Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MY CHUNUN* 01
Gonga94 Β· Stories

*MY CHUNUN* 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

*MY CHUNUN* 01

Naitwa Caren..
Nilipo matokeo yametoka kwenda chuo nimefaulu na nina kapingwa chuo dar..Wazazi na ndugu zangu walifurahi sana kuona nimefauru maana kwenda chuo c mchezo bhn..

Baas baada ya kama wiki mbili nikajiandaa na kufunga safari kwenda zangu dar ili kuanza chuo chuo cha IFM kigambonii..

Nilipofika pale nilikaa hostel maana nilikua mgeni sijui kitu chochote..

??????

Haya sasa maisha ya chuo yameanza na mm nimeshazoea chuo ila sina marafiki na kule nyumban niliambiwa nikifika dar niwe makini ila sikujua umakini kiaje..niliambiwa dar huchelewi kufa na nikaona kweli maana kuna magari mengi htr ukiwa mzembe unakufa dkk sifuri tu..?

Nilikua busy sana na maisha yangu na masomo yangu mpk siku moja mdudu alipo niingia
(Sijui mududu kaingia)

Iyo siku bhn ilikua after class hours..Nikamuona mkaka mmoja kaingia class akamsemesha mtu sasa alikua mzuri kias kwamba siwez kujizuia kumwangalia..sijui alishtukia kma kuna mtu anamwangalia nikaona wamegeuka wote pamoja..paaap? nikabaki nimeganda tu hata sijui cha kufanya yule kaka akanipungia mkono..? yelewiii nilihisi kma shoti inapiga hivi..nikatabasamu nikageuka pembeni.. yule kaka alivomaliza kuongea akatoka daah harufu yake ikabaki mle drsn afu nikajishtukia hivi mm nna akili kweli..

Nikaendelea kusoma ila kija nikijaribu ku focus moyo unawaza kwingine akili ina imagine vitu vingine.. nikafunika madaftar yng nikaanza kwenda hostel nikapumzike labda akili itakua imechoka...

Kutoka nikapishana na yule kaka..sijui nn kilitokea ila nilitamani kukimbia au kubadilisha njia lkn ubaya tunapishana koridoni nikasema haina shida ngoja niendelee kutembea mpk tunapishana mm akili ime freeze..alivo nipita nikaongeza mwendo nikakimbia mpk room najiuliza hivi mm nna matatizo gani leo?
Nikaamua nilale nikiamka takua sawa...

Nakujaaa...?

*MY CHUNUN* 02

Nilipo amka ilikua ni mida ya jion jion saa moja tuseme tu ni usiku giza lilisha ingia na njaa ikawa inauma..nikaenda kuoga nikatafte chakula nile..

Wakati natoka hostel nikapishana na wadada wanajadili kitu ila niliskia tu kwa mbali si mnajua wale ma slay queen wa vyuo *"Oh my God he is so hot"* mwenzake akamjibu *"I know right wow he is my crush"* sikujua wanazungumzia nn au nani ila nikajua tu ni mwanaume nikajisemea moyoni _"crush my foot"_ Nikaendelea na safari zangu..

Nikatoka kbs nje ya chuo nikaenda kwenye ki hoteli kimoja pale nikaagiza chips kuvu na juis ya miwa nikawa nakula..

Nimemaliza nikaenda kulipa nikaambiwa *"umeshalipiwa"* ..? *"nimelipiwa na nani?"*
Akasema *"kuna mkaka tu hapa alikua anakula alivo lipa akasema nikate na pesa ya chakula chako"* nikamwambia *"Sawa Asante kwa heri"* nikaondoka ila njiani najiuliza _"Nani kalipa?mbona sina hata rafiki wa kike alafu naambiwa mkaka?"_ Nikapotezea nikaendelea na safari ya kurudi hostel.. hua nna ratiba ya kusoma usiku.. nikaenda kuchukua vitabu vyangu kama kawaida nikaenda class kusoma..

Nimesoma mpk sa 6 nikaona nimechoka nikalale..Sasa natoka akaja mdada flani akanipa ki memo nikamwambia *"hiki nini?"* akasema *"Namba nadhani utazihitaji mda si mrefu"* nikamuuliza *"za nani na nita zihitaji kwa nn?"* akasema *"We piga useme hata Asante si umenunuliwa dinner?"* nikakumbuka yule mtu alie ninunilia chakula lkn sikumuomba sasa kwani lazima nikasema *"sawa"* nikachukua ile namba nikaondoka zangu ila nikasema _"ngoja tu nishukuru"_ nikapiga ile namba nilipo ingia hostel.. *"Halooo"* mmmh sauti nzuri nikasema *"Haloo unaongea na caren"* akasema *"Oooh mzima?"* nikawambia *"Mzima ila samahani sijakujua nashukuru kwa chakula ila sijakujua"* akasema *"niko hapa getini kama unataka kunijua njoo"* nikiangalia saa sa sita nikasema *"Samahani takuona kesho saiv mda umeenda sana"* nikakata cm nikalala...

Ila ile sauti mh mbn nzuri najiuliza sijui ni yule mkaka mzuri mzuri ila kesho pakikucha tamjua ni nani...

Kesho yake nimeingia class mapema kuingia tu nakutana na wale wadada nlio pishana nao jana pale koridoni mmoja akasema *"Wewe ndo caren?"* nikajibu *ndio kuna nini?*

Wakanivuluta mpka nje kma mwzi jmn..??

*Itaendeleaa...*

FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000
NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MY CHUNUN* 01


*MY CHUNUN* 01

Naitwa Caren..
Nilipo matokeo yametoka kwenda chuo nimefaulu na nina kapingwa chuo dar..Wazazi na ndugu zangu walifurahi sana kuona nimefauru maana kwenda chuo c mchezo bhn..

Baas baada ya kama wiki mbili nikajiandaa na kufunga safari kwenda zangu dar ili kuanza chuo chuo cha IFM kigambonii..

Nilipofika pale nilikaa hostel maana nilikua mgeni sijui kitu chochote..

??????

Haya sasa maisha ya chuo yameanza na mm nimeshazoea chuo ila sina marafiki na kule nyumban niliambiwa nikifika dar niwe makini ila sikujua umakini kiaje..niliambiwa dar huchelewi kufa na nikaona kweli maana kuna magari mengi htr ukiwa mzembe unakufa dkk sifuri tu..?

Nilikua busy sana na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-chunun-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-chunun
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.

340
SHAMIRA 82 MPK  86

SHAMIRA 82 MPK 86

316
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)

SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)

276
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

229
SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4)

SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)

207
SHAMIRA 67 to 70

SHAMIRA 67 to 70

197
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12

NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12

184
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

153
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5

149
SHARON 1 mpka 5

SHARON 1 mpka 5

146

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.78K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.48K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.85K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.95K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.92K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.75K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.73K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.67K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema β€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.” Alinitazama akisema β€œeenh chaupole wangu nipe nipe.” Nilimtazama na kusema β€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  ​Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA ​Episode 1
@majario LIVE

​Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ vitoto vya mskini sisi akili ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
@majario LIVE

πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Reyhan kwel ananifanyia mm hiv?niliumia sana huku nikimuangalia ivan anaonfoka zake.reyhan akasema imeisha hio huwez nifanyia mm umalaya ww,unanijua unaskia?sasa uneshakua malaya kweli washkaj malizaneni nae m najikataa.aliongea huku...

NAKUPENDA BILA  13 - 25 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 13 - 25
@majario LIVE

MIPAKA:13 β€œKeti tafadhali.” Nilimtazama, yeye hapo hata hajainua uso wake. Nilimeza mate nikaketi hapo moyoni najisemesha β€œwenye hela wana ringa jamani kwani si anitazame hata.” Nilipoketi aliniinua uso wake na kunikabidhi karatasi akisema...

SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR) Post Mpya
SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 87 Mwandishi; lissa wa huru media Siku iyo sasa nimeenda kazini. Ile nimefika tu asubuh love akainiita mh nikaogopa nikahisi au nimeharibu sehemu.mana kufika na kufika nimeitwa.nijaenda kisha ...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sasa hapo ndio nimekwisha sasa,uwiii,niliogopa nikamsukuma ivan,akasema nani huyo?nikasema ni ticha,akasema ticha wako ndio anakufata mpaka huku?mm nikatoa tu macho,ivan akasema subir hapa,nikasema sawa,akanyanyuka akavaa nguo akatoka mm name...

SHAMIRA 82 MPK  86   Post Mpya
SHAMIRA 82 MPK 86
@majario LIVE

(SEASON FOUR) (HURU MEDIA) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 82 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo...

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5 Post Mpya
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA Ni majira ya jioni ikiwa ni muda mfupi tokea ametoka bafuni kuoga kwa ajiri ya kujiandaa aweze kurudi nyumbani mara baada muda wa kazi kuisha, Isabela akiwa...

SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4) Post Mpya
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
@majario LIVE

(HURU MEDIA wababe wa hili Game) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 79 Mwandishi; lissa wa huru media Nimawa nagoma kutoka .uku nalia nikawa nasema mama usinizalilishe plsss .yule mama akasema nisikuzalilishe nini...

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.
@majario LIVE

Nilikaa na kimimba changu kilimpenda, king Yani akikawia tu kuludi nyumbani najikuta naanza kulia, mpaka majilani nawapa Malala Miko napita Kwa majilani Yani mpaka king aje ndo naakubali kulejea nyumbani,...

*BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“*  "1__5" Post Mpya
*BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“* "1__5"
@majario LIVE

SEHEMU YA "1"πŸ’“πŸ˜½ BY BABIE LOVE "Alikuja kama muuza chai kumbe ni BillioneaπŸ’΅" Nyie njooni niwaambie kitu ……… mnazijua chapati? Sambusa je ? πŸ˜‚πŸ˜‚ nani hazijui halfkeki ? Wote mnazijua ? Ona sikilizeni...

Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood Post Mpya
Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood
@majario LIVE

. Nargis was known for her natural acting and powerful screen presence. Films like Mother India made her a timeless icon, and even today she is remembered as one of...

SHARON 1 mpka 5 Post Mpya
SHARON 1 mpka 5
@majario LIVE

🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺 *SHARON* Sehemu ya 1 Kwa majina naitwa sharon hillary, mm ni mtoto wa 3 kuzaliwa katika familia ya watoto watatu, so mm ni wa mwisho kuzaliwa wa kwanza ni kaka yetu anaitwa...

Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy πŸ‡ΈπŸ‡³ Post Mpya
Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy πŸ‡ΈπŸ‡³
@majario LIVE

Mara baada ya filimbi ya mwisho akatoa kadi yake nyekundu,anataka kumuona mtu amfuate kuhoji maamuzi yake. Kuna afisa mmoja wa benchi la Al Ahly alitaka kwenda,baada ya kuona kadi nyekundu imeshikwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest