Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
Gonga94 ยท Stories

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

" Ni jani hili ama hua hakika, japo silifahamu ila limenivutia "nilizungumza kisha nikaondoka nikiwa na hilo ua mkononi mwangu.

" Ni marufuku kwa kijakazi ama mkazi wa ikulu kuchuma chochote ndani ya jengo hili, mali zote ni za mfalme wa himaya hii " nilisikia sauti ukingoni mwangu ikizungumza.

Ile kugeuka., si ndo kumuona mlinzi kauzu, wacha nianze kutimua mbio .....

" Naona bahati haipo upande wangu " nilizungumza huku nikisimama nikikodoa kwa aibu pale nilipogundua nimezungukwa na watu ambao naweza sema majemedari wa zamani enzi hizo...vile nilikuwa sielewi nikaamua nitulie kusomewa mashtaka.

" Ni vema kama utanifuata kwa hiari yako ama laah nitatumia nguvu " alizungumza yule kamanda mtukutu....sikuwa na budi zaidi ya kumfuata..hapo nimenywea mapepo yote pembeni..Amara mimi siamini nilipoa kupita maelezo ๐Ÿ˜, ni vile sionekani ama laah huwenda ningekuwa kituko machoni mwenu wasomaji.

" Mtukufu mfalme, mbele yako tupo wajakazi wako watiifu " alizungumza kamanda kauzu.

" Napokea mashtaka yenu " ilisikika sauti ikijibu.
Unadhani kipo nilichokielewa, fanya kama mnaniona hivi mie Amara form four felia ๐Ÿ˜€ aiseee ni balaa.

" Mbele yako tumemleta mpishi mkufunzi wa ikulu, kabobea kwenye upishi wa kila chakula " alizungumza kamanda kauzu.

" Sawa mwaweza kunyanyua vichwa " alizungumza mtu aliyesemekana ni mfalme..

" We mwehu ni mfalme ama nakosea huwenda sioni vizuri " nilizungumza kwa sauti, ile sijakaa vizuri nilishtushwa na mtama wa pembeni...wacha nikae chini kuugulia maumivu ya makalio ๐Ÿ˜€.

" Uwe na heshima ni marufuku kufungua mdomo mbele ya mfalme bila ruhusa yake, ni vile u mgeni mahala hapa lasivyo ningekukata kichwa na kuwapa fisi " alizungumza kamanda yule.

" Ni kauzu huyu zaidi ya dagaa hakika, hashindwi kunikamua kiumbe huyu " nilijisemea kimyakimya huku nikijiokota pale.

" Mwaweza kuondoka mahala hapa nitawapokea tena siku ya kesho, namna nina uchovu siwezi kuwasikia " alizungunza mfalme huyo huku akijitupia kItandani.

" Ni wazi viuno vyangu vilimpagawisha vilivyo na ile dog niliyompatia " nilizungumza.

" Unasema nini wewe nini dog ? Ni lugha gani unayoutumia wewe " aliuliza yule kamanda mstaarabu....nikaishia kumuangalia tu bila kumjibu yoyote...moyoni mwangu nikishukuru kutosikiwa na kauzu ama laah angenikata kichwa hakika.

Nakuja
Tangazo - Hostinger better 2026
Hostinger better 2026
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7


" Ni jani hili ama hua hakika, japo silifahamu ila limenivutia "nilizungumza kisha nikaondoka nikiwa na hilo ua mkononi mwangu.

" Ni marufuku kwa kijakazi ama mkazi wa ikulu kuchuma chochote ndani ya jengo hili, mali zote ni za mfalme wa himaya hii " nilisikia sauti ukingoni mwangu ikizungumza.

Ile kugeuka., si ndo kumuona mlinzi kauzu, wacha nianze kutimua mbio .....

" Naona bahati haipo upande wangu " nilizungumza huku nikisimama nikikodoa kwa aibu pale nilipogundua nimezungukwa na watu ambao naweza sema majemedari wa zamani enzi hizo...vile nilikuwa sielewi nikaamua nitulie kusomewa mashtaka.

" Ni vema kama utanifuata kwa hiari yako ama laah nitatumia...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 8
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 8
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.54K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.58K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.8K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.27K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.2K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.14K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.05K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest