Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
Gonga94 ยท Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18

ILIPOISHIA.....
"" "" Sikiliza Sele. Katika watu watatu unaokutana nao kwenye Jiji hili la Dodoma.. Basi ujue mmoja kati yao ni mtu wa ulinzi na usalama..
Haya ni makao makuu ya nchi.. Humu kuna hazina ya Nchi.. Humu kuna siri za nchi..

Kuwa makini utakuja kufa sawa..

Aliongea Nasra na kusogea Mezani kuchukua Simu yake kumpigia Rehema..
********
"" " Halo Shosti.. Umeshamkamata huyo ng'ombe.?? Aliongea Rehema mara tu baada ya kuipokea simu...

" "" Ndio shost njoo home mara moja...

Aliongea Nasra na kukata Simu....

********
********
********

Huko kwenye viwanja vya kazi Saidi alikuwa anamalizia kula huku akiwa hajielewi imekuwaje hadi ameingia kwenye majukumu yale..

Baada ya kumaliza chakula..

Yule mze aliempokea Saidi kwa mara ya kwanza alikuja na kusimama karibu kabisa na Saidi..

Saidi aliinua Uso wake na kumtazama yule mzee kwa huruma..

""" Naomba nisaidie baba nitoke humu...
Aliongea Saidi kwa upole sana huku anamtazama yule mzee...

Mzee alimshika Saidi mkono na kuondoka nae..

Walietembea kule chini na kukuta njia moja zinapita gari ndogo ndogo za kijeshi.. Yule mzee alisimamisha moja ya zile gari na kupanda akiwa na Saidi.

Njia nzima mzee hakuwa anaongea chochote..

Gari lilitembea kwa umbali fulani hadi likafika sehemu na kuanza kupanda kama mlima kisha kutokea kwenye Ardhi ya juu.. Gari lilipaki katikati ya majengo fulani makubwa na kila pande kulikuwa kunalindwa na Wanajeshi...

Kumbe muda wote walikuwa Under Ground au chini ya Ardhi kwa maana ingine..
Sasa muda huu walitoka njee na kutokea katikati ya kambi ya Jeshi...

Hakukuwa na upenyo hata kidogo wa saidi kutoka pale..

Mzee alishuka na Saidi akiwa amemshika mkono vile vile na kuingia nae kwemye moja ya chumba kwenye majengo yale....

Walifika na mzee alichukua koti lake la kijeshi na kuvaa kwasababu kulikuwa na Baridi sana...

Aliinuka na kufungua kabati fulani na kutoa koti jingine na kumrushia Saidi..

Saidi aliidaka na kuitazama kisha kuivaa...

"" "" Have a seat.. ( kaa hapo)) aliongea mzee na Saidi alikaa..

"" "" Dogo unaitwa nani.?? Taja majina yako kamili na usinitajie namba kama ulivyo fundishwa kule..

"" " SAIDI JUMAA. aliongea saidi kwa upole huku anaitazama tazama koti la jeshi aliyoivaa.

" "" Saidi karibu.. Wewe ni mtoto wa Tanzania.. Baba yako ni Tanzania.. Mama yako ni Tanzania, Dada na kaka yako ni Tanzania. Mke wako pia ni Tanzania..

Ukiwa mtanzania basi hupaswi kuchagua nini chakufanya kwasababu wewe ni mali ya Serikali ya Tanzania..

Muda wowote ukihitajika kulitumikia taifa uwe tayari tena kwa nguvu zote na kwamikono miwili.. Hakuna kauli ya kipumbavu na isiyo faa kutamkwa huku kama kuomba kurudi uraiani.. Kwani wewe ni mgonjwa..

Alafu huo ni umama unauleta humu.. Ukipewa nafasi kama hizi shukuru na uingie kuitetea nchi yako uandikwe kwenye vitabu vya mashujaa wa nchii..

Hembu acha utoto sawa Dogo..

Aliongea Yule mzee na Saidi aliitika kwa kutikisa tu kichwa kuashiria amemuelewa..

"" "" Dogo hatujaanza kukufuatilia wewe leo au jana..
Yaani Kuanzia wewe ni mtoto tulishaanza kukuchunguza..

********
"" " Unakumbuka kuna siku ukiwa shule ya msingi uliwahi kucheza mchezo ya kuigiza na wenzio halafu ukajidondosha na kujidai umekufa.

Watu waliamini kuwa umekufa hadi wazazi wako walikuja na daktari alikupima na kusema kweli umekufa kumbe ulikuwa unaigiza tu na baadae uliinuka na kuanza kucheka.!!!!

Aliongea Yule mzee....

Saidi alishtuka na kukaa vizuri baada ya kusikia habari zile za tangu akiwa mtoto mdogo shule ya msingi..
Alikumbuka siku hiyo na kweli alichapwa sana na walimu na wazazi pia baada ya kufanya utani kama ule..

*******
"" "" "Basi Enzi hizo tulianza kukufahamu na tulikupenda kwa utaalamu wako ndipo tulianza kukufuatilia...

"" " Ukiwa unasoma Shule kuna mwalimu mmoja alikuwa akikupenda sana na hata mda mwingine alikuwa akikuita kwake kunywa chai hadi wenzio wakaanza kukusema kuwa unatembea na mwalimu wako ukiwa darasa la Saba..
Basi mwaliu yule alikuwa mtu wetu na alikuwa na jukumu la kukufuatilia kwa ukaribu zaidi..

*SEHEMU YA 18*

"" Alikuwa anaitwa Madam Rehema... Kwa sasa Dada yule yupo njiani anaelekea nyumbani kwako kaitwa na Nasra..

Aliongea yule mzee na kuzidi kumshangaza Saidi..

Kumbe Reheme Alieitwa na Nasra ili wakampe kipondo Dalali Sele ndie alikuwa Mwalimu wa Saidi shule ya msingi na anamjua kitambo tu...

Saidi aliendelea kushangaa sana maajabu yale.. Saidi alikumbua kweli alikuwa anapendwa sana na Madam Rehema na muda mwingi alikuwa akimuita hata akamchinjie kuku nyumbani kwake.. Au hata kunywa chai muda wa mapumzika na kadhalika..

Na kweli saidi alishawahi kumtia mwalimu yule pia... ????????????

Saidi alishaanza ngono kitambo tu sema alikuwa Simba mwenda pole... Anakula na kutulia kimya bila mtu kujua..

********
"" "" Naamini Umeanza kuelewa dogo kwa kukupa ufupi huo wa watu walio kufuatilia au unataka tukupe zaidi.???..

Aliongea Mzee...

Saidi yeye hakujibu kitu alibaki kumtazama tu mzee bila kummaliza.. Hakuamini kabisa kusikia habari zile alihisi huenda anaota...

*

"" "" Unamkumbuka Dereva boda boda rafikiako sana alikuwa anaitwa Alex pale kijiwenu kwenu.
Mkaka mmoja mchafu mchafu sana na anapenda kulewa pombe kali na anavuta sana sigara...

Yule dogo alikuwa anakulinda na kukufuatilia kwenye kila hatu wakati ukiwa kwenye kituo cha boda boda..

Naamini ndie rafikia yako mkumbwa na ulikuwa unampa siri zako nyingi hadi ile siri unayo itunza sana kuwa wewe si mtoto wa mzee Juma bali baba yako ni mmoja wa viongozi wakubwa tu nchi hii kwa sasa..

Ulimweleza pia kuwa kweli huwa unawasiliana na baba yako mara nyingi tu na alikuomba ufiche siri kuwa wewe ni mtoto wake wa kambo ili kulinda hadhi yake..

Hata kampuni ya bahati na sibu uliyoshinda ilikuwa ni mali ya baba yako..

Aliwaambiwa wakupe ushindi ili upate pesa za kuanzia maisha kwa njia hiyo ili watu wasikushtukie wewe wala wasimshtukie yeye..

Hata siku ya kuchukua zawadi ulikabidhiwa na baba yako hundi ile watu wakiwa wanashangaa tu bila kuelewa....

Aliongea yule mzee...

Muda huo Saidi alirudi nyuma na kushika kiuno baada ya kusikia Siri zake kubwa na nzito zinazidi kumiminwa...

"" " Ama kweli usimpe siri zako kila mtu.. Unaweza kumwamini Rafiki kumbe ni mtu anae kuchunguza...
Aliwaza Saidi huku anamtazama yule mzee...

" "" "* Usishtuke dogo.. Rudi ukae tu.. Huwezi kwenda popote, hapa tupo katikati ya kambi ya jeshi. Hakuna pakutokea hata ukitoroka huwezi kwenda popote...
Aliongea Mzee...

Saidi alishusha pumzin na kurudi kukaa..

*******
" "" Dogo hadi Nasra tulimtuma kukuchunguza wewe.. Achana na habari za akina Dalali seke na usanii wake wa kuwatapeli hadi maafisa bila kujua..

Kwasasa Sele anaumia huko kwako. Yupo Nasra na Rehema wanampa kichapo...

*****
"" " Dogo.. Nasra hawezi kuwa mke wako.. Mume wa Nasra ni Tanzania.. Leo hii muda wowote akitumwa kazi atatoka kwako na kwenda kuolewa na mtu kwaajili ya kumchunguza..

Sasa huoni kama ni mke wako utateseka.???

" " Wewe pia mkeo ni Tanzani.. Na muda wowote ukiagizwa ukamtongoze fulani ukalale ndani kwake na umchunguze utapaswa uende, haijalishi ni mwanamke gani...

Aliendelea kuongea Mzeeee..

Saidi alikuwa anatumbua tu macho muda wote...

******
"" "" Dogo Saidi..
Nasra alikuja ili kukuunganisha Rasmi wewe uingie kwenye mikono yetu.. Nashukuru kafanikisha..

"" " Muda wote unao jidai wewe ni kichaa.. Nasra alikuwa anakujua vyema tu na alikuwa nakuchunguza kujua ni kiasi gani unaweza kuigiza.

Kweli wewe ni Fundi dogo.. Hongera sana.. Hii kazi utaiweza..
Haya inuka turudi eneo la Mazoezi..

Nadhani umeshajitambua wewe ni nani.. Umeshatambua upo wapi na unaenda kuwa nani..

Aliongea Mzee na kumshika mkono Saidi kisha kuondoka nae..

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18


CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18

ILIPOISHIA.....
"" "" Sikiliza Sele. Katika watu watatu unaokutana nao kwenye Jiji hili la Dodoma.. Basi ujue mmoja kati yao ni mtu wa ulinzi na usalama..
Haya ni makao makuu ya nchi.. Humu kuna hazina ya Nchi.. Humu kuna siri za nchi..

Kuwa makini utakuja kufa sawa..

Aliongea Nasra na kusogea Mezani kuchukua Simu yake kumpigia Rehema..
********
"" " Halo Shosti.. Umeshamkamata huyo ng'ombe.?? Aliongea Rehema mara tu baada ya kuipokea simu...

" "" Ndio shost njoo home mara moja...

Aliongea Nasra na kukata Simu....

********
********
********

Huko kwenye viwanja vya kazi Saidi alikuwa anamalizia kula huku akiwa hajielewi imekuwaje...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100

589
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50

508
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

508
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51

315
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

174
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

128
MALAIKA  SEHEMU YA 1

MALAIKA SEHEMU YA 1

65
MALAIKA SEHEMU YA 2

MALAIKA SEHEMU YA 2

50
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5

42
YENYE KIRUNGU  ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ   SEHEMU YA 09

YENYE KIRUNGU ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ SEHEMU YA 09

35

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.18K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.91K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.69K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.42K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.32K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.31K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior Post Mpya
๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. โš ๏ธ๐Ÿšซ Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! โ€ผ๏ธ VINI AKATAA KUCHEZA!! ๐Ÿ˜คโŒ

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa ๐Ÿ˜‚ Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ  ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ Post Mpya
๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya๐Ÿ˜ฃ๐Ÿ˜ฃ hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

REALLY LOVE* Chapter 17 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 17
@majario LIVE

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu...

๐Ÿšจ ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŒ™ Post Mpya
๐Ÿšจ ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŒ™
@majario LIVE

Short pauses will be allowed during matches to enable Muslim players to break their fast. ๐‘น๐’†๐’”๐’‘๐’†๐’„๐’• ๐Ÿคฒโœจ

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51
@majario LIVE

Daaah lemi akaja akanmbia relex. Ndo mala ya kwanza hawez kuelewa . Tulia mwanangu kila kitu kitakua sawa nikasema powa . Basi tukapanda gari tukaludi kwa lemi. Apo mm...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100
@majario LIVE

Basi bwana . Mama akapika . Shoga yenu nilikula kidogo mnoo. Mama akamvuta mtot ndio akamlisha na rahul anawahi kuzoea watu . Anaanza kumuuliza mama . We nani . Sijuh...

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Baada ya paschal kuondoka pale Hemed alinichekiiii ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช kisha nayeye akaondoka akaniacha pale bila kuniongelesha chochote๐Ÿซฃ au ndo nimeachwa na woteโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธ sa mbona hivi๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž aah haya mambo ya kumiliki njemba...

Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini, Post Mpya
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini,
@majario LIVE

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minongโ€™ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

โ€œMalaika! Malaika mwanangu!โ€ โ€œNaam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?โ€ Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA โ€œNdio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukuleโ€ โ€œYesu.....โ€ Nilipagawa huku nikiwaza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest