MSHANGAZI
EPISODE 1
Usiku wa saa nne, upepo wa baharini ukipepea mapazia meupe ya hoteli moja ya kifahari Masaki, Oscar alisimama mbele ya dirisha akiwa amevaa box.... Tu , kifua wazi kimechongoka na ngozi yake nyeusi iliyong’aa kwa mafuta ya baby care. Macho yake yalikuwa mazito, si kwa usingizi… bali kwa hamu aliyokuwa ameijaza tumboni.
Kitandani kulikuwa na Vicky. Akiwa amelala kifudifudi juu ya mashuka meupe, akiwa amevaa kitenge kifupi kilichosokotwa kama taulo kiunoni — miguu yake ikiwa wazi kabisa, na mgongo wake uliopambwa na tattoo ndogo ya "Queen" karibu na kiuno.
"Usisimame sana huko Oscar… njoo hapa… mummy anakuhitaji kijana kama wewe ....
Oscar aligeuka na kutembea taratibu, akamvamia Vicky kwa mikono yake miwili kama simba anayeuteka mwili wa windo lake. Mikono yake ilianza kutalii sehemu mbali mbali za himaya hiyo .......
“Unajua unavyoifanya damu yangu ipande, siyo?” Vicky alimuuliza huku akimshika ikulu kwa mkono wake mweupe.
Oscar alinguruma kimahaba. “Mummy... leo sitakuruhusu ulale mpka Nikuchoshe .....”
Hapo mambo yakaanza kubadilika. Vicky alimvuta Oscar juu yake. Mikono yao ilianza kucheza kwenye idara yake , miguno ikaanza kusikika polepole, wakawa wanajipigiana mipasi humu yaani humu tu.
“Naomba... usinichoshe leo... leo ni siku yangu, Oscar,” Vicky alitoa sauti za wakubwa ambazo watoto huku Oscar akizama zaidi, akimvuta kwa nguvu. Harufu ya manukato ya chumbani ikachanganyika na jasho la mapenzi — moto wa tamaa ukashika kasi.
Wakawa wanalala, wanaamka, wanageukana, yaani ni moto wankuotea mbali..., wanashikana i. Sauti za mguno zilijaa chumbani, zikazidi hata sauti ya redio iliyokuwa ikipiga nyimbo za R&B.
Wakati huo, simu ya Oscar ikaita. Aliitazama — ilikuwa ni namba ya mwanamke aliyekuwa anampenda bila kujua kuwa Oscar tayari alikuwa ameangukia kwa mama mwenye pesa na ladha ya hatari.
Lakini Oscar aliizima. Akasema, “Leo ni usiku wa moto… nitajibu kesho. Leo ni wewe tu, mummy.”
Vicky alitabasamu huku akimvuta tena, “Njoo mtoto… mummy hajatosheka…”.