Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
Gonga94 · Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18

ILIPOISHIA.....
"" "" Sikiliza Sele. Katika watu watatu unaokutana nao kwenye Jiji hili la Dodoma.. Basi ujue mmoja kati yao ni mtu wa ulinzi na usalama..
Haya ni makao makuu ya nchi.. Humu kuna hazina ya Nchi.. Humu kuna siri za nchi..

Kuwa makini utakuja kufa sawa..

Aliongea Nasra na kusogea Mezani kuchukua Simu yake kumpigia Rehema..
********
"" " Halo Shosti.. Umeshamkamata huyo ng'ombe.?? Aliongea Rehema mara tu baada ya kuipokea simu...

" "" Ndio shost njoo home mara moja...

Aliongea Nasra na kukata Simu....

********
********
********

Huko kwenye viwanja vya kazi Saidi alikuwa anamalizia kula huku akiwa hajielewi imekuwaje hadi ameingia kwenye majukumu yale..

Baada ya kumaliza chakula..

Yule mze aliempokea Saidi kwa mara ya kwanza alikuja na kusimama karibu kabisa na Saidi..

Saidi aliinua Uso wake na kumtazama yule mzee kwa huruma..

""" Naomba nisaidie baba nitoke humu...
Aliongea Saidi kwa upole sana huku anamtazama yule mzee...

Mzee alimshika Saidi mkono na kuondoka nae..

Walietembea kule chini na kukuta njia moja zinapita gari ndogo ndogo za kijeshi.. Yule mzee alisimamisha moja ya zile gari na kupanda akiwa na Saidi.

Njia nzima mzee hakuwa anaongea chochote..

Gari lilitembea kwa umbali fulani hadi likafika sehemu na kuanza kupanda kama mlima kisha kutokea kwenye Ardhi ya juu.. Gari lilipaki katikati ya majengo fulani makubwa na kila pande kulikuwa kunalindwa na Wanajeshi...

Kumbe muda wote walikuwa Under Ground au chini ya Ardhi kwa maana ingine..
Sasa muda huu walitoka njee na kutokea katikati ya kambi ya Jeshi...

Hakukuwa na upenyo hata kidogo wa saidi kutoka pale..

Mzee alishuka na Saidi akiwa amemshika mkono vile vile na kuingia nae kwemye moja ya chumba kwenye majengo yale....

Walifika na mzee alichukua koti lake la kijeshi na kuvaa kwasababu kulikuwa na Baridi sana...

Aliinuka na kufungua kabati fulani na kutoa koti jingine na kumrushia Saidi..

Saidi aliidaka na kuitazama kisha kuivaa...

"" "" Have a seat.. ( kaa hapo)) aliongea mzee na Saidi alikaa..

"" "" Dogo unaitwa nani.?? Taja majina yako kamili na usinitajie namba kama ulivyo fundishwa kule..

"" " SAIDI JUMAA. aliongea saidi kwa upole huku anaitazama tazama koti la jeshi aliyoivaa.

" "" Saidi karibu.. Wewe ni mtoto wa Tanzania.. Baba yako ni Tanzania.. Mama yako ni Tanzania, Dada na kaka yako ni Tanzania. Mke wako pia ni Tanzania..

Ukiwa mtanzania basi hupaswi kuchagua nini chakufanya kwasababu wewe ni mali ya Serikali ya Tanzania..

Muda wowote ukihitajika kulitumikia taifa uwe tayari tena kwa nguvu zote na kwamikono miwili.. Hakuna kauli ya kipumbavu na isiyo faa kutamkwa huku kama kuomba kurudi uraiani.. Kwani wewe ni mgonjwa..

Alafu huo ni umama unauleta humu.. Ukipewa nafasi kama hizi shukuru na uingie kuitetea nchi yako uandikwe kwenye vitabu vya mashujaa wa nchii..

Hembu acha utoto sawa Dogo..

Aliongea Yule mzee na Saidi aliitika kwa kutikisa tu kichwa kuashiria amemuelewa..

"" "" Dogo hatujaanza kukufuatilia wewe leo au jana..
Yaani Kuanzia wewe ni mtoto tulishaanza kukuchunguza..

********
"" " Unakumbuka kuna siku ukiwa shule ya msingi uliwahi kucheza mchezo ya kuigiza na wenzio halafu ukajidondosha na kujidai umekufa.

Watu waliamini kuwa umekufa hadi wazazi wako walikuja na daktari alikupima na kusema kweli umekufa kumbe ulikuwa unaigiza tu na baadae uliinuka na kuanza kucheka.!!!!

Aliongea Yule mzee....

Saidi alishtuka na kukaa vizuri baada ya kusikia habari zile za tangu akiwa mtoto mdogo shule ya msingi..
Alikumbuka siku hiyo na kweli alichapwa sana na walimu na wazazi pia baada ya kufanya utani kama ule..

*******
"" "" "Basi Enzi hizo tulianza kukufahamu na tulikupenda kwa utaalamu wako ndipo tulianza kukufuatilia...

"" " Ukiwa unasoma Shule kuna mwalimu mmoja alikuwa akikupenda sana na hata mda mwingine alikuwa akikuita kwake kunywa chai hadi wenzio wakaanza kukusema kuwa unatembea na mwalimu wako ukiwa darasa la Saba..
Basi mwaliu yule alikuwa mtu wetu na alikuwa na jukumu la kukufuatilia kwa ukaribu zaidi..

*SEHEMU YA 18*

"" Alikuwa anaitwa Madam Rehema... Kwa sasa Dada yule yupo njiani anaelekea nyumbani kwako kaitwa na Nasra..

Aliongea yule mzee na kuzidi kumshangaza Saidi..

Kumbe Reheme Alieitwa na Nasra ili wakampe kipondo Dalali Sele ndie alikuwa Mwalimu wa Saidi shule ya msingi na anamjua kitambo tu...

Saidi aliendelea kushangaa sana maajabu yale.. Saidi alikumbua kweli alikuwa anapendwa sana na Madam Rehema na muda mwingi alikuwa akimuita hata akamchinjie kuku nyumbani kwake.. Au hata kunywa chai muda wa mapumzika na kadhalika..

Na kweli saidi alishawahi kumtia mwalimu yule pia... ????????????

Saidi alishaanza ngono kitambo tu sema alikuwa Simba mwenda pole... Anakula na kutulia kimya bila mtu kujua..

********
"" "" Naamini Umeanza kuelewa dogo kwa kukupa ufupi huo wa watu walio kufuatilia au unataka tukupe zaidi.???..

Aliongea Mzee...

Saidi yeye hakujibu kitu alibaki kumtazama tu mzee bila kummaliza.. Hakuamini kabisa kusikia habari zile alihisi huenda anaota...

*

"" "" Unamkumbuka Dereva boda boda rafikiako sana alikuwa anaitwa Alex pale kijiwenu kwenu.
Mkaka mmoja mchafu mchafu sana na anapenda kulewa pombe kali na anavuta sana sigara...

Yule dogo alikuwa anakulinda na kukufuatilia kwenye kila hatu wakati ukiwa kwenye kituo cha boda boda..

Naamini ndie rafikia yako mkumbwa na ulikuwa unampa siri zako nyingi hadi ile siri unayo itunza sana kuwa wewe si mtoto wa mzee Juma bali baba yako ni mmoja wa viongozi wakubwa tu nchi hii kwa sasa..

Ulimweleza pia kuwa kweli huwa unawasiliana na baba yako mara nyingi tu na alikuomba ufiche siri kuwa wewe ni mtoto wake wa kambo ili kulinda hadhi yake..

Hata kampuni ya bahati na sibu uliyoshinda ilikuwa ni mali ya baba yako..

Aliwaambiwa wakupe ushindi ili upate pesa za kuanzia maisha kwa njia hiyo ili watu wasikushtukie wewe wala wasimshtukie yeye..

Hata siku ya kuchukua zawadi ulikabidhiwa na baba yako hundi ile watu wakiwa wanashangaa tu bila kuelewa....

Aliongea yule mzee...

Muda huo Saidi alirudi nyuma na kushika kiuno baada ya kusikia Siri zake kubwa na nzito zinazidi kumiminwa...

"" " Ama kweli usimpe siri zako kila mtu.. Unaweza kumwamini Rafiki kumbe ni mtu anae kuchunguza...
Aliwaza Saidi huku anamtazama yule mzee...

" "" "* Usishtuke dogo.. Rudi ukae tu.. Huwezi kwenda popote, hapa tupo katikati ya kambi ya jeshi. Hakuna pakutokea hata ukitoroka huwezi kwenda popote...
Aliongea Mzee...

Saidi alishusha pumzin na kurudi kukaa..

*******
" "" Dogo hadi Nasra tulimtuma kukuchunguza wewe.. Achana na habari za akina Dalali seke na usanii wake wa kuwatapeli hadi maafisa bila kujua..

Kwasasa Sele anaumia huko kwako. Yupo Nasra na Rehema wanampa kichapo...

*****
"" " Dogo.. Nasra hawezi kuwa mke wako.. Mume wa Nasra ni Tanzania.. Leo hii muda wowote akitumwa kazi atatoka kwako na kwenda kuolewa na mtu kwaajili ya kumchunguza..

Sasa huoni kama ni mke wako utateseka.???

" " Wewe pia mkeo ni Tanzani.. Na muda wowote ukiagizwa ukamtongoze fulani ukalale ndani kwake na umchunguze utapaswa uende, haijalishi ni mwanamke gani...

Aliendelea kuongea Mzeeee..

Saidi alikuwa anatumbua tu macho muda wote...

******
"" "" Dogo Saidi..
Nasra alikuja ili kukuunganisha Rasmi wewe uingie kwenye mikono yetu.. Nashukuru kafanikisha..

"" " Muda wote unao jidai wewe ni kichaa.. Nasra alikuwa anakujua vyema tu na alikuwa nakuchunguza kujua ni kiasi gani unaweza kuigiza.

Kweli wewe ni Fundi dogo.. Hongera sana.. Hii kazi utaiweza..
Haya inuka turudi eneo la Mazoezi..

Nadhani umeshajitambua wewe ni nani.. Umeshatambua upo wapi na unaenda kuwa nani..

Aliongea Mzee na kumshika mkono Saidi kisha kuondoka nae..

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18


CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18

ILIPOISHIA.....
"" "" Sikiliza Sele. Katika watu watatu unaokutana nao kwenye Jiji hili la Dodoma.. Basi ujue mmoja kati yao ni mtu wa ulinzi na usalama..
Haya ni makao makuu ya nchi.. Humu kuna hazina ya Nchi.. Humu kuna siri za nchi..

Kuwa makini utakuja kufa sawa..

Aliongea Nasra na kusogea Mezani kuchukua Simu yake kumpigia Rehema..
********
"" " Halo Shosti.. Umeshamkamata huyo ng'ombe.?? Aliongea Rehema mara tu baada ya kuipokea simu...

" "" Ndio shost njoo home mara moja...

Aliongea Nasra na kukata Simu....

********
********
********

Huko kwenye viwanja vya kazi Saidi alikuwa anamalizia kula huku akiwa hajielewi imekuwaje...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

252
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

183
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

162
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

124
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

100
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

97
ACHA NIKUPENDE ❤️ 2

ACHA NIKUPENDE ❤️ 2

96
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

94
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

94
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15

89

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.61K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.35K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.84K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.74K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.6K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
@majario LIVE

ENDELEA......... Madame aliwapa taarifa Mellisa na Misha kuwa mimi sio mlinzi tena bali ni mfanya kazi wake kwenye biashara zake. Rasmi niliajiliwa kusimamia duka kubwa la spea. Huko ndo kulikuwa na pesa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
@majario LIVE

ENDELEA.......... Madame Yustar alibaki mdomo wazi. "Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili. "Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
@majario LIVE

31 MPAKA 32 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi adrian akanipeleka mpaka chuo. Akanmbia kumbe upo apa.sinza nikasema ndio ndo nipo apa .akasema oooh sawa .vp lakini umenielewa na unayafikilia maneno...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19
@majario LIVE

SEHEMU YA 7 ENDELEA.......... Wote tulipitiwa na usingizi mzito. Tuliamka saa kumi jioni na wa kwanza kuamka alikuwa madame. Nilistuka kutoka usingizini baada kuhisi nimeshikwa mashine yangu. "Madame" nilimuita kwa uoga. "Shiiiiii!" Alininyamazisha kwa kuniwekea...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 2 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 2
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media Nicky alishusha pumzi Kama ametua mzigo mzito alipokuwa kaubeba Kisha akasema . " Wewe Tena , umefuata Nini hapa nyumbani kwangu? " Hili swali natakiwa nimuulize wewe Mr....

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest