Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18
Gonga94 · Stories

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Ni ajabu kwani niliangaza huku na kule nikiwa na lengo la kuona nini kilichonivuta
Ila macho yangu hayakufanikiwa kuninasa kabisa.
Nilifanikiwa kuliona ua nililoliona siku ya kwanza nilipoingia ikulu humu, nikaishia kulitazama na kurejea chumbani kwangu.

Ajabu sikumkuta tena mfalme Jampioni ndani ya himaya yangu, hivyo nilifahamu yupo na mkewe wananyanduana usiku huu.

Sijui ni hisia gani nizipatazo ndani ya moyo wangu, sidhani kama ni wivu Amara mimi siwezi kuwa na wivu hata kidogo hasa kwa mwanaume nisiyempenda.

Ni kama nilikuwa nikijifariji tu, ni wazi sikuhitaji mfalme aondoke upande wangu, mara zote nilihitaji awe upande wangu ilihali si halali yangu.

Upande wa nyumbani anaonekana baba akiwa kwenye chumba chake cha maabara akiwa ameshikilia kile kifaa.

Kuna baadhi ya kemikali na mambo aliyokuwa akiyafanya juu ya kile kifaa.

Basi upande wangu huku nikajikuta naumia tu ni kama vile nakaribia kukata roho kama navutwa ama laah.

" Bado tu mume wangu, sitakuelewa kama Amara wangu hatarudi ndani ya wiki hii " alisikika mama Amara akizungumza.

" Nipe mida mke wangu nakubali nimetengeneza kifaa na kukihifadhi kizembe hadi kimemdhuru mwanangu ila si wa kulaumiwa peke yangu. Una makosa pia katika hili " alizungumza baba huku akimuangalia mkewe.

Basi namna mama hapendi kulaumiwa akaanza kuangua kilio.

Baba akaingia jukumu la kumbembeleza mama akaachana na kile kifaa. Hapo kidogo moyo wangu ukatulia ile hali ya kuvutwa ikakata kabisa.

Ikapita miezi na wiki zikawa zinazidi kwenda kasi....

Siku moja nikiwa jikoni naandaa supu kwaajili ya mfalme, nikaanza kuhisi kichefuchefu wacha nikimbilie nnje kutapika.

Sikutaka kuamini kama Amara mimi mpenda nyama leo hii naikinai ama ni mazingira mapya ? " Nilijikuta nikijiuliza.

Sikutaka kupiteza muda, siku hio sikuonja nyama wala radha ya pishi langu.

Nilipohakiki limeiva nilitenga kweye vibakuli kisha nikaelekea chumbani kwa mfalme.

Sikuona haja ya kugonga hodi kwa namna nilivyomzoea, ukizingatia mechi za kuchosha viungo anazonipatia sikuwa na wasiwasi.

Kama nilivyotegemea hakushangaa kuniona zaidi alinifurahia, nilimtengea na kukaa kando yake nikisubiri maoni ya nilichokiandaa.

Ajabu nikaanza kuhisi kichefuchefu kila alipopandisha kijiko cha supu mdomoni mwake.

" Aaaaasssssh " alisikika mfalme akilalamika pale nilipotapikia chakula chake.

" Una shida gani mama angu ? " Aliuliza mfalme.

Basi nikashuka chini kuomba rehema, namna alivoniwekea uso wa serious mazoea yakakata ghafla hapo nikaanza kuomba msamaha mbele zake.

Naweza sema upendo ama laah, mwanaume huyu hajui kununa eeeeh ?

Alikuja kuninyanyua na kuniketisha kando yake.
Haikuchukua muda kamanda kauzu alifika na mganga mkuu wa ikulu basi nikaanza kupimwa.

" Hongera mbinti una ujauzito wa miezi mitano " alizungunza mtabiri huyo huku akitabasamu.

" Ni mimi au mfalme ? " Nikauliza ni wazi nilikuwa nimevurugwa.

Nilizidi kwenda viral pale nilipogundua mfalme anakenua meno yake.

Wacha nianze kupiga kelele na kumrushia mito mfalme.
Mganga mkuu hakuweza kuhimili fujo hizo hivyo aliondoka.

" Shida nini mama ?, naenda kuitwa baba ni utukufu huu hakika " alizungumza mfalme huku akirukaruka kwa furaha.

Nilipoona ananikwaza nilimtoa nnje, japo ni chumba chake ila alikuwa mpole mie ndo nkawa mtawala 😀.

Taarifa za mimba zilipomfikia malkia Dorcas hakuonekana kushangaa ni wazi alilitambua.

Malkia waita alionesha fujo na jazba punde aliposikia habari hizo.
Hivyo akafunga safari moja kwa moja hadi kwenye chumba cha mfalme.

Nini kitajiri ?.

Endelea kufuatilia
SEHEMU YA 19 - 20
" Nitaitoa mimba ya huyo kimada sitakubali aniondoe kwenye jimbo langu kilaini namna hii " alizungumza malkia waita huku akizidi kuchanja mbuga.

" Si ajabu eeeh uliyoyasikia ?, sitegemei kusikia umefanya fujo kwa huyo kimada wa ikulu, kwanza asikusumbue mke ni mke tu na kimada atabaki kuwa kimada daima, japo sheria ipo wazi malkia asipozaa ndabi ya mika 10 anavuliwa cheo chake ila usijali nitaipindua sheria hio kwajili yako, sitafanya hivyo bure..... ila kwa sasa rudi chumbani kwako " alizungumza malkia Dorcas.

" Queen Dorcas ni mtu wa ajabu sana inaonekana, hajulikani ana akili za namna ipi kwani mara nyingi huingilia mbinu za malkia waita na kumzuia kufanya uhalifu ".

" Nitamuua kimada huyu endapo nitamkamata " alizungumza malkia waita huku akirudi kwa hasira chumbani kwake miguu yake akiipiga piga chini.

Siku zilienda tumbo langu likiwa linazidi kuwa kubwa.....

Kumbukumbu zangu za maisha yangu ya zamani familia na kilakitu zikaanza kunirejea nikiwa huko.


Hatimae mimba ikafikisha miezi tisa sasa.

Nikiwa juu ya kifua cha mfalme nikideka baada ya sita kwa sita nilishangaa nikitikwa na maji maji sehemu nyeti yakiambatana na maumivu.

Wacha nipige ukunga wa hatari.
Haikukuchua muda mganga mkuu alifika mahala pale kama mjuavyo kauli ya mfalme ni sheria ndivyo ilivyokuwa kule.

Basi shughuli ya kunifungulisha ikaanza wale wanawake walioingia leba ama wanaume walioshuhudia mtoto akizaliwa mnanielewa vema hakika.

Upande wa nyumbani anaonekana baba angu akiwa maabara sambamba na mama yangu.

" Lazima nipate matokeo mazuri siku ya leo nimehangaika kwa muda sasa " alisikika baba akizungumza huku mama akiwa anamuangalia kwa macho yaliyokata tamaa kabisa.

Shughuli ya kunizalisha iliendelea huku nikisikia maumivu ya hali ya juu.

" Sukuma sukuma " sauti za wakunga zilisikika zikinitaka nisukume mtoto atoke.

Japo nilijitahidi kwa hatia za mwanzo ila nikaonesha kuzidiwa na kuishiwa na nguvu.

Sifahamu nini kilijiri, kufumba na kufumbua nilijikuta kwenye dunia na mahala nilipopazoea sana.

Hapakuwa pageni kwangu, ni pa simenti si pa mbao na panavutia sana si pengine bali nyumbani kwetu.

Palibadilika kiasi tu.

Nilijikuta nikitabasamu pale nilipotazama pembeni na kumkuta mama yangu na baba yangu wakinutazama ni kama walikuwa wakinisubiri kwa hamu sana.

" Mama, baba !! " niliita. Basi wakanisogelea na kunikunbatia kwa upendo.

Maswali ya wapi ulikuwa nini kilijiri na niliishije hayakuisha siku hio.

Niwambieni tu, manake kwanza nicheke😀, niliwajibu na kuwahadithia yote isipokuwa yale ya minyanduano ni aibu kwa kweli.

Naina kuna jambo nimesahau kuwaambia na ni hili ;

Kule buana sijui korea au wapi nilifanikiwa kujifungua mtoto mzuri wa kiume na mwenyw afya.

Kutokana na mvutano na mambo ya kitaalamu ya baba, mwili wangu ulibaki kule na roho yangu ikaja huku, hivyo kule ilijulikana nimefariki japo mtoto alitoka salama.

Mfalme Jampio haishi kunikumbuka utamu wake wa bei ya jioni.
Kila akiniwaza haachi kunena " ama kweli nilimpata mpishi mwenye utamu wake ".

Upande wa malkia waita ilikuwa ahueni kwake pale nilipofariki ni wazi alikuwa akinichukia kupitiliza.

Malkia Dorcas aliiingia jukumu la kumtunza mjukuu wake aliyepewa jina ATASA 😀 kwa kuhofia huwenda waita atamdhuru kwa chuki zake.

Tukiachana na hayo hivi sasa nipo home japo ni muda mchache ila nimepata bwana wa maana kaelewa show na anataka kunioa mie, ni kama niliondoka na baraka za kule.

Yote kwa yote acha ibaki kuwa historia tu ila sitakuja kusahau yale niliyoyapitia, ama kweli sayansi ipo na Mungu yupo tusidharau hivi vitu.

THE END BY JJL STORIES 🥰.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18

Ni ajabu kwani niliangaza huku na kule nikiwa na lengo la kuona nini kilichonivuta
Ila macho yangu hayakufanikiwa kuninasa kabisa.
Nilifanikiwa kuliona ua nililoliona siku ya kwanza nilipoingia ikulu humu, nikaishia kulitazama na kurejea chumbani kwangu.

Ajabu sikumkuta tena mfalme Jampioni ndani ya himaya yangu, hivyo nilifahamu yupo na mkewe wananyanduana usiku huu.

Sijui ni hisia gani nizipatazo ndani ya moyo wangu, sidhani kama ni wivu Amara mimi siwezi kuwa na wivu hata kidogo hasa kwa mwanaume nisiyempenda.

Ni kama nilikuwa nikijifariji tu, ni wazi sikuhitaji mfalme aondoke upande wangu, mara zote nilihitaji awe upande wangu ilihali si halali yangu.

Upande wa nyumbani anaonekana baba akiwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 8
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

649
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

531
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

206
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

148
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

139
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

124
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

112
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

97
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

88
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa 🔥🔥🔥  SEHEMU YA 1       😂😂😂😂Em kwanza nicheke mieee  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijui  wapi wapii  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mr. Marvel akaendelea “Niliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest