Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
27 Oct 2025
622 views
VYOTE NDANI GONGA94
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* Chapter 8 Nililala mpaka asubuhi naamka hivi nipo peke yangu, kwanza kwasababu ya mawenge
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nikajua nipo chumbani kwangu nyumbni kwetu ndio kufungua macho hivi nakutana na kioo yani najiona we chumbani kwangu kwenyewe sina kioo cha ukutani kuna kile cha kushika mkononi ndio kuangalia vizuri najiona kama binti mfalme nipo kwenye kasri, aah si ndio nikakumbuka kitu kilichotokea jana nilijisikia vibaya sana tena zaidi ya sana sijawahi kujisikia vibaya kama hivi nilivyojisikiaa, niliinama nikaanza kuliaa yaani kiukweli nilikiwa naona Kama nimedhalilishwa au kama vile nimenunuliwa flani nimelipwa ndio nitumikee wakatai wenzangu wengine huwa wanatongozwa mimi hata kutongozwa sijatongozwa nilijisikia vibaya sana mimi mtoto wa watu, yaani mara ya kwanza na ninabakwa kiukweli mimi niliona nimebakwa kabisa, nilizidi kuumia baada ya kuona kwamba najitahiidi kukanyaga chini najikuta siwezi naumiaa nililiaa mara kumi tena kwa sauti, ila hii nyumba hata upige kelele vipi hukoo nje hawakusikii nilikuwa naliaa mnoo nilijifuta machozi tu. Maaana kulia kusinge rudisha bikra yangu ambayo tayri ishaondoka sasa
Mlango ulifunguliwa akaingia mama mmoja hivi na kikombee cha chai ya maziwa ya moto "madam nimeambiwa unywe chai hii hapa ya moto,itakusaidia hali yako halafu pumzika baada ya masaa manne inabidi unywe dawa za kutoa maumivu na kuzuiaa mimba" nilimtizama alikuwa ni mtu mzima kwa kiasi chake "mhhh usijali mama yangu usijali hivyoo vidongee nisaidie tu mimi mwenyew nitakunywa muda ukifika sawa, mimi sitaki kukusumbua mama yangu alitaabasamu "ni kazi yangu na boss ndio kasema nikuhudumiee nilitabasam tuu nikacheka nikasema sawa nilikunywa hyoo chai ya maziwa nikamaliza nikashika simu yangu kiswaswadu ile iPhone sikuwa na hamu hata ya kuifungua japo ilivyokuwa imeletw nilikuwa na furaha sana wakati inaletwa, nilikaa muda nikanywa dawa nikarudi kulala sikutaka hata kumpigia mama, maan kwa jinsi nilivyokuwa hadi nilipatwa na homa kbisa sikutaka kumpa mama yangu wasi wasi nililala zangu tu na simu nikaweka pembeni, sikujuaa huyoo Raphael kaenda wapi labda itakuwa kaenda kazini mimi sijui kabisa atajua mwenyew, nilalala nikaja kuamshwa na mtu anabisha hodi, nilimkaribisha maan mlango ulikua wazi alikuja yule yule mama aliyekuja muda ule
"Madam chakula chako hiki hapa alikuwa ameleta makoronya ya kuku na juice vilikuwa kwemye tray nilimtizama tu nikaamuuliza kwani aunty hakuna mtu mwingine wa kuyafanya haya, etty Aunty? Mpaka wewe ufanye afu usiniute Madam mimi naitwa Rahma mama alicheka tu yule Aunty mhh usijali hamna mwingine anaeruhusiwa kuja humu zaidi yangu, biti yangu, kuna watu tu wawili lakin wenyew wana kazi zao na sio za humu kwa Raphael, COZ hapendi masihala kabisa" nilishtuka nikasema hili jambazi hili sio bure ila nilisema moyoni tu
"Kwanini sasa mama watu wengine wasiingie" alikaa pembeni "mhh ni mtu mwenye heshima sana ila hawa wanawake wadogo wadogo wanakuwaga wanajileta leta sana, na anaogopa kutumiaa wadada afu awaache inakuwa sio nzuri ndio maaan kaweka sheria, hyoo kwasababu yeye ni mwanaume hawezi vumilia mdada avue nguoo mbele yake afuu amuache hii sio kweli hamna mwanaume anaeweza kuvuliwa nguoo na mwanamke na akamuacha, akimuacha huyoo atakuwa sio mwanaume kamili aliongeea maneno yaliyonifanya nicheke kwa nguvu maan alikuwa ananichekesha sasa...
Itaendelea...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia ...
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* Chapter 8 Nililala mpaka asubuhi naamka hivi nipo peke yangu, kwanza kwasababu ya mawenge
nikajua nipo chumbani kwangu nyumbni kwetu ndio kufungua macho hivi nakutana na kioo yani najiona we chumbani kwangu kwenyewe sina kioo cha ukutani kuna kile cha kushika mkononi ndio kuangalia vizuri najiona kama binti mfalme nipo kwenye kasri, aah si ndio nikakumbuka kitu kilichotokea jana nilijisikia vibaya sana tena zaidi ya sana sijawahi kujisikia vibaya kama hivi nilivyojisikiaa, niliinama nikaanza kuliaa yaani kiukweli nilikiwa naona Kama nimedhalilishwa au kama vile nimenunuliwa flani nimelipwa ndio nitumikee wakatai wenzangu wengine huwa wanatongozwa mimi hata kutongozwa sijatongozwa nilijisikia vibaya sana mimi mtoto wa watu, yaani mara ya kwanza na ninabakwa kiukweli mimi...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mjeda-inauma-siwezi-vumilia-chapter-8-nililala-mpaka-asubuhi-naamka-hivi-nipo-peke-yangu-kwanza-kwas