VYOTE NDANI GONGA94
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
********
" "" Unaitwa nani.?? Saidi alimuuliza Mwanae..
"" " Naitwa Juma Said Juma.. Aliongea yule mtoto....
Rehema aliwachukua Saidi na Mwanae kisha kuwapeleka nyumbani kwa Saidi..
Walifika na kupiga sana honi njee ya geti bila kufunguliwa...
Waliendelea kupiga sana Honi lakini bila mafanikio,
Baadae Saidi alishuka na kufungua Geti....
Tayari Saidi aliambiwa kuwa mama yake yupo nyumbani..
Kwahiyo saidi alikuwa anaenda kwake akiwa na Furaha sana tena akiwa na mwanae...
***''
Baada ya Gari kuingia na kupaki....
Saidi alimbeba mwanae na kuelekea nae ndani...
Rehema yeye alikuwa kwa nyuma yao akifurahi tu..
Waliusukuma mlango wa Sebuleni na kuingia ndani..
Saidi alishtuka sana kusikia harufu kali ya Mavi imeenea sebuleni kwake...
Saidi alitupa jicho pembeni na kumuona mwanamke amelala chini akiwa Uchii....
"" ""
Rehema aliwahi na kumshika Saidi kumziba macho na kumtoa njee...
Rehema alijikaza na kwenda hadi alipokuwa amelala yule mwanamke...
*
Mapigo ya moyo ya Rehwma yalianza kwenda mbio baada ya kuona ni mama yake Saidi ndio yupo chini..
Rehema alishtuka sana kumuona yule mama yupo uchi na alikuwa ameingiziwa Uboo wa Bandia kwenye kitundu cha makalio yake...
"" "" My God..
Alisikitika Rehema na kushika kichwa..
Pembeni aliona kipande cha karatasi kama kimeandikwa..
Alikiokota na kukisoma...
"" " Rehema, umewasha moto usio weza kuuzima..
Leo nimeanza na huyu mama.. Kesho ni zamu ya mwanao na keshokutwa ni Saidi..
Wewe utakuwa wamwisho ili ushuhudie yote haya...
Rehema alikunja ile karatasi na kuiweka kwenye mfuko wa koti alilokiwa amelivaa..
Rehema alitoka njee na kumshika mkono Saidi na Mwanae kisha kuwapakiwa kwenye gari na kuondoka nao..
"" " Kuna nini Rehema.????
Aliongea Saidi... .
" "" Saidi nakumba tuelekee kambini muda huu.. Kuna hatari kubwa mbele yetu..
Aliongea rehema huku anakanyaga mafuta kuongeza mwendo wa gari...
Walifika kambini na kuwakabidhi Saidi na Mwanae kwa yule mzee kisha Rehema kuondoka...
*****
Rehema alikimbiza gari hadi kituo cha polisi alipo pelekwa Nasra..
Alifika na kupaki gari kisha kuingia kituoni huku anahema..
"" " Nasra yupo wapi.???
Rehema alimuuliza askari aliemkuta mapokezi kwa muda ule..
" "" Nasra ndio nani.?????
Aliongea Yule Askarii..
Rehema alipita na kwenda Ofisini kwa mkuu wa kituo kwasababu aliona akiendelea kuelekezana sana na yule askari hawataelewana...
Rehema alifika kwa mkuu wa kituo na kusukuma mlango lakini ulikuwa umefungwa...
Alisahau kama ilikuwa ni usiku na mkuu wa kituo atakuwa ameshaondoka..
Rehema kwa hasira na hofu alishuka ngazi hadi chini na kumfuata yule Askari wa mapokezi tena...
Rehema alitoka kitambulisho chake ili asikilizwe kwa haraka..
Kweli yule Askari alimuelewa na kufungua kitabu cha wahalifu na kuangalia jina la Rahma...
Aliangalia majina moja baada ya jingine..
Alifanikiwa kuona jina la Rahma na namba ya Sero alipokuwa amehifadhiwa,
Yule askari aliongozana na Rehema hadi ilipo hiyo Sero..
Walifika na kukuta mlango upo wazi na mhalifu hayupo...
"" " Mkuu, huyu mtuhumiwa atakuwa ametoroka au amefunguliwa,.
Lakini hapa kwenye Daftari haionyeshi kama aliachiwa..
Aliongea yule Askari....
Rehema alikunja Sura na ngumi kwa hasira kisha kugeuka na kuondoka hadi lilipo gari lake....
"""" Nasraaaaaa!!! Nikikushika nakuuua mjinga weweeee....
Aliongea Rehema huku analia na kufungua mlango
Hii story ipo yote kwenye chanel ya whatsp ni Bure kabisa chakufanya bonyeza link hii
https://whatsapp.com/channel/0029VaArYXf1NCrOwbZvYu2x
Akikisha una follow
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
********
" "" Unaitwa nani.?? Saidi alimuuliza Mwanae..
"" " Naitwa Juma Said Juma.. Aliongea yule mtoto....
Rehema aliwachukua Saidi na Mwanae kisha kuwapeleka nyumbani kwa Saidi..
Walifika na kupiga sana honi njee ya geti bila kufunguliwa...
Waliendelea kupiga sana Honi lakini bila mafanikio,
Baadae Saidi alishuka na kufungua Geti....
Tayari Saidi aliambiwa kuwa mama yake yupo nyumbani..
Kwahiyo saidi alikuwa anaenda kwake akiwa na Furaha sana tena akiwa na mwanae...
***''
Baada ya Gari kuingia na kupaki....
Saidi alimbeba mwanae na kuelekea nae ndani...
Rehema yeye alikuwa kwa nyuma yao akifurahi tu..
Waliusukuma mlango wa Sebuleni na kuingia ndani..
Saidi alishtuka sana kusikia harufu kali ya Mavi imeenea sebuleni kwake...
Saidi alitupa jicho pembeni na kumuona mwanamke amelala chini akiwa Uchii....
"" ""
Rehema aliwahi na kumshika Saidi kumziba macho na kumtoa njee...
Rehema alijikaza na kwenda hadi alipokuwa amelala yule mwanamke...
*
Mapigo ya moyo ya Rehwma yalianza kwenda mbio baada ya kuona ni mama yake Saidi ndio yupo chini..
Rehema alishtuka sana kumuona yule mama yupo uchi na alikuwa ameingiziwa Uboo wa Bandia kwenye kitundu cha makalio yake...
"" "" My God..
Alisikitika Rehema na kushika kichwa..
Pembeni aliona kipande cha karatasi kama kimeandikwa..
Alikiokota na kukisoma...
"" " Rehema, umewasha moto usio weza kuuzima..
Leo nimeanza na huyu mama.. Kesho ni zamu ya mwanao na keshokutwa ni Saidi..
Wewe utakuwa wamwisho ili ushuhudie yote haya...
Rehema alikunja ile karatasi na kuiweka kwenye mfuko wa koti alilokiwa amelivaa..
Rehema alitoka njee na kumshika mkono Saidi na Mwanae kisha kuwapakiwa kwenye gari na kuondoka nao..
"" " Kuna nini Rehema.????
Aliongea Saidi... .
" "" Saidi nakumba tuelekee kambini muda huu.. Kuna hatari kubwa mbele yetu..
Aliongea rehema huku anakanyaga mafuta kuongeza mwendo wa gari...
Walifika kambini na kuwakabidhi Saidi na Mwanae kwa yule mzee kisha Rehema kuondoka...
*****
Rehema alikimbiza gari hadi kituo cha polisi alipo pelekwa Nasra..
Alifika na kupaki gari kisha kuingia kituoni huku anahema..
"" " Nasra yupo wapi.???
Rehema alimuuliza askari aliemkuta mapokezi kwa muda ule..
" "" Nasra ndio nani.?????
Aliongea Yule Askarii..
Rehema alipita na kwenda Ofisini kwa mkuu wa kituo kwasababu aliona akiendelea kuelekezana sana na yule askari hawataelewana...
Rehema alifika kwa mkuu wa kituo na kusukuma mlango lakini ulikuwa umefungwa...
Alisahau kama ilikuwa ni usiku na mkuu wa kituo atakuwa ameshaondoka..
Rehema kwa hasira na hofu alishuka ngazi hadi chini na kumfuata yule Askari wa mapokezi tena...
Rehema alitoka kitambulisho chake ili asikilizwe kwa haraka..
Kweli yule Askari alimuelewa na kufungua kitabu cha wahalifu na kuangalia jina la Rahma...
Aliangalia majina moja baada ya jingine..
Alifanikiwa kuona jina la Rahma na namba ya Sero alipokuwa amehifadhiwa,
Yule askari aliongozana na Rehema hadi ilipo hiyo Sero..
Walifika na kukuta mlango upo wazi na mhalifu hayupo...
"" " Mkuu, huyu mtuhumiwa atakuwa ametoroka au amefunguliwa,.
Lakini hapa kwenye Daftari haionyeshi kama aliachiwa..
Aliongea yule Askari....
Rehema alikunja Sura na ngumi kwa hasira kisha kugeuka na kuondoka hadi lilipo gari lake....
"""" Nasraaaaaa!!! Nikikushika nakuuua mjinga weweeee....
Aliongea Rehema huku analia na kufungua mlango
Hii story ipo yote kwenye chanel ya whatsp ni Bure kabisa chakufanya bonyeza link hii
https://whatsapp.com/channel/0029VaArYXf1NCrOwbZvYu2x
Akikisha una follow
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya

