Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
29 Aug 2025
878 views
VYOTE NDANI GONGA94
BILIONEA NDANI YA HOTELI 55__56 ( SEASON THREE)
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
“ni jana tu ndio kila kitu kimeunguka “
“huyu ni mwanangu Rahul,,,,nimtoto wangu mimi ndie baba yakee,,, oooh Mungu wangu kwanini imekuwa njia ndefu hiviii kwaninii ,,”
“lakini bado umefika kwa wakati safari yako “alberto alimuinua mtoto akambusu kila kona sasa yale maneno ya ness kuwa amefanana na mtoto wake yalijirudia kichwani akajikuta anacheka huku machozi yanatoka akasema ndio ni binti yangu amefanana na baba yangu kila kitu namuona baba yangu kabisa
Sio Vicky wala recho hata mama yake hakuna alie elewa,, Rahul akamuomba recho na mama yake watoke nje mara moja wakatoka
Rahul akaanza kuomba msamaha kwa alberto ,, Vicky moyo ake ukaanza Kwenda mbio baada tu ya kusikia jina la alberto
Rahul akamuelezea Vicky kuhusu alberto maradhi yake na kila kitu ,, muda huo alberto hakuwa hata na nguvu za kuongea kitu ,, mwili wa Vicky ulikuwa unateteemeka ,,,
“sijui ilikuwaje mie mtu niliemkuta na koti Pamoja na saa ni mashavna huyu sikumuona pale hotel “ Vicky alikuwa analia tu akamgeukia alberto
‘”kwahiyo ni wewee!!?”
“Vicky hata nikeshe naomba samahn kwako nahisi siwezi kupata nafasi hiyo nimekuumiza sana ,,naomba unisamehe Vicky naombaa”
“sijawahi kuwa na hasira na baba wa mtoto wangu kilichoniuma ni yeye kunitumia kwa nguvu kisha kunikimbia “
“naapa sikuwahi kufikiria kukukimbia”
“kuna mtu alitumia utambulisho wangu akaamua kunifukuza mbali ili awe na raha ,, ndio maana alikuwa anamkataa mtoto wake ili uongo wake uishi ,,ndio maana alinambia nisije kusema kwa yeyote kama nimebakwa ?hahh daah”
“hata mimi alinambi nisije kusema popote kuwa yeye amebakwa”
“akatumia nji nyingi aishi kwenye uongo hata mwanae kamkataa “
“nimfanye ninii mashaa???” alberto aliuliza kwa Vicky
“kama kuna nafasi ya kusamehe kwenye moyo wako samehe kisha sahau”
“umenisamehe Vicky ,,yaan kimaajabu sanaa umenipa mtoto tena kwenye wakati ambao nahitaji faraja ,, Vicky nitasamehe lakini kusahau siwezi ,,amekutesa wewe na mimi lakini kwa mwanangu ndio linaniuma zaidi “
ITA………
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
majario29 Aug 2025 19:01
BILIONEA NDANI YA HOTELI
55__56 ( SEASON THREE)
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
SHAMIRA sehemu ya 13&14
Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipe...
“huyu ni mwanangu Rahul,,,,nimtoto wangu mimi ndie baba yakee,,, oooh Mungu wangu kwanini imekuwa njia ndefu hiviii kwaninii ,,”
“lakini bado umefika kwa wakati safari yako “alberto alimuinua mtoto akambusu kila kona sasa yale maneno ya ness kuwa amefanana na mtoto wake yalijirudia kichwani akajikuta anacheka huku machozi yanatoka akasema ndio ni binti yangu amefanana na baba yangu kila kitu namuona baba yangu kabisa
Sio Vicky wala recho hata mama yake hakuna alie elewa,, Rahul akamuomba recho na mama yake watoke nje mara moja wakatoka
Rahul akaanza kuomba msamaha kwa alberto ,,...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/bilionea-ndani-ya-hoteli-55__56-season-three
Maoni
55__56 ( SEASON THREE)