Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

🔞 Tahadhari: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima na siyo rafiki kwa walio chini ya miaka 18. Hadithi ya Watu Wazima:  Zawadi Sehemu ya 5
Gonga94 · Stories

🔞 Tahadhari: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima na siyo rafiki kwa walio chini ya miaka 18. Hadithi ya Watu Wazima: Zawadi Sehemu ya 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Mama Zawadi akasema, “Mimi ndiye bosi wako, nitakaye kukupea mshahara, nakuambia ufanye kitu, unabisha?” Nikasema, “Samahani, mama, sikuwa nimeelewa, mama yangu.” Akasema, “Nataka nikuone mwili wako kama huna mambo ya kishirikina kama chale au hirizi.” Nikasema, “Sawa, mama, lakini sina vitu hivyo.” Akasema, “Vua nguo sasa.” Nikatoa nguo, nikabaki uchi kabisa, kwani hata chupi sikuwa nayo. Akanitazama, akasema, “Geuka.” Nikageuka, akaangalia, kisha akasema, “Vaa nguo zako.” Nikavaa. Akasema, “Na chupi je?” Nikasema, “Sina, mama, nyumbani hawajawahi kuninunulia.” Akasema, “Umevunja ungo?” Nikasema, “Hapana, mama.” Akasema, “Umemaliza shule lini?” Nikasema, “Mwezi wa kumi mwaka jana.” (Muda huo ulikuwa mwezi wa kwanza mwaka mwingine.) Akasema, “Unaitwa nani?” Nikasema, “Zawadi.” Akasema, “Sawa. Nitakupa nguo na vitenge, na utavaa nguo bila vitenge kila wakati, sawa?” Nikasema, “Sawa, asante sana, mama.”
Akasema, “Nifate jikoni, muda wa kupika umefika.” Nikasema, “Sawa.” Nilienda jikoni, kila kitu kilikuwa kigeni kwangu. Alinifundisha kuwasha jiko la gesi, kufungua friji, akanionyesha vyombo vilipo na makopo ya chumvi yaliyokuwa kwenye makabati ya juu na chini. Alinifundisha kusaga juisi na kutumia mashine ya kupikia wali. Alinionesha mambo mengi hadi nikahisi kuchanganyikiwa. Akasema, “Unajua kupika?” Nikasema, “Ndiyo.” Akasema, “Sawa, kama ni hivyo, itakuwa vizuri. Pika wali, nyama imeshapikwa.” Alinipa maelezo ya haraka kuhusu jiko.
Nilichukua nyanya, vitunguu, karoti, na pilipili hoho kama alivyoniagiza. Alikuwa na makopo ya mchuzi na viungo vingi. Nilijaribu kupika wali, lakini nikaboronga—ulikuwa kama boko boko. Mama alikuja kuangalia kabla chakula hakijaenda mezani. Alipouona, alinizaba kibao, akasema, “Mshenzi, unachezea chakula? Hii ni nini umepika? Huu ni ugali au wali? Kwenu mnapika hivi?” Nikasema, “Hapana, mama, samahani, sikuweza kuelewa jiko la wali.” Akasema, “Mpumbavu sana! Kwa nini usiulize? Sasa utakula hiki chakula wiki nzima. Mchele ni bei ghali, naunua kwa pesa, sio mawe! Hamisha wali huu, nioshee kisufuria cha rice cooker haraka!”
Nikahamishia wali kwenye bakuli, nikaosha kisufuria. Yeye akapika wali upya na mboga mpya, kwani sikuweza kuipika vizuri. Aliniambia niandae meza, nikaandaa kama alivyoniagiza. Alipomaliza, akasema, “Chakula chako ni hicho ulichopika, na mboga subiria tule tukimaliza, ikibaki utakula. Nyama ni ghali mjini.” Nikasema, “Sawa, mama, asante.”
Tukiwa tunaongea, tulisikia honi. Akasema, “Mume wangu anakuja, kumbuka nilichokuambia.” Nikasema, “Sawa, mama.” Nilibaki jikoni, yeye akaenda sebuleni. Baada ya muda, nikaskia mlango wa sebule ukifunguliwa. Nikasikia, “Wow, mume wangu, pole na kazi.” Baba akasema, “Asante sana, nimechoka sana, mke wangu. Niandalie maji ya kuoga.” Mama akasema, “Sawa, usijali, bby wangu.” Mara nikaskia, “Zawadi! Zawadi!” Aliniita. Nilikimbia sebuleni, nikapiga magoti huku nimeinamisha kichwa chini. Mama akasema, “Mume wangu, huyu ndiye mfanyakazi niliekuambia.” Baba akasema, “Hujambo?” Nikasema, “Sijambo,” huku bado niko chini, hata sura yake sikuiona. Akasema, “Mbona unaangalia chini? Nitakujuaje sura?” Sikujibu, bado niko chini. Akasema, “Haya, nenda.” Nikanyanyuka, nikarudi kinyumenyume jikoni.
Maisha yalianza hivyo. Siku hiyo, watoto wao hawakurudi, walikuwa wametembelewa na ndugu, lakini kesho yake walirudi. Nilikuwa kama nafanya kazi kwa bidii kama muhindi, nikipelekeshwa hata na watoto wadogo kuliko mimi. Nilivumilia, kwani sikuwa na pa kwenda. Nilizoea mazingira, nikachanganya na ujuzi wa unyago, nikawa nafanya kazi vizuri sana. Mama alipotoka na kurudi na wageni, alikuta nyumba safi, chakula safi, wakanisifu kuwa ana binti anayejitambua.
Nikiendelea kuishi hapo, nilikua huku nikivaa magauni makubwa aliyonipa mama, akiniambia ni marufuku kumudu mume wake usoni. Miezi sita ilipita, bila msaada wala kutoka popote isipokuwa duka la jirani. Mama Zawadi alikuwa akininyanyasa sana. Siku moja, kulikuwa na sherehe nyumbani. Aliniambia, “Utakaa chumbani, sitaki utoke hata dakika moja, utakula wageni wakiondoka, sawa?” Nikasema, “Sawa, mama.” Nilifanya kazi zangu, nikapanga kama alivyoelekeza, kisha nikajikalia chumbani, nikapumzika.
Sherehe iliendelea, nikaskia muziki. Nikichungulia, nikaona watu wanakula, wanakunywa, shangwe tupu. Mabinti waliokuwepo walionekana kama familia bora, nikatamani kuwa kati yao. Nikiendelea kuchungulia, mlango ukafunguliwa. Mama akaingia, akasema, “Mshenzi, unachungulia nini? Sikuambiaje? Unataka watu wanionaje? Njoo hapa!” Alinikamata, akaanza kunipiga. Akaona haitoshi, akachukua skarf (kiatu kirefu), akanipiga magotini na miguuni. Nilipiga kelele, “Mama, nisamehe, sio tena!” Akasema, “Unataka kuniaibisha, si ndiyo? Mshenzi, una tabia mbovu!” Nikasema, “Hapana, mama, nisamehe!” Nililia, damu ikivuja usoni, nikiwa na mialama ya vipigo.
Akasema, “Nikuone unatumbua macho yako makubwa kama mbwa kasoro mkia! Umekuja kufanya kazi, sio kuchungulia wageni!” Aliniacha, akatoka. Magotini navuja damu, bila mshahara, nguo za mtumba zimechakaa. Nilijuta kuzaliwa, nikawakumbuka mama na bibi yangu, bila njia ya kuwaona. Nililia hadi nikapitiwa na usingizi. Nikiamshwa kwa kumwagiwa maji baridi ya friji, akasema, “Amka, usafi hautojifanya! Unalala kwenu kuna godoro kama hiki? Amka!” Nilijikaza, magoti yakiwauma, akanisukuma, “Fanya haraka!”
Nilitoka nje, kulikuwa chafu—vyakula vimewagika, chupa za vinywaji. Nilianza kufanya usafi huku nalia. Maumivu yalizidi, nikakaa chini nikajifunua magoti, nikaanza kuangalia huku nalia. Niliimba wimbo wa huzuni, sikujua nilipata wapi. Mara nikaskia sauti nyuma, “Zawadi, umefanya nini miguu hiyo?” Nikastuka, nikageuka—alikuwa baba wa nyumba. Nilimuangalia, ingawa niliambiwa nisimudu usoni. Nilitaka kunyanyuka, lakini nikadondoka kwa maumivu. Baba alinidaka, akasema, “Taratibu, umefanya nini? Umeshapata dawa?” Alinikokota hadi kwenye kiti kilichobaki nje. Nikasema, “Naweza kutembea, baba, usijali.” Akasema, “Unaweza wapi? Nakuuliza umefanya nini?” Nikasema, “Nilianguka kwenye kokoto.” Akasema, “Kokoto wapi? Ndani hakuna kokoto!” Nikilia, machozi yananitoka. Mara mama akaja, akasema, “Heee! Kiruuu! Nini kinaendelea? Zawadi, unafanya nini na mume wangu? Yesu na Maria leo!” Itaendelea
Sehemu ya 6
Baba akasema, “Umeona huyu mtoto alivyoumia, au unaongea tu?” Mama Zawadi akasema, “Ameumia nini? Nani amemudu?” Akasema, “Mimi ndiyo nimemudu, si ndiyo?” Baba akasema, “Nimesema yeye kaniambia? Mbona unajistukia? Au wewe ndiye umemfanyia hivi?” Nikasema, “Ndiyo, alinituma nje, nikagongwa na pikipiki, nikaanguka.” Baba akasema, “Unaona sasa, Mama Zawadi? Mtoto wa watu ameumia, anaweza kuwa na vidonda vingi. Twende naye hospitali!” Mama akasema, “Haina haja ya hospitali, kuna dawa ndani, nitampaka na kumudu kama ana vidonda vingine.” Nikasema, “Sina, mama, asante.” Baba akasema, “Nenda kalete dawa haraka tumpake.”
Mama aliniangalia kwa macho makali, kama anasema, “Ama zako, ama zangu,” akaondoka. Alileta dawa—sijui ni ya nini. Baba akasema, “Mpake vidondani.” Alinisugua vidonda, dawa ikiwauma sana, nikajikaza nisipige kelele, kwani alinikata macho makali. Baba akasema, “Mbona unamsugua sana, Mama Zawadi? Magoti ni ya binadamu, na dawa hiyo inauma! Kama huwezi, niache nimpake.” Mama akasema, “Una nini na huyu msichana? Mbona unamudu sana? Sikuelewi!” Baba akasema, “Una maanisha nini? Unaongea na nani kwa sauti hiyo? Unataka kusema nini?” Mama akasema, “Nimetoka, nimekukuta unamkumbatia, unataka kumpaka dawa, una nini naye?”
Baba akasema, “Nitakupiga, mwanamke! Unanichukuliaje? Una wivu hata kwa dagaa kama hawa? Kichwa chako kimejaa ujinga!” Akasema, “Ulitaka nimuache mtoto anayetutunzia nyumba, anatupikia, anafua? Wewe ulishindwa hata kuosha vyombo kwa uchukuzi wako na mikucha bandia! Masai ndiye anafanya usafi hapa. Unajua huyu akitaka tufe, tunakufa sekunde moja? Watoto wakirudi boarding, akitaka, tunakufa wote! Kumudu imekuwa kesi?” Alifoka, akaondoka. Mama akamfata, akisema, “Samahani, mume wangu, sikuwa na maana hiyo.” Baba akasema, “Una roho mbaya, kichwa chako kimejaa ujinga! Sitaki kukaa nawe, acha nikalewe huko. Na huyu mtoto sitaki afanye kazi hadi apone.”
Akaita, “Masai!” Masai akaitika, akasema, “Fungua geti, hakikisha uwanja ni safi.” Masai akasema, “Sawa, mseee.” Akakimbia kufungua geti. Mama alibaki amesimama. Nilijikaza, nikaokota uchafu. Mama akanishika mabega, akasema, “Wewe, litoto, unanifanyia nini?” Nikasema, “Amenikuta nimekaa, sikuwa nimemwambia.” Akasema, “Njoo hapa!” Akanivuta kwa nguvu ndani, akanipiga upya, akining’ata mgongoni. Nililia, nikiomba msamaha. Mara tukaskia honi nje ya geti. Alistuka, akasema, “Kelele, mshenzi! Jifunike, ulale, usiseme kitu!” Alitoka chumbani.
Nililia sana, nikawaza, “Hapa sio pa kuishi, ataniua! Bora nitoroke, siwezi kukaa hapa.” Nilikaa chumbani, sikujua nini kinaendelea. Mlango ukagongwa, Masai akaingia. Akanikuta nimejifunika, nalia. Akasema, “Zawadi, pole, usilie, mama. Huyu mama ni mnyanyasaji sana na ana wivu!” Nikasema, “Asante, Masai. Naomba unisaidie, sina pa kwenda.” Akasema, “Usiondoke, mjini ni magumu. Ukienda, utaishia mikononi mibaya. Hapa nitakusaidia—kula, kila kitu. Anakulipa mshahara?” Nikasema, “Hajawahi.” Akasema, “Nitaongea na mseee, ananilipa kila kitu, hana shida. Si unaona ni kijana tu?” Nikasema, “Usimwambie, leo nimepigwa na kung’atwa kwa sababu ya baba. Nisaidie wewe tu, sawa?” Akasema, “Usijali, Zawadi.”
Akasema, “Na mbona una damu kwenye nguo?” Nikasema, “Alinikata, ndiyo maana.” Akasema, “Mama muuaji huyu! Ipo siku nitampiga hadi mseee amsahau!” Akasema, “Nakuja, naenda kukutafutia dawa. Siku nne, vidonda vitapona.” (Aliongea kwa Kimasai.) Nikasema, “Asante, Masai.” Akasema, “Usiogope, nipo na wewe.” Nikasema, “Asante sana.”
Baada ya dakika kumi, alirudi na majani. Akasema, “Nitakupaka siku nne, vidonda vitapona.” Akaponda majani, akanipaka magotini. Nikaenda bafuni, nikatoa gauni, nikaja na kitenge. Akanipaka mgongoni kwenye vidonda vya kung’atwa, akasema, “Zawadi, unajua uko mzuri sana, na shepu kama wacheza muvi wale wa matako makubwa.” Nikacheka, nikasema, “Acha bana!” Akasema, “Napenda watoto weupe, na wewe ni mweupe. Kwenu wapi?” Nikasema, “Mtwara, lakini wewe ni mkubwa kwangu, unaweza kuwa baba yangu!” Akasema, “Kweli, nina watoto kama wewe, mwingine mkubwa kuliko wewe, wako Longido.” Nikasema, “Unaona sasa?” Akasema, “Nimekusifia tu, uko mzuri sana kuliko Mama Zawadi, ndiyo maana anakupiga. Na macho yako makubwa yanaremba!” Nikasema, “Umekaa hapa, mama yuko wapi?” Akasema, “Ametoka na rafiki, usijali. Ngoja nikakuletee chakula.”
Alirudi na sahani ya tambi, kuku, viazi vya kukaanga, soseji, na mishkaki, pamoja na soda baridi. Akasema, “Hii ndiyo walikula shereheni, kula, mwanangu.” Nikasema, “Asante sana, Masai.” Akasema, “Usijali, nitakujali.” Nikala haraka, kwani njaa ilikuwa inauma—siku hiyo sikuwa nimekula. Masai aliniuliza mengi, nikamsimulia. Akasema, “Huyu mama ni shetani, lakini yana mwisho.” Nikasema, “Asante.” Alisema, “Nikuache ulale, naenda getini.” Nikasema, “Sawa.”
Asubuhi, nilipoboreka, nikaamka mapema. Maumivu yalipungua, nikaweza kutembea vizuri. Nilienda kwa Masai, aliyewa anawahi kuamka, akanipaka dawa tena. Nikarudi kufanya kazi. Mama aliamka, akakuta kila kitu safi, chai ikiwa tayari. Akasema, “Pika tambi na soseji.” Nikapika, nikaandaa. Nikiwa mezani, baba alikuja. Nikamsalimia, akaitika, kisha akasema, “Sikuambia usifanye kazi hadi upone?” Nikasema, “Najisikia vizuri, baba.” Huku naangalia chini, akasema, “Sogea hapa.” Nilisita, akanifata, akanifunua gauni kuangalia vidonda magotini. Aliona vyeusi kwa dawa ya Masai. Akasema, “Mbona vyeusi hivi?” Nikasema, “Ndiyo vinapona.” Alipokuwa amenigusa, mama akatokea, akasema, “Baba Zawadi, hii ni nini?” Baba hakujibu, akasema, “Endelea kupaka dawa, sawa?” Nikasema, “Sawa.”
Akasema, “Unaweza kwenda.” Nikaondoka, mama alinikata jicho. Nikasema, “Nimekosea hapa.” Baba alikunywa chai, akaondoka kazini. Nikabaki na mama. Aliniita, akasema, “Zawadi, njoo! Nambie, una agenda gani na mume wangu? Nataka kusikia, kisha ondoka kwangu. Unaleta matatizo kwenye ndoa yangu, mshenzi! Toka, sitaki kukuona hapa!” Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

🔞 Tahadhari: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima na siyo rafiki kwa walio chini ya miaka 18. Hadithi ya Watu Wazima: Zawadi Sehemu ya 5



Mama Zawadi akasema, “Mimi ndiye bosi wako, nitakaye kukupea mshahara, nakuambia ufanye kitu, unabisha?” Nikasema, “Samahani, mama, sikuwa nimeelewa, mama yangu.” Akasema, “Nataka nikuone mwili wako kama huna mambo ya kishirikina kama chale au hirizi.” Nikasema, “Sawa, mama, lakini sina vitu hivyo.” Akasema, “Vua nguo sasa.” Nikatoa nguo, nikabaki uchi kabisa, kwani hata chupi sikuwa nayo. Akanitazama, akasema, “Geuka.” Nikageuka, akaangalia, kisha akasema, “Vaa nguo zako.” Nikavaa. Akasema, “Na chupi je?” Nikasema, “Sina, mama, nyumbani hawajawahi kuninunulia.” Akasema, “Umevunja ungo?” Nikasema, “Hapana, mama.” Akasema, “Umemaliza shule lini?” Nikasema, “Mwezi wa kumi mwaka jana.” (Muda huo ulikuwa mwezi wa kwanza mwaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tahadhari-hadithi-hii-ina-maudhui-ya-watu-wazima-na-siyo-rafiki-kwa-walio-chini-ya-miaka-18-hadithi-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tahadhari-hadithi-hii-ina-maudhui-ya-watu-wazima-na-siyo-rafiki-kwa-walio-chini-ya-miaka
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

1.26K
*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

720
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

494
*AFANDE MILLAN😎* *57&58

*AFANDE MILLAN😎* *57&58

428
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.

345
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46  na 47.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46 na 47.

257
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

218
SASA NAKUPENDA Sehemu ya  45.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 45.

210
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.

188
SHAMIRA 52 to 53

SHAMIRA 52 to 53

179

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.72K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.92K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.58K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

*AFANDE MILLAN😎* *57&58 Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *57&58
@majario LIVE

Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8 Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 7. Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam...

 SHAMIRA Sehemu ya 54&55 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtoto anaumwa ebu tumpeleke zakiemu hospitali kubwa. Mh nikasema sawa. Mtoto wangu ni karembo jamani yani...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF Post Mpya
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF
@majario LIVE

wametoa kibali rasmi cha kuthibitisha kuwa uwanja Wa Hoima City uliopo Uganda, unakidhi viwango vya kimataifa vya kuandaa mechi kubwa za soka. Uwanja huo wa kisasa uliopo katika mji wa...

*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

SHAMIRA 52 to 53 Post Mpya
SHAMIRA 52 to 53
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 52 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana kesho yake asubuh husna na aisha wkaniletea uji na viazi vya rosti nilikula vizuri mana mwanangu kana nyonya mno. Basi nilipomaliza...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 6 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 6
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 6. Kumbe alikuwa ni Kingslay, jamani kanichungulia,niliona aibu nyie dah!, upande wa Kingslay aliingia Moja Kwa Moja chumbani kwake,alijikuta hisia zimempanda Ile Ile, "uyu binti jamani ni mrembo😋,...

MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5 Post Mpya
MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5
@majario LIVE

(Kitabu Chote) MY HOT PILOT ZYRO ( rubani wangu 🔥) MTUNZI; SMILE SHINE EP 1. Ikiwa ni majira ya saa tatu usiku, nikiwa jijini dar, maeneo ya tabata bima, Kwa Jina naitwa milembe mzaliwa wa...

SHAMIRA Sehemu ya 51 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 51
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi na aisha hakuchelewa sna akaleta vifaa vyangu na kadi langi la clinic pale.mimi sielewi nikawa nasema jamani nipelekeni nikazae naumwa sana. Manurse...

SHAMIRA 49 to 50 Post Mpya
SHAMIRA 49 to 50
@majario LIVE

Sehemu ya 49 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha alinishauri nitafute mwanaume mmoja nimpe mimba. Nimasema wala sina mda uo. Kwanini nikamuongopee mtu kuhusu mtoto Uyu mtotot akizaliwa .mimi...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.
@majario LIVE

48 MWISHOOO 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Kesho yake mapema sana . Posa ya baraka ililetwa kwetu. Baba akaipokea nimksema mahari. Apo sasa ilibidi nimpigie adrian kua mimi naolewa.akanmbia aha sawa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46  na 47. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46 na 47.
@majario LIVE

46 MPAKA 47 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Yani nilibaki kimya namuangalia tu ata la kusema sina na wazazi wanatuangalia. Akanmbia shakira. Tusijitese mama angu. Tuanglie mioyo yetu.mimi naelewa shakira unanipenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya  45. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 45.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Na baada ya mda sasa ndo baraka akaingia. Kapoa kweli kweli na tangia zamani ana sura ya upole ndo akazidi nakwambia. Nna hasira nae...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest