Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
30 Jan 2026
226 views
VYOTE NDANI GONGA94
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ENDELEA......
" Nimechoka mimi, nimechoka mimi na haya maisha nasema kila siku mtot mtoto !!! Mtoto!!!! Mbona kufanya nafanya sana tu na vile ana maumbile makubwa mpaka ananiumiza kupitiliza ila mimba sipati why ? " Alisikika malkia waita akizungumza na miungu yake ya kikorea sijui budha au laaah.
Majira ya usiku anaonekana mfalme Jampio akiwa anatoka kwenyE chumba chake, kwa mbali anaonekana akielekea kwenye usawa wa chumba changu.
Upande wa pili anaonekana malkia waita akiwa anaelekea kwenye chumba cha mfalme Jampio.
Kwa namna alivyovaa mwanaume yeyote akimtia machoni ni ngumu sana kumuacha kama alivyo, si haba anavutia japo ni zamani ama mazingira ya kishamba...rangi ya mwili wake na mvuto wa sura yake vinavutia so haba aiseee Mungu fundi buana.
Upande wangu nikiwa chumbani kwangu nikishangaa shangaa picha za ukutani zilizobandikwa nikasikia kwa mbali kama kuna hatua za mtu akija upande wangu.
Akili yangu na moyo wangu havikuamini macho yangu pale nilipomuona mfalme mtukufu akiwa amevalia mavazi yaliyonifanya nipige kelele.
Bahati nzuri hakuwa mbali kwangu aliniwahi na kuniziba mdomo.
Nyie hamuwezi kuamini mfalme alivalia sanda nyeupe, almanusura nizimie nikidhania yu mzimu.
Huenda ni hekima ama laaah hakuniuliza kwani chochote, ukaribu wake na wangu haukunizuia kuzisikia pumzi zake si ajabu alilitambua pia.
Huyu mwanaume ni waajabu ama laah amenipania siku ya leo.
Ni dakika chache tu sikuwa na nguo mwilini mwangu, namna nilivyokuwa nikisikia raha sikuacha kutoa miguno ya hapa na pale.
Vile alikuwa na sifa aliongeza speed ya shughuli yake.
Amara mimi fundi wa hii sekta leo nilikamatika, kila nilipojaribu kupanda mnazi nilijikuta nikiishiwa nguvu miguu ikitetemeka hivo nilitulia tu anishughulikie vile atakavyo.
" Ni mtamu wewe ni matamu sana wewe mbinti" alilalama mfalme akiwa juu ya kifua changu.
Tukiwa katika one and two, ghafla tulisikia mlango wangu ukifunguliwa kwa kasi.
Kazi imeanza sasa,
Nakuja.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala ...
ππππππππππππππππππππππππππππππππ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe ume...
π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦ Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu ...
Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
ENDELEA......
" Nimechoka mimi, nimechoka mimi na haya maisha nasema kila siku mtot mtoto !!! Mtoto!!!! Mbona kufanya nafanya sana tu na vile ana maumbile makubwa mpaka ananiumiza kupitiliza ila mimba sipati why ? " Alisikika malkia waita akizungumza na miungu yake ya kikorea sijui budha au laaah.
Majira ya usiku anaonekana mfalme Jampio akiwa anatoka kwenyE chumba chake, kwa mbali anaonekana akielekea kwenye usawa wa chumba changu.
Upande wa pili anaonekana malkia waita akiwa anaelekea kwenye chumba cha mfalme Jampio.
Kwa namna alivyovaa mwanaume yeyote akimtia machoni ni ngumu sana kumuacha kama alivyo, si haba anavutia japo ni zamani ama mazingira ya kishamba...rangi...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya-11
Maoni