Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
02 Dec 2025
321 views
VYOTE NDANI GONGA94
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe. SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO ENDELEA. . . BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Bwana muddy alifanikiwa kutoka jela huku akiwa amenawiri kwani ilifika kipindi akazoea maisha ya mule ndani mwili wake uli ongezeka alifuga na mzuzu wa kutosha juu alikuwa na kipara kilicho kolea mafuta na sasa alikuwa nje ya geti kuu la gereza la butimba lililopo mkoani Mwanza
Maisha yalikuwa yame badirika sana jiji la mwanza lilizidi kupendeza majengo makubwa yalizidi kuongezeka baada ya kutoka alikuja kupokelewa na dada yake mkubwa ambae ni mama ashura
alisikitika sana baada ya kupewa taarifa za mke wake kuwa alisha olewa na mzungu na kwa sasa yupo nje ya nchi mali zake zote zilikiwa zimesha taifishwa hakuwa na kitu chochote ina maana ndio anaanza moja
hata ndugu alio wategemea wote walimtenga kibaya zaidi baba yao alisha fafiki kwa tatizo la moyo wamebaki na mama pekee ambae pia amesha zeeka anasubiri msaada kutoka kwa watoto wake fumba na kifumbua maisha ya bwana muddy yalikiwa yamesha badirika kabisa hakuwa mudi yule anaevaa vizur na kunukia kila wakati
Dada yake mkubwa ambae ni mama ashura ambae kwa sasa anaishi jijini dar es salaam ndio alichukua jukumu la kumtunza kaka yake mpk pale atakapo kaa sawa hivyo maisha mapya yakaanza akiwa jijini dar es salaam ni miezi saba tu tangu awepo hapo kwa dada yake akisubiri kuanza pirika zake za maisha
Baada ya kumbukizi hiyo mjomba muddy alibaki akitoa machozi tu alijua huu sasa ndio mwiaho wa maisha yake alijua kwa miaka aliyo nayo hivi sasa ukiongeza mingine therasini basi ni dhahiri atatoka jela akiwa ame zeeka sana ama atafia huko kabisa
alijarobu kuomba msamaha lkn hauku saidia kitu mama ashura hakutaka kusikia kabisa siku zote alijitahidi kumlea mwanae katika maadili ili asome na afaulu vizuri masomo yake leo hii kaka yake anakuja kuya haribu maisha ya binti huyo asie na hatia bila shaka hilo liaingeweza kuvumilika hata kidogo
Hakukuwa na mashauli tena zaidi ya kuelekea polisi kesi ilifunguliwa na hatimae mjomba muddy ali rudishwa tena jela na hivi sasa akitumikia kifungo cha miaka therasini kwa kosa la kukutwa akifanya mapenzi na mwanafunzi
Ashura alifanyiwa mahojiano tangu mwanzo wa penzi lake yeye na mjomba wake mpk walipo fikia pia ilibidi akapimwe vipimo vyote ili kuji rizisha kama kweli hana magonjwa ya maambukizi wala uja uzito kwa bahati nzuri bahati ilikuwa upande wake
Mwishowe mama ashura aliamua kumuamisha mwanae shule kabisa na kumpeleka kusoma shule ya bweni ambayo ilikuwa ni ya wasichana watupu aliamini huko mtoto wake atapata kutulia na kuendelea na masomo
MWISHO. . . . .
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia ...
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe. SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO ENDELEA. . . BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO
Bwana muddy alifanikiwa kutoka jela huku akiwa amenawiri kwani ilifika kipindi akazoea maisha ya mule ndani mwili wake uli ongezeka alifuga na mzuzu wa kutosha juu alikuwa na kipara kilicho kolea mafuta na sasa alikuwa nje ya geti kuu la gereza la butimba lililopo mkoani Mwanza
Maisha yalikuwa yame badirika sana jiji la mwanza lilizidi kupendeza majengo makubwa yalizidi kuongezeka baada ya kutoka alikuja kupokelewa na dada yake mkubwa ambae ni mama ashura
alisikitika sana baada ya kupewa taarifa za mke wake kuwa alisha olewa na mzungu na kwa sasa yupo nje ya nchi mali zake...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-oooh-anko-mudy-usichomoe-sehemu-ya-ishirini-na-tano-endelea-baada-ya-miaka-kumi-na-tano