Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS ????❤️  Ep 17~18
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMU WA MABOSS ????❤️

Ep 17~18
Linda alishangaa kumuona Alex akiwa bize jikoni toba anafanya nini yule????????inamaana anataka kupika?????????????????? kumekucha leo tunalala njaa humu ndani ????????????

Alex alikuwa bize kukanda unga wa ngano????????alijipaka unga kila mahali mamaaa itabidi niende nikamsaidie????????Linda alielekea jikoni haraka kwa ajili ya kumsaidia Alex..

Oyaa Mr unafanya nini mbona umejipaka unga kila mahali unataka kujipika au????????????Linda aliongea huku akicheka

"Yeye ni mrembo sana haswaa wakati anatabasamu, nadhani nilijinyima tabasamu lake wakati huu wote...

nitaendelea kufanya kila kitu ili kumfanya awe anacheka muda wote, Alex aliwaza hivo kisha akamwambia Linda eh ndioo huoni kuwa napika

Hee sawaa sogea huko nikusaidie bwana????????

Walisafisha kila mahali na
Na kutoa kikaango, mafuta, bakuli na kijiko.
WaAlianza kupika na ilikuwa furaha sana walipo kuwa pamoja .

Walimaliza kupika na wote wakapumua kwa uchovu.

"Nyie wasichana mnajiweza kweli" Alex alisema maana alikuwa amechoka zaidi na linda akacheka.

"Hujui chochote" Alisema linda na Alex alienda kwenye friji na kuchukua chupa ya maji baridi ili ajipooze.

"Unapaswa kupakuwa chakula kwani nina njaa sana" Alex alisema na wakachukua chapati hadi kwenye meza ya chakula.

Alex alikuwa anajisemea namna anavyomuona Linda alivyo mrembo kwenye macho yake na Linda ni kama alisikia Alex akisema kitu na kuliza.

"Nini. Nataka kula" Alex alinong'ona
"Inabidi tuombe kwanza" Alisema Linda na Alex akakodoa macho.

"Sawa" alisema na Linda akaanza kuomba huku Alex akisema Amina huku macho yake yakiwa kwenye chapati ????????????.

Linda alimaliza maombi na haraka Alex akaweka chapati kinywani mwake.
"Mmmm tamu" alisema Alex .
"Tunapaswa kupika pamoja mara kwa mara,"

Linda alitikisa kichwa..na kuendelea kula
Baada ya kumaliza kula
Walikaa kwenye kochi kutazama sinema.

Alex alichukua rimoti kubadilisha chaneli lakini Linda alimzuia
"Nataka kuibadilisha," Alisema Alex
"Hapana huwezi kufanya hivyo"

"Na kwanini unadhani siwezi kufanya hivyo"
"Cos...cos...cos"
"Ona hujui"
"Nipe tu" alisema na Linda akanuna na kuificha remote

"Hebu angalia naweza kuchukua" Alex alimnyang'anya.. nyoo Linda aliongea na Alex akaanza kusogeza rimoti juu Linda alijaribu kuirukia na kumdondokea Alex

katika harakati hizo wote wakajikuta wanatazamana Alex aliitizama mdmo ya linda na Linda akakwepesha pembeni Alex alianza kumtkenya Linda ????????????

Walianza kukimbizana huku na kule mwisho Linda akakimbilia chumbani alifika huko akaanza kuwaza

"Dah nilivyo mdondkea Alex tukatazamana ilibakia kidogo anibus yani huyu sijui hata yukoje kwanza hajawahi kunitngza akome kunizoea zoea..

Wakati yupo huko alisikia Alex anamuita hey njoo chukua remote yako nilikuwa nakutania rudi uendelee kuangalia tv

Hatimaye Alex alimpa Linda rimoti na akaitumia kumgonga nayo kichwa chake..
"It's OK.I'm going upstairs" Alisema Alex na kusimama
"Ngoja . Huwezi kuniacha pekee yangu hapa" alisema Linda huku akiwa anamfata

"Unataka nini tena kama ni rimot nimekupa " Linda alimrukia na kutaka Alex ambebe mgongoni
"Tafadhali unaweza kunipandisha ngazi hadi chumbani kwetu...linda alimuuliza Alex na tyr alikuwa mgongoni kwake Unajua sijisikii vizuri," Linda alisema na Alex akacheka.

Sitaki kushuka, mgongo wake ni sehemu nzuri ya kupumzika akawaza linda.

"Shuka chini" Alisema Alex lakini Linda hata hakumjibu"

Alex alipanda nae hadi chmbn haya shuka tumefika kwani anashuka sasa????????????Alex alianza kumzungusha zungusha mpaka Linda akaanza kuhisi kizunguzungu

Alex alimwachia akaanguka kitandani.
"Ahhh gosh...unataka kuni ua" Linda alimuuliza Alex.

"Hapana wewe ndio unataka kuni ua" alisema na Linda hakukubali.

"Nilikuomba unipe lift na wewe ukakubali lakini kwa kuwa sikuwa tayari kushuka, unatakiwa kusubiri hadi niwe tayari kushuka" Linda alimwambia Alex

lakini Alex hakukubali.
"Hapana nilikuambia kuwa nilikuwa nimechoka sana, ulitakiwa kuzingatia Hilo, ukweli kwamba nilikuwa nimechoka sana," alisema alex.

Waliendelea kubishana mpaka Alex akam????????????ndio linda akawa mpole

"Samahani, nilifanya hivyo ili kukunyamazisha tu," alisema Alex.

"Ungeweza tu kusema ninyamaze," Linda alisema
"Samahani" Alisema tena na Linda hakumjibu.

"Natamani tu kumpotezea lakini nashindwa mbona nazidi kuchizika juu yake sasa???????? na huku kumuona kila siku sijui kama nitaweza, alijisemea Linda Kisha akajilaza kitandani na kujifunika kwa kutumia blanketi akalala...

"Mbona kama vile Linda ananiepuka tu? Sasa nitafanyaje ajue kuwa ninampnda au amenuna kwa kumbus bila ridhaa yake????????

na sidhani kama atazungumza nami kwa muda. Gosh nimefanya nini? Alex akawa anajiuliza .

Alilala nayy huku mawazo mengi yakimvamia kichwani usiku ulizidi kuwa mkubwa hatimae kulipambazuka

Linda aliamka asubuhi na kuangalia upande mwingine na kugundua Alex hayupo kitndni..

Linda alisimama na kufanya mambo muhimu.
Alishuka na kukutana na Alex akiwa tayar ameshavaa nguo za kazin huku akibonyeza simu yake.
"Habari za asubuhi" alimwambia, bila kumtazama

"Linda bado umenikasirikia,ila ,
nilisema samahani. Sawa angalia sitorudia tena kukukera" Alisema alex.
"Sawa nimekusamehe" alisema Linda akiwa bado hawez kumtazama.

"Lakini huniangalii" alisema Alex na Linda akanyanyua macho na kumtazama na Alex akatabasamu
"Umeridhika" Linda aliuliza
"Twende" alisema Alex na wakaondoka kwenda kazin....

Walifika kwenye kampuni na moja kwa moja akaenda ofisini kwake.

"najua bado ana hasira na mimi lakini zitakaa kwa muda, Alex akawaza

Muda huohuo alikuja Michael aliingia na kumsalimia Alex kisha akamwambia
"Hey, nimemuona mpnz wako mpya bana mnaendana sana ," Michael alisema na kukaa
Nani kakwambia mimi nina mpnz Alex alisema na Michael akacheka.

"Huwezi kunidanganya...sikia Alex bora umchukue msichana huyu kabla mtu mwingine hajamchukua"
"Hata macho yako yanaonyesha hujiwezi kwake..

Alex aliangalia pembeni akawaza mamaaa kumbe nishashtukiwa kitambo????????
"Lakini sasa ana hasira na mimi," Alex alisema kwa huzuni
"Usijali kuhusu hilo, atasahau muda si mrefu," alisema Michael na alex akatabasamu.

"Asante bro" Alex alisema
"Kwa nini upo hapa " Alex akauliza
"Nimekuja kuangalia kama kuna drama nyingine ya mapnz inaendelea" Alisema Michael huku akiwa anacheka.."

Kwahiyo sisi tumeshakuwa sinema siyo?? Michael alicheka na kumwambia alex nilikuwa natania tu Bro Nilikuja tu kukuangalia"
"Okay..

Huku kwa Linda sasa ???????? alikuwa ofisini kwake lakini akili yote iko kwa Alex

"Nitafanya Nini Mimi Linda ????????Je! Nikimuambia nampnda nitakuwa ninafanya jambo sahihi kweli? Uuuwww bibie hataki kusubilia tena anawaza kumwambia Alex kuwa anamlavuuu????????????

"Haya maigizo ya kuigiza kuwa mpnz wa mtu ndo yamesababisha moyo wangu ukampnd Alex ???????? na lenyewe lipolipo tu hata halijiongezi????????

Linda aliendelea kujigombeza peke yake ofisini????

Nini kitafuata??

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18

UTAMU WA MABOSS ????❤️

Ep 17~18
Linda alishangaa kumuona Alex akiwa bize jikoni toba anafanya nini yule????????inamaana anataka kupika?????????????????? kumekucha leo tunalala njaa humu ndani ????????????

Alex alikuwa bize kukanda unga wa ngano????????alijipaka unga kila mahali mamaaa itabidi niende nikamsaidie????????Linda alielekea jikoni haraka kwa ajili ya kumsaidia Alex..

Oyaa Mr unafanya nini mbona umejipaka unga kila mahali unataka kujipika au????????????Linda aliongea huku akicheka

"Yeye ni mrembo sana haswaa wakati anatabasamu, nadhani nilijinyima tabasamu lake wakati huu wote...

nitaendelea kufanya kila kitu ili kumfanya awe anacheka muda wote, Alex aliwaza hivo kisha akamwambia Linda eh ndioo huoni kuwa napika

Hee sawaa sogea huko nikusaidie bwana????????

Walisafisha kila...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-ep-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss-ep
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

855
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

609
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

534
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

431
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

314
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

189
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

95
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest