Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
Gonga94 ยท Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18

ILIPOISHIA.....
"" "" Sikiliza Sele. Katika watu watatu unaokutana nao kwenye Jiji hili la Dodoma.. Basi ujue mmoja kati yao ni mtu wa ulinzi na usalama..
Haya ni makao makuu ya nchi.. Humu kuna hazina ya Nchi.. Humu kuna siri za nchi..

Kuwa makini utakuja kufa sawa..

Aliongea Nasra na kusogea Mezani kuchukua Simu yake kumpigia Rehema..
********
"" " Halo Shosti.. Umeshamkamata huyo ng'ombe.?? Aliongea Rehema mara tu baada ya kuipokea simu...

" "" Ndio shost njoo home mara moja...

Aliongea Nasra na kukata Simu....

********
********
********

Huko kwenye viwanja vya kazi Saidi alikuwa anamalizia kula huku akiwa hajielewi imekuwaje hadi ameingia kwenye majukumu yale..

Baada ya kumaliza chakula..

Yule mze aliempokea Saidi kwa mara ya kwanza alikuja na kusimama karibu kabisa na Saidi..

Saidi aliinua Uso wake na kumtazama yule mzee kwa huruma..

""" Naomba nisaidie baba nitoke humu...
Aliongea Saidi kwa upole sana huku anamtazama yule mzee...

Mzee alimshika Saidi mkono na kuondoka nae..

Walietembea kule chini na kukuta njia moja zinapita gari ndogo ndogo za kijeshi.. Yule mzee alisimamisha moja ya zile gari na kupanda akiwa na Saidi.

Njia nzima mzee hakuwa anaongea chochote..

Gari lilitembea kwa umbali fulani hadi likafika sehemu na kuanza kupanda kama mlima kisha kutokea kwenye Ardhi ya juu.. Gari lilipaki katikati ya majengo fulani makubwa na kila pande kulikuwa kunalindwa na Wanajeshi...

Kumbe muda wote walikuwa Under Ground au chini ya Ardhi kwa maana ingine..
Sasa muda huu walitoka njee na kutokea katikati ya kambi ya Jeshi...

Hakukuwa na upenyo hata kidogo wa saidi kutoka pale..

Mzee alishuka na Saidi akiwa amemshika mkono vile vile na kuingia nae kwemye moja ya chumba kwenye majengo yale....

Walifika na mzee alichukua koti lake la kijeshi na kuvaa kwasababu kulikuwa na Baridi sana...

Aliinuka na kufungua kabati fulani na kutoa koti jingine na kumrushia Saidi..

Saidi aliidaka na kuitazama kisha kuivaa...

"" "" Have a seat.. ( kaa hapo)) aliongea mzee na Saidi alikaa..

"" "" Dogo unaitwa nani.?? Taja majina yako kamili na usinitajie namba kama ulivyo fundishwa kule..

"" " SAIDI JUMAA. aliongea saidi kwa upole huku anaitazama tazama koti la jeshi aliyoivaa.

" "" Saidi karibu.. Wewe ni mtoto wa Tanzania.. Baba yako ni Tanzania.. Mama yako ni Tanzania, Dada na kaka yako ni Tanzania. Mke wako pia ni Tanzania..

Ukiwa mtanzania basi hupaswi kuchagua nini chakufanya kwasababu wewe ni mali ya Serikali ya Tanzania..

Muda wowote ukihitajika kulitumikia taifa uwe tayari tena kwa nguvu zote na kwamikono miwili.. Hakuna kauli ya kipumbavu na isiyo faa kutamkwa huku kama kuomba kurudi uraiani.. Kwani wewe ni mgonjwa..

Alafu huo ni umama unauleta humu.. Ukipewa nafasi kama hizi shukuru na uingie kuitetea nchi yako uandikwe kwenye vitabu vya mashujaa wa nchii..

Hembu acha utoto sawa Dogo..

Aliongea Yule mzee na Saidi aliitika kwa kutikisa tu kichwa kuashiria amemuelewa..

"" "" Dogo hatujaanza kukufuatilia wewe leo au jana..
Yaani Kuanzia wewe ni mtoto tulishaanza kukuchunguza..

********
"" " Unakumbuka kuna siku ukiwa shule ya msingi uliwahi kucheza mchezo ya kuigiza na wenzio halafu ukajidondosha na kujidai umekufa.

Watu waliamini kuwa umekufa hadi wazazi wako walikuja na daktari alikupima na kusema kweli umekufa kumbe ulikuwa unaigiza tu na baadae uliinuka na kuanza kucheka.!!!!

Aliongea Yule mzee....

Saidi alishtuka na kukaa vizuri baada ya kusikia habari zile za tangu akiwa mtoto mdogo shule ya msingi..
Alikumbuka siku hiyo na kweli alichapwa sana na walimu na wazazi pia baada ya kufanya utani kama ule..

*******
"" "" "Basi Enzi hizo tulianza kukufahamu na tulikupenda kwa utaalamu wako ndipo tulianza kukufuatilia...

"" " Ukiwa unasoma Shule kuna mwalimu mmoja alikuwa akikupenda sana na hata mda mwingine alikuwa akikuita kwake kunywa chai hadi wenzio wakaanza kukusema kuwa unatembea na mwalimu wako ukiwa darasa la Saba..
Basi mwaliu yule alikuwa mtu wetu na alikuwa na jukumu la kukufuatilia kwa ukaribu zaidi..

*SEHEMU YA 18*

"" Alikuwa anaitwa Madam Rehema... Kwa sasa Dada yule yupo njiani anaelekea nyumbani kwako kaitwa na Nasra..

Aliongea yule mzee na kuzidi kumshangaza Saidi..

Kumbe Reheme Alieitwa na Nasra ili wakampe kipondo Dalali Sele ndie alikuwa Mwalimu wa Saidi shule ya msingi na anamjua kitambo tu...

Saidi aliendelea kushangaa sana maajabu yale.. Saidi alikumbua kweli alikuwa anapendwa sana na Madam Rehema na muda mwingi alikuwa akimuita hata akamchinjie kuku nyumbani kwake.. Au hata kunywa chai muda wa mapumzika na kadhalika..

Na kweli saidi alishawahi kumtia mwalimu yule pia... ????????????

Saidi alishaanza ngono kitambo tu sema alikuwa Simba mwenda pole... Anakula na kutulia kimya bila mtu kujua..

********
"" "" Naamini Umeanza kuelewa dogo kwa kukupa ufupi huo wa watu walio kufuatilia au unataka tukupe zaidi.???..

Aliongea Mzee...

Saidi yeye hakujibu kitu alibaki kumtazama tu mzee bila kummaliza.. Hakuamini kabisa kusikia habari zile alihisi huenda anaota...

*

"" "" Unamkumbuka Dereva boda boda rafikiako sana alikuwa anaitwa Alex pale kijiwenu kwenu.
Mkaka mmoja mchafu mchafu sana na anapenda kulewa pombe kali na anavuta sana sigara...

Yule dogo alikuwa anakulinda na kukufuatilia kwenye kila hatu wakati ukiwa kwenye kituo cha boda boda..

Naamini ndie rafikia yako mkumbwa na ulikuwa unampa siri zako nyingi hadi ile siri unayo itunza sana kuwa wewe si mtoto wa mzee Juma bali baba yako ni mmoja wa viongozi wakubwa tu nchi hii kwa sasa..

Ulimweleza pia kuwa kweli huwa unawasiliana na baba yako mara nyingi tu na alikuomba ufiche siri kuwa wewe ni mtoto wake wa kambo ili kulinda hadhi yake..

Hata kampuni ya bahati na sibu uliyoshinda ilikuwa ni mali ya baba yako..

Aliwaambiwa wakupe ushindi ili upate pesa za kuanzia maisha kwa njia hiyo ili watu wasikushtukie wewe wala wasimshtukie yeye..

Hata siku ya kuchukua zawadi ulikabidhiwa na baba yako hundi ile watu wakiwa wanashangaa tu bila kuelewa....

Aliongea yule mzee...

Muda huo Saidi alirudi nyuma na kushika kiuno baada ya kusikia Siri zake kubwa na nzito zinazidi kumiminwa...

"" " Ama kweli usimpe siri zako kila mtu.. Unaweza kumwamini Rafiki kumbe ni mtu anae kuchunguza...
Aliwaza Saidi huku anamtazama yule mzee...

" "" "* Usishtuke dogo.. Rudi ukae tu.. Huwezi kwenda popote, hapa tupo katikati ya kambi ya jeshi. Hakuna pakutokea hata ukitoroka huwezi kwenda popote...
Aliongea Mzee...

Saidi alishusha pumzin na kurudi kukaa..

*******
" "" Dogo hadi Nasra tulimtuma kukuchunguza wewe.. Achana na habari za akina Dalali seke na usanii wake wa kuwatapeli hadi maafisa bila kujua..

Kwasasa Sele anaumia huko kwako. Yupo Nasra na Rehema wanampa kichapo...

*****
"" " Dogo.. Nasra hawezi kuwa mke wako.. Mume wa Nasra ni Tanzania.. Leo hii muda wowote akitumwa kazi atatoka kwako na kwenda kuolewa na mtu kwaajili ya kumchunguza..

Sasa huoni kama ni mke wako utateseka.???

" " Wewe pia mkeo ni Tanzani.. Na muda wowote ukiagizwa ukamtongoze fulani ukalale ndani kwake na umchunguze utapaswa uende, haijalishi ni mwanamke gani...

Aliendelea kuongea Mzeeee..

Saidi alikuwa anatumbua tu macho muda wote...

******
"" "" Dogo Saidi..
Nasra alikuja ili kukuunganisha Rasmi wewe uingie kwenye mikono yetu.. Nashukuru kafanikisha..

"" " Muda wote unao jidai wewe ni kichaa.. Nasra alikuwa anakujua vyema tu na alikuwa nakuchunguza kujua ni kiasi gani unaweza kuigiza.

Kweli wewe ni Fundi dogo.. Hongera sana.. Hii kazi utaiweza..
Haya inuka turudi eneo la Mazoezi..

Nadhani umeshajitambua wewe ni nani.. Umeshatambua upo wapi na unaenda kuwa nani..

Aliongea Mzee na kumshika mkono Saidi kisha kuondoka nae..

Full 1000
Whatsp 0784468229
Tangazo - Jiunge sasa upate bonasi ya 500%
Jiunge sasa upate bonasi ya 500%
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18


CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18

ILIPOISHIA.....
"" "" Sikiliza Sele. Katika watu watatu unaokutana nao kwenye Jiji hili la Dodoma.. Basi ujue mmoja kati yao ni mtu wa ulinzi na usalama..
Haya ni makao makuu ya nchi.. Humu kuna hazina ya Nchi.. Humu kuna siri za nchi..

Kuwa makini utakuja kufa sawa..

Aliongea Nasra na kusogea Mezani kuchukua Simu yake kumpigia Rehema..
********
"" " Halo Shosti.. Umeshamkamata huyo ng'ombe.?? Aliongea Rehema mara tu baada ya kuipokea simu...

" "" Ndio shost njoo home mara moja...

Aliongea Nasra na kukata Simu....

********
********
********

Huko kwenye viwanja vya kazi Saidi alikuwa anamalizia kula huku akiwa hajielewi imekuwaje...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

8.83K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.47K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.22K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.17K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

1.91K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

1.89K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.71K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.63K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.61K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

1.6K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest