Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
10 Nov 2025
1.05K views
VYOTE NDANI GONGA94
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* *Chapter 19&20* Aliendeleea na kazi yake na nimi nikawa nampa ushirikiano ipasavyoo
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
yaani nikajikuta nasahau kama nina hasira naee kabisa, akatoka hapo akashika hapa kwenye kifuaa alipafakamiaa jamani hajawahi kunigusa hapo ila aliponigua nilihisi msisimkoo wa ajabu mnoo yaani mhh naa yeye alipakazania sna hapo maana aliona kanikamata sasa aliendeleaa kuniaandaa akaahakikisha nimeshazidiwa sasa sijiwezi kabisa ndipo akaiweka sasa ila goli la kwanza liliwahi kuja ila la pili tulitumia muda sana kulipata hilii lilitusumbua mnoo yaani mhhh nilikeshaa ila hakukutumiaa mambo mengi coz nilikuwa nina mimba hivyoo tulifanya kwa uangalifuu mkubwa sana yaani mhh ni shughuli iliyopo hapa
Tulimaliza akanibeba mpaka bafuni tukaoga sisi wote na huko napo alitaka nikampa yaani nilijikuta nasahau kam nina hasira na yeye baada ya hapo ndio tukaaa kitandani sasa tukaanza kuongeaa unajuaa mke wangu sio kila hasira inamalizwa kwa maneno najua una hasira na mimi ila nyingine inamalizwa kam hivi, haya niulizee nipo hapa mtuhumiwa wako na wewe ndio jaji wangu ujuee mimi nakuepndaga sana?, najuaa hutoniuliza kwa hasira utaniuliza kwa ustaarabu niko hapa kukujobu kila swal boss wangu" nilimkata jicho baya kweli yaani
"Mhh kwahyo mimi ni mpuuzi si ndio nimekaa hapa nimebadili na dini wewe unaendaa kukutana na mwanamke tena wa dini niliyotoka licha ya hivyoo ni rafiki yangu kweli Raphael?" Alinitizama maan mudaa huo na machozi yalikuwa yananitoka saaa mengi kweli akanichukua akanikumbatiaa
"Unaaamini hiloo, mwanaume ambae katoka kukutana na mwanamkee wiki nyuma anaweza kweli kupata gori la kwanza mapema hivi mke wangu, wee kwani hujasoma biology kwenye reproduction mhhh?" Nikimtizama tu maan aanongea na videos ninazo "mhh kwahy hizi videos ni zaa muda gani yaani mhhh nambiee mume wangu au kabla ya kuwa na mimi ulikuwa unatembea na rafiki yangu kwamba alikuwa amezitunza?" Alinitizama tu.
"Hichoo ndiocho nataka nielezee sasa mama hizo video me mwenyew nilikuwa natumiwa na mwisho wa siku nikamblock huyoo nia yake ni kuumiza ndoa yetu Mama yangu hyo ni Al very creative edit app yaani kila kitu unaedit we leta nikuonyeshee akachukuaa simu yangu akachukua picha yangu na ya kwake tumevaa na zipo mbali mbali hee akaingia sijui ni kwenye app gani hee mwishoo wa siku ikaja ile videoo kam aliyonitumiaa Aikaa
"Umeona alichokifanya huyoo mjinga wako Aika?" Nilishangaa jamani mimi mhhh niliona mapya haya kwakwel mhh hiz edit zitavunja ndoa za watu siku yake, mhh basi nilielewa, nikamsamehee kabisa. mume wangu nikampa tena aichape uuupya maana ile nilifanya nilikuwa nina hasiraa, alinipaa tena safari hii nilienjoy jamani japo alikuwa anakataa na kataa kunipa nikamchamba na kichamboo juu akanipaa ila kwa uangalifuu na tulisema hii ndio siku yetu ya mwishoo kufanya hivii mpaka nitakapojifunguaa na yyee atakuwa na mimi muda wotee kwasababu ashamaliza mkataba wa jeshi, nilifurahii.
Na hapa nimemblock huyoo Aika maan nimemuona ni mvurugaji wa ndoa. Yangu kanikondesha mimi mtoto wa watu na mume wangu ananijali kamaa nini hapa tunasubiri mtoto wetu yaani tushatafuta hadi majina utafikiri kazaliwa tayari, tuna jua jinsia ila sisemi ni jinsiaa ganil
*MWISHO*
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
NINI KITATOKEA ENDAPO FAR RABAT ATAFUNGWA NA YANGA ATASHINDA MCHEZO WA MWISHO? MAANA YAKE WATALINGANA ALAMA
. Kwa mujibu wa kanuni za CAF yafuatayo yatatazamwa kwa hatua. 1- Aliyekusanya alama nyingi kutoka kwa mwenzake walipoku...
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
filamu iliyotengenezwa kwa bajeti ya chini sanaa kiasi mwanzo mwisho wa filamu jamaa alikuwa na kipensi tuu vibanda umiz...
Mwandishi aliuliza je neno mshangazi maana yake nini, Kajala akajibu mshangazi ni mwanamke mwenye umbo kuuubwa, Wolper akisema mshangazi ni mwanamke mwenye umri
mkubwa kama sisi hapa yani kama mimi, Kajala, Auntyezekiel na Irene Uwoya Irene Uwoya akasema hapana sisi sio mishangaz...
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* *Chapter 19&20* Aliendeleea na kazi yake na nimi nikawa nampa ushirikiano ipasavyoo
yaani nikajikuta nasahau kama nina hasira naee kabisa, akatoka hapo akashika hapa kwenye kifuaa alipafakamiaa jamani hajawahi kunigusa hapo ila aliponigua nilihisi msisimkoo wa ajabu mnoo yaani mhh naa yeye alipakazania sna hapo maana aliona kanikamata sasa aliendeleaa kuniaandaa akaahakikisha nimeshazidiwa sasa sijiwezi kabisa ndipo akaiweka sasa ila goli la kwanza liliwahi kuja ila la pili tulitumia muda sana kulipata hilii lilitusumbua mnoo yaani mhhh nilikeshaa ila hakukutumiaa mambo mengi coz nilikuwa nina mimba hivyoo tulifanya kwa uangalifuu mkubwa sana yaani mhh ni shughuli iliyopo hapa
Tulimaliza akanibeba mpaka bafuni tukaoga sisi wote na huko napo alitaka nikampa yaani nilijikuta...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mjeda-inauma-siwezi-vumilia-chapter-19-20-aliendeleea-na-kazi-yake-na-nimi-nikawa-nampa-ushirikiano-