunipenda kama rafiki mara moja moja akitoka ananiletea zawadi kiukweli mambo yalianza kuwa mazuri sana🥰🥰..

Siku moja bwana Kingston aliniaga akaniambia anatoka anaenda kuonana na rafiki yake lulu huyo rafiki yake lulu alimpigia Kingston akamwambia yupo sehemu na lulu ikiwezekana Kingston afike pale ili aweze kuwafanyia mpango wazungumze🥺

Ilikuwa siku ya ijumaa saa 8 mchana Kingston alitoka kuelekea hiyo sehemu huku nyuma nikabaki moyo unavuja damu🥹🥹

Nilimuomba Mungu huko anakoenda Kingston kustokee maelewano mazuri naomba wafarakane watukanane ikiwezekana wapigane kabisa🥺..
Na kweli ilipita kama lisaa limoja hivi na nusu Kingston akarudi akiwa na pombe kali na alikuwa amechafuka vibaya mno😳😳😳nilimkimbilia nikamkumbatia🥺🥺

Nini kimetokea???..

Alianza kulia na kunisimulia kila kitu kilichotokea😰😰aliniambia lulu alipomuona tu alimmwagia kinywaji na kumpiga na ile glass ya kinywaji na baada ya hapo akaondoka kwa hasira wala hakutaka ksikiliza kwa lolote😰😰..

Nilijisikia furaha lakini nilimhurumia sana Kingston alikuwa na maumivu makali sana🥹🥹

Nilijaribu kumbembeleza lakini aliingia chumbani kwake na kujifungia huko🥺🥺🥺 nilijaribu kumngongea lakini wala hakufungua...

Nilibakia pale mlangoni kwake nikiwa nalia kwa uchungu🥹🥹🥹muda ulipita baada ya masaa kadhaa Kingston alifungua mlango lakini alikuwa amelewa chakali😥

Alikuwa anataka kwenda kuongeza pombe zingine🥺🥺nilimzuia asifanye hivo..

Nilimrudisha chumbani kisha nikawa nambembeleza😰😰katika kumbembeleza nikajikuta naanza kumshika shika kifuani😥😥😥..

Kwa vile Kingston kashalewa wala hakunizuia alibaki kuniangalia tu huku mwili wake ukiwa katika hali mbaya zaidi😣😣..

Baada ya kumshika Kingston kwenye maeneo yale hatarishi alishikwa na hisia kali sana😣😣 hisia zilipomzidia alinishika mkono wangu na kuniuliza u..nafanya nini zarina please Don't Do this..

Sauti yake ilikuwa ya tofauti na siku zote🫦💋 mi sikuweza kuacha kumshika niliendelea kumpapasa bila kuacha..

Kingston alipozidiwa aliinama shingoni kwangu na kuanza kuninyonya...nilipagawa nikawa natoa miguno ya ajabu💋💋💋

Kingston alipoona napiga kelele bila kujizuia aliniziba mdomo kwa kuninyonya denda Dah💋💋💋

Nini kitafuata?..

Maoni

You're not logged in


profile
officialgonga 17 Oct 2025 03:58
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA

*SEHEMU YA 17,18

Binti aliyekuwa chaguo la wazazi ni Mary..yule Dada wa kichaga😣😣😣..
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA *SEHEMU YA 17,18 Binti aliyekuwa chaguo la wazazi ni Mary..yule Dada wa kichaga😣😣😣..



na yule aliyesababisha kampuni kuyumba ambaye ndo chaguo la Kingston wazazi hawakumridhia..

Kingston anadai yeye hakumpenda Mary na baada ya kuona wazazi wameshaanza kuandaa ndoa yake na Mary... hapo ndipo alipoanza kuigiza huo ugonjwa wake ilimradi tu asiweze kufunga ndoa na Mary 😳😳😳

Maigizo yake yalizaa matunda kwa kiasi kikubwa sana...

Wazazi wa Kingston waliamini kweli kijana wao ni mgonjwa hivyo wakaanza kuhangaika sehemu mbalimbali kumtafutia tiba lakini hawakufanikiwa🥹🥹..

Kingston ilibidi aanze kuwa anabakia nyumbani kama mtoto mwenye utindio wa ubongo na mara nyingi alikuwa chini ya uangalizi wa wazazi wake..

Wazazi baada ya kuona makampuni yao yanazidi kulala walianza kutafuta kijakazi wa kuwa anamuangalia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmh-dady-nikikupa-utanioa-sehemu-ya-17-18-binti-aliyekuwa-chaguo-la-wazazi-ni-mary-yule-dada-wa-kic

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmh-dady-nikikupa-utanioa-sehemu-ya
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA  SEHEMU YA 20*  Niliposikia zawadi nikakituliza🫠🫠...jamaa alifungua mfuko wa kwanza akatoa vinguo vya ndani vizuri kweli😊😊
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 20* Niliposikia zawadi nikakituliza🫠🫠...jamaa alifungua mfuko wa kwanza akatoa vinguo vya ndani vizuri kweli😊😊
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 13/14  Kingston alibakia kunitizama tu🙈🙈mi ikabidi nifunge macho yani kuna vile viaibu vya kike
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 13/14 Kingston alibakia kunitizama tu🙈🙈mi ikabidi nifunge macho yani kuna vile viaibu vya kike
MMMH  DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 15 ,16  Kingston alisimama baada ya kuisikia ile kauli ya kuogeshwa😂😂😂akageuka akaniangaliaaaaaa...
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 15 ,16 Kingston alisimama baada ya kuisikia ile kauli ya kuogeshwa😂😂😂akageuka akaniangaliaaaaaa...
MMMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA  SEHEMU YA 12*  Boy akanivuta karibu yake zero distance nyieeee nilishindwa mpaka kuhema🙈🙈hata kumtizama sikuweza😂😂
MMMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 12* Boy akanivuta karibu yake zero distance nyieeee nilishindwa mpaka kuhema🙈🙈hata kumtizama sikuweza😂😂
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA  SEHEMU YA 09*  Baada ya Kingston kusinzia wazazi walirudi jikoni kuendelea na kazi zao mimi nikaambiwa nimwangalie mgonjwa akishtuka usingizini asije jidhuru
MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 09* Baada ya Kingston kusinzia wazazi walirudi jikoni kuendelea na kazi zao mimi nikaambiwa nimwangalie mgonjwa akishtuka usingizini asije jidhuru
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

1.06K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

836
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

678
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57

530
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

468
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58

438
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

255
MY CRAZY BOSS 06

MY CRAZY BOSS 06

118
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

110

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.2K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.93K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 07 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 07
@majario LIVE

SONGA NAYO Asubuhi wa kwanza kuamka nilikuwa mimi,nilijikuta na uchovu wa ajabu sana,nikaona niamke nielekeee chooni kukojoa Ile natoka tu kwenye shuka 😳😳nikagundua nipo uchi wa mnyama🥲hapo ndo akili ikanirudi nikagundua yaliyojiri...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii...

MY WANGU❤️ sehemu ya 108 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
@majario LIVE

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘
@majario LIVE

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili...

What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English Post Mpya
What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English
@majario LIVE

If I had to choose one German food I could eat every day and never get tired of, it would be Brötchen—those small, crusty bread rolls that are everywhere in...

MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu! Post Mpya
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
@majario LIVE

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa...

When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap Post Mpya
When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap
@majario LIVE

, totally different career phases, and zero interest in pleasing society—it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a...

Sad news from the film fraternity 💔  Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60 Post Mpya
Sad news from the film fraternity 💔 Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60
@majario LIVE

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May...

Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1 Post Mpya
Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1
@majario LIVE

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What...

MY CRAZY BOSS 06 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 06
@majario LIVE

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘
@majario LIVE

Mmmhhhh namba ni ya nani hii😪😪 yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu gani🌚🌚 yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest