Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
05 Nov 2025
771 views
VYOTE NDANI GONGA94
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* Chapter 13 "Mama nae jamani ni vile tu hujui, ngoja nikwambie kila kitu sasa mama yangu ujue
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mama mimi sasa hivi ni mkubwa nina miaka 26 sasa sio mdogo mama yangu, hivyo basi nimepata boy friend mama ni mtu poa sana na hana longo longo" Mama alinitizama jicho la wee haya shauri yako "enhee mlikutanaje kutanaje?" Nilimtizama mama kwa muda nikamuhadithia vyotee hadi tulivyotoka hadi nikamuelezaa kila kitu, hadi historia yake aliyonipatia Raphael kuhusu yeyena familia yakee, mama alikuwa ananisikiliza
"Wee mtoto mpuuzi kweli kumbe ni yulee aliokuwa anakuja pale na magwanda yake ya jeshi?" Ndio mama ndio yule yule sio mwingine kwahyoo ukaona unifiche sio kwamba nitakufanya kitu gani yaani mhhh mpaka ushindwe kusema wewe mwenyew hivi ujue kam wewe ni mpuuzi sana, haya ushaingia kwa wanajeshi mhh kitakulamba wee haya shauri yako yaani wale ni kujiuaa mapema kabisa hivi hivi unajiona unakufa kweli tena enheee kwahyoo mlikutana naee tyar kimwili " hee hili swali nalo lilinitia aibu mnoo nikaanza zangu kucheka cheka tu kam vile mwenye kuchanganyikiwa nipo busy kweli nacheka vibaya mnoo, mimi siwezi kumjibu hili swali bhana nikazidi kucheka tu kam kachizi flani
"Haya ndio hayoo enhee umesema anaitwa nani sikusikiaa vizuri Mama aliuliza na mimi nikamjibu "anaitwa Raphael" Mama alinitizama kwa jicho kali kweli maan hapo alikuwa serious na uso ulibadilika "Enhee vipi kuhusu dini itakuwaje? Wewe unabadili au yeye anabadili au ndio mnachezeaana mnaishiaa kununuliana simu za WhatsApp hatimaee anakuacha si ndio?" Hili nalo lilinishtuaa maaan hatujajadili lolote kuhusu dini wala ndoaa nilikaaa kimyaa " jibuu huna si ndio sasa nakupa wiki moja tu nijuee ni nani anabadilisha dini na mipango ya ndoa maan wewe sio mwanafunzi hapana sijui unaelewa unipe hayoo majibu mapema na upesii sio hapa nakuwa nafuga wazinifu katika hloo sichekeshi maan kwa mara moja sio mbaya maan najua vijana wa sasa hivi hamuwezi kubaliaana mpaka mkutane kimwili hilo nalielewa vizurii haya mara moja ni sawa tena kakukuta badi mzima kabisaa kwahyo naomba muongee kuhusu hiloo me sitaki kufuga vizinifu, kwa kiwa baba yako hayupo ndio uniletee ujinga hapana Rahma tutagombana kwahyo naomba uongee na huyoo mjinga mwenzio masihala kwenye hili sitaki kabisa sijui unaelewa wewe mtoto?"
Mhhh hili nalo lilinishika na linabidi lifanyiwe kazi haraka sana maan mhhh ni kweli maneno aliyoyaongeaa Mama hayana ukakasi yalikuwa makali yenye ushauri na hekima ndani yake nilifikiriaa sana kuhusu hili kwakwel mhh ,niilingiaa chumbani na kumpigiaa simu Raphaele hakupokeii nilizidi kuchanganyikiwa kabisaa yaani mhhh maan hii haijakaaa sawa kabisaa yaani mhhh, niliamuaa kulala japo kwa shida nilijaribu kukesha hata mtandaoni ili nipoteze kabisa
Itaendelea....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* Chapter 13 "Mama nae jamani ni vile tu hujui, ngoja nikwambie kila kitu sasa mama yangu ujue
mama mimi sasa hivi ni mkubwa nina miaka 26 sasa sio mdogo mama yangu, hivyo basi nimepata boy friend mama ni mtu poa sana na hana longo longo" Mama alinitizama jicho la wee haya shauri yako "enhee mlikutanaje kutanaje?" Nilimtizama mama kwa muda nikamuhadithia vyotee hadi tulivyotoka hadi nikamuelezaa kila kitu, hadi historia yake aliyonipatia Raphael kuhusu yeyena familia yakee, mama alikuwa ananisikiliza
"Wee mtoto mpuuzi kweli kumbe ni yulee aliokuwa anakuja pale na magwanda yake ya jeshi?" Ndio mama ndio yule yule sio mwingine kwahyoo ukaona unifiche sio kwamba nitakufanya kitu gani yaani mhhh mpaka ushindwe kusema wewe mwenyew...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mjeda-inauma-siwezi-vumilia-chapter-13-mama-nae-jamani-ni-vile-tu-hujui-ngoja-nikwambie-kila-kitu-sa