Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
Gonga94 ยท Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
๐Ÿ”žSEHEMU YA 19 & 20

CHUMBA CHA MPANGAJI

ILIPOISHIA.....
Kweli wewe ni Fundi dogo.. Hongera sana.. Hii kazi utaiweza..
Haya inuka turudi eneo la Mazoezi.. Nadhani umeshajitambua wewe ni nani.. Umeshatambua upo wapi na unaenda kuwa nani..
Aliongea Mzee na kumshika mkono Saidi kisha kuondoka nae..

ENDELEA....
Kwa namna moja ama nyingine. Saidi alikuwa amepata nguvu kidogo ya kufanya kazi kubwa na ngumu kama ile..
Hakuwa na pingamizi wala kigugumizi tena cha kufanya maamuzi kama Mwanzo..

"" " Kama Nasra aliweza je mimi ni nani nishindwe.?? Kama madam Rehema aliweza Mazoezi magumu kama haya je mimi ni nani nishindwe.??

Waswahili husema.." "" "Kisicho kuua basi hukukomaza.." "" Naamini na mimi pia naenda kukomaa.. Nitakuwa mwingine na mwenye uwezo mwingi zaidi..
Eeehh Mwenyezi Mungu nisaidi mimi..

Aliwaza Saidi huku anapiga hatua za haraka haraka kufuatana na Mzee kuelekea kwenye Gari..

Walipanda Gari na Safari ya kwenda Bondeni ilianza..

Wao walizoea kupaita Bondeni kule chini ya Ardhi kwasababu pako chini..

Walifika na Saidi alikabidhiwa kwa wale wale Askari akiwa bado amevalia koti lake la kijeshi alilopewa na mzee..

Baada ya Saidi kukabidhiwa pale.. Yule mzee aliondoka bila ya hata kuaga..

******
"""" Dogo unaraha sana.. Yaani umekuja leo tu basi umeshakuwa rafiki na bosi hadi anakupeleka kambini..
Ujue nyota yako ni nzuri sana.. Wenzio tangu tumeingia humu hatujawahi kutoka na kwenda kambini wala hatujawahi kuliona jua kwa zaidi ya miaka kumi...

Kweli kabisa ni mwaka wa kumi sasa tupo chini huku kutoa elimu kwa maaafisa wapya mnaokuja kama nyinyi....

Hakuna mwenye simu wala hakuna mwenye Mawasiliano na nyumbani kwao...

Tupo tu tunashangaa humu na hatujui kama ndugu zetu wapo hai au wameshakufa hadi leo hii..
Aliongea mmoja wa wale Maafisa wanaotoa mafunzo...

Walikuwepo maafisa watatu kwa muda ule, walikuwa na umri kama unalingana hivi na walionekana ni watu wenye kupendana na kuheshimiana sana..

*****
"" "" " Kwanini sasa mnafanyiwa kitu kama hiki..???
Saidi aliongea Kwa upole na kuketi chini kwenye Nyasi na kuanza kuwatazama bila hofu hata kidogo..

***
" "" Dogo Saidi.. Sisi tulikuwa vijana wadogo tu kama wewe..
Enzi hizo tulikuwa tunasoma chuo kikuu cha Dodoma mwaka wa Kwanza 2007.. Hii ilikuwa ni baada tu ya chuo kile kufunguliwa Rasmi na Mheshimiwa Raisi pamoja na Waziri mkuu wa wakati ule...

Tulianza masomo tukiwa kwenye hali ngumu sana na tulikuwa wanachuo wengi kupi kiasi...
Mazingira hayakuwa mazuri kupata huduma kama chakula na maji pamoja na kituo cha Afya..

Hali ile ilipelekea wanafunzi tuandamane makundi kwa makundi..

Mimi na wenzangu hawa wawili ndio tulikuwa waanzilishi wa Mgomo na maandamano yale...

****
Baadhi walikufa na baadhi walipata ulemavu wakudumu,
wengi walifukuzwa chuo lakini sisi waanzilishi wa mgomo ule, tulikamatwa na watu wa usalama kuingizwa kwenye jengo moja Kubwa sana pale chuoni, Kinaitwa Chimwaga Hall..

Tuliingizwa kwenye chumba fulani cha Siri sana. Chumba chenye giza kupita kiasi. Hata kuonana sura tulikuwa hatuonani mimi na wenzangu..

Tulikuwa tukisikilizana kwa sauti tu..

Huko tulikaa kwa masiku kadhaa bila kujua Upi ni mchana na upi ni usiku..

Hatukujua chochote kinachoendelea uraiani.

Tulikaa kwa masiku kadhaa na baadae tulitolewa kwenye mazingira yale ya Giza na kupelekwa kwenye chumba fulani chenye Mwangaza..

Kidogo ilikuwa ahueni kwasababu tulichoka kukaa kwenye Sero yenye Giza ambapo tulikuwa tukila na kunya humo humo..
Muda mwingine tulikuwa tukikanyaga au kulalia mavi yetu wenyewe..

Kiukweli yale yalikuwa ni mazingira Magumu kuwahi kuishi tangu nimezaliwa..
Siwezi kusahau milele..

Aliongea yule kaka...

******
Baada ya kutolewa mule Sero na kupelekwa kwenye chumba cha wazi..

Walikuja wadada wanne walio valia nguo za jeshi na kutuvua nguo zetu zote na kila mmoja alibaki uchi kama alivyo zaliwa...

Walichukua nguo zetu na wawili walienda kuzifua,
kisha wawili walituingiza bafuni na kutuogesha..

Tulitoka tukiwa wasafi na kuletewa nguo zetu zikiwa zimeshakauka na zilikuwa zimenyooshwa vizuri sana..
Tulivaa na kupuliziwa pafum kidogo kisha kutolewa kwa mlango wa nyuma wa jengo lile na kupakiwa kwemye Gari Fulani jeusi na lilikuwa na Vioo vyeusi sana pia..

*SEHEMU YA 20*

Gari lile liliondolewa hadi tukafika maeneo ya ikulu ndogo kwa wakati ule kwasababu makao makuu ya nchi yalikuwa bado hayajahamia Dodoma..

Tulifika na kupitishwa ndani tukiwa chini ya ulinzi mkali sana...

Tulifika kwenye chumba fulani na kukalishwa kwenye Sofa kisha wale walinzi waliokuwa wakitulinda walitoka...

"" " Huwezi Amini bwana Saidi.. Yaani ile ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kukutana uso kwa uso na Mheshimiwa Raisi wa wakati ule kisha kuzungumza nae..

Alikuja Raisi na kuketi akiwa na mlinzi wake mmoja..

******
"""" Vijana kwanini mnalidhalilisha Taifa.??
Aliongea Mheshimiwa Raisi mara tu baada ya kukaa..

" "" Kwanini mnakosa uvumilivu na busara...???
Kwanini mnakuwa hovyo kiasi hicho hadi kuunda mgomo na kushawishi wenzenu chuo kizima kufanya maandamano yale.???

Mnajua wangapi wamepoteza viungo vya miili yao na wangapi wamekufa mnajua.??

Aliongea Mheshimiwa Raisi kwa ukali kidogo..

**
********
"" "" Tunaomba Msamaha mkuu..
Nakumbuka hiyo ndio ilikuwa kauli yangu ya kwanza kuongea mbele ya Mheshiwa Raisi...

"" "" ""
Vijana.. Inamaana huko makwenu mnapotoka huwa mnatimiziwa kila kitu na wazazi wenu.??

Unaweza kuta wengine mnaishi nyumba haina dirisha au hakuna maji wala umeme... Kwanini msianze kuandamana kwanza makwenu kuwashinikiza wazazi wenu wawatimizie huduma zote kwa mara moja.???

Kila kitu ni Mipamgo na mipango si ya siku moja..
Mnajua ni gharama kiasi gani tumetumia kujenga chuo kile???

Kwanini mlate fujo kwa kukosa huduma ambayo bado tunaifanyia kazi..??

Tumekuwa na pesa kiasi gani ya kukamilisha mambo yote kwa mara moja hudu zote hizo???
Badala mshukuru kwanza kupata chuo na walimu wa kuwafundisha. Nyinyi mnaleta ujinga

Huko ni kukosa Uzalendo na huruma na Nchi yenu.. Sasa mtafundishwa uzalendo kwasababu mmeshindwa kuwa wazalendo nyinyi wenyewe..

Aliongea Mheshimiwa Raisi na kuinuka kutoka njee akiwa na Hasira sana...

Baada ya Dakika kadhaa alirudi akiwa na Yule mzee rafiki ako aliekuleta wewe humu muda mfupi uliopita..

Yule mzee yupo humu kitambo na tangu nimeanza kumjua yupo vile vile, hajazeeka zaidi wala hajapungua hata mwili..
Aliendelea kuongea yule Mwanajeshi...

******

Basi sasa. Baada ya Raisi na yule mzee kujaa, walitusogelea karibu zaidi na kusema..

"" "" Mzee Meshack.. Nakuomba hawa watu wasije kuuona jua kamwe.. Wakaishi chini ya Ardhi maisha yao yote hadi kufa kwao..
Mkawafundishe uzalendo na wajue uvumilivu ni nini..

Wamelipa Taifa doa kubwa sana. Naomba mzee wangu ukawafunze adabu vijana hawa..

Aliongea Mheshimiwa Raisi na kuondoka zake..

Yule mzee alituchukua na kutuleta humu chini na tangu hapo hatujawahi kutoka..

Tulipewa mafunzo na Adhabu nyingi sana..

Tulinyooka na kuijua nguvu ya uzalendo.. Hadi leo hii vijana tumetulia na ukorofi tumeacha..

Tunaishi tu humu na kutoa mafunzo kwa wageni kama wewe mnaokuja ili muwe maafisa wa kwemda kulilinda Taifa...

Ukitoka humu Saidi usije kuwa mpumbavu kama Sisi...

Aliongea Yule jamaa na kufanya nicheke tu....

"" " POLENI SANA maafisa wangu.. Nitawaheshimu na kuwatii katika kila hatua.. Kumbe ni magumu kiasi hiki mmepitia jamani...
Aliongea Saidi....

**********
**********

TURUDI NYUMBANI KWA SAIDI KIDOGO...

Usiku huo Rehema ndio alikuwa anafika nyumbani kwa Saidi alipokuwa ameitwa na Nasra..

Alifika na kupiga honi..

Nasra alitoka na kufungua geti kisha Rehema aliingiza Gari lake na kupaki sehemu nzuri...

Alishuka Rehema na kukumbatiana na Rafiki yake kisha kuingia ndani..

Muda huo Dalali Sele alikuwa amekaa tu chini kama kifaranga aliekimbiwa na mama yake...

Alikuwa anatazama tu akina Rehema na Nasra wanavyo ingia ndani..

*****
"" "" " Waaaaaoooohhh jamani Dalali tapeli huyooo....
Nimefurahi kukuona My.. Aliongea Rehema..

" "" Ulifurahi sana kunitapeli laki Saba ya kodi ya nyumba..?? Ulifurahi sana kunibaka siku unaenda kunionyesha nyumba..

"" " Jamani Dalali sele nina ham sana na wewe...
Aliongea Rehema na kwenda kumshika shika Sele kidevu.

*****
" "" Lakini amebarikiwa Sana Mtalimbo huyu kaka. Ndio maana analitembeza kila mwanamke alionje..

Hata leo nilivyomuita alikimbia fasta yani utadhani mbwa karushiwa nyama.
Aliongea Nasra kwa masanifu huku wanacheka na kumshika shika Sele......

"" "" " Sele, unaonekana unapenda sana Ngono...

Leo hii Tutakupa ngono uifanye hadi tuchoke sisi na siyo wewe kuchoka..
Tukitaka Goli hamsini inabidi utupe.. Hata kwa kipigo utafanya tu...

Leo ndio siku mtu anafia kwenye kifua cha mwanamke... Sijui utafia kwenye kifua cha nani.. Cha Kwangu au cha Rehema..

Aliongea Nasra na kuanza kuvua nguo zake, Rehema pia alianza kuvua nguo moja moja hadi wakabaki uchi kama walivyo zaliwa.

"" "" Haya Vua nguo Mwanaume.. Mbona unakuwa mvivu wakati siku zote wewe ndio unakuwaga wakwanza kuvua nguo zako..???.
Aliongea Nasra..

Sikuwahi kuwaza kama Nasra alikuwa katili kiasi kile.. Sikutegemea kama alikuwa ni myama kiasi kile na sikutegema kama hakuwa na Huruma hata tone binti mdogo na mrembo kama yule....

Full 1000

Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20

๐Ÿ”žSEHEMU YA 19 & 20

CHUMBA CHA MPANGAJI

ILIPOISHIA.....
Kweli wewe ni Fundi dogo.. Hongera sana.. Hii kazi utaiweza..
Haya inuka turudi eneo la Mazoezi.. Nadhani umeshajitambua wewe ni nani.. Umeshatambua upo wapi na unaenda kuwa nani..
Aliongea Mzee na kumshika mkono Saidi kisha kuondoka nae..

ENDELEA....
Kwa namna moja ama nyingine. Saidi alikuwa amepata nguvu kidogo ya kufanya kazi kubwa na ngumu kama ile..
Hakuwa na pingamizi wala kigugumizi tena cha kufanya maamuzi kama Mwanzo..

"" " Kama Nasra aliweza je mimi ni nani nishindwe.?? Kama madam Rehema aliweza Mazoezi magumu kama haya je mimi ni nani nishindwe.??

Waswahili husema.." "" "Kisicho...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya-19-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100

588
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50

508
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

508
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51

315
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

174
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

128
MALAIKA  SEHEMU YA 1

MALAIKA SEHEMU YA 1

65
MALAIKA SEHEMU YA 2

MALAIKA SEHEMU YA 2

50
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5

42
YENYE KIRUNGU  ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ   SEHEMU YA 09

YENYE KIRUNGU ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ SEHEMU YA 09

35

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.18K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.91K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.69K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.42K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.32K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.31K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior Post Mpya
๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. โš ๏ธ๐Ÿšซ Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! โ€ผ๏ธ VINI AKATAA KUCHEZA!! ๐Ÿ˜คโŒ

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa ๐Ÿ˜‚ Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ  ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ Post Mpya
๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya๐Ÿ˜ฃ๐Ÿ˜ฃ hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

REALLY LOVE* Chapter 17 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 17
@majario LIVE

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu...

๐Ÿšจ ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŒ™ Post Mpya
๐Ÿšจ ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŒ™
@majario LIVE

Short pauses will be allowed during matches to enable Muslim players to break their fast. ๐‘น๐’†๐’”๐’‘๐’†๐’„๐’• ๐Ÿคฒโœจ

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51
@majario LIVE

Daaah lemi akaja akanmbia relex. Ndo mala ya kwanza hawez kuelewa . Tulia mwanangu kila kitu kitakua sawa nikasema powa . Basi tukapanda gari tukaludi kwa lemi. Apo mm...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100
@majario LIVE

Basi bwana . Mama akapika . Shoga yenu nilikula kidogo mnoo. Mama akamvuta mtot ndio akamlisha na rahul anawahi kuzoea watu . Anaanza kumuuliza mama . We nani . Sijuh...

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Baada ya paschal kuondoka pale Hemed alinichekiiii ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช kisha nayeye akaondoka akaniacha pale bila kuniongelesha chochote๐Ÿซฃ au ndo nimeachwa na woteโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธ sa mbona hivi๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž aah haya mambo ya kumiliki njemba...

Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini, Post Mpya
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini,
@majario LIVE

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minongโ€™ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

โ€œMalaika! Malaika mwanangu!โ€ โ€œNaam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?โ€ Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA โ€œNdio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukuleโ€ โ€œYesu.....โ€ Nilipagawa huku nikiwaza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest