*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ππ«π«* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
Ilikuwa asubuhi tamu kweli. Tulipochokal kucheza tukaingia bafuni kuoga kwa pamoja. tuliogeshana kwa upendo.
Baada ya kuoga, tukavalishana nguo kisha Elton akaniambia ataandaa breakfast tena maana anajua vya kuchemsha nakaanga, navya kukaanga nachemsha
Mimi ni nani nikatae?? Nilikaa pembeni nikiangalia tu jinsi anavyotayarisha maakuli.
Dakika kama ishirini hivi, meza ikawa imejaa vitu vitamu sijui pancakes, sausage, chai ya maziwa, mikate na juisi baridiii.
Tulikaa pamoja mezani, tukaanza kula. Wakati mwingine alikuwa ananilisha, wakati mwingine.
mimi namlisha. Ilikuwa romantic sana na tukajisahau hadi pale Elijah alipokuja akatuona. tunafanya ma lovie dovey.
Nilijua moyo wake unauma hasa pale aliponitazama. Alituangalia tu kwa muda kishal akamgeukia Elton, "Bro, naomba tuongee. kidogo
"Ok"
Wallkwenda chumbani kwa Elton, wakafunga mlango ili nisisikie walichokua wanazungumza.
Elijah alianza kwa kuuliza, "unampenda Gina kweli?"
"Ndiyo, nampenda
"Sasa mbona siku ya kwanza nilipokuuliza ulikataa?"
"Nilijichanganya tu ila this timenajua nampenda Gina kweli
"Ok, mimi sina shida. Ila nakuomba kitu kimoja
bro, Gina ni msichana mzuri na Akipenda, anapenda kwa moyo wote. Usije ukamuumiza"
Elton akajibu "Usijali, sitamuumiza
"Na yule mwanamke mama yako aliyekutafutia umuoe je? Umeshamwambia Gina kuhusu icho? Also Unajua wazazi wako hawatamkubali Ginah kirahisi
Elton akakaa kimya kwa sekunde kadhaa kisha akasema kwa ukali "Mambo yangu na Gina Wewe usiingilie. Wazazi wangu nitashughulikia mwenyewe. Gina pia nitamueleza mwenyewe. Kwa sasa please achana na haya mambo"
"Ok. Ila inabidi niondoke. Sina nguvu ya kuendelea kukaa hapa nikiwaona nyie wawili kila siku. Inaniuma
"Ni sawa bro, nakuelewa Lakini asante, Kamal usingekuja, labda nisingejua kama nampenda Gina kwa kiasi gani"
Elijah akatabasamu kwa uchungu "Nami nimefurahia muda tuliokuwa wote. All the best"
Wallpeana mikono kisha wakakumbatiana kama wanaurne waliomaliza vita. Baada ya hapo, Elijah akaenda chumbani kwake kuanza kupack mizigo yake.
Baada ya kupaki kila kitu hakutaka hata kupoteza sekunde nyingine pale ndani. Nilimuona amebeba mabegi yake nikapata presha.
"Unaenda wapi?"
"Naondoka, Gina
Nikashangaa "Kwa nini tena? Mbona ghafla?"
Akasema kwa sauti ya upole "Sioni kama kuna. haja ya kuendelea kukaa hapa. But please kuwa makini na Elton"
"Kwa nini unasema hivyo?"
"Just kuwa makini tu. Elton si mtu wa kuamini. sana"
Baada ya kusema ivyo akatoka nje na kuingiza mizigo kwenye buti la gari. Nilimwangalia akiwasha gari na kuondoka nikiwa namhurumia.
Sikatai Elijah alikua na hisia na mimi na alinijali sana ila bahati mbaya mimi tayari moyo wangu ulikua kwa Elton hata kwa vyote vile vibaya. alivyo nifanyia. Moyo wangu ulichagua kuwa na
Elton pekee.
Basi bhana Elijah alipofika mbele kidogo alipaki gari pembeni ya barabara, akatoa simu yake. Alimpigia simu Aunt yake ambaye si mwingine bali ni mama yake Elton.
Simu ilipopokelewa mda huo huo huku sauti ya Mama Elton ikisikika upande wa pili "Hallo Elijah, habari zako mwanangu?"
Elijah akajibu "Good Aunt. Naomba kukuuliza jambo moja
"Uliza mwanangu, kuna nini?
"ile ndoa kati ya Elton na yule msichana mliyemchagulia bado ipo au mmeifuta?"
"Haljafutwal Ni vile kuna tatizo limetokea kwa upande wa msichana but ipo pale pale. Soon tatizo litatatuliwa then harusi itafungwa! Why umeuliza ivyo?"
Elijah akasema "Kwa sababu Elton anaishi na mwanamke mwingine nyumbani. Wanaishi kama wapenzi. Nilikua huko kwa wiki mbili na
nimeona kila kitu kwa macho yangu. Anaonekana kumpenda sana huyo mwanamke"
Mama Elton akashangaa "Umesema nini?! Anaishi na mwanamke mwingine? Hiyo haiwezekani! Elton hawezi kufanya hivyol"
"Ni kweli Aunt! Nilidhani labda mmebadilisha mpango wa ndoa ndo maana anaishi na mwanamke mwingine"
"Hapanal Hii ni aibu. Hiyo habari mbaya sana. Asante kwa kuniambia Elijah. Nitajua jinsi ya kufanyal Thanks so much"
"Ok Aunt" Elijah alikata simu akatabasamu kisha akaendelea kuendesha gari lake.
Wakati huo mimi na Elton tulikuwa hatuna habari kabisa kinachoendelea nyuma ya pazia. Ndo kwanza penzi lilikolea mno, kila siku tulitoka kwenda dinner, shopping, tulizunguka kila mahali
ku-enjoy. Na nilipotakiwa kwenda kuripoti polisi
kwenda dinner, shopping, tulizungus
ku-enjoy. Na nilipotakiwa kwenda ko
niyeye ndie alimpeleka
Etoo alinijal
Hakusema ner
mara moja. Kuna mda aliuliza kul yangu lakini alikua tayari kumuambi nikamwambia kwamba nilikuwa kuolewa mwanaume mwingn vibaya sang Nilikaa kimya skar
nikiwa tayari nitamuambia mwenyew
Unajua nini kitokea baada ya hapo
kidogo nakuja
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi