Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA SITA 06, 07,
Gonga94 · Stories

NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????NASEMA KWA MAMA*

*SEHEMU YA SITA 06, 07,

Endeleanayo.....
*
*
Dokta alibaki anafikicha tu Macho baada ya kuona baadhi ya picha zake za uchi akiwa na Frenk kwenye ile Lodge..

****
****
Dokta alisimama na kuzitupa zile picha mezani huku anaendelea kusoma ule ujumbe alioandikiwa.

"" "Katika hili usije kujidanganya ukaja na jeshi la polisi ili unikamate. Hautofanikiwa, na endapo utamkamata mmoja ujue kuna wengine wawili nyuma na watasambaza kila kitu na kukichafua kabisa hospitali yako..

Kulinda heshima na hadhi yako kwenye mji huu wa Moshi na Moureen hospital iwe kubwa tafadhali jitahidi ndani ya siku tatu hizo pesa zipatikane..

"" "" "Au huu mchezo na Frenk kahusika eti.. Imekuwaje video kama hii irekodiwe. Kuna kitu Frenk anakijua... Aliongea mwenyewe Mama yake Dayana na kuzirudisha zile picha kwenye bahasha kisha kutoka nazo kwenda hadi kwenye gari....

******
******
Ndio Mkuu.. Mimi nimepangiwa kituo hiki cha kazi naomba ushirikiano wako ili kusukuma gurudumu la elimu kwa Vijana hawa.. Niliongea na kupeana mkono na Mwalimu mkuu wa ile shule...

Nilitoka nae ili aende kunitambulisha kwenye Ofisi ya walimu na baadae kwa wanafunzi wote.

Timekeeper aliitwa na kuambia agonge kengele ya dharura na wanafunzi wote waende Mstarini...

Nilienda na mkuu wa shule hadi kwenye ofisi ya walimu na kutambulishwa kisha kupewa meza na kiti ambayo itakuwa kwaajili yangu.

Baada ya hapo tulikwenda njee walimu wote na kuwakuta wanafunzi Mstarini....

"""Mguu pande, "" "" " Mguu sawa.." "" "Nyumaaa Geuka," "" "Nyumaaa geuka...
Aliongea mkuu wa shule na wanafunzi wote waligeuka kwa pamoja na kukaa sawa..

Walikuwa wamesimama wima na kuvalia sare za kupendeza sana... Kulikuwa na mistari ya watoto wa kiume na mistari ya watoto wa kike...

" "" "Haya jamani hamjambo watoto wazuri...
Aliongea mkuu wa shule..

" "" Hatujambo shkamoo.. Waliitika kwa pamoja..

"" "" Leo nimekuja na ugeni jamani.. Huyu anaitwa Mwalimu Frenk.. Ni kijana Mwenzenu kabisa kaajiriwa hapa..
Atawafundisha masomo ya Sayansi hasa Darasa la sita na lasaba..
Mshindwe tu kufaulu utakuwa ni uzembe wenu wenyewe...
Aliongea Mwalimu mkuu na wanafunzi walishangilia sana kumpata Mwalimu mwingine wa sayansi. Nadhani aliekuwa akiwafundisha Mwanzo alikuwa mkali sana...

Wanafunzi walitawanywa na kurudishwa madarasani huku wengi wao wakinitaza kwa tabasamu sana..

Walimu wenzangu walifurahi sana na kuanza kurudi Ofisini kwa pamoja..

Tukiwa tunakaribia kufika Ofisini, tulishtuka sana kuona Gari la Dokta Moureeni limeingia kwa spidi sana kwenye eneo la shule, karibu liwagongea wanafunzi waliokuwa wakiingia Darasani...

Mwalimu mkuu aligeuka kwa Hasira na kwenda kuifuata Gari ili aweze kumkaripia lakini kabla hajafika alishangaa kumuona ni Daktari ambaye ni Mashuhuri sana hapo Moshi mjini "Dokta Moureen.."

"" "" Aaahhhh.. Habari yako Daktari. Karibu sana shuleni kwetu...
Aliongea mkuu wa shule huku anajichekesha chekesha kwa Daktari...

Baada ya kumuona na mimi nilisogea karibu yao kabisa..

"" "" Salama Mwalimu... Alijubu Dokta huku ananitazama mimi...

"" "" "Samahani sana Mkuu.. Namuomba Frenk kwa leo kama huto jali kuna tatizo kidogo nyumbani.... Aliongea Doktaaa...

." "" "aaaahhhhh.. Hamna shida kumbe mnafahamiana..?.. Alijibu mkuu...

" "" Ndio ni mdogo wangu.. Namuomba kwa leo tu, kesho atarejea kazini...
Aliongea Dokta Moureen huku anaendelea kunitazama...

Nilikuwa kimya nisielewe nini hasa kinaendelea, "" "" au kapata habari kuwa nilifanya na mwanae usiku jamani.. Lakini mbona hajachukia sana..
Niliwaza kimya kimya huku nawapa mkono walimu wenzangu na kuwaaga kisha kupanda gari...

Walimu waligeuka kunitazama huku wanatabasamu sana, hakuna alie amini kama mimi ni mdogo wake na Dokta mashuhuri na tajiri kama yule pale mjini...

Baada ya kukaa vyema kwenye gari Dokta aliwasha na kuigeuza kisha safari ya kwenda nyumbani ikaanza...

Tukiwa njiani aligeuka na kunitazama huku anatokwa na Machozi..
Alinyoosha mkono mmoja kwenye Dashboard na kuchukua bahasha fulani ndogo kisha kunikabidhi..

"" "" Angalia huo utumbo uliokuwa ukiufanya... Nitakuua mbwa wewe kama unahusika..

Aliongea dokta na baadae alitafuta sehemu nzuri ambapo hakukuwa na watu wengi na kuipaki gari..

Kwasababu Gari ilikuwa na vioo vya giza basi ilikuwa ngumu kwa watu wa njee kuona kinachoendelea ndani....

Nilishika ile bahasha na kutoa picha zilizomo ndani... Nilishtuka sana kujiona mimi nimemkumbatia dokta tukiwa uchi...

Nilijikuta machozi yananitoka na kuinua uso kumtazama Dokta ila nilishangaa sana kuona Dokta pia kaninyooshea Bastola huku kanikazia sana Sura...

*SEHEMU YA SABA 07*

*****
*****

Nilibaki nimetumbua tu macho kwasababu ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuelekezewa bastola kama vile..

Mkojo na mavi vilinibana kwa pamoja...

Sikuelewa hata nisaa ngapi nimekojoa ila niliona tu Suruali ni mbichi....

Tukiwa bado tunatazamana, simu ya daktari iliingia ujumbe...

"" "usije kuthubutu kumkwaza Muhudumu wa ile lodge, nitakuua." "" "
Ilikuwa mesg kutoka kwenye namba ngeni...

Dokta alishusha bastola na kuvuta pumzi kisha kunitazama nilivyokuwa nikitetemeja na kutokwa na jasho.

Alinitazama nilikuwa nimejikojole pia..

" "" "Nisamehe Frenk.. Aliongea Dokta na kunikumbatia.

Muda wote nilikuwa kama nimechizika vile.. Sikuelewa nini kinaendele..

" "" "Hali ni kama hivyo.. Nafanyaje mimi.. Nitoe hizi pesa au niende polisi...
Aliongea Dokta..

" "" Hapana. Usitoe pesa wala usiende polisi inaonekana huu mpango umetengenezwa na huenda polisi wamehusika pia. Mtu wa kawaida hawezi kujiamini kiasi hiki.. Niliongea huku namtazama Daktari....

"" "" "Sasa tunafanyaje.???? Aliuliza tena Dokta..

" "" "" Sikiliza... Nakuomba nikupe namba za binti mmoja ni Mtaalamu sana wa Masuala ya intelijensia ya Usalama..
Huyo binti nilisoma nae miaka ya Nyuma kidato cha kwa kwanza hadi cha nne na baadae alikwenda jeshini kisha kwenda Marekani kwa miaka mitatu kijifunza masuala ya ujasusi.. Ni miongoni mwa askari wa siri sana..
Anaitwa LIDYA... tafadhali sana nakuomba ukaonane nae leo leo na pia leo leo kazi ianze.. Tutawapata tu hawa wahalifu naamini...

Niliongea na kumpatia Daktari namba za LIDYA binti ninae mfahamu na mtaalamu sana kwenye maswala ya upelelezi..

Dokta alipiga zile namba ikaita tu bila kupokelewa kama mara mbili...

"" "" "Atakuwa bize nadhani.. Hapokei sim.. Aliongea dokta huku anairudisha bastola yake kwenye Dashboard ya gari...

Aliwasha gari ili turudi nyumbani.. Lakini kabla hajaweka gia simu iliita tena. .

Aliitazama Alikuwa ni LIDYA anapiga simu...

Dokta alinipa ile simu niongee nayo Mimi...

"" "" "" Mambo Madam LIDYA,
unaongea na Frenk Yohana... Nilijitambulisha kwanza kwasabau hatukumpigia kwa namba zangu..

"" "" Vipi rafikiangu habari za kazi... Umesharipoti kazini Moshi.??? Siuliniambia umepangiwa ualimu Moshi....
Aliongea LIDYA..

"" "" Ndio nipo Moshi ila kuna majanga kidogo naomba utusaidie tafadhali sana ndugu yangu...

"" "tatizo gani tena Frenk.. Umeshaanza majanga mapema hii jamani wewe mkaka.. Aliongea Lidya..

" "" "Kuna mama mwenye hii simu niliyokupigia nayo anakuhitaji kama utaweza kuja Moshi leo....

""""Hapana, siwezi ndugu.. Nina kazi nzito sana nimepewa na mkuu wangu..
Labda aje Dar Leo hii huyo mama..
LIDYA aliongea..

" "" Sawa.. Basi hadi kufikia mchana au jioni atakupigia simu muonane..

"" "Sawa Asantee..
Alijibu lidya na kukata simu...

****
" "" "Nakuomba ukaonane na huyu binti atatusaidia sanaa... Niliongea na kumrudishia dokta simu yake..

Dokta aliwasha gari hadi mjini.. Alienda hadi kwenye duka moja la nguo na kununua suruali moja ya kitambaa iliyofanana na ile niyokuwa nimeivaa muda ule kisha kunilitea kwenye gari...

" "" haya vaa hiyo.. Uliyo ikojolea hembu itupe...

"" "nilivaa upesi na safari ya kwenda nyumbani ilianza...

Tulifika nyumbani na kumkuta Dayana ametulia tu mwenyewe anaangalia TV, mdogo wake alikuwa shule kwa muda ule..

" "" Dayana.. Nimemrudisha kaka yako ameshajitambulisha shule. Kwasasa yupo tu hadi kesho..

Frenk umshauri Dayana kuhusu shule.. Kafeli chuo kwa ujinga tu. Sijui anawaza nini huyu mtoto.. Alikuwaga na akili sana alivyokuwa mdogo..
Aliongea Dokta huku anaingia ndani kwake..

Dayana alimsindikiza mama yake kwa jicho la dharau hadi alipo potelea kuingia ndani...

"" "" mhhh... Mbona mama karudi mapema leo au anasafari.??? Aliuliza Dayana..

"" "" Ndio aliniambia anataka kwe Dar leo ila kesho mapema sana atakuwa amerudi hapa...
Nilimwambia dayana,

"" "" "yessss... Dayana aliongea na kukunja ngumi, nadhani alifurahia nafasi ya kuwa mimi na yeye karibu kwa siku hiyo...

Nilitabasamu kisha na mimi pia nilipita kwenda chumbani kwangu kuweka vyeti vyangu vizuri..

*****
Baada ya mda Mama yake dayana alikuja akiwa tayari kwa safari... Aliurudishia mlango na kunikumbatia kisha kunibusu..

Naenda na nitatumia usafiri wa Ndege kwasababu kuendesha gari hadi kule nitachelewa na nitachoka sana.. Nikionana nae tutawasiliana sawa my... Nabeba na hizi picha ili akihitaji azione nimpatie...
Aliongea yule mama na kutoka njee...

Nilibaki chumbani nawaza picha zile zinaenda kwa rafiki yangu LIDYA.
Akiona nimelala na mama kama yule duuuuuuhhhhh sijui atanielewaje. Lakini basi tu imeshatokea..
Kwanza Lidya ananijua nilikuwaga zee la madem tangu wakati nipo shule..
Yeye Mwenyewe tu nilimkosakosa sana.....

Niliwaza mwenyewe na kucheka..

Nilitazama njee kwa dirishani na kuona geti ndio linajifunga na Dokta tayari katoka...

Nilishusha pumzi na kuinuka kwenda Sebuleni..

Dayana alinisogelea na kunikumbatia kwa hisia sana..

"" "Ni muda wetu sasa... Jana uliniacha pambaya my... Aliongea Dayana huku anavua nguo zake palepale sebuleni....

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,

????NASEMA KWA MAMA*

*SEHEMU YA SITA 06, 07,

Endeleanayo.....
*
*
Dokta alibaki anafikicha tu Macho baada ya kuona baadhi ya picha zake za uchi akiwa na Frenk kwenye ile Lodge..

****
****
Dokta alisimama na kuzitupa zile picha mezani huku anaendelea kusoma ule ujumbe alioandikiwa.

"" "Katika hili usije kujidanganya ukaja na jeshi la polisi ili unikamate. Hautofanikiwa, na endapo utamkamata mmoja ujue kuna wengine wawili nyuma na watasambaza kila kitu na kukichafua kabisa hospitali yako..

Kulinda heshima na hadhi yako kwenye mji huu wa Moshi na Moureen hospital iwe kubwa tafadhali jitahidi ndani ya siku tatu hizo pesa zipatikane..

"" "" "Au huu mchezo na Frenk kahusika...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-sita-06-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya-sita
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

877
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

548
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

514
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

488
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

476
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

389
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

355
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

182
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

95
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

89

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.45K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.22K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.42K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.39K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest