Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
Gonga94 ยท Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
๐Ÿ”žSEHEMU YA 19 & 20

CHUMBA CHA MPANGAJI

ILIPOISHIA.....
Kweli wewe ni Fundi dogo.. Hongera sana.. Hii kazi utaiweza..
Haya inuka turudi eneo la Mazoezi.. Nadhani umeshajitambua wewe ni nani.. Umeshatambua upo wapi na unaenda kuwa nani..
Aliongea Mzee na kumshika mkono Saidi kisha kuondoka nae..

ENDELEA....
Kwa namna moja ama nyingine. Saidi alikuwa amepata nguvu kidogo ya kufanya kazi kubwa na ngumu kama ile..
Hakuwa na pingamizi wala kigugumizi tena cha kufanya maamuzi kama Mwanzo..

"" " Kama Nasra aliweza je mimi ni nani nishindwe.?? Kama madam Rehema aliweza Mazoezi magumu kama haya je mimi ni nani nishindwe.??

Waswahili husema.." "" "Kisicho kuua basi hukukomaza.." "" Naamini na mimi pia naenda kukomaa.. Nitakuwa mwingine na mwenye uwezo mwingi zaidi..
Eeehh Mwenyezi Mungu nisaidi mimi..

Aliwaza Saidi huku anapiga hatua za haraka haraka kufuatana na Mzee kuelekea kwenye Gari..

Walipanda Gari na Safari ya kwenda Bondeni ilianza..

Wao walizoea kupaita Bondeni kule chini ya Ardhi kwasababu pako chini..

Walifika na Saidi alikabidhiwa kwa wale wale Askari akiwa bado amevalia koti lake la kijeshi alilopewa na mzee..

Baada ya Saidi kukabidhiwa pale.. Yule mzee aliondoka bila ya hata kuaga..

******
"""" Dogo unaraha sana.. Yaani umekuja leo tu basi umeshakuwa rafiki na bosi hadi anakupeleka kambini..
Ujue nyota yako ni nzuri sana.. Wenzio tangu tumeingia humu hatujawahi kutoka na kwenda kambini wala hatujawahi kuliona jua kwa zaidi ya miaka kumi...

Kweli kabisa ni mwaka wa kumi sasa tupo chini huku kutoa elimu kwa maaafisa wapya mnaokuja kama nyinyi....

Hakuna mwenye simu wala hakuna mwenye Mawasiliano na nyumbani kwao...

Tupo tu tunashangaa humu na hatujui kama ndugu zetu wapo hai au wameshakufa hadi leo hii..
Aliongea mmoja wa wale Maafisa wanaotoa mafunzo...

Walikuwepo maafisa watatu kwa muda ule, walikuwa na umri kama unalingana hivi na walionekana ni watu wenye kupendana na kuheshimiana sana..

*****
"" "" " Kwanini sasa mnafanyiwa kitu kama hiki..???
Saidi aliongea Kwa upole na kuketi chini kwenye Nyasi na kuanza kuwatazama bila hofu hata kidogo..

***
" "" Dogo Saidi.. Sisi tulikuwa vijana wadogo tu kama wewe..
Enzi hizo tulikuwa tunasoma chuo kikuu cha Dodoma mwaka wa Kwanza 2007.. Hii ilikuwa ni baada tu ya chuo kile kufunguliwa Rasmi na Mheshimiwa Raisi pamoja na Waziri mkuu wa wakati ule...

Tulianza masomo tukiwa kwenye hali ngumu sana na tulikuwa wanachuo wengi kupi kiasi...
Mazingira hayakuwa mazuri kupata huduma kama chakula na maji pamoja na kituo cha Afya..

Hali ile ilipelekea wanafunzi tuandamane makundi kwa makundi..

Mimi na wenzangu hawa wawili ndio tulikuwa waanzilishi wa Mgomo na maandamano yale...

****
Baadhi walikufa na baadhi walipata ulemavu wakudumu,
wengi walifukuzwa chuo lakini sisi waanzilishi wa mgomo ule, tulikamatwa na watu wa usalama kuingizwa kwenye jengo moja Kubwa sana pale chuoni, Kinaitwa Chimwaga Hall..

Tuliingizwa kwenye chumba fulani cha Siri sana. Chumba chenye giza kupita kiasi. Hata kuonana sura tulikuwa hatuonani mimi na wenzangu..

Tulikuwa tukisikilizana kwa sauti tu..

Huko tulikaa kwa masiku kadhaa bila kujua Upi ni mchana na upi ni usiku..

Hatukujua chochote kinachoendelea uraiani.

Tulikaa kwa masiku kadhaa na baadae tulitolewa kwenye mazingira yale ya Giza na kupelekwa kwenye chumba fulani chenye Mwangaza..

Kidogo ilikuwa ahueni kwasababu tulichoka kukaa kwenye Sero yenye Giza ambapo tulikuwa tukila na kunya humo humo..
Muda mwingine tulikuwa tukikanyaga au kulalia mavi yetu wenyewe..

Kiukweli yale yalikuwa ni mazingira Magumu kuwahi kuishi tangu nimezaliwa..
Siwezi kusahau milele..

Aliongea yule kaka...

******
Baada ya kutolewa mule Sero na kupelekwa kwenye chumba cha wazi..

Walikuja wadada wanne walio valia nguo za jeshi na kutuvua nguo zetu zote na kila mmoja alibaki uchi kama alivyo zaliwa...

Walichukua nguo zetu na wawili walienda kuzifua,
kisha wawili walituingiza bafuni na kutuogesha..

Tulitoka tukiwa wasafi na kuletewa nguo zetu zikiwa zimeshakauka na zilikuwa zimenyooshwa vizuri sana..
Tulivaa na kupuliziwa pafum kidogo kisha kutolewa kwa mlango wa nyuma wa jengo lile na kupakiwa kwemye Gari Fulani jeusi na lilikuwa na Vioo vyeusi sana pia..

*SEHEMU YA 20*

Gari lile liliondolewa hadi tukafika maeneo ya ikulu ndogo kwa wakati ule kwasababu makao makuu ya nchi yalikuwa bado hayajahamia Dodoma..

Tulifika na kupitishwa ndani tukiwa chini ya ulinzi mkali sana...

Tulifika kwenye chumba fulani na kukalishwa kwenye Sofa kisha wale walinzi waliokuwa wakitulinda walitoka...

"" " Huwezi Amini bwana Saidi.. Yaani ile ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kukutana uso kwa uso na Mheshimiwa Raisi wa wakati ule kisha kuzungumza nae..

Alikuja Raisi na kuketi akiwa na mlinzi wake mmoja..

******
"""" Vijana kwanini mnalidhalilisha Taifa.??
Aliongea Mheshimiwa Raisi mara tu baada ya kukaa..

" "" Kwanini mnakosa uvumilivu na busara...???
Kwanini mnakuwa hovyo kiasi hicho hadi kuunda mgomo na kushawishi wenzenu chuo kizima kufanya maandamano yale.???

Mnajua wangapi wamepoteza viungo vya miili yao na wangapi wamekufa mnajua.??

Aliongea Mheshimiwa Raisi kwa ukali kidogo..

**
********
"" "" Tunaomba Msamaha mkuu..
Nakumbuka hiyo ndio ilikuwa kauli yangu ya kwanza kuongea mbele ya Mheshiwa Raisi...

"" "" ""
Vijana.. Inamaana huko makwenu mnapotoka huwa mnatimiziwa kila kitu na wazazi wenu.??

Unaweza kuta wengine mnaishi nyumba haina dirisha au hakuna maji wala umeme... Kwanini msianze kuandamana kwanza makwenu kuwashinikiza wazazi wenu wawatimizie huduma zote kwa mara moja.???

Kila kitu ni Mipamgo na mipango si ya siku moja..
Mnajua ni gharama kiasi gani tumetumia kujenga chuo kile???

Kwanini mlate fujo kwa kukosa huduma ambayo bado tunaifanyia kazi..??

Tumekuwa na pesa kiasi gani ya kukamilisha mambo yote kwa mara moja hudu zote hizo???
Badala mshukuru kwanza kupata chuo na walimu wa kuwafundisha. Nyinyi mnaleta ujinga

Huko ni kukosa Uzalendo na huruma na Nchi yenu.. Sasa mtafundishwa uzalendo kwasababu mmeshindwa kuwa wazalendo nyinyi wenyewe..

Aliongea Mheshimiwa Raisi na kuinuka kutoka njee akiwa na Hasira sana...

Baada ya Dakika kadhaa alirudi akiwa na Yule mzee rafiki ako aliekuleta wewe humu muda mfupi uliopita..

Yule mzee yupo humu kitambo na tangu nimeanza kumjua yupo vile vile, hajazeeka zaidi wala hajapungua hata mwili..
Aliendelea kuongea yule Mwanajeshi...

******

Basi sasa. Baada ya Raisi na yule mzee kujaa, walitusogelea karibu zaidi na kusema..

"" "" Mzee Meshack.. Nakuomba hawa watu wasije kuuona jua kamwe.. Wakaishi chini ya Ardhi maisha yao yote hadi kufa kwao..
Mkawafundishe uzalendo na wajue uvumilivu ni nini..

Wamelipa Taifa doa kubwa sana. Naomba mzee wangu ukawafunze adabu vijana hawa..

Aliongea Mheshimiwa Raisi na kuondoka zake..

Yule mzee alituchukua na kutuleta humu chini na tangu hapo hatujawahi kutoka..

Tulipewa mafunzo na Adhabu nyingi sana..

Tulinyooka na kuijua nguvu ya uzalendo.. Hadi leo hii vijana tumetulia na ukorofi tumeacha..

Tunaishi tu humu na kutoa mafunzo kwa wageni kama wewe mnaokuja ili muwe maafisa wa kwemda kulilinda Taifa...

Ukitoka humu Saidi usije kuwa mpumbavu kama Sisi...

Aliongea Yule jamaa na kufanya nicheke tu....

"" " POLENI SANA maafisa wangu.. Nitawaheshimu na kuwatii katika kila hatua.. Kumbe ni magumu kiasi hiki mmepitia jamani...
Aliongea Saidi....

**********
**********

TURUDI NYUMBANI KWA SAIDI KIDOGO...

Usiku huo Rehema ndio alikuwa anafika nyumbani kwa Saidi alipokuwa ameitwa na Nasra..

Alifika na kupiga honi..

Nasra alitoka na kufungua geti kisha Rehema aliingiza Gari lake na kupaki sehemu nzuri...

Alishuka Rehema na kukumbatiana na Rafiki yake kisha kuingia ndani..

Muda huo Dalali Sele alikuwa amekaa tu chini kama kifaranga aliekimbiwa na mama yake...

Alikuwa anatazama tu akina Rehema na Nasra wanavyo ingia ndani..

*****
"" "" " Waaaaaoooohhh jamani Dalali tapeli huyooo....
Nimefurahi kukuona My.. Aliongea Rehema..

" "" Ulifurahi sana kunitapeli laki Saba ya kodi ya nyumba..?? Ulifurahi sana kunibaka siku unaenda kunionyesha nyumba..

"" " Jamani Dalali sele nina ham sana na wewe...
Aliongea Rehema na kwenda kumshika shika Sele kidevu.

*****
" "" Lakini amebarikiwa Sana Mtalimbo huyu kaka. Ndio maana analitembeza kila mwanamke alionje..

Hata leo nilivyomuita alikimbia fasta yani utadhani mbwa karushiwa nyama.
Aliongea Nasra kwa masanifu huku wanacheka na kumshika shika Sele......

"" "" " Sele, unaonekana unapenda sana Ngono...

Leo hii Tutakupa ngono uifanye hadi tuchoke sisi na siyo wewe kuchoka..
Tukitaka Goli hamsini inabidi utupe.. Hata kwa kipigo utafanya tu...

Leo ndio siku mtu anafia kwenye kifua cha mwanamke... Sijui utafia kwenye kifua cha nani.. Cha Kwangu au cha Rehema..

Aliongea Nasra na kuanza kuvua nguo zake, Rehema pia alianza kuvua nguo moja moja hadi wakabaki uchi kama walivyo zaliwa.

"" "" Haya Vua nguo Mwanaume.. Mbona unakuwa mvivu wakati siku zote wewe ndio unakuwaga wakwanza kuvua nguo zako..???.
Aliongea Nasra..

Sikuwahi kuwaza kama Nasra alikuwa katili kiasi kile.. Sikutegemea kama alikuwa ni myama kiasi kile na sikutegema kama hakuwa na Huruma hata tone binti mdogo na mrembo kama yule....

Full 1000

Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20

๐Ÿ”žSEHEMU YA 19 & 20

CHUMBA CHA MPANGAJI

ILIPOISHIA.....
Kweli wewe ni Fundi dogo.. Hongera sana.. Hii kazi utaiweza..
Haya inuka turudi eneo la Mazoezi.. Nadhani umeshajitambua wewe ni nani.. Umeshatambua upo wapi na unaenda kuwa nani..
Aliongea Mzee na kumshika mkono Saidi kisha kuondoka nae..

ENDELEA....
Kwa namna moja ama nyingine. Saidi alikuwa amepata nguvu kidogo ya kufanya kazi kubwa na ngumu kama ile..
Hakuwa na pingamizi wala kigugumizi tena cha kufanya maamuzi kama Mwanzo..

"" " Kama Nasra aliweza je mimi ni nani nishindwe.?? Kama madam Rehema aliweza Mazoezi magumu kama haya je mimi ni nani nishindwe.??

Waswahili husema.." "" "Kisicho...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya-19-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

250
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

183
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

162
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

111
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 2

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 2

93
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

90
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

79
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

72
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

66
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15

64

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.61K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.35K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.78K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.84K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.74K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.66K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.6K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.6K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
@majario LIVE

ENDELEA......... Madame aliwapa taarifa Mellisa na Misha kuwa mimi sio mlinzi tena bali ni mfanya kazi wake kwenye biashara zake. Rasmi niliajiliwa kusimamia duka kubwa la spea. Huko ndo kulikuwa na pesa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
@majario LIVE

ENDELEA.......... Madame Yustar alibaki mdomo wazi. "Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili. "Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
@majario LIVE

31 MPAKA 32 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi adrian akanipeleka mpaka chuo. Akanmbia kumbe upo apa.sinza nikasema ndio ndo nipo apa .akasema oooh sawa .vp lakini umenielewa na unayafikilia maneno...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19
@majario LIVE

SEHEMU YA 7 ENDELEA.......... Wote tulipitiwa na usingizi mzito. Tuliamka saa kumi jioni na wa kwanza kuamka alikuwa madame. Nilistuka kutoka usingizini baada kuhisi nimeshikwa mashine yangu. "Madame" nilimuita kwa uoga. "Shiiiiii!" Alininyamazisha kwa kuniwekea...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 2 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 2
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media Nicky alishusha pumzi Kama ametua mzigo mzito alipokuwa kaubeba Kisha akasema . " Wewe Tena , umefuata Nini hapa nyumbani kwangu? " Hili swali natakiwa nimuulize wewe Mr....

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest