Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
Gonga94 · Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Ilikuwa asubuhi tamu kweli. Tulipochokal kucheza tukaingia bafuni kuoga kwa pamoja. tuliogeshana kwa upendo.

Baada ya kuoga, tukavalishana nguo kisha Elton akaniambia ataandaa breakfast tena maana anajua vya kuchemsha nakaanga, navya kukaanga nachemsha

Mimi ni nani nikatae?? Nilikaa pembeni nikiangalia tu jinsi anavyotayarisha maakuli.

Dakika kama ishirini hivi, meza ikawa imejaa vitu vitamu sijui pancakes, sausage, chai ya maziwa, mikate na juisi baridiii.

Tulikaa pamoja mezani, tukaanza kula. Wakati mwingine alikuwa ananilisha, wakati mwingine.

mimi namlisha. Ilikuwa romantic sana na tukajisahau hadi pale Elijah alipokuja akatuona. tunafanya ma lovie dovey.

Nilijua moyo wake unauma hasa pale aliponitazama. Alituangalia tu kwa muda kishal akamgeukia Elton, "Bro, naomba tuongee. kidogo

"Ok"

Wallkwenda chumbani kwa Elton, wakafunga mlango ili nisisikie walichokua wanazungumza.

Elijah alianza kwa kuuliza, "unampenda Gina kweli?"

"Ndiyo, nampenda

"Sasa mbona siku ya kwanza nilipokuuliza ulikataa?"

"Nilijichanganya tu ila this timenajua nampenda Gina kweli

"Ok, mimi sina shida. Ila nakuomba kitu kimoja

bro, Gina ni msichana mzuri na Akipenda, anapenda kwa moyo wote. Usije ukamuumiza"

Elton akajibu "Usijali, sitamuumiza

"Na yule mwanamke mama yako aliyekutafutia umuoe je? Umeshamwambia Gina kuhusu icho? Also Unajua wazazi wako hawatamkubali Ginah kirahisi

Elton akakaa kimya kwa sekunde kadhaa kisha akasema kwa ukali "Mambo yangu na Gina Wewe usiingilie. Wazazi wangu nitashughulikia mwenyewe. Gina pia nitamueleza mwenyewe. Kwa sasa please achana na haya mambo"

"Ok. Ila inabidi niondoke. Sina nguvu ya kuendelea kukaa hapa nikiwaona nyie wawili kila siku. Inaniuma

"Ni sawa bro, nakuelewa Lakini asante, Kamal usingekuja, labda nisingejua kama nampenda Gina kwa kiasi gani"

Elijah akatabasamu kwa uchungu "Nami nimefurahia muda tuliokuwa wote. All the best"

Wallpeana mikono kisha wakakumbatiana kama wanaurne waliomaliza vita. Baada ya hapo, Elijah akaenda chumbani kwake kuanza kupack mizigo yake.

Baada ya kupaki kila kitu hakutaka hata kupoteza sekunde nyingine pale ndani. Nilimuona amebeba mabegi yake nikapata presha.

"Unaenda wapi?"

"Naondoka, Gina

Nikashangaa "Kwa nini tena? Mbona ghafla?"

Akasema kwa sauti ya upole "Sioni kama kuna. haja ya kuendelea kukaa hapa. But please kuwa makini na Elton"

"Kwa nini unasema hivyo?"

"Just kuwa makini tu. Elton si mtu wa kuamini. sana"

Baada ya kusema ivyo akatoka nje na kuingiza mizigo kwenye buti la gari. Nilimwangalia akiwasha gari na kuondoka nikiwa namhurumia.

Sikatai Elijah alikua na hisia na mimi na alinijali sana ila bahati mbaya mimi tayari moyo wangu ulikua kwa Elton hata kwa vyote vile vibaya. alivyo nifanyia. Moyo wangu ulichagua kuwa na

Elton pekee.

Basi bhana Elijah alipofika mbele kidogo alipaki gari pembeni ya barabara, akatoa simu yake. Alimpigia simu Aunt yake ambaye si mwingine bali ni mama yake Elton.

Simu ilipopokelewa mda huo huo huku sauti ya Mama Elton ikisikika upande wa pili "Hallo Elijah, habari zako mwanangu?"

Elijah akajibu "Good Aunt. Naomba kukuuliza jambo moja

"Uliza mwanangu, kuna nini?

"ile ndoa kati ya Elton na yule msichana mliyemchagulia bado ipo au mmeifuta?"

"Haljafutwal Ni vile kuna tatizo limetokea kwa upande wa msichana but ipo pale pale. Soon tatizo litatatuliwa then harusi itafungwa! Why umeuliza ivyo?"

Elijah akasema "Kwa sababu Elton anaishi na mwanamke mwingine nyumbani. Wanaishi kama wapenzi. Nilikua huko kwa wiki mbili na

nimeona kila kitu kwa macho yangu. Anaonekana kumpenda sana huyo mwanamke"

Mama Elton akashangaa "Umesema nini?! Anaishi na mwanamke mwingine? Hiyo haiwezekani! Elton hawezi kufanya hivyol"

"Ni kweli Aunt! Nilidhani labda mmebadilisha mpango wa ndoa ndo maana anaishi na mwanamke mwingine"

"Hapanal Hii ni aibu. Hiyo habari mbaya sana. Asante kwa kuniambia Elijah. Nitajua jinsi ya kufanyal Thanks so much"

"Ok Aunt" Elijah alikata simu akatabasamu kisha akaendelea kuendesha gari lake.

Wakati huo mimi na Elton tulikuwa hatuna habari kabisa kinachoendelea nyuma ya pazia. Ndo kwanza penzi lilikolea mno, kila siku tulitoka kwenda dinner, shopping, tulizunguka kila mahali

ku-enjoy. Na nilipotakiwa kwenda kuripoti polisi

kwenda dinner, shopping, tulizungus

ku-enjoy. Na nilipotakiwa kwenda ko

niyeye ndie alimpeleka

Etoo alinijal

Hakusema ner

mara moja. Kuna mda aliuliza kul yangu lakini alikua tayari kumuambi nikamwambia kwamba nilikuwa kuolewa mwanaume mwingn vibaya sang Nilikaa kimya skar

nikiwa tayari nitamuambia mwenyew

Unajua nini kitokea baada ya hapo

kidogo nakuja

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu



Ilikuwa asubuhi tamu kweli. Tulipochokal kucheza tukaingia bafuni kuoga kwa pamoja. tuliogeshana kwa upendo.

Baada ya kuoga, tukavalishana nguo kisha Elton akaniambia ataandaa breakfast tena maana anajua vya kuchemsha nakaanga, navya kukaanga nachemsha

Mimi ni nani nikatae?? Nilikaa pembeni nikiangalia tu jinsi anavyotayarisha maakuli.

Dakika kama ishirini hivi, meza ikawa imejaa vitu vitamu sijui pancakes, sausage, chai ya maziwa, mikate na juisi baridiii.

Tulikaa pamoja mezani, tukaanza kula. Wakati mwingine alikuwa ananilisha, wakati mwingine.

mimi namlisha. Ilikuwa romantic sana na tukajisahau hadi pale Elijah alipokuja akatuona. tunafanya ma lovie dovey.

Nilijua moyo wake unauma hasa pale aliponitazama. Alituangalia tu kwa muda kishal akamgeukia Elton, "Bro, naomba...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-sehemu-ya-kumi-na-sita-asubuhi-tuliamka-wote-tukicheza-na-mito-kama-watoto-el

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba-sehemu-ya-kumi-na-sita-asubuhi-tuliamka-wote-tukicheza-na-mito-kama-watoto-el
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

852
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

608
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

533
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

429
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

313
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

189
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

95
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest