tuka toka kule chooni na kwenda kujichanganya na wengine kucheza piano hapo muda ulikuwa umesogea kidogo nikacheza piano kidogo lakini hali ya mku...nd...uπππ kunyeka nyeka ilikuwa bado inanisumbua nilikosa amani kidogo akaja shoga yetu agii akasema mi nimechoka twendeni jmhani alikuwa anaongea kwa sauti ya kudeka sanaa basi tuka ondoka pale star park msamvu
πππ tulifika nyumbani salama kwa rafiki yangu agii tuka jitupa kitandanii usingizi mkali ukatupitia nilishtuka majira ya saa nne asubuhi simu yangu ilikuwa inaita sana nikapokea kwa sauti ya uchovu sana aloooo "aloooo Adija nyumbani kumetokea msibaπ msibaaa ndio mama yako mdogo amefariki pelamihoo songea mjini πππππππππ mamdogo wangu jamaniii mamdogo ahaaaaaaah hiiiiiiiiiiiii mhhhhhhhhhhhhhhh
"Adija unalia nini rafiki zangu wote wakashtuka na kuanza kuniuliza "
πππ mamdogo wangu kafariki nyumbani songe a haaaaaaaaaa hiiiiiiiiiiiiii "Basi usilieee Adijaa pole rafiki yetu"
Nikafanya mpango wa kutafuta hela ya haraka nipate nauli nika mpigia piter nikamueleza akanitumia laki moja nikapiga kwa madanga yangu mengine ikawa miamala inaingia tu kwenye simu yangu
muda huo huo nikapiga simu kwa alex kondakta msamvu akanitafutia gari lililokuwa linaenda mbeya akasema nifanye halaka gari lipo bwawani nika oga chapuuu itaboda chapuuu msamvu niilikaa kidogo gari likaingia nikapanda na
Safari ya kwenda songea ikaanza ili nishuke Makambako pale nichukue gari lingine kwenda nyumbani Songea
πππππππππ Njia nzima nilikuwa nalia sanaa hadi macho yangu yalivimba sana nilikaa na mama mmoja alikuwa anaendaa Mbeya alinionea huruma sana akaniuliza nikamuelezea akawa mfariji wangu njia nzima hadi tulipo fika makambako mi nikashuka wao wakaendelea na safari ya mbeya
haikupia muda niliona gari aina ya prado ikaja ikasimama mbele yangu mbele kidogo unaenda wapi dada naenda songea msibani haya njoo twende nikapanda kwenye prado na safari ikaanza tene kuelekea songea part 4
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sik...
*PENZI LA OCTOBER (29)* *SEHEMU YA 01----03* Mpyaaaaaaπ₯π₯ ******* Nadhani hakuna mtu asiyekumbuka siku hii kubwa na ya muhimu sana ambayo kumbukumbu
zake hazitokaa zifutike kwenye akili za watu, kulikuwa na Uchaguzi mkuu kwa wengine na wengine ilikuwa ni siku iliyopan...
tuka toka kule chooni na kwenda kujichanganya na wengine kucheza piano hapo muda ulikuwa umesogea kidogo nikacheza piano kidogo lakini hali ya mku...nd...uπππ kunyeka nyeka ilikuwa bado inanisumbua nilikosa amani kidogo akaja shoga yetu agii akasema mi nimechoka twendeni jmhani alikuwa anaongea kwa sauti ya kudeka sanaa basi tuka ondoka pale star park msamvu
πππ tulifika nyumbani salama kwa rafiki yangu agii...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/haku-huko-mi-siwezi-part-3
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi haku-huko-mi-siwezi-part
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 8
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 5
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 9 (hali mbaya kijini leo nyukiii)πππππ
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 2
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 6
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 7
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 4
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 10 (Moshi mkubwa juu ya anga) wananchi wenzangu hali hii ni ngeni hapa kijiji kwetu toka kuzaliwa kwangu hadi umri huu sijawahi shuhudia...
Maoni