BILIONEA NDANI YA HOTELI EP 30
TULIPOISHIA.......
Boazi alikuwa ndani ya chumba chake kidogo pembeni ya geti anajilia raha na mmoja wa wasaidizi wa masha alie kuwa amembakiza,,walikatishwa maogezi yao baada ya mlango wa boazi kukongwa ilikuwa usiku sana inakwenda saa tisa ,, masha usingizi ulikuwa mzito sana kuja ,, akaona aende zake kwa boazi akale ma raha yake…
Boazii alikaa kimyaaa ila alijua kabisa ni masha huyo, maria akamuuliza ni nan?? Boazi akamwambia shh usiongeee…..masha akaita we boaz fungua mlangoo
Maria akasema mungu wangu sio sauti ya madam hiyoo ,, anafata ninii usiku wote huu?
ENDELEA.......
Boazi akabaki kubabaika amjibu nini Boss wake, ilitakiwa kuwa siri kuwa anamkula bosss wake sasa huyu msaidizi wa kike tayar amejua atamjibu ninii
“sikia maria … hakiksha kwenye maisha yako yotee Boss asije kujua kama leo ulikuwahumu nani kamwe ,”
Maria akabaki mdomo wazi haelewi lakini akawa kimyaa ,, Boazi alitoka anajichekesha chekesha ,, “ nataka kulala humu ndani leo”
“ aah madam humu ndani pachafu sana huwa sipafanyii mara kwa mara usafii “
Masha hata hakumjibu kitu,, alimsogelea akaanza kumpapasa boazi japo alikuwa amechoka kwa heka heka za maria usiku wa leo ,, ilibidi tu ajizoe zoe ili kumridhisha boss wake ..
Maria akabaki anasikilizia miguno za mahaba hapo nje ,, masha alikuwa anajiamini mana hata anapo lala mfanyakazi ni mbali na get alikuwa na uhakika nisalama
“jamaniii huyu dada anamwanaume mzuri hivii afu anakuja kupanga foleni kwa Boazi ?? mshenzi huyu boazi hata kina enjo katembea nao anajikuta anajua sana eeh””
Mria alitamani hata kutoka ili amuaribie boazi maana alikuwa amesha kelwa na uongo wa boazii
Masha aliporidhishwa akarudi chumbani kwake ,,boazi akarudi kwenye kichumba chake akamkuta maria yupo analia
“ sikia maria”
“embu niache hukoo Malaya wewe”
“sio hivyoo haki Tena mie nakupenda wewe tuu”
“nyo”
“mariaa”
“embu niache nikalale mie kuanzia leo usije kunisemesha hata kwa bahati mbaya”
nakuapia mimi huwa ananilazimisha tuu tena alinambia atanifukuza kazi, maria mimi nina tegemewa ujue,,, kwanza mwanamke mwenyewe ni mbayaa hana hata radhaa sijui alianza umalaya akiwa na miaka kumii daah ,, maria naomba ukapumzike eeh nakupenda”
Qassano simu yake ya kwanza asubuh ilikuwa kwa Abby , wakati huo abby au Vicky alikuwa chumbani kwake na recho
“ Vicky hakii jana niliona mhabaaa weuweeeee hahah nilikua dirishanii munguuu nina shem shem wa maana oyoooo!”
“embu acha ujinga ujue mie naona aibuu”
‘”hi asa aibu ya ninii nawewee”
“aah sijui naona kama hatuendani …. Huyuu nae anapigaa”
“jamaniii mie naona rahaa embu pokeaa”
Vicky akapokea simu baada ya salamu na vichombezo vya kimahaba qassano akamwambia vipi ombi langu nilikuomba ,, Vicky akamwambia ni wewe tu hata ukitaka sasa hivii mie sawa tu
Qassano akasema nakufata hapo sasa hivii,, recho akamuweka vizuri akampa na pafyum yake akamwambia nawewe ununue yako hukoo muone
Vicky akacheka akamwambia asante dadaaa,,,, qassano alikuwa ashafika ,, akamsalimia mama yake recho na recho ,, akatoa chochote kitu yaani pesa akampa mama recho ,,, akatoa baraka kama zotee……………..
Qassano alimuomba abby amsaidie kuchagua feniture za ndani , na mahitaji yote muhimu ya ndanii ,, muda wote huo masha alikuwa anapiga simu bila kupumzika lakini alberto hakutaka kuharibu siku yake alicho fanya aliitoa tu sauti ,,,
Akamtumia msg Rahul ,, akamwambia aende kwa masha ampe chochote anachotaka hata akitaka nusu ya pesa zetu zote mpatie lakini mwambie ukweli kuwa siwezzi kuwa nayeyee
Rahul akasema hiyo kazi ndogo boss wewe kula raha hukooo ,, Alberto kacheka ,, nyumba mpya ya mr alberto ilikuwa tayari ilishapangwa kila kitu ,, nyumba ilikuwa kubwa nzurii mr alberto aliamua kununua ili we anakaa kwake kipindi yupo tanzani …
Vicky alikuwa hoi kachokaa kwa heka heka za manunuzi ya nusu siku ,, qassano akambeba akampeleka chooni kumuosha ,, mapenzi yao yalikuwa yamenogaa
“ hivi tarehe yako ya kurudi clinc ni linii??
“nishamaliza nasubir tu makadilio yangu,,
“waooh kumbe karibu tunampokea mgeni wetuu eeh ,, njoo huku kunakitu nikuoneshe… “
Qassano alimpandisha Abby ghorofa ya juu kabisha kulikuwa na vyumba vitatu tu akafungua chumba kimoj kamwambia embu tazama
Vicky hakuamini aliziba mdomo na kiganja chake cha mkono kwa mshangao ,, machozi yakaanza kumtoka ,, kilikuwa ni chumba cha mtoto kimepambwa na fenich gharii kweli kweli ,, vyumba ambvyo anaviona kwenye tamthilia na instargram kipo mbele yake halafu anaambiwa ndio mtoto wake atakuja kukitumia alihisi ndotoo
“naamani mtoto wetu aje wewe ukiwa hapaa ,, naomba niende nyumbni kwenu abby”
Abby akuwa amemwambia wale hawakuwa ndugu zake yupo hapo kwa muda akimaliza chuo atarudi kijijini kwao,,
“ qassano serious??”
“ yeah ,, unajua abbyy kuna vitu baadhi nilikuongopea na kuna vingi pia hujui kuhusu mii but from now on utajua vyote kuhusu mimi”
ITAENDELEA…………
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

Maoni