Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
27 Oct 2025
871 views
VYOTE NDANI GONGA94
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* Chapter 9 Hhhhh nilicheka maan alikuwa kanichekesha sasa jamani mhhh
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ilinibidi nicheke kwanza na kwa jinsi nilivyochangamka nilijikuta napiga story nyingi jamani na yule mama mhh niimzoeea alijikuta mpaka nasahau sasa kuhusu amekuja kufanya nini akawa anawaza kunisikiliza mimi nilikuwa nikamaliza lakini akabaki na vyombo mkononi huku story zinaendeleaa hhhh ila mimi naongeaa sana, tulikuja kushtuka baada ya Raphael kurudi alirudi majira ya jioni
"Habari, Mama Salma shikamoo" nilikuwaa nacheka hadi nikaaa kimya mimi yaani nilikuwa nina hasira nae "marahaba mwanangu, naona niwapishe maan nilikuwa nimekuja kumpa kampan madam hapa" alisema mama Salma " bora maan alikuwa kaboeka sana, asante mama alisema Raphael, mama Salma aliondokaa na vyombo sisi tukabaki wawili wenyew, nikageuza shingoo pembeni sikutaka kumuona, alinifata kule kule ambapo nimegeuzia shingoo aliacha mfuko kwenye kiti akaja huku nilipo mimi, nilimtizama tu sikuwa na jibu la kumpaa
"Mama yangu nakuomba nisikilize basi, najua nimekukosea sana, mke wangu nilishtuka nikatoa macho" wee unajikuta eeh sasa wewe endele mkeo huyoo vipi umenioa mimi tena ishia hapo hapo, si umeshapata ulichokuwa unataka au kuna mengine?" Alinitizama akaja kunikumbatia "niache nikasemaa niachee ntakutemeaa mate ujuee wewe sitaki kushikwa na wewe mbaba mkatili wewe" hakuniachia na mimi nguvu za kumsukuma sikuwa nazo ikabidi tu nitulize komwee maan ukihere here usije ukaniponza hapa, alinitizama ikabidi nituliee nikakumbuka alivyosema jana usiku nikatulia tu
"Unanichukiaa naelewaa Rahma ila mimi nakupenda, najua kuna sifa nyingi umesikiaa kuhusu wanajeshi ila mimi siko hivyoo mimi nimekuwa mwanajeshi japo sio kzi yangu kwahyo mimi sina nafsi ya uwana jeshi, huoni hata nilivyoo ni vile tu nilisomeaa jeshi na kwa ajili ya baba kwasababu kila mtoto kwetu lazima apite huko alikaaa kimya "sasa si ndio uendelee kujielezeaa mimi nakusikilizaa" alinitizama akatabasamu
"Mimi hapa nina biashara zangu hukoo na hapa jeshini nipo kwa mkataba tuu, baba alisema nikajiandikishe baada ya kusomeaa na karibuni uishe, mimi kwanza kuvaa magwanda sipendi" nilimtizama akaendeleaa kuongeea huku bado kanikumbatiaa vilivyoo mimi nina hospital yangu, na nina miliki hotel jeshi ni basi tu na sasa hivi vipo chini ya usimamizi wa mdogo wangu Stephan hukoo hivyoo namalizia huu mkataba niende nikasimamie mwenyew maan yule ni bangi ndio zipo kichwani" nilijikuta nacheka ninavyopenda kusikkia story za matajiri basi mimi naona kama movie ila ni kweli huyu hana sura hata ya jeshi, mwanajeshi gani anasura soft hivi yaani mzuri lakini enhee endelea" alinitizama tu hajanizidi akaanza zake kucheka maan kajua kama mimi namuona kama vile yeye story taller
"kwetu tupo wawili tu mimi na Stephan, wazazi wetu wapo hukoo Canada baba anafanya kazi hukoo kwnye ubalozi wa nje ya nchi nchini Canada nikajikuta nasema " kweli mhhh usiwe unanipanga ujue mimi muda wote nilikuwa naona kam utani yaani mimi hata mtu anambiee kapanda ndege nambishiaaa yaani kwanini inakuwa ngumu sana sasa huyu kuanza kunambiaa na watu kuishi Canada nikaonaa kama vile ananipanga tu hana lolote....
Itaendeleaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MIMI SIKUACHIπ₯° 21 MPAKA 23
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fat...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. ...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona j...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* Chapter 9 Hhhhh nilicheka maan alikuwa kanichekesha sasa jamani mhhh
ilinibidi nicheke kwanza na kwa jinsi nilivyochangamka nilijikuta napiga story nyingi jamani na yule mama mhh niimzoeea alijikuta mpaka nasahau sasa kuhusu amekuja kufanya nini akawa anawaza kunisikiliza mimi nilikuwa nikamaliza lakini akabaki na vyombo mkononi huku story zinaendeleaa hhhh ila mimi naongeaa sana, tulikuja kushtuka baada ya Raphael kurudi alirudi majira ya jioni
"Habari, Mama Salma shikamoo" nilikuwaa nacheka hadi nikaaa kimya mimi yaani nilikuwa nina hasira nae "marahaba mwanangu, naona niwapishe maan nilikuwa nimekuja kumpa kampan madam hapa" alisema mama Salma " bora maan alikuwa kaboeka sana, asante mama alisema Raphael, mama Salma aliondokaa na vyombo sisi tukabaki...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mjeda-inauma-siwezi-vumilia-chapter-9-hhhhh-nilicheka-maan-alikuwa-kanichekesha-sasa-jamani-mhhh