Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 8
Gonga94 Β· Stories

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

ENDELEA.....

Basi tukaondoka mahala hapo mimi pamoja na hao walinzi wakiongozwa na huyo kamanda kauzu.

" Ingia humu, utalala hapa siku ya leo " alizungumza kamanda yule...basi sikuwa na jinsi zaidi ya kutii, nikazama chumbani humo nikatulia macho yangu yakiwa yanatalii kwenye chumba hiko.

Naona nalala juu ya mbao na godoro tu siku ya leo vile nilivyo wa kishua sijazoea haya mambo, basi nikabaki nikijiongelesha tu bila mpangilio maalumu.

Sijui wazo lilitoka wapi nikaona ninyanyuke nitoroke mahala hapa, si haba pua zangu zinanusa damu tu siku ya leo..

Basi nikanyanyuka na kuanza kuelekea mlangoni.

" Hakikisheni haendi popote huyu mbinti " nilisikia kamanda kauzu akiwaamuru walinzi hapo nnje, nilipojaribu kuchungulia nikagundua nimezungukwa na walinzi pande zote nikimaanisha kwamba siwezi kutoroka hata nifanyaje.

Basi nikasalenda nikarudi kitandani, japo nilikua nimechoka ajabu usingizi haukunijia vya kutosha kama mjuavyo ugenini kulala ni ngumu sasa bora pangekuwa kwa kisasa ugenini kuna mbao ? Yaani nyumba ya mbao like seriously ?

Sifahamu nilipitiwa saa ngapi , nikaja kushtuliwa na kelele za mlango ukigongwa..ile najiweka sawa niamke nikashangaa tayari umefunguliwa.

" Mfalme pamoja na malkia wanahitaji kukuona mara moja " alizungumza kamanda mstaarabu , wacha nitoe macho pale niliposikia neno malkia...akili yangu haikuwacha kuwaza kuuliwa siku ya leo kila nikikumbuka nilinyanduliwa na mume wake sijui ndo huyo mfalme.

" Nipo tayari " nilijibu kisha nikaongozana na yule kamanda...hapo hata sijaswaki wala kuoga, vile nilikua naogopa sikukumbuka umuhimu wa bafu kwa muda huo.

Safari ikaishia njiani, moyo wangu ukaanza kwenda mbio pale nilipogundua tumewasili kwenye eneo husika.

" Mtukufu mfalme tunaomba rehema yako, tunyanyue vichwa mbele yako " alisikika kamanda yule akizungumza.

Ishara za vidole tu zilitolewa kuashiria kukubalika kwa ombi....wacha tuinue vichwa vyetu kuwatazama.

" hakika malkia ni pisi la kwenda " nilizungumza.

Kamanda kauzu alipotaka kuniadhabisha malkia akamzuia akasema .

" Haina haja ya ilo, ebu njoo hapa we mbinti , sidhani kama nina usikivu mbaya ebu uje unambie maana ya hilo neno pisi kali "

" Wacha nikenue nilipogundua nilisikika vibaya, sikuacha kujikaza kusogea karbu na malkia, ni mrembo hakika sijawahi ona japo make up ya kishamba " nilijisemea huku nikimsogelea malkia.

" pisi kali ni binti mrembo zaidi nawe una sifa hizo mtukufu malkia " nilizungumza nikiwa nimeinamisha kichwa chini.

Matumaini yangu yaliyumba pale malkia alipoamuru niwekewe panga shingoni.

Endelea kufuatilia.
SEHEMU YA 9
Wacha nitoe macho moyo ukitaka kunitoka kila nikitazama namna panga lilivyo kali kupitiliza.

" Ni nimemaanisha unavutia mtukufu malkia " nikaona nijitetee sikutaka mambo mengi.

" Mpe uhuru malkia wangu, nahitaji kuonja chakula chake siku ya leo " alizungumza mfalme huku akinitazama, sikukawia niliinama chini kuomba rehema.

Namna bahati ilikuwa upande wangu, ombi la mfalme lilitimizwa.

" Nifuate nahitaji kukupeleka jikoni haraka " alizungumza malkia huyo, ni binti wa rika langu si ajabu nimemzidi urembo ni vile tu sina matunzo, sikuacha kujisemea kila jicho langu la kushoto lilipomtazama malkia huyo, nilipohisi atanigundua niliagaza pembeni na kuinamisha uso chini.

" Zama ndani "
" Sawa mtukufu "

" Ni jiko huru na la kisasa la ajabu, lina kila kitu utakachokihitaji kupikia, kuna tanuru na kila kitu anza kazi " alizungumza malkia huyo huku akikaa pembeni na kunitazama.

" Siamini kama makaa ya mawe ni jiko la kisasa, sioni oven wala microwave sidhani kama kuna umeme mahala hapa " nilisema kichinichini.

Nilipokumbuka nipo chini ya uangalizi nikaongeza umakini kisha nikaanza kazi.

" Wali nyama,nitaandaa " nilizungumza huku nikianz kupika.

Ilichukua saa tu kumaliza mapishi hayo.

Japo sikumuita, malkia alinyanyuka kuja kuangalia chakula changu.

Sikuelewa ni dharau au nini, binti huyo mrembo kiasi alionekana kusikitika.

" Beba nifuate " kwa haraka nilibeba msosi na kunfuata.

Tulipofika chumbani kwa mfalme niliomba rehema ya kumuangalia usoni, aliponiruhusu nilinyanyuka na kuingia sambamba na malkia.

" Mmmmh makubwa mbona haya " nilijikuta nikizungumza.

Nyie sawa ni mapenzi, siamini kama wawili hawa wanaweza kunyanduana mbele yangu ilihali nimeleta chakula mahala hapa.

Basi nikaanza kujikoholesha lengo wakumbuke uwepo wangu.

" Ni kitamu hatari sijawahi onja pishi hili " alizungumza malkia... mfalme mpuuzi alibaki akitikisa kichwa tu bila kusema neno lolote.

haikuchukua muda, lango la mfalme liligongwa.

β€œMtukufu malkia, mama mfalme anaomba kukuona " alizungumza kijakazi huyo.

Huenda malkia huyo anaogopwa, kwa namna malkia huyu alivyokurupuka punde alipisikia jina hilo lilinifanya nicheke, japo nilijikaza nisitambulike.

" Chakula chako ni kitamu mno japo hakijafikia utamu wako " alinena mfalme punde malkia alipoondoka.

Sikuwa na jibu nilibaki nikiduwaa.

Endelea kufuatilia.
SEHEMU YA 10
Waweza kunieleza nini uliiweka kwenye nunu yako ewe mlimbwende ? Aliuliza mfalme huyo mpuuzi.

Huwa namuita hivyo kwani siamini kama anastahili cheo hiko kabisa, ni kama mvulana asiyejielewa wala nini anaendeshwa na mihemko tu.

" nNona una yako unayoniwazia, usihofu nitakuwa na wewe usiku wa leo " nikiwa naduwaa sauti ya mfalme ilisikika.

Upande wa malkia na mama wa mfalme sauti ya kufoka inasikika.

" Ina maana nimekosea kukuchagua sio ? Ni binti gani usiyeweza kumshawishi mwanaume kwa kiasi hiki ? Si ajabu umeshindwa kumvuta akulale kwenye siku za hatari ni salama tu " alizungumza malkia huyo mama wa mfalme aliyejulikana kama Dorica.

" Nisamehe mama nitajitahidi " alijibu malkia.

" Si mara ya kwanza kuomba hilo, hakuna mabadiliko ya maombi yako, usiku wa leo ni nafasi yako ya mwisho kumtega mfalme, nimezungumza na mganga mkuu wa ikulu kanieleza leo upo kwenye siku ya hatari, ni rahisi kunasa mimba usiku wa leo hivyo usiniangushe " alizungumza malkia huyo...ni mzuri sana wa sura ila mgumu wa roho kama vandame.

" Sawa mama " malkia huyo aliitikia kisha akaondoka.

" Waita wewe ! !! " Aliita malkia docas.

" Abee mama "

" Usiniangushe sawa ? "

" Sawa mama " akajibu waita kisha akaondoka mahala hapo.

Sasa sijui itakuwaje wajameni..... huyu mfalme huyu sijui atajigawaje aiseee.....aje kwangu aninyandue au alale kwa mkewe..... mimi na wewe hatujui wadau wangu.

Endelea nakuja

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 8


ENDELEA.....

Basi tukaondoka mahala hapo mimi pamoja na hao walinzi wakiongozwa na huyo kamanda kauzu.

" Ingia humu, utalala hapa siku ya leo " alizungumza kamanda yule...basi sikuwa na jinsi zaidi ya kutii, nikazama chumbani humo nikatulia macho yangu yakiwa yanatalii kwenye chumba hiko.

Naona nalala juu ya mbao na godoro tu siku ya leo vile nilivyo wa kishua sijazoea haya mambo, basi nikabaki nikijiongelesha tu bila mpangilio maalumu.

Sijui wazo lilitoka wapi nikaona ninyanyuke nitoroke mahala hapa, si haba pua zangu zinanusa damu tu siku ya leo..

Basi nikanyanyuka na kuanza kuelekea mlangoni.

" Hakikisheni haendi popote huyu mbinti " nilisikia kamanda kauzu akiwaamuru walinzi...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

930
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

631
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

483
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

131
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

103
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

101
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

59
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

48
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yakeπŸ’”. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🀚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest