SHEMU KAUTAKA
EPISODE 3
Ramadhani alishtuka kutoka ndotoni jamani ndoto nyingine bwana kuja kutazama ni saa mbili asubuhi akajua kaka yake kashaenda kazini ...alichukua taulo na kwenda zake kuoga muda huo Rahma yeye naye alikuwa akiosha vyombo jikoni . Alipomaliza naye alitaka akaoge asijue kuwa shemeji yake ndo yuko huko ....
Na Ramadhani naye kutokana na haraka haraka alisahau kuufunga mlango wa bafu mmmmmh kuna vita ya dunia itatokea huko bafuni ....
Rahma alipiga hatua akiwa kajifunga kikangah tu na kusogea karibu na mlango wa bafu .alipotaka kufungua mlango wa bafu. Hakujua kama kuna mtu mle ndani. aliposogea taratibu ndipo akamuona ramadhani anasafisha mwili wake
Kisha akatazama zaidi
Alipigwa na butwaa ghafla. Ramadhani alikuwa amesimama, mgongo wake uliojengeka kwa misuli ukiwa wazi mbele yake, maji yakitiririka mwilini mwake. Alikuwa bize na sabuni, hajagundua chochote.
Rahma aliduwaa. Hakusema neno. Macho yake yakakodoa. Alishindwa hata kushika ile ndoo aliamua kuiweka chini .....
Akaanza kujikuta miguu kama imejengewa cement hawez kutoka . Hakutaka kutoka. Akiwa bado amesimama mlangoni, akageuza kiuno kidogo, akatazama kwa umakini zaidi. Maji yalivyokuwa yakitiririka mabegani na kushuka mgongoni mwa Ramadhani, vilimletea maluwani ambayo hayajawahi kumkuta.
Akameza mate.
Ramadhani aligeuka upande wa kulia, sasa akimnyooshea ukuni, sabuni ikiendelea kutembea mwilini mwake bila kujua kuwa kuna macho yanamchungulia ...
Rahma alijikuta ile kuni kaipenda kuni ilikuwa kubwa kiasi kwamba hakuna chakula haiwezi kuivishia iwe ni kisia ,chungu au hata pipa kwa kuni ile chakula kinaiva
Rahma akajikuta nyuzi joto 10000 hivyo ikabidi atoe kaaaaaaaaa.....
********"
Kweli stori niipost mimi iambulie like 100 kweli ????? Aisee kama mmenichoka semeni niache kupost ????????????????????yaani haiko sawa kabisa
Mi naacha kupost
+255600286085
FULL 1500
https://whatsapp.com/channel/0029Vaw5SzK7YSd3RKAO8G46.