VYOTE NDANI GONGA94
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
🔞SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI
ILIPOISHIA.....
Kweli wewe ni Fundi dogo.. Hongera sana.. Hii kazi utaiweza..
Haya inuka turudi eneo la Mazoezi.. Nadhani umeshajitambua wewe ni nani.. Umeshatambua upo wapi na unaenda kuwa nani..
Aliongea Mzee na kumshika mkono Saidi kisha kuondoka nae..
ENDELEA....
Kwa namna moja ama nyingine. Saidi alikuwa amepata nguvu kidogo ya kufanya kazi kubwa na ngumu kama ile..
Hakuwa na pingamizi wala kigugumizi tena cha kufanya maamuzi kama Mwanzo..
"" " Kama Nasra aliweza je mimi ni nani nishindwe.?? Kama madam Rehema aliweza Mazoezi magumu kama haya je mimi ni nani nishindwe.??
Waswahili husema.." "" "Kisicho kuua basi hukukomaza.." "" Naamini na mimi pia naenda kukomaa.. Nitakuwa mwingine na mwenye uwezo mwingi zaidi..
Eeehh Mwenyezi Mungu nisaidi mimi..
Aliwaza Saidi huku anapiga hatua za haraka haraka kufuatana na Mzee kuelekea kwenye Gari..
Walipanda Gari na Safari ya kwenda Bondeni ilianza..
Wao walizoea kupaita Bondeni kule chini ya Ardhi kwasababu pako chini..
Walifika na Saidi alikabidhiwa kwa wale wale Askari akiwa bado amevalia koti lake la kijeshi alilopewa na mzee..
Baada ya Saidi kukabidhiwa pale.. Yule mzee aliondoka bila ya hata kuaga..
******
"""" Dogo unaraha sana.. Yaani umekuja leo tu basi umeshakuwa rafiki na bosi hadi anakupeleka kambini..
Ujue nyota yako ni nzuri sana.. Wenzio tangu tumeingia humu hatujawahi kutoka na kwenda kambini wala hatujawahi kuliona jua kwa zaidi ya miaka kumi...
Kweli kabisa ni mwaka wa kumi sasa tupo chini huku kutoa elimu kwa maaafisa wapya mnaokuja kama nyinyi....
Hakuna mwenye simu wala hakuna mwenye Mawasiliano na nyumbani kwao...
Tupo tu tunashangaa humu na hatujui kama ndugu zetu wapo hai au wameshakufa hadi leo hii..
Aliongea mmoja wa wale Maafisa wanaotoa mafunzo...
Walikuwepo maafisa watatu kwa muda ule, walikuwa na umri kama unalingana hivi na walionekana ni watu wenye kupendana na kuheshimiana sana..
*****
"" "" " Kwanini sasa mnafanyiwa kitu kama hiki..???
Saidi aliongea Kwa upole na kuketi chini kwenye Nyasi na kuanza kuwatazama bila hofu hata kidogo..
***
" "" Dogo Saidi.. Sisi tulikuwa vijana wadogo tu kama wewe..
Enzi hizo tulikuwa tunasoma chuo kikuu cha Dodoma mwaka wa Kwanza 2007.. Hii ilikuwa ni baada tu ya chuo kile kufunguliwa Rasmi na Mheshimiwa Raisi pamoja na Waziri mkuu wa wakati ule...
Tulianza masomo tukiwa kwenye hali ngumu sana na tulikuwa wanachuo wengi kupi kiasi...
Mazingira hayakuwa mazuri kupata huduma kama chakula na maji pamoja na kituo cha Afya..
Hali ile ilipelekea wanafunzi tuandamane makundi kwa makundi..
Mimi na wenzangu hawa wawili ndio tulikuwa waanzilishi wa Mgomo na maandamano yale...
****
Baadhi walikufa na baadhi walipata ulemavu wakudumu,
wengi walifukuzwa chuo lakini sisi waanzilishi wa mgomo ule, tulikamatwa na watu wa usalama kuingizwa kwenye jengo moja Kubwa sana pale chuoni, Kinaitwa Chimwaga Hall..
Tuliingizwa kwenye chumba fulani cha Siri sana. Chumba chenye giza kupita kiasi. Hata kuonana sura tulikuwa hatuonani mimi na wenzangu..
Tulikuwa tukisikilizana kwa sauti tu..
Huko tulikaa kwa masiku kadhaa bila kujua Upi ni mchana na upi ni usiku..
Hatukujua chochote kinachoendelea uraiani.
Tulikaa kwa masiku kadhaa na baadae tulitolewa kwenye mazingira yale ya Giza na kupelekwa kwenye chumba fulani chenye Mwangaza..
Kidogo ilikuwa ahueni kwasababu tulichoka kukaa kwenye Sero yenye Giza ambapo tulikuwa tukila na kunya humo humo..
Muda mwingine tulikuwa tukikanyaga au kulalia mavi yetu wenyewe..
Kiukweli yale yalikuwa ni mazingira Magumu kuwahi kuishi tangu nimezaliwa..
Siwezi kusahau milele..
Aliongea yule kaka...
******
Baada ya kutolewa mule Sero na kupelekwa kwenye chumba cha wazi..
Walikuja wadada wanne walio valia nguo za jeshi na kutuvua nguo zetu zote na kila mmoja alibaki uchi kama alivyo zaliwa...
Walichukua nguo zetu na wawili walienda kuzifua,
kisha wawili walituingiza bafuni na kutuogesha..
Tulitoka tukiwa wasafi na kuletewa nguo zetu zikiwa zimeshakauka na zilikuwa zimenyooshwa vizuri sana..
Tulivaa na kupuliziwa pafum kidogo kisha kutolewa kwa mlango wa nyuma wa jengo lile na kupakiwa kwemye Gari Fulani jeusi na lilikuwa na Vioo vyeusi sana pia..
*SEHEMU YA 20*
Gari lile liliondolewa hadi tukafika maeneo ya ikulu ndogo kwa wakati ule kwasababu makao makuu ya nchi yalikuwa bado hayajahamia Dodoma..
Tulifika na kupitishwa ndani tukiwa chini ya ulinzi mkali sana...
Tulifika kwenye chumba fulani na kukalishwa kwenye Sofa kisha wale walinzi waliokuwa wakitulinda walitoka...
"" " Huwezi Amini bwana Saidi.. Yaani ile ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kukutana uso kwa uso na Mheshimiwa Raisi wa wakati ule kisha kuzungumza nae..
Alikuja Raisi na kuketi akiwa na mlinzi wake mmoja..
******
"""" Vijana kwanini mnalidhalilisha Taifa.??
Aliongea Mheshimiwa Raisi mara tu baada ya kukaa..
" "" Kwanini mnakosa uvumilivu na busara...???
Kwanini mnakuwa hovyo kiasi hicho hadi kuunda mgomo na kushawishi wenzenu chuo kizima kufanya maandamano yale.???
Mnajua wangapi wamepoteza viungo vya miili yao na wangapi wamekufa mnajua.??
Aliongea Mheshimiwa Raisi kwa ukali kidogo..
**
********
"" "" Tunaomba Msamaha mkuu..
Nakumbuka hiyo ndio ilikuwa kauli yangu ya kwanza kuongea mbele ya Mheshiwa Raisi...
"" "" ""
Vijana.. Inamaana huko makwenu mnapotoka huwa mnatimiziwa kila kitu na wazazi wenu.??
Unaweza kuta wengine mnaishi nyumba haina dirisha au hakuna maji wala umeme... Kwanini msianze kuandamana kwanza makwenu kuwashinikiza wazazi wenu wawatimizie huduma zote kwa mara moja.???
Kila kitu ni Mipamgo na mipango si ya siku moja..
Mnajua ni gharama kiasi gani tumetumia kujenga chuo kile???
Kwanini mlate fujo kwa kukosa huduma ambayo bado tunaifanyia kazi..??
Tumekuwa na pesa kiasi gani ya kukamilisha mambo yote kwa mara moja hudu zote hizo???
Badala mshukuru kwanza kupata chuo na walimu wa kuwafundisha. Nyinyi mnaleta ujinga
Huko ni kukosa Uzalendo na huruma na Nchi yenu.. Sasa mtafundishwa uzalendo kwasababu mmeshindwa kuwa wazalendo nyinyi wenyewe..
Aliongea Mheshimiwa Raisi na kuinuka kutoka njee akiwa na Hasira sana...
Baada ya Dakika kadhaa alirudi akiwa na Yule mzee rafiki ako aliekuleta wewe humu muda mfupi uliopita..
Yule mzee yupo humu kitambo na tangu nimeanza kumjua yupo vile vile, hajazeeka zaidi wala hajapungua hata mwili..
Aliendelea kuongea yule Mwanajeshi...
******
Basi sasa. Baada ya Raisi na yule mzee kujaa, walitusogelea karibu zaidi na kusema..
"" "" Mzee Meshack.. Nakuomba hawa watu wasije kuuona jua kamwe.. Wakaishi chini ya Ardhi maisha yao yote hadi kufa kwao..
Mkawafundishe uzalendo na wajue uvumilivu ni nini..
Wamelipa Taifa doa kubwa sana. Naomba mzee wangu ukawafunze adabu vijana hawa..
Aliongea Mheshimiwa Raisi na kuondoka zake..
Yule mzee alituchukua na kutuleta humu chini na tangu hapo hatujawahi kutoka..
Tulipewa mafunzo na Adhabu nyingi sana..
Tulinyooka na kuijua nguvu ya uzalendo.. Hadi leo hii vijana tumetulia na ukorofi tumeacha..
Tunaishi tu humu na kutoa mafunzo kwa wageni kama wewe mnaokuja ili muwe maafisa wa kwemda kulilinda Taifa...
Ukitoka humu Saidi usije kuwa mpumbavu kama Sisi...
Aliongea Yule jamaa na kufanya nicheke tu....
"" " POLENI SANA maafisa wangu.. Nitawaheshimu na kuwatii katika kila hatua.. Kumbe ni magumu kiasi hiki mmepitia jamani...
Aliongea Saidi....
**********
**********
TURUDI NYUMBANI KWA SAIDI KIDOGO...
Usiku huo Rehema ndio alikuwa anafika nyumbani kwa Saidi alipokuwa ameitwa na Nasra..
Alifika na kupiga honi..
Nasra alitoka na kufungua geti kisha Rehema aliingiza Gari lake na kupaki sehemu nzuri...
Alishuka Rehema na kukumbatiana na Rafiki yake kisha kuingia ndani..
Muda huo Dalali Sele alikuwa amekaa tu chini kama kifaranga aliekimbiwa na mama yake...
Alikuwa anatazama tu akina Rehema na Nasra wanavyo ingia ndani..
*****
"" "" " Waaaaaoooohhh jamani Dalali tapeli huyooo....
Nimefurahi kukuona My.. Aliongea Rehema..
" "" Ulifurahi sana kunitapeli laki Saba ya kodi ya nyumba..?? Ulifurahi sana kunibaka siku unaenda kunionyesha nyumba..
"" " Jamani Dalali sele nina ham sana na wewe...
Aliongea Rehema na kwenda kumshika shika Sele kidevu.
*****
" "" Lakini amebarikiwa Sana Mtalimbo huyu kaka. Ndio maana analitembeza kila mwanamke alionje..
Hata leo nilivyomuita alikimbia fasta yani utadhani mbwa karushiwa nyama.
Aliongea Nasra kwa masanifu huku wanacheka na kumshika shika Sele......
"" "" " Sele, unaonekana unapenda sana Ngono...
Leo hii Tutakupa ngono uifanye hadi tuchoke sisi na siyo wewe kuchoka..
Tukitaka Goli hamsini inabidi utupe.. Hata kwa kipigo utafanya tu...
Leo ndio siku mtu anafia kwenye kifua cha mwanamke... Sijui utafia kwenye kifua cha nani.. Cha Kwangu au cha Rehema..
Aliongea Nasra na kuanza kuvua nguo zake, Rehema pia alianza kuvua nguo moja moja hadi wakabaki uchi kama walivyo zaliwa.
"" "" Haya Vua nguo Mwanaume.. Mbona unakuwa mvivu wakati siku zote wewe ndio unakuwaga wakwanza kuvua nguo zako..???.
Aliongea Nasra..
Sikuwahi kuwaza kama Nasra alikuwa katili kiasi kile.. Sikutegemea kama alikuwa ni myama kiasi kile na sikutegema kama hakuwa na Huruma hata tone binti mdogo na mrembo kama yule....
Full 1000
Whatsp 0784468229
CHUMBA CHA MPANGAJI
ILIPOISHIA.....
Kweli wewe ni Fundi dogo.. Hongera sana.. Hii kazi utaiweza..
Haya inuka turudi eneo la Mazoezi.. Nadhani umeshajitambua wewe ni nani.. Umeshatambua upo wapi na unaenda kuwa nani..
Aliongea Mzee na kumshika mkono Saidi kisha kuondoka nae..
ENDELEA....
Kwa namna moja ama nyingine. Saidi alikuwa amepata nguvu kidogo ya kufanya kazi kubwa na ngumu kama ile..
Hakuwa na pingamizi wala kigugumizi tena cha kufanya maamuzi kama Mwanzo..
"" " Kama Nasra aliweza je mimi ni nani nishindwe.?? Kama madam Rehema aliweza Mazoezi magumu kama haya je mimi ni nani nishindwe.??
Waswahili husema.." "" "Kisicho kuua basi hukukomaza.." "" Naamini na mimi pia naenda kukomaa.. Nitakuwa mwingine na mwenye uwezo mwingi zaidi..
Eeehh Mwenyezi Mungu nisaidi mimi..
Aliwaza Saidi huku anapiga hatua za haraka haraka kufuatana na Mzee kuelekea kwenye Gari..
Walipanda Gari na Safari ya kwenda Bondeni ilianza..
Wao walizoea kupaita Bondeni kule chini ya Ardhi kwasababu pako chini..
Walifika na Saidi alikabidhiwa kwa wale wale Askari akiwa bado amevalia koti lake la kijeshi alilopewa na mzee..
Baada ya Saidi kukabidhiwa pale.. Yule mzee aliondoka bila ya hata kuaga..
******
"""" Dogo unaraha sana.. Yaani umekuja leo tu basi umeshakuwa rafiki na bosi hadi anakupeleka kambini..
Ujue nyota yako ni nzuri sana.. Wenzio tangu tumeingia humu hatujawahi kutoka na kwenda kambini wala hatujawahi kuliona jua kwa zaidi ya miaka kumi...
Kweli kabisa ni mwaka wa kumi sasa tupo chini huku kutoa elimu kwa maaafisa wapya mnaokuja kama nyinyi....
Hakuna mwenye simu wala hakuna mwenye Mawasiliano na nyumbani kwao...
Tupo tu tunashangaa humu na hatujui kama ndugu zetu wapo hai au wameshakufa hadi leo hii..
Aliongea mmoja wa wale Maafisa wanaotoa mafunzo...
Walikuwepo maafisa watatu kwa muda ule, walikuwa na umri kama unalingana hivi na walionekana ni watu wenye kupendana na kuheshimiana sana..
*****
"" "" " Kwanini sasa mnafanyiwa kitu kama hiki..???
Saidi aliongea Kwa upole na kuketi chini kwenye Nyasi na kuanza kuwatazama bila hofu hata kidogo..
***
" "" Dogo Saidi.. Sisi tulikuwa vijana wadogo tu kama wewe..
Enzi hizo tulikuwa tunasoma chuo kikuu cha Dodoma mwaka wa Kwanza 2007.. Hii ilikuwa ni baada tu ya chuo kile kufunguliwa Rasmi na Mheshimiwa Raisi pamoja na Waziri mkuu wa wakati ule...
Tulianza masomo tukiwa kwenye hali ngumu sana na tulikuwa wanachuo wengi kupi kiasi...
Mazingira hayakuwa mazuri kupata huduma kama chakula na maji pamoja na kituo cha Afya..
Hali ile ilipelekea wanafunzi tuandamane makundi kwa makundi..
Mimi na wenzangu hawa wawili ndio tulikuwa waanzilishi wa Mgomo na maandamano yale...
****
Baadhi walikufa na baadhi walipata ulemavu wakudumu,
wengi walifukuzwa chuo lakini sisi waanzilishi wa mgomo ule, tulikamatwa na watu wa usalama kuingizwa kwenye jengo moja Kubwa sana pale chuoni, Kinaitwa Chimwaga Hall..
Tuliingizwa kwenye chumba fulani cha Siri sana. Chumba chenye giza kupita kiasi. Hata kuonana sura tulikuwa hatuonani mimi na wenzangu..
Tulikuwa tukisikilizana kwa sauti tu..
Huko tulikaa kwa masiku kadhaa bila kujua Upi ni mchana na upi ni usiku..
Hatukujua chochote kinachoendelea uraiani.
Tulikaa kwa masiku kadhaa na baadae tulitolewa kwenye mazingira yale ya Giza na kupelekwa kwenye chumba fulani chenye Mwangaza..
Kidogo ilikuwa ahueni kwasababu tulichoka kukaa kwenye Sero yenye Giza ambapo tulikuwa tukila na kunya humo humo..
Muda mwingine tulikuwa tukikanyaga au kulalia mavi yetu wenyewe..
Kiukweli yale yalikuwa ni mazingira Magumu kuwahi kuishi tangu nimezaliwa..
Siwezi kusahau milele..
Aliongea yule kaka...
******
Baada ya kutolewa mule Sero na kupelekwa kwenye chumba cha wazi..
Walikuja wadada wanne walio valia nguo za jeshi na kutuvua nguo zetu zote na kila mmoja alibaki uchi kama alivyo zaliwa...
Walichukua nguo zetu na wawili walienda kuzifua,
kisha wawili walituingiza bafuni na kutuogesha..
Tulitoka tukiwa wasafi na kuletewa nguo zetu zikiwa zimeshakauka na zilikuwa zimenyooshwa vizuri sana..
Tulivaa na kupuliziwa pafum kidogo kisha kutolewa kwa mlango wa nyuma wa jengo lile na kupakiwa kwemye Gari Fulani jeusi na lilikuwa na Vioo vyeusi sana pia..
*SEHEMU YA 20*
Gari lile liliondolewa hadi tukafika maeneo ya ikulu ndogo kwa wakati ule kwasababu makao makuu ya nchi yalikuwa bado hayajahamia Dodoma..
Tulifika na kupitishwa ndani tukiwa chini ya ulinzi mkali sana...
Tulifika kwenye chumba fulani na kukalishwa kwenye Sofa kisha wale walinzi waliokuwa wakitulinda walitoka...
"" " Huwezi Amini bwana Saidi.. Yaani ile ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kukutana uso kwa uso na Mheshimiwa Raisi wa wakati ule kisha kuzungumza nae..
Alikuja Raisi na kuketi akiwa na mlinzi wake mmoja..
******
"""" Vijana kwanini mnalidhalilisha Taifa.??
Aliongea Mheshimiwa Raisi mara tu baada ya kukaa..
" "" Kwanini mnakosa uvumilivu na busara...???
Kwanini mnakuwa hovyo kiasi hicho hadi kuunda mgomo na kushawishi wenzenu chuo kizima kufanya maandamano yale.???
Mnajua wangapi wamepoteza viungo vya miili yao na wangapi wamekufa mnajua.??
Aliongea Mheshimiwa Raisi kwa ukali kidogo..
**
********
"" "" Tunaomba Msamaha mkuu..
Nakumbuka hiyo ndio ilikuwa kauli yangu ya kwanza kuongea mbele ya Mheshiwa Raisi...
"" "" ""
Vijana.. Inamaana huko makwenu mnapotoka huwa mnatimiziwa kila kitu na wazazi wenu.??
Unaweza kuta wengine mnaishi nyumba haina dirisha au hakuna maji wala umeme... Kwanini msianze kuandamana kwanza makwenu kuwashinikiza wazazi wenu wawatimizie huduma zote kwa mara moja.???
Kila kitu ni Mipamgo na mipango si ya siku moja..
Mnajua ni gharama kiasi gani tumetumia kujenga chuo kile???
Kwanini mlate fujo kwa kukosa huduma ambayo bado tunaifanyia kazi..??
Tumekuwa na pesa kiasi gani ya kukamilisha mambo yote kwa mara moja hudu zote hizo???
Badala mshukuru kwanza kupata chuo na walimu wa kuwafundisha. Nyinyi mnaleta ujinga
Huko ni kukosa Uzalendo na huruma na Nchi yenu.. Sasa mtafundishwa uzalendo kwasababu mmeshindwa kuwa wazalendo nyinyi wenyewe..
Aliongea Mheshimiwa Raisi na kuinuka kutoka njee akiwa na Hasira sana...
Baada ya Dakika kadhaa alirudi akiwa na Yule mzee rafiki ako aliekuleta wewe humu muda mfupi uliopita..
Yule mzee yupo humu kitambo na tangu nimeanza kumjua yupo vile vile, hajazeeka zaidi wala hajapungua hata mwili..
Aliendelea kuongea yule Mwanajeshi...
******
Basi sasa. Baada ya Raisi na yule mzee kujaa, walitusogelea karibu zaidi na kusema..
"" "" Mzee Meshack.. Nakuomba hawa watu wasije kuuona jua kamwe.. Wakaishi chini ya Ardhi maisha yao yote hadi kufa kwao..
Mkawafundishe uzalendo na wajue uvumilivu ni nini..
Wamelipa Taifa doa kubwa sana. Naomba mzee wangu ukawafunze adabu vijana hawa..
Aliongea Mheshimiwa Raisi na kuondoka zake..
Yule mzee alituchukua na kutuleta humu chini na tangu hapo hatujawahi kutoka..
Tulipewa mafunzo na Adhabu nyingi sana..
Tulinyooka na kuijua nguvu ya uzalendo.. Hadi leo hii vijana tumetulia na ukorofi tumeacha..
Tunaishi tu humu na kutoa mafunzo kwa wageni kama wewe mnaokuja ili muwe maafisa wa kwemda kulilinda Taifa...
Ukitoka humu Saidi usije kuwa mpumbavu kama Sisi...
Aliongea Yule jamaa na kufanya nicheke tu....
"" " POLENI SANA maafisa wangu.. Nitawaheshimu na kuwatii katika kila hatua.. Kumbe ni magumu kiasi hiki mmepitia jamani...
Aliongea Saidi....
**********
**********
TURUDI NYUMBANI KWA SAIDI KIDOGO...
Usiku huo Rehema ndio alikuwa anafika nyumbani kwa Saidi alipokuwa ameitwa na Nasra..
Alifika na kupiga honi..
Nasra alitoka na kufungua geti kisha Rehema aliingiza Gari lake na kupaki sehemu nzuri...
Alishuka Rehema na kukumbatiana na Rafiki yake kisha kuingia ndani..
Muda huo Dalali Sele alikuwa amekaa tu chini kama kifaranga aliekimbiwa na mama yake...
Alikuwa anatazama tu akina Rehema na Nasra wanavyo ingia ndani..
*****
"" "" " Waaaaaoooohhh jamani Dalali tapeli huyooo....
Nimefurahi kukuona My.. Aliongea Rehema..
" "" Ulifurahi sana kunitapeli laki Saba ya kodi ya nyumba..?? Ulifurahi sana kunibaka siku unaenda kunionyesha nyumba..
"" " Jamani Dalali sele nina ham sana na wewe...
Aliongea Rehema na kwenda kumshika shika Sele kidevu.
*****
" "" Lakini amebarikiwa Sana Mtalimbo huyu kaka. Ndio maana analitembeza kila mwanamke alionje..
Hata leo nilivyomuita alikimbia fasta yani utadhani mbwa karushiwa nyama.
Aliongea Nasra kwa masanifu huku wanacheka na kumshika shika Sele......
"" "" " Sele, unaonekana unapenda sana Ngono...
Leo hii Tutakupa ngono uifanye hadi tuchoke sisi na siyo wewe kuchoka..
Tukitaka Goli hamsini inabidi utupe.. Hata kwa kipigo utafanya tu...
Leo ndio siku mtu anafia kwenye kifua cha mwanamke... Sijui utafia kwenye kifua cha nani.. Cha Kwangu au cha Rehema..
Aliongea Nasra na kuanza kuvua nguo zake, Rehema pia alianza kuvua nguo moja moja hadi wakabaki uchi kama walivyo zaliwa.
"" "" Haya Vua nguo Mwanaume.. Mbona unakuwa mvivu wakati siku zote wewe ndio unakuwaga wakwanza kuvua nguo zako..???.
Aliongea Nasra..
Sikuwahi kuwaza kama Nasra alikuwa katili kiasi kile.. Sikutegemea kama alikuwa ni myama kiasi kile na sikutegema kama hakuwa na Huruma hata tone binti mdogo na mrembo kama yule....
Full 1000
Whatsp 0784468229
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya

