Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18
Gonga94 · Stories

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Ni ajabu kwani niliangaza huku na kule nikiwa na lengo la kuona nini kilichonivuta
Ila macho yangu hayakufanikiwa kuninasa kabisa.
Nilifanikiwa kuliona ua nililoliona siku ya kwanza nilipoingia ikulu humu, nikaishia kulitazama na kurejea chumbani kwangu.

Ajabu sikumkuta tena mfalme Jampioni ndani ya himaya yangu, hivyo nilifahamu yupo na mkewe wananyanduana usiku huu.

Sijui ni hisia gani nizipatazo ndani ya moyo wangu, sidhani kama ni wivu Amara mimi siwezi kuwa na wivu hata kidogo hasa kwa mwanaume nisiyempenda.

Ni kama nilikuwa nikijifariji tu, ni wazi sikuhitaji mfalme aondoke upande wangu, mara zote nilihitaji awe upande wangu ilihali si halali yangu.

Upande wa nyumbani anaonekana baba akiwa kwenye chumba chake cha maabara akiwa ameshikilia kile kifaa.

Kuna baadhi ya kemikali na mambo aliyokuwa akiyafanya juu ya kile kifaa.

Basi upande wangu huku nikajikuta naumia tu ni kama vile nakaribia kukata roho kama navutwa ama laah.

" Bado tu mume wangu, sitakuelewa kama Amara wangu hatarudi ndani ya wiki hii " alisikika mama Amara akizungumza.

" Nipe mida mke wangu nakubali nimetengeneza kifaa na kukihifadhi kizembe hadi kimemdhuru mwanangu ila si wa kulaumiwa peke yangu. Una makosa pia katika hili " alizungumza baba huku akimuangalia mkewe.

Basi namna mama hapendi kulaumiwa akaanza kuangua kilio.

Baba akaingia jukumu la kumbembeleza mama akaachana na kile kifaa. Hapo kidogo moyo wangu ukatulia ile hali ya kuvutwa ikakata kabisa.

Ikapita miezi na wiki zikawa zinazidi kwenda kasi....

Siku moja nikiwa jikoni naandaa supu kwaajili ya mfalme, nikaanza kuhisi kichefuchefu wacha nikimbilie nnje kutapika.

Sikutaka kuamini kama Amara mimi mpenda nyama leo hii naikinai ama ni mazingira mapya ? " Nilijikuta nikijiuliza.

Sikutaka kupiteza muda, siku hio sikuonja nyama wala radha ya pishi langu.

Nilipohakiki limeiva nilitenga kweye vibakuli kisha nikaelekea chumbani kwa mfalme.

Sikuona haja ya kugonga hodi kwa namna nilivyomzoea, ukizingatia mechi za kuchosha viungo anazonipatia sikuwa na wasiwasi.

Kama nilivyotegemea hakushangaa kuniona zaidi alinifurahia, nilimtengea na kukaa kando yake nikisubiri maoni ya nilichokiandaa.

Ajabu nikaanza kuhisi kichefuchefu kila alipopandisha kijiko cha supu mdomoni mwake.

" Aaaaasssssh " alisikika mfalme akilalamika pale nilipotapikia chakula chake.

" Una shida gani mama angu ? " Aliuliza mfalme.

Basi nikashuka chini kuomba rehema, namna alivoniwekea uso wa serious mazoea yakakata ghafla hapo nikaanza kuomba msamaha mbele zake.

Naweza sema upendo ama laah, mwanaume huyu hajui kununa eeeeh ?

Alikuja kuninyanyua na kuniketisha kando yake.
Haikuchukua muda kamanda kauzu alifika na mganga mkuu wa ikulu basi nikaanza kupimwa.

" Hongera mbinti una ujauzito wa miezi mitano " alizungunza mtabiri huyo huku akitabasamu.

" Ni mimi au mfalme ? " Nikauliza ni wazi nilikuwa nimevurugwa.

Nilizidi kwenda viral pale nilipogundua mfalme anakenua meno yake.

Wacha nianze kupiga kelele na kumrushia mito mfalme.
Mganga mkuu hakuweza kuhimili fujo hizo hivyo aliondoka.

" Shida nini mama ?, naenda kuitwa baba ni utukufu huu hakika " alizungumza mfalme huku akirukaruka kwa furaha.

Nilipoona ananikwaza nilimtoa nnje, japo ni chumba chake ila alikuwa mpole mie ndo nkawa mtawala 😀.

Taarifa za mimba zilipomfikia malkia Dorcas hakuonekana kushangaa ni wazi alilitambua.

Malkia waita alionesha fujo na jazba punde aliposikia habari hizo.
Hivyo akafunga safari moja kwa moja hadi kwenye chumba cha mfalme.

Nini kitajiri ?.

Endelea kufuatilia
SEHEMU YA 19 - 20
" Nitaitoa mimba ya huyo kimada sitakubali aniondoe kwenye jimbo langu kilaini namna hii " alizungumza malkia waita huku akizidi kuchanja mbuga.

" Si ajabu eeeh uliyoyasikia ?, sitegemei kusikia umefanya fujo kwa huyo kimada wa ikulu, kwanza asikusumbue mke ni mke tu na kimada atabaki kuwa kimada daima, japo sheria ipo wazi malkia asipozaa ndabi ya mika 10 anavuliwa cheo chake ila usijali nitaipindua sheria hio kwajili yako, sitafanya hivyo bure..... ila kwa sasa rudi chumbani kwako " alizungumza malkia Dorcas.

" Queen Dorcas ni mtu wa ajabu sana inaonekana, hajulikani ana akili za namna ipi kwani mara nyingi huingilia mbinu za malkia waita na kumzuia kufanya uhalifu ".

" Nitamuua kimada huyu endapo nitamkamata " alizungumza malkia waita huku akirudi kwa hasira chumbani kwake miguu yake akiipiga piga chini.

Siku zilienda tumbo langu likiwa linazidi kuwa kubwa.....

Kumbukumbu zangu za maisha yangu ya zamani familia na kilakitu zikaanza kunirejea nikiwa huko.


Hatimae mimba ikafikisha miezi tisa sasa.

Nikiwa juu ya kifua cha mfalme nikideka baada ya sita kwa sita nilishangaa nikitikwa na maji maji sehemu nyeti yakiambatana na maumivu.

Wacha nipige ukunga wa hatari.
Haikukuchua muda mganga mkuu alifika mahala pale kama mjuavyo kauli ya mfalme ni sheria ndivyo ilivyokuwa kule.

Basi shughuli ya kunifungulisha ikaanza wale wanawake walioingia leba ama wanaume walioshuhudia mtoto akizaliwa mnanielewa vema hakika.

Upande wa nyumbani anaonekana baba angu akiwa maabara sambamba na mama yangu.

" Lazima nipate matokeo mazuri siku ya leo nimehangaika kwa muda sasa " alisikika baba akizungumza huku mama akiwa anamuangalia kwa macho yaliyokata tamaa kabisa.

Shughuli ya kunizalisha iliendelea huku nikisikia maumivu ya hali ya juu.

" Sukuma sukuma " sauti za wakunga zilisikika zikinitaka nisukume mtoto atoke.

Japo nilijitahidi kwa hatia za mwanzo ila nikaonesha kuzidiwa na kuishiwa na nguvu.

Sifahamu nini kilijiri, kufumba na kufumbua nilijikuta kwenye dunia na mahala nilipopazoea sana.

Hapakuwa pageni kwangu, ni pa simenti si pa mbao na panavutia sana si pengine bali nyumbani kwetu.

Palibadilika kiasi tu.

Nilijikuta nikitabasamu pale nilipotazama pembeni na kumkuta mama yangu na baba yangu wakinutazama ni kama walikuwa wakinisubiri kwa hamu sana.

" Mama, baba !! " niliita. Basi wakanisogelea na kunikunbatia kwa upendo.

Maswali ya wapi ulikuwa nini kilijiri na niliishije hayakuisha siku hio.

Niwambieni tu, manake kwanza nicheke😀, niliwajibu na kuwahadithia yote isipokuwa yale ya minyanduano ni aibu kwa kweli.

Naina kuna jambo nimesahau kuwaambia na ni hili ;

Kule buana sijui korea au wapi nilifanikiwa kujifungua mtoto mzuri wa kiume na mwenyw afya.

Kutokana na mvutano na mambo ya kitaalamu ya baba, mwili wangu ulibaki kule na roho yangu ikaja huku, hivyo kule ilijulikana nimefariki japo mtoto alitoka salama.

Mfalme Jampio haishi kunikumbuka utamu wake wa bei ya jioni.
Kila akiniwaza haachi kunena " ama kweli nilimpata mpishi mwenye utamu wake ".

Upande wa malkia waita ilikuwa ahueni kwake pale nilipofariki ni wazi alikuwa akinichukia kupitiliza.

Malkia Dorcas aliiingia jukumu la kumtunza mjukuu wake aliyepewa jina ATASA 😀 kwa kuhofia huwenda waita atamdhuru kwa chuki zake.

Tukiachana na hayo hivi sasa nipo home japo ni muda mchache ila nimepata bwana wa maana kaelewa show na anataka kunioa mie, ni kama niliondoka na baraka za kule.

Yote kwa yote acha ibaki kuwa historia tu ila sitakuja kusahau yale niliyoyapitia, ama kweli sayansi ipo na Mungu yupo tusidharau hivi vitu.

THE END BY JJL STORIES 🥰.
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18

Ni ajabu kwani niliangaza huku na kule nikiwa na lengo la kuona nini kilichonivuta
Ila macho yangu hayakufanikiwa kuninasa kabisa.
Nilifanikiwa kuliona ua nililoliona siku ya kwanza nilipoingia ikulu humu, nikaishia kulitazama na kurejea chumbani kwangu.

Ajabu sikumkuta tena mfalme Jampioni ndani ya himaya yangu, hivyo nilifahamu yupo na mkewe wananyanduana usiku huu.

Sijui ni hisia gani nizipatazo ndani ya moyo wangu, sidhani kama ni wivu Amara mimi siwezi kuwa na wivu hata kidogo hasa kwa mwanaume nisiyempenda.

Ni kama nilikuwa nikijifariji tu, ni wazi sikuhitaji mfalme aondoke upande wangu, mara zote nilihitaji awe upande wangu ilihali si halali yangu.

Upande wa nyumbani anaonekana baba akiwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 8
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

622
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

566
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

473
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

414
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

346
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

120
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

83
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

77
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

69
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest