Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
Gonga94 ยท Stories

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

ENDELEA......

" Kaa hapa sihitaji uumize kiumbe kilichopo tumboni " alizungumza malkia huyo huku akinisogezea kiti, sikuwa na ubabe wa kubisha nilikaa mara moja.

Nadhani sina haja ya kuficha ficha si siri tena naongea na mtu mzima anaejua shughuli shughuli za ndani na nnje. Akazungumza malkia Dorcas kisha akaendelea kuzungumza tena.

Nafahamu kuwa umemteka sana mwanangu, siku zote hakuwa akiinjoy tendo na malkia wake waita hivyo mara kadhaa alikuwa akinifuata kunielezea changamoto anazozipitia.

Hivyo nikaanza kazi ya kumtafutia vimada sasa vya hapa na pale.

Ni ajabu, hakuwa akifurahia kila baada ya tendo na hao wadada, wapo aliosema wabaridi ama wachafu ama wametumika mpaka ladha hakuna.

Ila kwako imekuwa tofauti, sifahamu nini umempa mpaka amekuwa katika hali ya usingizi namna ile.

Basi muda wote huo nipo tuli kama maji mtungini nikimsikiliza malkia Dorcas akizungumza, kama ilivyo desturi ni mwiko kumuingilia mtukufu malkia pale aongeapo hivyo nilitulia kumsikiliza.

Nikajikuta nikiduwaa, kila nimuangalia huyu malkia ni kama kuna mtu ananijia kichwani hivi...kuna upendo fulani nauhisi kutoka kwa huyo mtu ninao mkumbika ambao hauna mipaka .

" Niambie basi na wewe " sauti ya malkia Dorcas ilinishtua akiwa kanitandika kibao kidogo cha begani.

Nikabaki naduwaa nisijue nini cha kumueleza kwani muda wote alikuwa akizungumza mwenyewe, macho yangu hayakuwa sawa na ubongo wangu.

" Ina maana huikatikii wala ufundi wowote ? Mbona kijana wangu anachoka vile " alizungumza malkia Dorcas pale alipoona nimeduwaa.

Ndipo nikapata wazo juu ya analoliongelea nikabaki nacheka kichinichini nisiamini nikisikiacho ๐Ÿ˜€.

Nakuja
Tangazo - General kumbe ulinipenda kweli eee
General kumbe ulinipenda kweli eee
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15


ENDELEA......

" Kaa hapa sihitaji uumize kiumbe kilichopo tumboni " alizungumza malkia huyo huku akinisogezea kiti, sikuwa na ubabe wa kubisha nilikaa mara moja.

Nadhani sina haja ya kuficha ficha si siri tena naongea na mtu mzima anaejua shughuli shughuli za ndani na nnje. Akazungumza malkia Dorcas kisha akaendelea kuzungumza tena.

Nafahamu kuwa umemteka sana mwanangu, siku zote hakuwa akiinjoy tendo na malkia wake waita hivyo mara kadhaa alikuwa akinifuata kunielezea changamoto anazozipitia.

Hivyo nikaanza kazi ya kumtafutia vimada sasa vya hapa na pale.

Ni ajabu, hakuwa akifurahia kila baada ya tendo na hao wadada, wapo aliosema wabaridi ama wachafu ama wametumika mpaka ladha hakuna.

Ila...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 8
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.54K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.58K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.8K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.27K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.2K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.14K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.05K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest