B alimpa mama ake majibu, mama mkwe alifurahi sio pw, alianza kunijali vibaya mno, kumbe na mashemeji zangu nao wajeda, yani kwao wako watatu, wote wajeda, siku moja kabla ya harusi, nilipelekwa salini nisukwe na kupunguza baadhi ya vitu ili kesho waje kunipaka tu mecup, kumbe Emma kaandaa majambazi waje kuniteka bwana, gali yetu alikuwa anaendesha shemeji yangu ikavamiwa,walipigika japo wao walikuwa wengi, niliata uoga shem akaniambia nisijal kabisa, akuna kitu kitatokea,niliwekewa ulinzi, mpaka siku ya harusi, ndoa ilipita lakini kwa vita...
Kunajeda wakike alikuja siku ya ndoa kupinga ndoa isifungwe kwa madai anamimba ya B, walishughulikia ndoa ikapita ila mimi sasa nikabaki na duku duku, langu, sheree ilivyoisha nikatamani kuanzisha vita ila nikakumbuka, uto dada mimba yake ni kubwa kama ni mahusiano ni kabla yangu, na B alikili kweli walikuwa wapenzi ila wameachana, binti alimkataa B, akaanza kutoka na mkubwa wao wa kazi...
Na majibu ya shombo ya binti, B aliyarecord, alijua badae yatakuja kumsaidia, nikaona nisilete nuks siku ya ndoa yangu mwenyewe, na hizi heka heka zote tena mwanaume kasgavurugwa vya kutosha na mimi nae nuanze tena kumtibua atatuliza wapi hii kichwa yake🤔, nikajifanya tu kila kitu kiko sawa niko na amani...
B alifurahi kuona nimemuelewa bila kona kona, ndugu zangu hawakuamini kama nimeolewa na usingle mother wangu, walijua mimi niwakuchezewa tu, ytena nineolewa na mtu mwenye pesa zake,japo walianza kuvumisha mwanaume wangu malaya ataniua na ukimwi,sikujali niliamua kuwa serious na ndoa yangu, nilianza kuhisi harufu ya hatali, wezi walizidi kuongezeka, wakawa wananirusha roho nijaamua kutoka kwanza mitandaoni, nikee mimba yangu kwa amani, ukija na story kuhusu mme wangu kabla hujanza kuniambia nakukatisha tu kiroho safi...
Sikutaka mazoea, walianza kunisema najisikia, ndoa bado changa ngoja ianze kuchangamka nitawatafuta kwa toch, nilijitahidi kujiepusha sana na wambea,rafiki yangu akawa ni biashara yangu nilifunguliwa ya nguo, kanisani na kwa wahitaji,tumbo lilivyoanza kunizidia nilitafuta mtu wa dukani tukasndikishana kisha nikawa mama wa nyumbani tu..
Siku za kujifungua zilifika , lakini sikujifungua, ikabidi tufatilie tatizo nini? Kila tukipima hakuna tatizo, naumwa uchungu ila nikifika hosptal uchungu unapos kabisa, nakuwa mzima,niliteseka ivo wiki nzima nikaona apa kuna shida, nilizidisha maombi, siku moja nilienda kuwatembelea watoto yatima, nilijisikia tu bola nikacheze nao nitulize akili, na maumivu ya uchungu,nilivyofika tu, watoto wakanipokea kwa furaha wameshanizoea sana, nilianza kuumwa uchungu wakataka kunieleka hosptal nikawambia wasijisumbue huwa nikifika hosptal uchungu unapoa...
Yule mlezi wa wale watoto akashangaa wakasema sasa leo haitakuwa hivyo, akawaomba watoto tuungane kwa pamoja kuniombea ili wanipeleke hosptal, watoto waliomba kwa uchungu jamani kama vile hili tatizo ni lao, waliomba maombi maziti sikutegemea, kuna waliomlilis Mungu amewavhukulia wazazi wao, mimi ndie kama mama kwao wabaniona ninavyowajali nawapenda, naenda mala kwa mala, na ta kana ni usiku wa manane wakipiga simu wanashida nitakimbia kuwasaidia...
Mungu usituondokee na huyu, tubakizie na uzao wake, mlinde na kumbaliki kwa ajili yetu na yako pia Mungu, watoto waliniombea kwa muda mrefu kuna kitu nilihisi ghafra tu kama kinatoka tumboni, apo apo nikahisi kusukuma, hawakuwa na jinsi nilijifungua kati kati ya maombi, pale pale kituoni,yule mlezi ilibidi anisaidie kukata kitovu cha mtoto, na kumweka sawa, alikuwa wa kike aisee nilifurahi japokuwa nilikuwa nimechoka na na mtoto alionekana pia kuchoka sana, angechelewa kutoka leo sijui kama ningeambulia kitu,tuliwahishwa hosptal...
Mama mkwe alipewa taarifa akaja, hakuamini, B tulimpigia simu hakupokea, nijamtumia tu picha whatsup,amekuja kunipigia tayali tumeshaatiws matibabu, mtoto hakuwa sawa tulilazwa,furaha niliyokuwa nayo jamani haikuelezeka, kaka B alifurahi kupata kadogo kake,B na kina shem walifika kws kuchelewa hawakuamini aisee walikuwa na ham kaje kabinti, na ndio kalikofika...
Tulikaa jina la Brithness, tukiwa kwenye furaha tukapewa taarifa ya msiba, shangazi yangu kafariki, lakini kafa uku ananilalamikia,ananitaja, nikashangaa, kuja kufatilia kumbe yeye ndioe alinifunga alichukua mimi kuolewa tena kwa heshima,nyumbani sikuwa nimewajulisha kama nimejifungua ikabidi ni wambie sitoweza kufika ndo nimetoka reba, na tumelazwa mtoto ni mgonjwa kachelewa kutoka, mama akasema itakuwa ni shangazi yako tu uyo kakushindwa ukiwa tumboni kwangu, akataka kukuulia reba, na wewe ukome uliona kuniambia mama ako nitakuloga ee? Ungesema toka muda unashida ningesgakusaidia alinifunga pia kwenye mimba yako, tukatumia dawa nikajifungua akaomba msamaa...
Ungekufa mjinga wewe naona umejipata mpaka unanificha mama ako mambo makubwa kama hayo, nilijitetea mno, make ukweli sikuwa napend kabisa simu, ama kuongea, mama alinisamee...
Kupata mwendelezo
Full 1000
Whatsp 0784468229.
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.
Maoni
Click here to login and comments