Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 4
Gonga94 Β· Stories

HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 4

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi safari iliendelea huku nikiwa na mawazo mengi kumbukumbu nyingi sana niki mkumbuka mamdogo enzi za uhai wake

kwenye gari kulikuwa na dereva pamoja na watoto wawili nyuma ya siti yangu upande wa dereva kulikuwa na mbaba mmoja ambae alikuwa busy sana na simu

tulifika Njombe dereva akasimamisha gari na kusema dada tupate chakula kidogo nika mjibu mi sijisikii kula kabisa yule mubaba akasema dada pole kwa matatizo ila kifo ni ibada inakupaswa kushukuru na kumuombea marehemu aende salama aliongea maneno mengi sana ya kunifaliji hadi nika jiisi niko poa kidogo nikashuka nao

tuliingia hotelini pale njombe ni hoteli kubwa sana kipindi na hangaika pa kukaa yule mubaba akanishika mkono na kuniambia kaa hapa nakuja muda si mrefu akaja muhudumu mmoja na kuniuliza habari dada nika mjibu salama pole na safari unatumia chakula gani?


πŸ“πŸ“πŸ“ naomba supu ya kuku ya moto "ok dada naleta " muhudumu aliniletea supu ya kuku ya moto yule mubaba nae akaja pembeni yetu meza ya mbele walikaa wale mabinti wawili wanaongea sana ngeri pia nao walikuwa tayari wameagiziwa chakula na huyu mubaba

Mbona unakunywa supu peke yake dada , nataka nipunguze kidogo baridi , akaita muhudumu leta wali kuku moja na leta kitafunwa kizuri kwa ajiri ya dada yangu hapa ,
muhudumu"nikuletee nini dada yangu" ,
naomba chapati 2 za moto huyu mubaba akamuliza muhudumu zile kwenye kabati nini zile
" muhudumu hagechop"
sawa mletee mbili nazo basi tulikula pale na kuingia ndani ya gari ilisafari ianze nashukuru mungu huyu mubaba alilipa pesa yote kumbe ni mtu wa masihara sana yani kiufupi nilimzoea gafla sana anautani mwingi sana daaah hadi nikajikuta hali ya hudhuni kwangu imeondoka kabisa

part 5 "gafla siti ya nyuma kulitokea bonge la joka" 😭😭😭😭😭😭

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 4


Basi safari iliendelea huku nikiwa na mawazo mengi kumbukumbu nyingi sana niki mkumbuka mamdogo enzi za uhai wake

kwenye gari kulikuwa na dereva pamoja na watoto wawili nyuma ya siti yangu upande wa dereva kulikuwa na mbaba mmoja ambae alikuwa busy sana na simu

tulifika Njombe dereva akasimamisha gari na kusema dada tupate chakula kidogo nika mjibu mi sijisikii kula kabisa yule mubaba akasema dada pole kwa matatizo ila kifo ni ibada inakupaswa kushukuru na kumuombea marehemu aende salama aliongea maneno mengi sana ya kunifaliji hadi nika jiisi niko poa kidogo nikashuka nao

tuliingia hotelini pale njombe ni hoteli kubwa sana kipindi...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/haku-huko-mi-siwezi-part-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi haku-huko-mi-siwezi-part
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 8
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 8
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 5
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 5
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 9 (hali mbaya kijini leo nyukiii)😭😭😭😭😭
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 9 (hali mbaya kijini leo nyukiii)😭😭😭😭😭
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯  Part 2
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 2
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 6
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 6
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 3
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 3
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 7
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 7
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 10 (Moshi mkubwa juu ya anga)  wananchi wenzangu hali hii ni ngeni hapa kijiji kwetu toka kuzaliwa kwangu hadi umri huu sijawahi shuhudia...
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 10 (Moshi mkubwa juu ya anga) wananchi wenzangu hali hii ni ngeni hapa kijiji kwetu toka kuzaliwa kwangu hadi umri huu sijawahi shuhudia...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

880
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 21

678
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

607
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

390
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

227
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

171
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

158
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 4

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 4

102
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5

41
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.76K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.62K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.61K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.54K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.46K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA β€œ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa β€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers β€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest